Google
This is a digital copy of a book that was preserved for generations on library shelves before it was carefully scanned by Google as part of a project
to make the world's books discoverable online.
It has survived long enough for the copyright to erpire and the book to enter the public domain. A public domain book is one that was never subject
to copyright or whose legal copyright term has erpired. Whether a book is in the public domain may vary country to country. Public domain books
are our gateways to the past, representing a wealth of history, culture and knowledge that's often difficult to discover.
Marks, notations and other marginalia present in the original volume will appear in this file - a reminder of this book's long journey from the
publisher to a library and finally to you.
Usage guidelines
Google is proud to partner with libraries to digitize public domain materials and make them widely accessible. Public domain books belong to the
public and we are merely their custodians. Nevertheless, this work is erpensive, so in order to keep providing this resource, we have taken steps to
prevent abuse by commercial parties, including placing technical restrictions on automated guerying.
We also ask that you:
4 Make non-commercial use of the files We designed Google Book Search for use by individuals, and we reguest that you use these files for
personal, non-commercial purposes.
4 Refrain from automated guerying Do not send automated gueries of any sort to Google's system: If you are conducting research on machine
translation, optical character recognition or other areas where access to a large amount of test is helpful, please contact us. We encourage the
use of public domain materials for these purposes and may be able to help.
4 Maintain attribution The Google “watermark” you see on each file is essential for informing people about this project and helping them find
additiona| materials through Google Book Search. Please do not remove it.
4 Keep it legal Whatever your use, remember that you are responsible for ensuring that what you are doing is legal. Do not assume that just
because we believe a book is in the public domain for users in the United States, that the work is also in the public domain for users in other
countries. Whether a book is still in copyright varies from country to country, and we can't offer guidance on whether any specific use of
any specific book is allowed. Please do not assume that a book's appearance in Google Book Search means it can be used in any manner
anywhere in the world. Copyright infringement liability can be guite severe.
About Google Book Search
Google's mission is to organize the world's information and to make it universally accessible and useful. Google Book Search helps readers
discover the world's books while helping authors and publishers reach new audiences. You can search through the full tert of this book on the web
alhttp:7/books. google. com/
STANFORD
UNIVERSITY
LIBRARIES
LEHRBUCHER
DES
SEMINARS
FUR
Ua
SP PRACHEN
ZI RIENTALISCHE
ZU BERLIN
sa
HERAUSGEGEBEN
VON DEM DIRECTOR DES SEMINARS
STUTTGART 4 BERLIN
W. SPEMANN
1898
1909 iibereegangen in den J
Vorlas von Georg heimer Berlin
DEM ANDENKEN
IHRER HOCHSELIGEN MAJESTAT
DER
KAISERIN UND KONIGIN AUGUSTA
KVIJI
MARCHEN usd ERZAHLUNGEN
DER
SUAHELI
VON
C. VELTEN
LEHRER DES SUAHELI AM SEMINAR
ya YA
STUTTGART 64 BERLIN
W. SPEMANN
1898
1902 tibergegangen in den
Verlag von Georg Reimer Berlin
VII
Inhalts-Verzeichniss.
Seite.
orwort. .........................). KAY
inleitung . .... 2 ............. KIAKII
1. mwanamke na paka -.<................ I
>. paka na panya . , I
3. nyama wenyi pembe na fisi. 2
t- kima na chui 2
;. simba na kibana Wasi . ....... 3
). sungura nafisi. ....................... 14
7. fissi . 5
3. mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini --......... 6
9. hadithi ya Abu Nuwassi .................. 8
0. hadithi za Abu Nuwasi ..... 2. ..........
1. hadithi zingine za Abu Nuwasi -—.2........... 14
2. hadithi ya Abu Nuwasi. ..................... 318
(3 hadithi ya Koodini ....................... 338
4 sutanina Abu Nuwassi........................ 19
5. Muhemedi na washitaki wake... ................ 21
>. usishike shaurila mwanamke ................ 25
. mtoto mtundu lazima kumridi. .... . . .. .. . . . 26
mwalimu mwenyi'agili................... 2
mashindana . ............................ 2
Dijonina Tarafu . ................... .d 27
mfalme na waziriwake. ....................... 23
mwiallim mtaowa nashetanizake.............. 29
Mahomedi. ........................... . 30
mtoto mwenyikigongo. ....................... . 31
- maneno matatu. . . . --............ 32
. bibi mungwana nabibi mtumwa ........... . .. 33
s Kibwana nakibibi .......................... 3
8. binti Matari Shemshi ................ . 36
9. hokumungumu ................... 39
.
.vipofuwatatu .............................. 40
STANFORD
UNIVERSITY
LIBRARIES
KI
recht zu finden. Es war mir jedoch schliesslich gelungen, mchrere
recht brauchbare Leute zu gewinnen. Falls ich die Zeit dazu hatte,
habe ich den Erzihler erst einmal seine Erzihlung hersagen lassen,
che ich an die Aufzeichnung nach dem Diktat ging.
Was nun die einzelnen Erzihler anbelangt, die mir mit Aus-
nahme des Diwani Mamgola bin Diwani Mgola aus Gubiro, der seine
Erzihlung zu Papier brachte, simmtlich perstnlich bekannt sind, so
ist Folgendes tiber sie zu bemerken:
Der intelligenteste unter ihnen ist unstreitig der leider im vorigen
Jahre verstorbene, auch als Dichter bekannte, Mw'allim Mbaraka aus
Kondutschi, der als Lehrer in Daressalaam lebte. Ich habe nie einen
zweiten cebenso unermtidlichen und fleissigen Suaheli kennen gcelernt wie
diesen. Dre: Jahre lang hat er mir bei meinen sprachlichen Samm-
lungen gute und treue Dienste geleistet. Seine Erziihlungen zeichnen
sich durch cin gutes Suaheli und Klarheit des Ausdrucks aus.
Viele Erzihlungen stammen von Muhemedi bin Madigani aus
Magogoni her, der woh|l den meisten Deutschen in Daressalaam bekannt
sein diirfte, da er es nicht versiiumt, jedem Ankommenden bald seine
Aufwartung zu machen. Er ist ein intelligenter, schwatzhafter junger
Mann, der stets zu Diensten bereit ist. Auch seine Erzihlungen ktnnen,
obwohI| dieselben manche sprachliche Eigenthtimlichkeiten aufzuweisen
haben, zu den besseren zihlen. Besonders interessant war die Art
seincs Erzihlens. Er gefiel sich sehr hiufig darin, ceincn Passus seiner
Erzihlung, den er soeben mit cinfachen Worten berichtet hatte, zum
zweiten und dritten Male, aber immer lcichter und gefalliger und mit
melodischen Niiancirungen wicederzugeben und war dann jedes Mal
stolz auf seine Leistung.
Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi, ein Bruder des
Mw'allim Mbaraka, ist “agida”) im Bezirk Kondutschi. Auch seine Er-
zahlungen reihen sich wtirdig an dice seines Bruders an.
Der verstorbene Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza aus Klein-
Bagamoyo sowie dessen Bruder Muhemedi bin Diwani Tambaza, ferner
Mwenvi Gogo aus Kichwele und Merere bin Kawamba Mshale sind
Suaheli-Leute mittleren Bildungsgrades. Ihre Erzihlungen weisen die
meisten sprachlichen Eigenthtmlichkeiten aut.
“Ali bin Rajabu aus Kilossa, ein Halbaraber, wic er sich gerne'
nennt, ist aus Mbuamadiji gebtirtig, lebt aber scit einer Reihe von Jahren
als Hiindler in Kilossa. Er hat von Antang an den Deutschen, be-
”) Unterbeamter des Bezirksamts Daressalaam.
KI
sonders den Stationen Kilossa und Ulanga, gegen die Wahehe treuc
Dienste geleistet. Mit ihm auf gleiche Stufe zu stellen ist S'aid bin
Bushiri Ilmalindi, “agida von Kilwa Kisiwani. Beide sind auch als
Dichter unter ihren Landsleuten bekannt.
“Ali bin Nasur, ein Bruder des bekannten Oberwali Soliman bin
Nasur, ist Araber und Wali in Pangani. Er gehtrt zu den gebildetsten
Arabern der Kiiste. Scine Erzihlungen sind in gutem Suaheli
gegeben.
“Abdallah bin Musa, “Omar ben Rufa3 und Selim bin Abakari
sind lange Jahre als Diener bei Deutschen in Diensten und zur Zeit
alle dreci in Berlin. Bei den Erzihlungen des Selim bin Abakari muss
jedem Suaheli-Kenner auffallen, dass seine Ausdrucksweise klarer und
priciser ist, als bei den meisten Suaheli-Leuten seines Bildungsgradses,
was vermuthlich seiner Kenntniss der deutschen Sprache sowoh!| wie
seinem Jahre langen Aufenthalte in Deutschland zuzuschreiben ist.
Jeder Erziihlung habe ich den Namen des Erzihlers beigefigt,
cinerseits, da die sprachlichen Eigenthimlichkeiten bei denselben Er-
zihlern immer wiederkehren, andererseits auch damit spitere Sammler
in Ostafrika wissen, an wen sie sich zu wenden haben.
Was nun die Anordnung der Sammlung anbelangt, so habe ich
mich vom sprachlichen Gesichtspunkte leiten lassen, die in leicht ver-
stiundlichem Suahceli abgefassten Erziihlungen zuerst zu geben und mit
den schwierigeren zu schlicessen. Es war dices um so mehr geboten,
da dieselben vorncehmlich als Lehr- und Lesebuch ftir die Suaheli-
Studirenden am Seminar dienen sollen.
Inhaltlich haben wir zundichst dic Tierfabel, in der sich haupt-
sichlich der Hase (sungura), der dic Stelle unseres Reinecke Fuchs
einnimmt, durch seine Schlauheit anderen Tieren gegentiber sehr iiber-
legen zeigt. Es folgen die Geschichten des Abu Nuwasi, die auf
arabische Ouellen zurtickfiihren und zuwellen recht derb sind. Morali-
sirende Erzihlungen wechseln aldann mit solchen von menschen-
fressenden Ungeheuern. In cinigen volifiihren menschliche Wcsen, ja
selbst verkriippelte, die grOssten Thaten, sei es durch eigene Tapferkeit
oder durch tibernatiirliche Hilfe, wihrend in anderen michtge Sul- |
tane und Hiuptlinge durch niedere oder schwichliche Personcn aus
ihrer gebietenden Stellung vcerdrangt werden.
Bemerkenswert ist, dass die Erzihler zuweilen Ztige augenblick-
licher Verhiltnisse und Oertlichkeiten, in denen sie sich befinden,
ihren Erzihlungen beifiugen z. B. akatanyiza paketi kidogo p. 28, Z.1
(paketi ist sonst im suah. nicht gebriuchlich, aber der Erzihler hatte
als Laufbursche in einem Eszportgcschift viel mit Paketen zu thun)j;
KIV
ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja p. 78 Mittc (dic Post-
dampfer ldsen bei Ankunft cinen Kanonenschuss); na huko merikebu
inangoa nanga, ikapiga peipu (engl. pipe) p. 79, Z. 13 v. u.; na yule
manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni kumi (zechn engl. Pfund)
Pp. 79, Z. 8 v. u.; ikenenda merkebu, ikapiga mizinga 'esherini na moja
(der Salut fiir den Gouverneur betrigt 21 Schuss) p. 80, Z. 1; akatia
nanga manowari p. 117, Z. 13 (engl. Kriegsschiff); akenda akaingia
ndani ya sitima (engl. steamer) p. 117, Z.5 v. u.; kesho napenda
kwenda Kiungani (Vorort von Zanzibar) p. 136, Z. 11; shurti ukani-
jengee Maziwe (kleine unbewohnte Insel vor Pangani, der Erziihler
stammt aus Pangani) p. 139, Z. 3 v. U.
Die Transscription ist die bis jetzt in den Lchrbiichern des
Seminars und auch sonst aligemein cingeftihrte englische. Fitr die
verschiedenen t, th, h, s und z Laute sowie en habe ich jedoch, wie
ich dics bereits in meiner Abhandlung tiber ,Sitten und Gebriuche
der Suaheli“ in den Mittheilungen des Seminars Jahrgang 1 Abthig. III
p. 09—85 gethan habe, genau unterscheidende Merkmale cingcfihrt und
zwar habe ich die arabische Transscription dabei zu Grunde gelegt.
Das Transcriptionssystem ist daher folgendes:
| umschrieben a 42 umschrieben r (Zungen-r)
|
|
wa . b, p ) ” z (weiches s)
|
Mi s (scharfes s)
(CG:
sh, ch (wie sch
” und tsch)
s (emphatisches
, th(engl.th inthank) |
|
| " hartes s)
> j (wic dj), $ (wic g) |
d jemphat. engl.
weichcs th)
aa ma WA VU
7
—
a Ni h (sehr starkes h)
|
<a
> t (emphatisches 1)
m kh (wic unser ch)
th (emphat. cngl.
| ” weiches th)
.” ” d c
(eigentl. Zusam-
mcnpressen der
Kehle, im suah. je-
doch meist er-
weicht).
Zz (meist wie
weiches s)
Po
KV
€ umschrieben gh (Zipfchen r), g Y umschrieben m
, v J , n
2 - 4(mphat kW Awa
|
>, k > . h
ha aa
Fiir den Suaheli-Schtiler, welcher sich nicht mit Arabisch be-
schiftigt hatte, war es bei der bisherigen Schreibweisc schwierig zu
wissen, wie cin Wort und besonders Worte arabischen Ursprungs ge-
schrieben wurden, z. B. talaka; bei dieser Schreibweise weiss der
Schiiler nicht mit welchem t, ferner ob mit £ oder (9 zu schreiben,
wihrend er bei talaga sofort das Wort richtig schreiben muss. Ebenso:
tabia (tabi'a), shetani (shetani), shurti (shurti), sadiki (sadigi), san-
duku (sandugu), thuru (duru), bithaa (bidaa), fetha (fedda), thanni
(thanni), athuhuri (athuhuri), asubuhi (asubuhi), kasid (gasid), kissa (gissa),
asili (asili), maarufu (mafarufu), amali (“amali), maana (ma'ana), ajabu
(ajabu), riziki (rizigi), kathalika (kazalika), etc. etc.
Die sprachlichen Eigenthtimlichkeiten dieser Erzihlungen sind
sehr zahlreich, da die Erzihler aus allen Gegenden der ostafrikanischen
Kiiste stammen und fast jede Stadt ihre besonderen sprachlichen
Eigenthimlichkeiten hat. In den Tezten habe ich nirgends Verinde-
rungen vorgenommen, sondcern alles so wiedergegeben, wie cs mir er-
zahit wurde, da wir lernen wollen, wie der Afrikaner spricht, nicht
wie er der Grammatik nach sprechen sollte.
In reinem, grammatikalisch gutem Suaheli sind folgende gehalten:
paka na panya.
nyama wenyi pembe na fissi.
kima na chui.
simba na kibana Wasi.
fissi.
KVI
hadithi ya Abu Nuwasi.
hadithi za Abu Nuwasi.
sultani na Abu Nuwasi.
Muhemedi na washitaki wake.
usishike shauri la mwanamke.
mtoto mtundu lazima kumrudi.
mw'allimu mwenyi 'agili.
mfalme na waziri wake.
hokumu ngumu.
sultani “Ediri na sultani Ndozi.
mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri.
njia mbali na njia ya garibu,
mtu mvivu na mtu wa kazi. j
mfalme tajiri na mfalme maskini.
Msiwanda.
nguvu za uganga.
sultani na maskini.
“agili ya waanawake.
sultani wa kisiwa na sultani wa barra.
hadithi ya mwanamke aliyeoa baba na mwanawe.
hadithi ya zamani.
sultani Harun Alrashid na waziri wake.
hila za waanawake.
hadithi ya kijitu kiovu.
Abu Nuwasi na waziri wa sultani.
Dic meisten arabischen Ausdrticke finden wir bei folgenden Er-
zahlern:
“Ali bin Nasur,
S'aid bin Bushiri,
Mw'allim Mbaraka bin Shomari,
Mwenyi Hija bin Shomari.
Der cersterc ist selbst Araber, wiihrend die tibngen meist mit
Arabern in Verkehr leben und ces lieben ihre arabischen Kenntnisse
anzubringen. Dic Erziihlungen von Leuten, wie Muhemedi bin Madi-
gani und Muhemedi bin Diwani Tambaza sind ziemlich frei von nicht
allgemein gebrauchten arabischen Worten.
Auf dice einzelnen Eigenthiimlichkeiten ist in den Fussnoten hin-
gewilesen. Allgemcin sich durch das Ganze hinziehende und wieder-
holende Thatsachen bedtirfen jedoch als Beitrige zur Grammatik der
niiheren Besprechung:
Das w (kurze u) vor Vokalen von mw (ihm,ihr,ihn,
KVII
sie) ist scehr hiufig absolut unhdrbar in der Aussprache;
z. B. hdrt man eben so oft akamambia als akamwambia, ebenso
anamogopa, wakamona, hakumuliza, wakameleza etc. Das gleiche gilt
von einer Anzahi von Substantiven, z. B. bana neben bwana sowohl
gesprochen wie geschrieben, manamme neben mwanamme, manamke
neben mwanamke etc. Ich habe das w iiberall da, wo es nicht hdr-
bar war, ausgelassen.
Die Auslassung des genitiv-pracefires ist in folgenden
Fillen zu verzeichnen:
sili nyama bin Adam p. 6, Z. 3; pasicho kitu chakula p. 6, Z. 5;
mimi ni mtoto mfalme p. 7 Mitte; maneno yake sungura p. 7, Z. 13
v. u.; hatta mkewe Jafafari p. 11, Z. 1; yule mkewe waziri Ja'afari yupo
p.11, Z. 6 v.u.; mudda miezi minne p. 12, Z.12 Vv. U.; alipomwona
tunda yule kijana p. 13, Z.8 v.u.; aliyotolewa mimba mkewe Pp. 24,
Z.13 v. u.; huyu kanitolea mimba mke wangu p. 24, Z.12 v.u.;
yakamwona yaya wake binti sultani p. 31, Z. 10; yakatoa maji koga
P. 42, Z. 5 v. u.; akawatambua mbuzi watoto na mamice mtu Pp. 53, Z.6;
akamwona mtoto mfalme p. 70, Z.6; na watoto wake yule sultani
P. 84 Mitte; wakakaa mahali mwendo safa sitta p. 95, Z. 14; mumewe
dada yake p. 97, Z. 14 V. u.; kuna mchunga wa baba yake yule mkewe
p- 98, Z. 16; nataka mudda siku tatu p. 102, Z. 13; wakakaa nyumbani
mudda siku sitta p. 105, Z. 2; mkewe mtoto wa sultani p. 111, Z.7;
kamwiteni mkewe huyu mwarabu p. 116, Z.2 v. u.; akaona kichwa
cha mumewe vule mwanamke p. 118 Mitte; juu ya wazee wake vule
mtoto p. 127, Z.6; ntakwenda mwuma mtoto wake sultani p. 146, Z. TI.
Die Auslassung scheint besonders nach Worten wie mke, mume,
baba, mama, mtoto, yaya, wazee — also nach Verwandtschaftsnamen
tiblich zu sein. Bei mudda oder binti ist dieselbe insofern zu crkliren,
als dies arabische Worte sind. Der Suaheli sagt jedoch auch binti wa
sultani z.B. p. 146, Z.2 v.u. und p. 147 in der Ueberschrift; mudda
wa mwezi mmoja p.8:, Z.12 V. u. ctc.
Die Pronomina personalia mimi, wewce, sisi, Ninyi
zeigen folgende hiiufig gebrauchtc Ncbentormen aut:
miye fiir mimi: p. 18 Mitte; p. 32, Z. 4; P. 36, Z.5 v. u.; P. 39,
Z.12;Pp.40, Z.5 v.u.; Pp.42, Z.17; P.42 Mitte; 49, Z.4, 6, 8 v.u.;
p- 58, Z.9; Pp.59,Z2.8, 9; p.60, Z.6v.u.; p.61,Z.6 und Mitte; p. 63,
Z.10vV.u.; Pp.63, Z2,3 v.u.; P.64 Z. 4,6, 16, 18, 30; p. 66, Z. 5 und
lio; Pp-66,Z.3 v.u.; Pp. 89 Mitte ctc.
ewe und wee fiir wewe, besondcrs bcim Anrut: p. 3, Z. 3; P-. 79,
Z. 2 etc. etc.
KVII
siye fir sisi: p. 15, 2.13 v.u.; P.23, 2.6; Pp.55,Z.7 vu;
P.63. 2.14 v.u.; p. 68, Z. 10 ctc.
nyie ftir ninyi: p.26, Z.1 v.u.; P.309, Z2.2 Vv.u.; P. 42, Z. 2
v.u.; Pp.51, Z.5 v.u.; Pp.52,72.0; Pp.52, 7.6 v.u.; p.65, Z.4 v.u;
p-66, Z.1 v.u.; Pp.74 Z.10; Pp.74 Z.9 v.u.; p.82, Z.4WV.u. etc.
niye ftir ninyi: p. 54, Z.11; p. 108, Z.3 v.u.
enye fur ninyi: p. 40, Z. 5 u. 6 €nvc, wajinga watatu.
Bei den persdonlichen Ftirwdodrtern beim Verb tritt in
der JII. pcrs. sing. der 1 KI statt a die Form ya, die sich an
dic altce Form vu anlehnt, schr ott und bei fast allen Er-
zihlern auf, wie ein Blick in cinen der Tesrte sofort er-
kennen lisst. Am hiufigsten ist dies der Fall bei den weniger mit
Zanzibar-Leuten in Bertihrung kommenden Erzihlern wie Muhemedi
bin Diwani Tambaza, Waziri bin Diwani Tambaza, Muhemcedi bin
Madigani und Mwenyi Hija bin Shomari.
Neben dicsen bciden Formen kommt auch.o (gespr. wie
kurzes ii) ftir die III. pers. sing. und we (wi) fur die III. pers.
plur. der L KI und zwar meist bcim pertect vor z. B.
emetukhada'a p. 8, Z. 15; emelifutika p. 11, Z.2 v. u.; cmetughuli
P. 15, Z. 14; cmcchoma p. 15, Z. 15; emcetia, emepakia p. 15, Z. 16;
emcnituma Pp. I7 Mitc; emeshika p. 22, Z. 6; emekufa p. 24, Z:9;
emenona Pp. 24, Z.9 Vv.u.; emewasili p. 25, Z.9; cmcekaa, emeshika
P. 27, Z. 1; cmcejinamia Pp. 27, Z. 4; emeniponya Pp. 37, Z. 14; cemekaa
Pp. 30 Mitte; cemejuaje p. 40 Mitte; emekuja p. 42, Z. 5; emewafuata
P. 42, Z. 14; emekaa p. 42, Z. 14; cmewafuata p. 43, Z. 7; emekuja,
emekwenda p. 48 Mitte; emcekuja p. 48, Z. 4 v. u.; cmemtongozea P. 50,
Z. 4; cmenishinda p. 54 Mitte; cmcingia p. 69 Mitte; cmefanya p. z0,
Z.2 v.u.; cmemwambia p. 70, Z.t v.u.; emechoka, emeduru p. Z71,
Z. 11 v.u.; emetuponya p. 72, Z.2; cemeamriwa Pp. 76, Z. 10; cmekutuma
P- 77, Z.6 v. u.; cmetutia p. 81, Z.5 v.u.; emekuja p. 82, Z. 12 v.u.;
emckufa p. 82, Z.8 v. u.; cmekuta p. 83, Z. 2; cmekuwa p. 84, Z. 15
v. U.; cmesimama p. 84, Z. 13 v. u.; emcenea p. 84, Z. 7 Vv. u.; emetoa
p. 85, Z.9 v.u.; emekua p. 86, Z. 10 v.u.; emesahau p. 87, Z. 12;
emekhitimu p. 88, Z.8: emejua p. 88, Z. 10; emekwisha p. 88, Z. 16;
emclala, cmelia p. 89, Z. 18; cmewceka p. 07, Z.2 v. u.; cmekwenda
p.o8, Z. 1; emekaa p. 98, Z. 2; cmcchukua p. 98, Z. 13 v.u.; cemceji-
pakaza, emegeuka, emekuwa p. 98, Z.7 v. u.; cemcnikata p. 99, Z. 16;
emcefutika p. 108, Z. 13 v.u.; cmekaa p. 108, Z.9 v.u.; emekuja p. 115,
Z.11u.2v.u.; emcerudi p. 1106, Z. 9; emcekimbia p. 117, Z. 2; emefanza
P. 148, Z. 7; emegcuka p. 148, Z. 9 v. u.; cmenifaa p. 149, Z.8; emekaa
Pp. 150, Z. 1; emekwenda p. 151, Z. 14; cmekuwa Pp. 168, Z.7 Yu.
KIK
wemcekaa p. 7 Mitte; wemelala p. 77, Z.6 v.u.
In einigen Fillen tritt diesc auch im praesens auf, z.B.:
encosimama Pp. 1, Z. 13; enedawiwa p. 22, Z.9; ewe p. 31, 2.14;
enceokwenda p. 37, Z. 8; eneokaa p. 41, Z. 10; enekokwenda, enckorudi
p. 43, Z.i1i Vv. U.; cewe Pp. 110, Z. 9 Vv. Uu.; cnevompenda p. 148,
Z.2 v.u.
Einmal kommt die Form yuna fur ana vor p. 135, Z.1.
Beim Futur ist die hiufige Auslassung des pron. pcrs.
der 1. pers. ni zu erwihnen:
tafanyaje p.2, Z. 13; takwenda p.2, Z.3 v.u.; takupa p.5, Z. 21;
tafanyiza p. 12 Mitte; tampa p. :4,Z.14, Z. 2; takwenda p. 1:19, Z.8, 11
v. U.; tapewa, takuoza p. 20 Mitte; takupa p. 27 Mitte; tarudi p. 35,
Z.4 Vv.u.; tafanza p. 55, Z.6 v.u.; tamwambia p. 56 Mitte; takupa
p- 58 Mitte; takuoa p. 59, Z. 9; takunyanganya p. 59, Z. 13; tafanza
p. 64, Z. 11; takwenda p. 64 Mitte; tawaua p. 101, Z. 12; tawaziisha
p. 123 Z.3 v. u.; takuja p. 130 Z.?2 v.; takuletea p. 132 Z. 4; taingia
p. 132 Z. 9; takwenda p. 135 Z. 12 v. u.; takupa p. 139 Mitte; taku-
shushia p. 142 Z. 3.
Bei den Formcen des Zeitworts mit cingeschobenem ka
fallt in der JI. pers. sing. der I KI. das pronom. pers. a (ya)
oft aus:
kaniula p. 23 Z.4 Vv. u.; kanitolea p. 24 Z. 12 Vv. u,; kaitoaje
p. 24 Z. 11 v. Uu.; kamambia p. 32 Z. 10; kakaa p. 32 Z. 7 v.u.; ka-
sema p. 32 Z. 5 v. u.; kafanyiza shauri p. 33 Z. 4 v. u.; kalala p. 39
Z. 6; kanipa p. 39 Mitte; kaninyanganya p. 41 Z. 5; kawacha p. 46
Mitte; kazuia p. 46 Z. 11 v. u.; kanitongoza p. 50 Z. 1; kamzaa p. 50
Z.2 v. u.; kamwambia p. 51 Z. 3; kanena p. 57 Z.7 v.u.; ka-
mambia p. 54 Z. 2, 3; kamusia p. 59 Z. 7; kawambia p. 59 Z. 16;
kamchukua p. 59 Mitte; kaficha p. 63 Z. 3 v. u.; kaua p. 64 Z. 8;
kainama p. 93 Z. 4; kauawa p. 1ig Z. 2; kanena p. 120 Mitte; ke-
nenda p. 122 Z. 12; kamwambia p. 125 Z. 8; kamjibu p. 125 Z. 5 V.
u.; kamjibu p. 126 Z. 9; katatuta, kaifunga, kamwona, kaingia, ka-
mwambia p. 126 2.11 —8wv.u.
Vereinzelt kommt auch das Fitirwort der IL pers. in
Wegfall; in einem Falle auch das der 1 pers.:
kanitolea (ttir ukanitolea) p. 22, Z. 4 Vv.U.; kalete (uk.) p. 29. Z. 12;
kamtwae (uk.) p. 136, Z. 14 v. u.; kasimamc p. 137, Z. 5; kaniangulie
Pp.137, Z.4 v.u.; kanivulie p. 141, Z.12 v. u.; kalitwae p. 142 Mitte;
kamlete (nikamlete) p. 85, Z. 5;
Das ecingeschobence ka (und) lautet in sechr vicelen
Fillen ki.
KK
An der Kuiste scheint dics schr Ublich zu sein, wie cin Blick in
irgend einen der Testc z. B. sultani wa kisiwa na sultani wa barra,
Zcigt, in dem fast durchweg ki fur ka gebraucht ist.
Umgekchrt finden wir auch ka wo wir ki erwarten
sollten, jedoch nur scehr vercinzelt z. B.:
akamwona baba vyake akasta'ajjabu p. z0 mittc; lakini tukapigana
hapa utakufa weye p. 72, Z. 6; ukasikia ,,mfunge" p. 75, Z. 13 V. U.;
ukasikia kimya p, 75, Z. 11 Y. u.; ukasikilikana — utashinshwa Pp. 76,
Z. 13, v. u; ukasikia kimya p. 77 Mitte; japo kama yakanila p. 87,
Z. 17; mkamregeza — atakimbia p. 109, Z.3; ukaona kitambaa p. 157, Mitte.
Auch die Verwechselung von ,ki wenn“ mit,,po als“
kommt dfter vor z. B.:
akiona nyama ile p. 5, Z. 12; akimtezama yule ndege p. 74
Z. 5; akiona mji yule mkubwa p. 74, Z. 13 v. u.; akikamata miguu —
yule ndege akapupurika p. 76 Z. 2; akiona jeshi inakuja p. 81, Z. 16;
akijongea katika maji p. 91. Z. 8; yakirejea baharini p. 100, Z. 7 V.u.;
akifika kwa sultani p. 100, Z. 3 Vv. u.; wakimwona wale vijana p. 104,
Z. 10; yule frasi wake wakimwona ndugu yao p. 107, Z. 1; waki-
mwona wale vijana p. iit, Z. 10 v. u.; wakimfika ameshughulika
Pp. 125, Z. 9.
Das Verbalsuffiz vyo (so) lautet an der Kiiste eben so
hiiufig vo wie vyo z. B.:
wanavofanviza p. 7, Z. 9; tulivoagana p. 22, Z. 6; alivosema
P-. 24 Mitte; ilivopita p. 25, Z. 2; ilivokuwa p. 41, Z. 12 v. u.; vali-
vopanda p. 47, Z. 6; aliyomwambia p. 51 Mitte; wanavosema p. 52,
Z. 8; unavoingia p. 56, Z. 2; nnavotaka p. 57, Z. 3; alivomwona
Pp. 57, Z. 2 vy. u.; aliyvomambia p. 59, Z. 1; unavotaka p.63, Z.9vV.u.
alivotaka p. 64, Z. 7; mtakavo p. 65 Mitte; hivo atakavofanyiza p. 66,
Z. 7; walivomtupa p. 66, Z. 9; alivosikia p. 67 Mitte; alivoikamata
P. 67 Mitte; inavolia p. 68, Z.6 v. u.; hivo alivoipata p. 68, Z.3 V. u.;
alivomwambia p, 70 Mitte; unavopendwa p. 79, Z. 2, V. U.; alivom-
pata p. 82, Z. 6; alivoinama p. 82, Z. 15 v. u.; ntavousemesha p. 83.
Z. 3 v. u.; itavolia p. 86, Z. 3; yanavosema p. 836, Z. 6; wanavokosa
p. 87, Z. 9; utavonitenda p. g0, Z. 8; hivo, ndivo ulivotaka Pp. 91,
Z. 14; valiyokwenda p. 94, Z. 17; alivyonambia p. 96, Z. 14 und 10
vy. Uu.; anavokwenda p. 111, Z. 5; alivoeleza p. 122, Z. 2 v. u.; nili-
vojipamba p. 130, Z. 5; utakavo p. 131, Z. 8; walivofuatana p. 132,
Z. 3 v. u.; valivo p. 135, Z. 7 v. u.; ulivo p. 135, Z.4 V. Uu.; walivo-
amurwa p. 130 Mittce; ulivoniona p. 138, Z. 8; hivo ulivonipa p. 139,
7. 12 v. u.: alivofanviza p. 140, Z. 3; wanavokaa p. 143, Z. 2 V. U;
KZI
nilivofundishwa p. 155 Mitte; alivosikia p. 156, Z. 15; ndivo alivo
P- 159, Z. 6 V. U,
Vereinzelt kommt auch vo ftir po (als) vor z.B.:
ulivokuchwa p. 6, Z. 7 v. u.; atakavouawa p. 65 Mitte; uli-
vokuwa p. 124, Z. 3 Y. u.; alivouza p. 155, Z.2; ulivofungwa p. 150
Mitte; walivogurubia p. 156, Z. 2 v. u.
Beim Passiv lautet ,,von und durch"“in den Nordbe-
zirken Pangani und Tanga mcist ni statt na z. B.:
atakuja uawa ni mtoto wa tajiri fulani p. 92, Z. 3; asije kuuawa
ni yule mtoto p. 92, Z. 13 v. u.; akashikwa ni harara p. 93, Z. 17;
iliyoonekana ni wale waganga p. 93, Z. 6. v. Uu.; msionekane ni mtu
P- 136, Z. 13; kama walivoamurwa ni bibi yao p. 136 Mitte; asione-
kane hatta ni mtu mmoja p. 137, Z. 1.
Das veraltete Relativ ambaye oder ambaye kwamba
kommtin diesen Testen dcs d#fteren vor:
Auch im mtindlichen Verkehr mit den Suaheli ist mir dasselbe
zuweilen zu Ohren gekommen. St. Paul in seinem Suaheli-Handbuch
p. 185 bestreitet das Vorkommen dieser Form. Da dicselbe in diesen
Tezten allein siebenmal vorkommt, liisst sich mit Sicherheit anncehmen,
dass sie noch ziemlich inGebrauch ist z.B.: akatafuta nyama anaye pembe,
ambaye amekufa zamani p. 2, Z. 14; yuko mtu ambaye mzee p. 33,
Z. 4; nisikilize maneno yambayo vatasema p. 47 Mitte; na kulla neno
ambalo jema p. 129, Z. 11; selaha zangu za mali ambazo ni muth-
mini p. 130, Z. 4; mkachimbe shimo ambalo ni pana p. 136, Z. 11;
akampelekea sinia ya maandazi ambayo ya vyakula usiku p. 140, Z. 9 V.U.
Das Relativ der 1 KI lautet neben yeauch yo, welches
die regelmissige ilterc Form und an der Kiste sehr ge-
briuchlich ist z. B.:
aliyotolewa p. 24, Z.13 v. u.; aliyotongoza p. 48 Mitte; aliyom-
zaa p. 50, Z.2 v. u.; niliyoota p. 51 Mitte; anayokaa p. 51, Z. 10
v. U; aliyomponya p. 53, Z. !; anayosangaa, aliyoweka, asiyoweza
P- 53 Mitte; anayonipa p. 53, Z. 8 v. u.; aliyotaka p. 54, Z. 13 v. Uu.;
aliyo p. 55, Z. 3; uliyotaka p. 55, Z. 3; umtakayo p. 72, Z. 4; aliyoza-
hwa p. 75, Z. 2; unayokwiba p. 79, Z.4V. uU.; aliyopata p. 82, Z. 10;
aliyompata p. 82, Z. 15; nimjuayo p. 82, Z. 9 Vv. u.; aliyotiwa p. 83,
Z. 8; niliyosafiri p. 83, Z. 15 v. u.; asiyo p. 84, Z. 13; uliyomtaka
Pp. 85, Z. 9; niliyompata p. 85, Z. 5 v. u.; uliyozipata p. 86, Z. 5;
niliyomzaa p. 87, Z. 14; atakayokuuliza p. 87, Z. 16; atayomlea p. 87,
Z. 17; unayokwisha p. 97, Z. 8; aliyookota p. 98, Z. 11 v.u.; uliyo-
kuwa nayo p. 99, Z. 17; aliyomnyima p. 99, Z.9vV. u.; ndiyo aliyonipa
p: 100, Z. 1; aliyozaa p. 104 Mitte; anayompenda p. 108 Mitte; niliyo—
KIKI
mwacha p. 110, Z. 6; alivyokuza p. 110, Z. 13; anayokuja p. 111, Z. 12
v. u.; umtakavo p. 113, Z. 7,090; aliyooa p. 115, Z. 1; aliyoingia Pp. 115,
Z. 35 v. u.; niliyomleta p. 11:16, Z. 13 v. u.; aliyokuja p. 117, Z. 2;
aliyomfumaniza p. 117, Z. 10 v. u.: aliyokuja, aliyozini, aliyokuwako,
aliyokufa p. 1:8 Mittc; aliyomwuzi p. 119, Z. 4; aliyo p. 119, Z. 8;
aliyomwambia p. 1109, Z. 8 v. u.; aliyokwenda p. 119, Z. 7 v.u;; uli-
yomzaa, aliyomlea p. 128, Z. 15; aliyomtoa p. 146, Z. 1; anayogeuka
p. 146, Z. 6; anayompenda p. 130. Z. 11; anayofanya p. 146, Z. 12;
aliyofungwa p. 146, Z. 16; aliyouza p. 148 Mitte; ulivomtafuta p. 148,
Z. 6 v. u.; asivojua p. 150, Z. 9; aliyozaliwa p. 1533, Z. Ii v. u.; ali-
yokuja p. 161, Z. 3; aliyotupa p. 167 Mitt.
In Relativsitzen, in denen das Relativum Objcct ist.
werden der Grammatik nach dem Vcerbum das cinfache Rc-
lativ-Pronomen, gcfolgt vom persO0nlichen Object-Prifis,
vorgesetzt. In unscren Teszten ist dic Auslassung dcs letz-
teren ziemlich hiufig z. B.:
hadithi tuliyosikia p. 2, Z. 6; mazambi uliyofanjiza p. 5, Z. 2
v. Uu.; na aliyonena Abu Nuwssi p. 9 Z. 2 v. u.; khabari ile unavo-
taka p. 10 Z. 13; maneno anayosema mwenzio p. 23 Mitte; kwa sa-
babu ile naziri aliyoweka p. 26 Z. 0; khassa mali uliyopewa p. 38
Z. 13; kulla neno wanalosema p. 42 Z. 15; nguo ya chini aliyovaa
Pp. 42 Z. 7 v. u.; kula maneno mlivyosikia p. 44 Mittce; kulla
neno unalotaka p. 64 Z. 15; ncno analotaka p. 64 Mitte; neno
gani unalotaka p. 64 Z. 133 v. u.; kulla kitu unachotaka p. 644
Z. 12 v. u.; ngoma tuliyotaka p. 68, Z. 5 v. u.; 'ahadi yetu
tuliyoweka p. 89 Z. 2; dawa hizi wanazofanviza p. 96 Z. 3 V. u;
khabari alizofanyiza p. 100 Z. 2; fimbo zangu nilizopigwa p. 109 Z.8
v. u.; gissa ulichokaa p. 109 Z.5 v. u.; gadiri utakaloona p. 112 Z.7;
amana uliyopewa p. 114 Z. 13; yamini aliyoapa p. 119 Z. 3;- yale
maneno ya vule mzee anayosema p. 120 Mittc; kwa yale maneno ali-
yosema vule mzcce p. 120 Z. 5 v. U.; vale maagano waliyoaganagana
Pp. 132 Z. 5 v. u. khabari alizofanya p. 134 Z. 16; mambo yote aliyo-
fanya mke p. 134 Mittc; mambo waliyofanviza p. 136 Z. 1; haggi
yangu twaliyoagana p. 130 Mittce; zile gartasi alizoandika p. 140 Z. 3
v. U,; maneno yote aliyoandika Z. i41 Z. 4; kulla kitu cha kike wa-
nachovaa p. 152 Z. 2.
Dic Umgchung des Relativs, dice wir bei ungebildeteren
Suaheli und vorncehmlich bei Lcuten, die aus dem Inncrn
zur Ktste kommen und das Suaheli crlernen, hiufig zu
horen bekommen, haben wir in vereinzelten Fillen auch
hier zu vyerzcichncn, z. B.:
KIKI
akapawa jiwe limepasuka (statt lililopasuka) p. it Z.4 vu.
takupa bei unaitaka p. 58 Mitte; njia va garibu si njia, afadali ya
mbali unaijua p. 60 Z. 1 v. u.; illa wagati ulitaka weye p. 125 Z. 11
v. u.; wakamthannia ni kitwana Gorjia wa sultani analeta halua
Pp. 133 Z. 9; una mtu juu aulinda p. 167 Z. 10.
Bei Relativsitzen und inden Zeitwortformen mit cin-
geschobencm po lautet das taka dcs Futurs in so vielen
Fillen ta bei den vyerschicdenen Erzihlcrn, dass diesc Form
nceben der andern gebriaiuchlich erscheint, z. B.:
utapokwenda utasikia watu Pp. 77 Mitte; na siku atayokuja p. 84
Z. 5; nani atayokwenda kumlea p. 87 Z. 6; hapana atayokuuliza p. 87
Z. 16; nani atayomlea p. 87 Mitte; vitendo utavonitenda p. g0 Z. 10;
illa kwa sa'a itafaavo (fr itakayofaa oder ifaayo) p. 125 Z. 14 etc.
na (und) tritt hiufig im Sinnc von <auch> auf,z. B.:
lete na sogi p. 10 Mittc; akaokota na kuni p. 22 Z. 12 v.u.;
vakavua na fulana, yakavua na nguo, yakavua na mfuko p. 42
Z. 7 v. u.; yakachukua na ndege p. 80 Z. 14 v. u.; twende zetu
na ninyi p. 83i Z. 4; akanipa na mke vulc p. 85 Z. 10; ulete
na upanga p. 85, Z. 5 v. u.; nietcc na ngoma p. 86, Z. 1;
akanunua na boriti p. 87 Z. 2; akaifanya na bustani p. 92 Z. t0;
akapanda na matunda yote p. 92 Z. 10; usiondoke na wewe p. 102
Z. 1 v. u.; yule mtoto wa waziri akaoza mke naye p. io Z. 53 Vv.U.;
kwa nini na wewe husafiri p. iti Z. 5; ukileta na zawadi p. iji
Z. 6; nataka na kitu unipe p. 120 Z. 11; kuikimbia na ile harusi
Pp. 129 Z. 6 v. u.; akampimia na halua vake p. 132 Z.7 Vv. u.; ata na
shughli zako p. igo Mittc; na mimi nitoc p. 147 Z. 1 v. u.; akaon-
doka na maskini p. 148 Z. 5; yakazaa na mtoto p. 148 Z. 16; akatia
na kisu kidogo p. 153 Z. 8 v. u.; linifac na miye p. 155 Z. 12; ana
na fedda, ana na mkewe mzuri p. 164 Z. ir v. u.: wakatwaa na
miti p. 164 Z. 1 v. u.; wakagubali na Banyani p. 166 Z. 10; akapewa
na nyama p. 166 Mitt.
In yereinzelten Fillen kommt na in der Bedeutung von
valso", ,so“ vor, z. B.:
na tufanyize hikima p. 11 Z. 6; na tusafiri p. 65, Z. 4; na tuoe
p-: 86 Z.16 v.u.; na tukae pamoja p.93 Z. 14; na vije vita p. 161 Z.5.
Mwanamke na paka.
paka aliondoka akakaa nyumbani mwa mwanamke mmoja. siku
moja mwanamke akamambia!): ,,paka, mimi ntakupa usimamizi wangu."
paka akamambia: ,,nimegirri?) kusimamia, lakini usimamizi gani uta-
kaonipa?“ mwanamke akamjibu: ,,nitakupa usimamizi wa jikoni pale,
nikesha?) pika; ntakuachia samaki ya kungojea, ma'ana nikesha pika -
husinzia?).“ paka akamjibu: ,,nimegirri kungojea.”
hatta siku moja alipokwisha pika, paka akamambia: ,,kikaango
acha wazi.” naye mwanamke yakagirri?) kuacha wazi.
aliposinzia mwanamke, paka akatazama samaki ndani ya kikaango,
mate yanamtondoka$); mwisho akasema: ,,ntakula". hatta alipoamka
mwanamke, yakaona chunguni hamna kitu; akamambia: ,.,gissi”) gani,
mbona chunguni hamna kitu?" paka akamambia: , twende tukaulize
sheri'a?), kama eneosimamia?) hapewi chakula?“ mwanamke akampiga
akamfukuza, akasimamia mwenyewe vyungu vyake, akavifunika.
Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza
aus Klein-Bagamoyo.
1) Diese Schreibweise ist akamwambia vorzuziehen, da fiir gewdhn-
lich beim Sprechen das kurze u (w) nicht horbar ist. Ich habe iiberall :
da, wo es bei der Erzahlung deutlich zu horen war, dasselbe gesetzt, im
anderen Falle weggelassen. 7) ar. festmachen, bestitigen. 3) nikiisha.
4) Ein Schlifchen machen. 9) akagirri; ya fir a III pers. an der Kiiste
hiaufig. $) Das Wasser im Munde zusammenlaufen. 7) ar. Art, suah.
gissi, ginsi, jissi und jinsi. $) ar. Gesetz. 7?) anayesimamia.
Paka na panya.
Paka moja akamkuta panya, aliyetoka majini. alipomwona, alitaka
kumkamata, yamle.!) yule panya akafanyiza shauri, akasema — kuwa?):
ningoje,?) sasa hivi maji mengi mwilini mwangu, ngoja nikauke.“
wakaja wakashuka katika inchi kavu ya mchanga, wakakaa kitako.
1) amle. 2) kuwa, ya kwamba, ya kama dienen hiaufig zur Ein-
fuhrung direkter Rede. 3) uningojee.
Velten, Suaheli-Marchen. I
yule paka alitaka tenna kumkamata yule panya; panya akasema:
mbado,!) maji yako“. akachimba tartibu?) huku na huku — marra
ameshuka chini, akamambia yule paka: ,,njoo, unikamate sasa!" na
yeye akamkimbia Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi.
1) bado noch nicht; beim Verb steht neben ja ,,noch nicht” hiufig
noch bado. 7) ar. Ordnung, im suah. auch sachte, leise, vorsichtig. bana
tartibu nennt der Suaheli den ruhigen, bedichtigen und fiir jedermann zu-
ganglichen Europier.
nyama wenyi pembe na fissi.
aida!) na hadithi,?) tuliyosikia na watu wazima. wakisema wali-
sema: ,,hapo zamani ya kwanza walikutana nyama msituni?) wakasema:
mtufanyize karamu), walakini katika karamu yetu kwa kulla nyama,
anayo pembe, na aje bassi; hiyo nyama, asiyo pembe, asije". bassi
wakakutana jami'ei?) ya nyama wanao pembe, wakafanyiza karamu
kubwa sana na vitu vingi sana.
fissi alisikia khabari hii, akaondoka kwenda kutazama karamu,
aitaka, naye hana pembe. akasema: ,tafanyaje?) hatta enende?) karamuni?"
marra akaona shauri jema. akenda akatafuta nyama anaye pembe, am-
baye?) amekufa zamani mwituni. akaiona, akazitwaa pembe za yule
nyama aliyokufa. akatafuta nta akajibandika kichwani, akapandika zile
pembe, akaenenda katika ile karamu.
hatta zamani za mchana jua kali, ile nta ikayayuka kwa jua, na
karamu haijesha?) bado. akazitwaa pembe, akazizuia kwa mikono aka-
wambia: ,jama'a!!) fanyeni mambo upesi upesi, kwani wengine tuna
za mjombokelo!!); nafsi yake asema: ,,wengine tuna pembe zaanguka".!?2)
bassi katika nyama wenziwe wakajua fissi hana pembe; yatufanyia urevu“,
wakamfukuza. Mwenyi Hija bin Shomari.
1) ar. gleichfalls, ebenfalls, ferner. 2) ar, Neuigkeit, Erzihlung.
3) neben mwituni. 9) ar. Fest. 9) ar. all, versammelt. $) nitafanyaje.
7) nienende. $) veraltetes, hin und wieder noch angewandtes Relativ von
amba — ambia sagen, zuweilen auch ambaye kwamba. 9) haijaisha.
10) ar. Versammlung. 11) pembe za mjombokelo; mjombokelo wohi| Kissa-
ramo. 12) zinaanguka.
kima na chui.
akaondoka kima, akasema: ,,mimi sina nguvu, takwenda!) kwa
mtu mwenyi nguvu hamtake?) urafigi.” akenenda kwa chui, akam-
fanya urafigi.
1) nitakwenda. 72) fiir nikamtake.
3
wakakaa; hatta siku moja wakaondoka, wakaenenda hatta waka-
fika shinani pa mti mkubwa. wapumzike pale. na ule mti una miba
mingi. yule chui akamwambia kima: ,?wel) kima, waweza ku-
keleza?) mti? ukeleze, ukatazama upande unao vita na upande unao
amani.” 3)
yule kima akakeleza mle mtini, akafika kattikatti, akapapura na
miba, ikatoka damu, ikatona chini. yule chui, alipokuja ona damu
ya rafigiye1) imetona, akairamba. ile kima akitunza mbali shinani pa
mti, akitazama damu yake yarambwa na rafigiye — akafanya khofu.)
chui akamwuliza kima: ,,upande gani unao vita?" kima akasema:
“nimetazama kwa kulla upande, sikuona vita, walakini vita nimeviona
hapa shinani pa mti, ndipo panapo vita.” kima akafanya khofu, asi-
shuke tenna juu ya mti, na urafigi ukavunjika.
Mwenyi Hija bin Shomari.
1) wewe; als Anruf ist ewe gebrauchlich, z. B. ewe mwenyi ma-
dafu, ewe mwenyi mikuki njoo hapa; eine andere Kiirzung von wewe ist
wee, z. B. mwongo wee. 7?) keleza klettern. 3) ar. Sicherheit, Friede.
4) vafigi yake. 9) ar. Angst.
Simba na kibana Wasi.”
aliondoka simba, akamtuma kibana Wasi, akamwambia: ,,enenda
pahali kaza wa kaza?), tenna upesi urudi."
akenenda kibana Wasi, akafanyiza shughli?) zake, walla asijue
kambani nimetumwa na simba?" akakaa sana huko, sababu ana-
ogopa kurudi. hatta simba akaghadabika?), akatoa “askari9), akenda aka-
twaliwa kibana Wasi, akaja. simba akamwambia: ,,kwani?) kutaakhkhari$)
nilikokutuma?" ' akamwambia: ,,nalikutana na mwenzio?), akanizuia,
nayo!) yuko mahali kaza wa kaza.“ simba akamwambia: ,,vema, tuenende“.
wakenenda hatta katika kisima kikubwa, na ndani mna maji mengi.
akamwambia simba: ,,mwenzio yumo ndani ya kisima.“ simba akata-
zama akajiona mwenyewe, ya'ani!1) lile jivuli??) lake, naye haijui sura ?)
yake. alipoiona sura yake mule/4) ndani ya maji, athanni 9) ni mwen-
ziwe, akaingia ndani ya kisima kwenda kupigana naye, akazama.
Mwenyi Hija bin Shomari.
1) kibana Wasi wird der sungura (Hase) genannt, der in der Thier-
fabel bei den Suaheli die Rolle unseres Fuchses spielt. (Wohl von Abu
Nuwasi gebildet, siehe Geschichten des Abu Nuwasi weiter unten.) 7?) ar. so
und so. 939) ar. Geschift, Arbeit. $) Zusammengezogen aus ya kwamba
nini. 9) ar. erziirnt sein. $) ar. Heer, Soldat. 7) kwa nini. $) ar. ver-
spiten. 9) mwenzi wako. 10) naye. 11) namlich. 12) gewcohnlich kivuli,
jivuli grosser Schatten. 13) ar. Form, Gestalt, Gesicht. 14) mle und mule
kommen nebeneinander vor. 19) ar. glauben, meinen,
1”
Sungura na fissi.
Alitokea sungura akafanya urafigi!) na fissi, wakikaa siku nyingi.
hatta siku hiyo yakamwambia?): ,,nataka, twende kwetu." fissi yaka-
mwambia: ,,twende". yakamwambia: ,fanyiza mikate sab'a". yakam-
wambia: ,vema”, fissi yakafanyiza mikate. akamwambia: ,,haya,
twende zetu“. fissi yakamwambia: ,,tunakwenda wapi?" yakimwambia?):
kwetu, kuwatezama?) wazee wetu; haya, twende".
wakenda zao hatta wakaona njiani pana mto wa maji mengi.
sungura akamwambia: ,,ningoje hapa, ukiniona nimekawilia, vuka mto,
uende ukaningojee njiani; na hapo unapovuka, utaambiwa ,,tupa
mkate" — bassi utupe, ndio utaponya"“. fissi akamwambia: ,,vema"“.
wakenenda, hatta wakafika mtoni. sungura akamwambia: ,,ningoje,
nakwenda chooni; ukiniona nimekawilia, vuka. hapo utapopita ukaam-
biwa ,tupa mkate“ — bassi utupe, upate kujiponya". yakenda?) sungura,
akazama mbalimbali, akikawilia, fissi akavuka.
alipokwenda, akaambiwa: ,tupa mkate". fissi akisema: ,,ndio
aliyonambia rafigi yangu sungura“; yakitupa fissi mkate majini. sungura
huwapo chini, yakaudaka kwa kinywa, yakakawilia kuvuka. akam-
ambiaje fissi? ,,huko nilikovukia mimi, nilitaka kuuawa, lakini ajali)
yangu bado. sasa njaa inauma, ninakula mikate yangu". fissi akam-
wambia: ,na mimi". sungura akamwambia: ,,yako iko wapi, mikate
yako” fissi akanena: ,,hukuniambia, ukivuka ukisikia ,tupa”, bassi
utupe” nikasikia, nami nikatupa mkate“. sungura yakimwambia: ,,una
wazimu wewe, kuna mtu husema ,tupa mkate?" sungura yakila?)
mkate wake, na rafigi yake hakumpa.
alipokwisha kula, yakamwambia: ,,twende". wakenda zao hatta
wakafika shamba kubwa sana la miwa. yakimwambia: ,,rafigi yangu
fissi, miwa ya watu hiyo usikate, kata midete?), nami nakata midete'
sungura yazunguka?), yakikata!?) miwa juu ya ukubwa wake. hatta
wakafika mahali, panapo kivuli, wakakaa kitako, yakanena: nishuke
midete yangu“. yakatezama yakaona miwa, na fissi yakinena: ,,na mimi
nishuke midetc yangu, yakitezama — midete; yakamwambia: ,,yangu —
midete, rafigi yangu“. yakamwambia: ,,ujinga wako mwenyewe, kwa
nini usikate miwa, ukenda ukakata midete?"
wakatoka, wakenda zao hatta mahali panapo mti mkubwa,
wakakaa kitako, yakamambia: ,,sasa tunakwenda huko nyumbani kwa
1) rafigi, ar. Freund. “) akamwambia. 7) akamwambia; Verwechse-
lung von ki und ka ist schr hiaufig. ') neben tazama. ?) akaenda. $) ar.
Ziel. ") akala, $) trockenes Zuckerrohr, das weniger schmackhaft ist.
”) akazunguka. '?) akakata.
5
wazee wetu, hii dawa nakuonyesha ya homa, na hii ningine ya tumbo
na hi ningine ya uvimbi".
wakatoka wakenda zao, hatta wakafika nyumbani kwa wazee.
wakapikiwa chakula. sungura akajitia ugonywa, akasema: ,,rafigi yangu,
siwezi, tumbo linaniuma, nenda kanitwalie!) dawa ya tumbo kule
nilikokwambia".
fssi akaondoka mbio, akaenenda?) akaichukua dawa, akalileta.
akamfikia?), sungura amekwisha kula chakula pekeyake, na ugonywa
umekwisha pona. akimambiaf): ,,sasa iweke dawa“.
wakakaa, hatta usiku wakatandikiwa mahali pa kulala. sungura
akatiwa chumba cha kuku, na fissi akatiwa chumba cha mbuzi. na
fissi ana njaa ya siku kumi, akiona nyama ile ya mbuzi, roho?) ikam-
toka, akamrukia mbuzi moja yakamwua.
Muhemedi bin Madigani
" aus Magogoni.
!) .ukanitwalie, relative Form von twaa. 3) neben akaenda und
akenda. 9) akimfikia oder besser alipomfikia. “) akamambia. 9) ar. Seele.
Fissi.
walikuwa watu wawili, mtu na rafigi yake, walikuwa na shindana.
mmoja akasema — kama: ,.hapana mtu anayeweza kusilimisha!) fissi
kuwa Islamu, kwani nyama wote husilimishwa, huwa welevu?), lakini
fissi sikupata kumwona kusilimishwa". rafigi yake akanena: ,,mimi
ntaweza kumsilimisha”“. rafigi yake kanena: ,,huwezi, ukiweza ntakupa
reale mia u themanin“. akasema: ,,vema, ':na miye kama sikuweza,
takupa?) reale miteni"“.
wakenda wakakamata fissi, wakalichukua. rafigi yake akamambia —
kama: ,,sasa kalisilimishe."
akenda akawa nalo siku kaza wa kaza katika vifungo, halipi fissi
chakula shurti) kwa siku ya tatu hatta siku ya tatu. khalafu fissi
ameshikwa na njaa, akanena: ,,miye ntakufa katika vifungo". yule bin
Adamu akamambia: ,,mimi ntaweza fanya shauri usife; ukinifanzia
shuruti ya kusilimu, ufuate dini?), ntakufungulia nikupe vyakula“.
akajibu: ,,vema, ntasilimu, lakini nambie namna ya kusilimu Usilamu,
huwaje? vitu vya haramf) na vitu vya halali?) nataka unambie". yule
bin Adam akanena: ,,kama unataka kusilimu, neno la kwanza — mtu
husali?) na kusoma; ukiomba muungu, mazambi?) uliyofanyiza yaki-
pungua, na kulla kitu atakupa, lakini usile nyamafu), kwani nyamafu
') bekehren. 7) werevu. 9) nitakupa. 1) ar. Bedingung. 5) ar. Glaube,
Religion. $) ar. verboten. 7) ar. erlaubt. 9) ar. beten. 9) ar. Siinde. 9) Aas.
6
haram, na bin Adam haram. ukila nyama ya kuchinshwa — ndio
nyama ya halali“.
lile fissi akamjibu, akamambia: ,,vema, sili nyama bin Adam
walla nyamafu, lakini kama nakwenda njiani, pahali pasipo mtu, pasicho
kitu chakula, na miye nimekuta nyamafu katika njiani, ntafanyaje?
mtu hula, amma mtu hali?” akamambia: ,,mtu hali, sababu haram,
stahamili!) hatta ufike penyi watu”. bassi, ntapitaje katika njia,
nacho kipinda?) kiko katika njia?" akasema: pita upande mwingine
mkono mshoto?) amma mkono mwume". akamambia: ,,Jakini njia
huku nyembamba na upande huu mwembamba, ntapitaje? na miye
ntamguza?"” asema: ,,bassi, mruke upite kattikatti“. akasema: ,,nikianguka
katika nyama, hokumu yake nini?“ akamjibu: ,,hokumu yake — wewe
fisi tenna, hukuwa Islam“. akamambia: ,,bassi, nisamehe, siwezi
kuwa Islamu. ukipita upande huu — usikiguze kipinda, ukipita upande
mwingine — usikiguze, ukiruka ukianguka — haram, bassi neno gani la
halali? afadali nirejee katika ufissi.
Selim bin Abakari.
!) ar. geduldig abwarten, 7) Aas. $) meist mkono wa kushoto und
mkono wa kuume oder wa kulia.
Mtoto wa tajiri!) na mtoto wa maskini.
yalitokea?) mtoto wa tajiri, na mtoto wa maskini yakimfanyiza 9?)
rafigi yake. baba yake na mama yake marra nyingi wakimambiaf:
mwewe maskini, ya nini?) kufanyiza urafigi na mtoto wa tajiri?” yule
mtoto yakishitaddi?) kutaka usahibu?) na yule rafigi yake, mtoto wa tajiri.
wakikaa siku nyingi na miezi mingi, hatta yule rafigi yake yaki-
mambia?): ,,twende tusafiri barra". yakimambia: ,,;twende“. wakifanya
mikate mingi sana. wakilala hatta usiku ulivokuchwa?) asubuhi, wakija
kuhimiza safari10) yao, wakipanda frasi!) zao, wakiomba muungu,
wakitoa frasi wakenenda zao, hatta wakifika?) walipotaka.
wakafika mahali mbali sana, wakikuta punda na farasi) wengi.
yakisema mtoto wa tajiri: ,,shauri gani ya hawa frasi wengi?" ,,tuwa-
chukue kwetu, tukawauze, tupate fedda, tuharriji #) kwa haja yetu tuta-
kayo“. yule mtoto wa maskini yakimambia: ,,haifai, haya mali ya watu;
1) ar. Kaufmann, reich. ?) alitokea. 3) akamfanyiza. $) wakamambia.
>) neben kwa nini, $) ar. sich anstrengen. 7) ar. Freundschaft. 8) aka-
mambia. 9) ulipokuchwa. 10) ar, Reise, im suah. fiir Karawane gebriauch-
licher als msafara. 1) ar. Pferd. 12) wakafika. 13) neben frasi. 19) ar.
hinausfiihren, ausgeben.
7
sisi tumekuja kutarazzagi!), tuwache tutarazzagi; labda?) muungu?)
mkubwa, hapana mwingine tenna, wa amma mimi na wewe sikilizef)
mudda wa siku kumi, muungu atatufariji?).” wakiwaacha wale punda
na frasi wale, wakikaa pale.
yakitokea$) sungura, vakija?) na kusalia?), yakinena: ,,maskini!
ninaomba, sipewi kitu; watu hawa watu gani, makafiri?) nini10) hawa?“
yule sungura amecheka kunena. yakitoka yule mtoto wa tajiri, yaki-
mambia: ,,gissi gani, wewe hujui vibaya ,,maskini, maskini“, yanaombea
cha!) kupewa na wote? nayo ndio ga'ida 2?) ya watu, wanavofanyiza 5),
huruzigiwa'/4) na cho chote.”
majibu hayo anamjibu yule mtoto wa tajiri, yanamambia, akasi-
kia yule mtoto wa maskini. na yule mtoto wa maskini yakimambia:
hujui wewe, huyu sungura hataki kitu, yanataka hujaji?) yetu yai-
pate, tuliyokujia, kama huna khabari wewe.”
yule mtoto wa tajiri yakimwambia: ,,kweli kama hivo, mkamate
mfunge.“ yakikamatwa!$), yakifungwa sungura. wyakinena sungura:
hamna khabari? mimi ni mtoto mfalme!?), na baba yangu yana mtoto
mwanamke, tenna mzuri sana; tenna wawili hao!?) watoto, wenyewe
mnapo, nifungulie, kulla mtu nitampa mojamoja."
wale vijana wakipata tama'a!??) ya yale maneno yake sungura,
kwa ma'ana wemekaa??) siku nyingi, kulla moja yana hamu?!) ya mke.
wakimfungulia yule sungura, yakenda zake msituni.
yalipofika kule kwao, yakileta vita vikubwa kuja wapiga wale
vijana. wvikija vile vita, kuja wapiga wale watoto. na wale watoto
wamesoma gorani sana wamesoma; wakiona vita vinakuja kutupiga.
yule mtoto wa maskini yakincna: ,,shauri gani sasa? na wewe, ndio
mwenyi mali, ujuaje kuyasirifu??) haya mali yako? wyasirifu, tuyaone
tusije uliwa ??); na haya mali ni ya kuchuma, roho haichumi.“ yakimjibu:
Sina neno jingine, illa ya kugawa mali haya, tuwape wao wachukue,
sisi tupate kupona roho zetu.” yule mtoto wa maskini yakinena:
..haina haja kupotea mali yako, khalafu tukifika kwetu uje unambie —
ya kuwa: ,,mali yangu yasingalipotea illa huyu”, — na mimi siwezi
naza'a?i)."
1) ar. Kleinhandel treiben. 272) labuda, labda und vereinzelt auch
lamda. 95) zu ergianzen mali ya muungu. 1) tusikilize. 9) ar. frei-
machen, dvfinen. 9) akatokea. 7) akaja. $) woh!| falschlich fiir 0om-
bea gebraucht. 9?) ar. Ungliubiger. 010) besser gani. 11) zu er-
ganzen kitu. 12) ar. Grundlage, feststehende Sitte. 13) wanavyofanyiza.
14) ar. Lebensunterhalt geben. 13) von kuja ist hujaji, das Kommen, gebildet.
16) akakamatwa. 17) mtoto wa mfalme. 18) hawa. 19) ar. Verlangen.
20) wamekaa. 21) ar. Absicht, Sorge. 2) ar. wenden, beugen. 23) oder
uawa. 21) ar, Zank, Streit.
8
walipokuja wale watu vita vile, yakiwazuia yule pekeyake, mtoto
wa maskini. alimrukia frasi wake, yakijifunga upanga na jambia na
mkuki na bundugi zake, yule kijana pekeyake, yule mtoto wa tajiri
amejificha msituni. yakipigana vita vile, yeye pekeyake, hana mwenzi,
yakiwafukuza wote, wakikimbia wakenenda zao.
yakarudi yakamtafuta yule kijana. hatta yakamwona yakisema:
nhimewafukuza, wemekwenda!) zao na wengi nimewaua; na sasa
chukua mali yako, yataharibika, ni afadali?) twende zetu kwetu."
wakienenda, hatta njiani wakimwona sungura, sijui kama ndio-
ndio yuleyule) wanashindana; wakamkamata, wakitaka kumchinsha.
sungura vakinenaf): ,,yama yangu mimi ngumu, hamwezi labda)?);
mnifunge na mirara9), mnifunge; nikipata jua, ile nyama yangu itare-
jea, mtakula kwa tartibu, walla hamioni?) kama ngumu." wakikhada-
“ika$). hatta ile kamba ikayabisika?), yakiikata, yakenenda zake mwituni.
watu wakimzomea, wakisema — kama: ,,sungura emetukhada'a 99), na sisi
tumekhada'ika na kinyama kidogo hiki sungura."
wakaja zao hatta wakafika mjini kwao. wakifurahi baba zao na
mama zao, wakiuliza khabari ya barra iliyowafika, wakieleza yote, na
watu wakisikia.
ndio khabari yangu ya uhadithi!!) huu, wa maana sana.
Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.
1) wamekwenda. 72) comp. es ist besser. 3) Die Verdoppelung
driickt den besonderen Hinweis aus ,,0b es grade der ist", 4) aka-
nena. 99) zu erganzen kula. 6) Palmblattstreifen. 7) hamwioni.
8) khada'a, betrigen. 9) ar. trocken. 10) ametukhbadata. 1) neben
hadithi, ar. Erzahlung.
hadithi ya Abu Nuwasi.!)
Auwali yake huyu Abu Nuwasi jina lake Muhamed. na baba
yake “Abdallah, gadi?) wa Haruni Alrashid. akikaa?) babake hatta
zamani alipokuwa hawezi, akimwita mwanawe, akamambia: ,,nakuusia?)
mwanangu nikifa ,,usiwe gadi, walla usiwe waziri kwa mfalme —
shika shughuli”) yako.”
1) Abti Nuwias war ein arabischer Dichter, geb. 762 n. Chr., gest.
815. Er zog durch seine Poesien die Gunst des Hofes in Bagdad auf
sich und genoss die Freundschaft des Chalifen Hartdn. Seine Liebeslieder
gehoren zu den besten der arabischen Poesie. Eine Menge heiterer Er-
zahlungen laufen unter seinem Namen, die wie diese und die folgenden
dem Arabischen entlehnt sind. “Jj ar. (geistliche) Richter. 9) akakaa. “) ar.
cmpfchlen, vermachen. 9?) ar. Geschaft, Arbeit.
9
yalipomshika maradi!) baba yake, gadi “Abdallah, analaghalagha”)
mauti”). yule mwanawe Muhamedi alipojua — ya kama ,,baba yangu
atakufa sasa hivi", akakusanya watoto, akachimbia mchi chini, akatwaa
guzi la mnazi), akaweka juu ya mchi. akafanyiza ngamia, akitwaa?)
makumbi ya minazi, yakiweka ndani ya guzi la mnazi, yakiweka juu
ya ule mchi, akipanda juu yake, akiwambia watoto: ,,zungusheni
hili guzi". wakazungusha, ikiwa mfano wa ngamia anayoshindika?)
mafuta.
wakija watu, wakimpa khabari: ,,baba yako “Abdallah anataka
kufa, yu katika laghalagha mauti". majibu yake aliyowajibu wale
watu aliwambia: ,,Abu Nuwasi hushika shughli zake bassi, maana
yake baba kaniusia, “Abdallah, gadi“.
akifa babake, akiletewa khabari ya kama: ,,baba yako amekufa“.
majibu yake alinena: ,,Abu Nuwasi — shughuli yake!" katika
ngamia wake wa mnazi wakamhujuru”) watu, wakanena: ,,huyu ana
wazimu". wakisimama kuzika babake wagati?) wa athuhuri?).
alipojua yule Abu Nuwasi, ya kama watu wamekwenda maga-
burini") kwenda zika, naye akenda meskitini. hamna?) mtu mle
meskitini. akenda gibulani”) akakaa kitako. naye asitoke, akiwa mle
ndani, hatta watu wakaja kusali?) wakasali watu, walakini Abu
Nuwasi yeye hakusali, yeye hutazama shughli zake. hatta walipo-
kwisha kusali watu, wakitoka watu meskitini.
kazalika £) na Abu Nuwasi akitoka, akenda kwa sultani Harun
Alrashidi, akamambia: ,,niozeshe mtoto wako nimbikiri?)". sultani
akauzika sana, akamambia: ,,huna haja ya kunambia") mimi hayo, ya
kama wataka umwoe mwanangu”? kwa sababu najua kama nikikuoza
mtoto wangu, lazima utalala naye, na kama utalala naye, najua, kama
utambikiri, bassi haihitaji”) kunambia, walla sikuozeshi mtoto wangu".
akakataa kumoza mtoto wake.
akazipata khabari waziri wake Jafafari, ya kama Abu Nuwasi
alitaka kuoa mtoto wa mfalme, lakini mfalme amekataa. akaja Ja'afari
kwa mfalme, akamnasihi'?) mfalme akamambia: ,,mwozeshe mtoto wako
Abu Nuwasi, na aliyonena Abu Nuwasi msamehe"). akamwoza kwa
ma'arifa”) aliyomwambia waziri wake Ja'afari.
1) ar. Krankheit. 7?) ohne Besinnung, im Sterben liegen. 9) ar. Tod.
4) herabgefallener Kokosbaumast. 5) akatwaa. 9) neben sindika. 7) ar.
sich trennen von. 9?) ar. Zeit. 7) ar. Mittag. 5?) ar. Begrabnissplatz,
Friedhof. '!) wie pana —-. hapana, kuna — hakuna, muna, mna — hamna.
13) ar. Gebetsrichtung. ?) ar. beten. '?) ar. gleichfalls. '?) bikra ar. Jung-
frau. '$) kuniambia. ') ar. ndthig haben. 9) ar. Rath geben. "ar.
verzeihen. €?) ar. Kenntniss, Wissen, Vermittlung.
IO
alipomwoa yule mwanamke, Abu Nuwasi alikaa siku nyingi
hakulala na mwanamke, kazi yake kula na kulala pekeyake. wakenda
watu wakamsaili Abu Nuwasi: ,,kwa nini weye huyu mwanamke
hulali naye, tukijua kijana ao mke mkubwa?" Abu Nuwasi akanena:
nastahi') mtoto wa sultani kumbikiri".
na wale watu waliposikia maneno ya Abu Nuwasi, wakenda
kwa mfalme, wakampa khabari — ya kama: ,.hii harusi?) imekawia
kustawi), ajili?) ya Abu Nuwasi anamogopa mtoto wako kumbikiri“.
mfalme akatoa amri, Abu Nuwasi akalala naye.
hatta akipata siku arba'in!), akiwa mtu, mke akaona tamu, aka-
tarajji9) kumwatii”) pande mbili. mwanamke akapeleka khabari kwa
babaye, sultani, akam'arifu khabari hizi za Abu Nuwasi. yule babaye
akamwita Abu Nuwasi, akamsaili: ,,khabari ile unayotaka kumfanyiza
mkeo?) ni kweli" Abu Nuwasi khabari ile akagubali. akimambia:
”>mwache mwanangu". akamwacha palepale na babaye palepale.
akamwita mtumwa wake yule Abu Nuwasi, akamambia: ,.lete
punda". akaja punda. akamambia: ,lete na sogi“. akamtandika punda,
akenda katika udongo, akautia udongo kumoja?). watu wakamambia:
”Abu Nuwasi una wazimu? sogi kumoja?"“ akawambia: ,,kutia huko
na huko namwogopa sultani, ma'ana akisikia atanipigia".
wale watu wakenda wakamambia sultani: ,,Abu Nuwasi anatuta
udongo") kuchukua, na sogi anamtia kumoja punda“. yakamwita
sultani Abu Nuwasi, yakamambia: Abu Nuwasi huna 'agili'!), ilikuwaje
kutia udongo upande moja, desturi gani hiyo? umeona wapi ya kupa-
kiwa kumoja?" Abu Nuwasi akamjibu sultani, akamambia: ,,umeni-
kataza mwenyewe zamani, ukanambia ,,haifai“, ukanisiza mke wangu,
na sasa ilikuwaje kunambia nitie huku na huku, nawe unajua kama
haya mambo ni uzani?" sultani akamambia: ,,chukua mkeo“. akim-
rejesha mtoto wake kwa mumewe.
Mw'allim Mbaraka bin Shomari
aus Kondutschi.
1) sich fiirchten. 7?) ar. Hochzeit; harusi neben “arusi. 53) si-
tawi grinen, blihen, hier feiern. “) ar. Grund. 9) Die Zahl arbafin
scheint eine beliebte Zahl der Suaheli zu sein. cf. Mittheilungen aus
dem Seminar Bd. I Heftt III p. i7. Note 2 und p. 44 Note 4; fiir letzteren
Ausdruck ist auch arba'lin mpumbuji gebrauchlich; cf. ferner die folgende
Erzahlung hadithi za Abu Nuwasi p. 11. ?) ar. winschen. 7) ar. zu-
friedenstellen. 9) mke wako. “auf cine Seite. '9) Lehm holen. 1) ar.
Verstand.
II
hadithi za Abu Nuwasi.
Abu Nuwasi alikuwa fasigi!) sana, hatta mkewe Jafafari, yule wa-
ziri wa sultani, alikuwa mwanamke wake. akazipata khabari yule
Ja'afari, waziri wa sultani, ya kama: ,,mkeo anazini na Abu Nuwasi.”
akaenenda Ja“afari kwa sultani, akamambia: ,,na tufanyize hikima?),
magsudi”) tumwue Abu Nuwasi.“ sultani akajibu: ,,huyu Abu Nuwasi ana
“agili sana. tutafanyiza hikima gani, hatta imshinde Abu Nuwasi?“ waziri
akanena: ,,na tufanyize hikima, tuwatake watu gadiri?) ya watu arba'in ?)
waje hapa. na kulla mtu tumpe yayi mojamoja?) atie nguoni mwake, na
khalafu tumwite Abu Nuwasi tumwambie: ,,sisi watu arba'ini, tulio hapa,
kulla mtu na ate?) yayi mojamoja, na Abu Nuwasi asipoweza kuata yayi
yake — auawe.” sultani akagubali. bassi akaitwa yule Abu Nuwasi. ali-
posikia akanena: ,,vema, fanyizeni.“ ikiwa wale wamechutama3$), kulla
mtu akajikwina?). wakitoa yayi kulla mtu; akabagi!?) Abu Nuwasi. ali-
poona watu wale wametoa mayayi, Abu Nuwasi alitwaa mikono yake, aka-
ipiga katika mbavu zake, akajifanyiza jogoo la kuku, akanena: ,,kokoiko."
akaenenda Abu Nuwasi kwa mfalme, akapiga mbavu zake, akanena
vilevile kama jogoo ,,kokoiko“. wale watu wakamambia: ,Jete yayi,
kulla akiambiwa katoa!!) yayi“; yeye hujigeuza jogoo, akawika. khalafu
akaulizwa: ,,nini ma'ana, sisi wote?) tumetoa mayayi, weye shughuli yako
— kokoiko?" akawajibu: ,,ninyi kuku na mimi jogoo, si kazi yangu kuzaa,
walakini mimi huwapa mimba ninyi, ndipo mlipopata kuzaa mayayi. ha-
yamkini?) kuku kuzaa pasipo!?) jogoo na ninyiote!?) kuku, mimindiyo jogoo
wenu; amma nitajieni jogoo wenu, aliyewapanda hatta mkapata mimba,
mkitoa mayayi haya!” wakishindwa wale kwa maneno ya Abu Nuwasi.
wakifanyiza!8) hikima ya pili. yule waziri Ja“afari akamambia
mfalme: ,.tulitwae jiwe tulipasue, tumwite Abu Nuwasi alishone jiwe,
na asipolishona — auawe.” na pale waliponena maneno yale, yule
mkewe waziri Ja'afari yupo, akajua mwanamume wake, Abu Nuwasi,
atauawa. akapeleka khabari kwenda mwambia khabari ile.
hatta asubuhi akitwa!?) Abu Nuwasi, akapawa!?) jiwe limepasuka !?),
wakimambia: ..lishone jiwe lile, na usipolishona — tutakuua.” Abu
Nuwasi akatoa ndogo katika nguo yake, alikuwa cmelifutikaW), akampa
waziri wa mfalme lile jiwe kidogo?!), akamambia: ,,piga uzi, nishone
1) ar. Wolliistling. “) ar. Weisheit, Verstand. 3) ar. Absicht. “) ar.
ungefahr. 9?) cf. vorige Erzihlung Note 5. $) Je ein. 'j)ache. $) Sich
hinhocken. 9) driicken. 9) ar. itibrig bleiben. '!) akatoa. 2) Besser wiire
sisi sote. 3) es ist nicht moglich, yumkini oder yamkini es ist moglich.
14) Ohne (wo nicht ist). 5) ninyi nyote. '$) wakafanyiza. 7) Neben
aketwa von akaitwa. '8) Neben pewa. ?) Statt lililopasuka; die Umge-
hung des Relativs ist haufig. “) amelifutika, “!) Besser dogo.
12
jiwe hili kubwa.” waziri wa mfalme asiweze kupiga uzi, kwa sababu
lile jiwe litakuwaje uzi? akishindwa waziri tenna, ya'ani!) Abu Nuwasi
akasema: ,,mimi sishoni, illa mpige uzi huu." wakamwachia, akenda zake.
na gissa?) cha tatu”): alifanyiza hikima tenna yule waziri pamoja na
mfalme, wakanena: ,,tumwite Abu Nuwasi, tumwambie ajenge nyumba
ya juu kwa juu, na asipoweza kujenga tumwue.”“ wakimwita, wakanena
kama hayo. Abu Nuwasi akanena: ,,vema, ntajenga nyumba juu kwa juu.”
akenda nyumbani kwake, akafanyiza 'agili yake, akatafuta miwalef,
akafanyiza tivyara?) kubwa sana. khalafu akaifunga uzi, akairusha;
ulipovuma upepo, ikenda juu tivyara. akenda nayo, akashika uzi,
akenda hatta kwa mfalme na waziri wake. akiwafika akakaa kitako, aki-
wambia: ,,nimekwisha jenga nyumba ya juu kwa juu, itezameni?), nayo
ni ile juu iko, walakini nyumba ile kazi yake haijesha') yote, nataka
chokaa kidogo na mawe myapeleke juu, wende?) watu wakaweke
chokaa juu, na mimi takwenda?) maliza kazi.“
akatazama mfalme na waziri wake, hapana mtu atakayoweza ku-
panda juu kunako ile tivyara, kwa sababu hapana mti wa kushikia
hatta mtu afike juu. bassi, wakishindwa mfalme na waziri, wasiweze
kumwua.
akenda Abu Nuwasi kwa waziri Ja“afari, akamambia: ,,weye ume-
fanyiza vissa vitatu — magsudi niuawe mimi, na sasa mimi sikuuawa,
na leo mimi tafanviza 7) gissa kimoja — weye utauawa.“ waziri aka-
mambia: ,,mwongo, huwezi kabisa.”
bassi, akatoka Abu Nuwasi katika mji ule mudda miezi minne,
khalafu akarejea mjini. alipokuja akachukua mchezo, na ule mchezo
jina lake desi; walipouona watu, wakiupenda sana mchezo ule. akaji-
fundisha waziri Ja'afari, hatta akajua. akenda akimambia!') sultani —
ya kama: ,,Abu Nuwasi amekuja na mchezo mzuri sana.“ akajifundisha
sultani, hatta akajua.
na vule sultani anayo mtoto wake mwingine yumo nyumbani,
bado hajaolewa; yule mtoto akajifundisha mchezo ule, hatta akaujua.
bassi vule waziri huenda akicheza na mfalme kulla siku, hufung-
wa?) mfalme na waziri. hatta siku moja akenda Abu Nuwasi aka-
mambia mfalme: ,,mwache waziri acheze na binti?) wako, kwa sababu
binti wako anajua sana kucheza mchezo huu.” mfalme akamambia
1) namlich. 7?) ar. Sache. 9?) Diese Erzahlung ist ihnlich der in Dr.
Biittners Anthologie p. 89 No. IV gegcbenen. “) Leichte Palmstangen, die
mcist zu Thiiren yerwandt werden. Jj ar. Papierdrache. 9) tazama und
tezama, bcide gebrauchlich. 7) haijaisha. ") waende. 7) nitakwenda;
ni der 1 pers. beim Futur wird hilufig ausgelassen. ') nitafanyiza. '1) aka-
mambia. '?) Hier in der Bedeutung von ,;jim Spiele schlagen.” 8) ar,
Tochter.
13
waziri wake: ,,nenda kacheze na mtoto wangu.” akenda akacheza na
mtoto wa mfalme, akafungwa yule kijana mabao!) sitta.
akenda Abu Nuwasi kwa yule kijana mwanamke, akamambia:
Umemfunga waziri?” yule kijana akanena: ,,sikumfunga, kanifunga
yeye mabao sitta.“ Abu Nuwasi akamwambia yule kijana: ,,kesho
akija kucheza nawe, usivae ukaya.“ akija?) waziri siku ya pili akicheza
naye, na yule kijana hana ukaya, akifungwa vilevile mabao sitta.
akenda Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: .,umemfunga wa-
zirit” yule kijana kanena: ,,sikumfunga, amenifunga mabao sitta.”
Abu Nuwasi akamambia yule kijana: ,,kesho ukicheza na waziri, vua
barogoa.”)
akija?) waziri siku ya tatu, akacheza na yule kijana, akafungwa
yule kijana mabao sitta. Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: ,,umem-
funga waziri?" akanena: sikumfunga, kanifunga yeye mabao sitta.“
akimambia:?) ,,kesho mkicheza, vaa nguo moja, mawasi9) ya kiswaheli."“
akija?) waziri, akicheza naye yule kijana.) alipomwona nguo:
moja, akamtama'ani.”) akafungwa waziri mabao mawili, na yeye
akimfunga?) yule kijana mwanamke mabao manne. na sababu ya
kufungwa yule waziri, alikuwa macho yake hatazami ule mchezo,
alikuwa akitazama kifua cha mwanamke, yule kijana, ndipo alipo-
fungwa mabao mawili.
akija Abu Nuwasi, akamambia: ,,leo umemfunga waziri?” yule
kijana akanena: ,,nimemfunga mabao mawili, naye amenifunga mabao
manne". Abu Nuwasi akimambia: ,,kesho tafuta ushanga uvae kiunoni
mwako, utafute na ukaya uvae, ndiyo nguo yako, walla usivae nguo
ningine illa ukaya“.
alipokuja waziri kucheza na yule kijana, akamwona amevaa
ukaya, na tunda") zinaonekana. yule waziri alipomwona tunda yule
kijana, hakuwa na '“agili yule waziri, akifungwa mabao sitta yule waziri.
khalafu yule waziri akamtama'ani yule kijana kulala naye. akalala naye,
akiwa mwanamke wake yule mtoto wa sultani.
na yule Abu Nuwasi akatazama khabari ile. hatta alipojua kama
huyu waziri kesha”) lala naye huyu kijana, akenda akimambia baba
yake mfalme — ya kama”): ,,waziri wako anazini na mtoto wako“.
mfalme akamambia: ,,hagiga?) khabari hiyo?" Abu Nuwasi akanena:
1) Der Erzahler hat hier woh| an das Bao-Spiel, ein bei den Suaheli
sehr beliebtes Spiel, gedacht. 7?) akaja. $) ar. Gesichtsschleier. “) akaja.
5) akamambia. $) Wohl aus dem ar. libasi gebildet; Kleid. 7) Die
Vorsetzung des pron. vor das subst. ist in dieser Erzihlung auffallend
hiufig. $) Begehren. ?) akamfunga. 9) Perlschnur. ') Fir amekwisha.
13) In ahnlicher Weise wird die Rede auch oft durch kuwa oder ya kwamba
eingeleitet. 3) ar. Wahrheit.
14
mkweli? akamambia: ,,kama husadigi') — lete wanja;) huu wanja
tampa?) kijakazi, anayotandika kitanda nyumbani mwao, aenende aka-
mwage kitandani. zama za saa sitta u nussu, akesha kula, hana buddif
atataka kulala; na mimi na wewe mfalme tuenende mahali tukajifiche
garibu ya njia, marra tupige ukelele wa moto, hana buddi atatoka; na
ikiwa kweli amelala yeye katika nyumba ya mtoto wako, tutaona “ala-
ma') ya wanja katika nguo yake."
akachukua wanja Abu Nuwasi, akatafuta kijakazi cha nyumbani,
akampa mapesa mangi. akenda akautia kitandani wanja yule kijakazi.
alipokwisha kula waziri sa'a sitta U nussu alikwenda kitandani akalala,
na kanzu yake vilevile, hakuvua.
marra ukapigwa ukelele wa moto wa kimbilia watu. na yule wa-
ziri akatoka kukimbilia moto, hana khabari kana kanzu yake ina wanja.
alipopita pale, walipojificha mfalme na Abu Nuwasi, wakimwona
kanzu yake yote ina wanja. mfalme akajua, hagiga huyu waziri ana-
zini na mtoto wangu. marra akaamrisha watu: ,,kamateni waziri.”
wakimkamata, akifungwa yeye na jama'a?) yake na watoto wake, wa-
kiuawa wote.
Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.
1) ar. glauben. 7?) Schwarzes Schonfirbemittel. 9) nitampa.
War. Ausweg. ”J) ar. Zeichen. 9) Verwandtschaft.
hadithi zingine za Abu Nuwasi.
Siku moja Abu Nuwasi akafukuzwa mjini kwa mambo yake
mabaya. sultani yakamambia!): ,,nenda zako, usikae mjini mwangu,
tafuta inchi ningine, uende ukakae". nyumba yake wakaipiga moto.
bassi, Abu Nuwasi akangojea nyumba yake ikawaka yote, ya-
kenda?) dukani?), yakanunua magunia, yakenda yakazoa maivu ya
nyumba yake, yakaazima na baghala?), chombo kikubwa, wyaka-
pakiwa maivu katika baghala, hatta ikashehen?), yakatweka ya-
kasafiri.
yakapata baharini, yakakutana Wareno) na merkebu sab'a za
fedda, wakamuliza: ,,unakwenda wapi?" yakawambia: ,,nakwenda kwa
') akamambia. 7?) akaenda; in dieser Erzahlung lautet die III pers.
fast immer ya. 7?) Laden. 1) grosses indisches Fahrzeug; der Suaheli
liebt es, wenn er ein Fremdwort gebraucht, die Erkliarung in suaheli, wie
auch hier chombo kikubwa, beizufigen. 9) ar. befrachten. $) Portugiesen;
bezeichnend ist, dass im Folgenden gerade die Portugiesen als die
Dummen hingestellt werden; die Suaheli nennen dieselben auch washenzi
wa Ulaya.
15
sultani.“ wakamambia: ,,unachukua nini?" akawambia: ,,nimechukua
zawadi kwa sultani, tunu kubwa sana.“ wakamambia: ,,tuulize!)“,
akawambia: ,,siuzi, maana nampelekea sultani zawadi?)."” wakambem-
beleza?) sana, wakampa merkebf') moja na shehena”) ya fedda, wenyewe
wakashuka wote. na yule yakawapa jahazi,) wakafungaza) wa-
kenda zao.
na yule Abu Nuwasi yakenda zake pwani hatta mjini kule ali-
kotoka. yakenda kwa sultani, yakamambia: .,,hii merkebu yangu
nataka watu wakatute fedda yangu.“ yakamambia: ,,fedda umepataje?”“
akamambia: ,,nimechukua maivu ya nyumba yangu kwenda kuuza,
watu wanayataka sana.“ sultani yakachoma mji mzima, yakapakia
maivu katika vyombo.
na wale Wareno wakenda kwao wakayafungua magunia, wa-
kayaona maivu, wasema: ,,huyu emetughuli.?) wakafunga vita, ili
kumtafuta baharini na wenzi wake. na sultani emechoma”) nyumba
zake, mji mzima, emetia”) katika majunia!) maivu. emepakia”) jahazi
sab'a, yakapakia na watu wajuao biashara).
wakenda wakakutana Wareno baharini, wakawauliza: ,,mnakwen-
da wapi?" wakawambia: ,,tunakwenda kuza maivu“. wakawambiana:
ndio watu wetu hawa, tunaowatafuta, sasa wapigeni.” wakapigwa
kwa mizinga, wakauawa wengi; wengine wakogelea wakafika hatta
pwani, wakenda wakamambia sultani: ,,siye?) watu wengi tuliokufa,
maana tulipigwa na mizinga tele, hatukutambuana.” sultani ya-
kasema: ,,mtafuteni Abu Nuwasi;“ yakatafutwa, asipatikane.
fedda yake yakamnyanganywa yote, yasimbagie”) hatta pesa
moja; yakawa kazi yake kuokota mafupa, na ngozi yakatafuta. ya-
kapata shehena nzima ya jahazi, yakapakia yakenda zake kusafiri. ya-
kenda yakakutana watu wengine, wakamuliza: .,unachukua nini?” ya-
kasema: ,,nimechukua zizo"); wakasema: .,tuulize". akasema: ,,siuzi,
maana nampelekea sultani, hii tunu kubwa sana.” wakamambia:
tunaitaka siye.” asema: ,labda mnipe fedda nyingi na merkebu
mbili, ndipo ntauza.” wakampa merkebu mbili, yakafungaza mpaka
pwani.
akenda kwa sultani akamambia: ,,nataka watu nikachukue fedda
1) relative Form von uza. ?Jar. zad Reiseproviant, Wegzehrung,
suah. zawadi Geschenke. 53) zureden, liebkosen. $) ar. Schifi. $) ar.
Fracht. $;) Fahrzeug. ') ins Schlepptau nehmen. $?) ametughuli;
gbuli betrigen. 7) amechoma. ') ametia. ') neben gunia. “) ame-
pakia. 5?) ar. Handel, aus befi wa shara Kauf und Verkauf; suah.
bifashara und biushara. 'f) sisi; neben mimi, wewe, sisi, ninyi
haben wir die Formen miye, weye, siye, nyie. ”?) ar. tibrig bleiben.
16) kostbare Felle.
16
yangu." yakamambia: ,fedda hii umcipataje weye?" yakamambia:
mhimeokota mafupa na ngozi, nikachukua nikenda nikauza.“ aka-
mambia sultani: ,,huko mali sana? sababu watu wangu wanaitaka
sana; yakamambia: ,mali tele.” yakachinsha ngombe wake sul-
tani — wote, akasema: ,,nyama kuleni, nataka mafupa na ngozi."
wakachinsha ngombe wote wa sultani, na punda pia wakachin-
shwa. yakanunua magunia, yakatia mafupa; wakapakia katika vyombo
sab'a. yakatoa mwanawe sultani, yakamambia: ,,nenda kauza mali
haya, mafana weye si mjinga wa biashara; na ukenda!) ukaulizwa,
sema: ,,nimechukua mafupa na ngozi."
wale Wareno wakenda wakafungua magunia, wakatazama mafupa
na ngozi. wakafunga vita, wakasema: ,,waliotunyanganya tukawatafute
hatta tuwaone.” wakenda wakakuta baharini hawa watu wa sultani
wakauliza: ,,mmechukua nini?” wakawambia: ,,;tumechukua ngozi;”
wakasema: ,,hawa ndio watu wetu, sasa tuwapige.” wakapigwa,
jahazi wakazitupa, wakogelea, wakafa; wengi, wengine wakajipona,
wakaja mjini. yule mtoto wa sultani yakameleza baba yake mambo
yaliyowapata. wakamtafuta Abu Nuwasi, hatta wakamona,”) wa-
kamfunga na mali wakamnyanganya, wakenda wakamtia shimoni.
na hilo shimo mna simba ndani, wakamtupa ndani gusudi?
yende') yakamle. alipofika chini, yakamambia simba: ,,nimetumwa na
sultani, ili kuja kukukuna.” simba akafurahi”) sana, asema: ,,sultani
ananipenda sana, ma'ana kuniletea mtu kunikuna."
yakakaa siku tele ndani. hatta siku moja wakapita watu njiani
wakasemana; Abu Nuwasi yakajibu ndani, yakasema: ,,ntoeni$9), na
mwenyi kunitoa ntampa?) fedda nyingi.” wale wakafanya tama'a9),
lakini waliogopa sultani.
bassi, wakenda wakamambia sultani — kama: ,,Abu Nuwasi
mzima". yule sultani akaleta watu, walikwenda kumtoa Abu Nuwasi.
wakamtoa wakampeleka kwa sultani. akenda akapata mali tele, akawa
mtu mkubwa.
“Siku moja ikaja ishara?) ya vidole vitano katika mji huu. wa-
kesha wa'allim kutazama, wasijue ishara — moja wapo, Abu Nuwasi
akasema: ,,mimi najua.“ akashuka pwani Abu Nuwasi, yakenda aka-
fanyiza vidole vitano kwa mkono wake, kikazama kile cha tano. hatta
asubuhi akafanza vidole vinne, kikazama kile cha nne. siku ya tatu
akafanza vidole vitatu, kikazama kile cha tatu. siku ya nne akafanza vidole
viwili, na siku ya tano akafanya kidole kimoja, kikazama cha mwisho.
) ukienda. 7?) wakamwona. '9JJar. Absicht. 9) yaende — aende.
o)J ar. sich freuen. 9)nitoeni. 7) nitampa. 6") ar. Verlangen, Sehnsucht.
?Jar. Zeichen, Hinweis. "
17
sultani akamambia: ,,nipe maana.” ,,ma'ana ntakuelezea, lakini
shurti') unipe mali.” yakampa mali sultani. alipompa, yakamambia:
>mweny'ezimgu”) alikuja akauliza: ,,wale watu watano wanapendana
wako?” mimi nikamambia: ,,hatta wanne hakuna“. na siku ya tatu
nikamambia: ,,hakuna hatta watatu“; na siku ya nne nikamambia:
-,-hakuna hatta wawili"; na siku ya tano nikamambia: ,,kulla mtu kwa
shauri lake."
bassi akakaa siku tano tenna katika mji huu, pana ishara ya
bawa?) mjini, na kulla mwenyi koga huchubuka mwenyi mwili mzima?).
sultani akasema: ,,mtu mwenyi koga maji haya ntampa?) upande mzima
wa mji". akatoka maskini akagubali, akasema: ,,mimi ntalala usiku
kucha, walakini shurti unipe khattif) ya mkono wako."
hatta maghribi') akaingia majini, na “askari wanamngojea. na
bibiye?) yakaja mpaka pwani, yakawesha?) moto juu. na mjukuu yuko
katika maji, na mzee analia kumlilia mjukuwe"”); yakalala siku kucha
kule majini. asubuhi yakatoka mzima, yakenda kwa sultani, yaka-
mambia: nimeisha'') toka, nipe haggi”) yangu.” sultani akamambia:
>bibio”?) aliwesha?) moto juu, weye katika maji ukaupata moto, hu-
pati kitu.“
akenda zake huyu maskini, akenda kwa Abu Nuwasi, ili kwenda
kushitaki?) akamambia: ,,sultani emenituma'?) burre majini, na ijara”)
yangu hakunipa.” Abu Nuwasi akasema: ,,nimegubali."
yakanunua michele mingi, akanunua na mbuzi, akamwita sultani
akasema: ,,shamba mna karam”)." yakawaita watu wakubwa waku-
bwa, wakafuatana shamba na sultani pamoja. akenda akachinsha mbuzi,
na michele ikapimwa, wakatia katika vyungu; wakaweka hapa moto
hapa chungu — mbalimbali.
mpaka saa sitta sultani anahimiza, akasema: ,,upesi upesi, njaa
inauma.” Abu Nuwasi yakamambia: ,,bwana”?), watu wanapika.“
akamambia: ,,nimesikia chungu na moto mbalimbali, ni kweli?” aka-
mambia: ,,ni kweli bwana.“ akasema: jissi gani”) hivi, mwenyi ku-
J) ar. Bedingung. 7) mwenyi 'ezi muungu. 95) plestzlich auf-
tretende Krankheit. “) der folgende Theil dieser Erzihlung hat einige
Aehnlichkeit mit der in Dr. Biittners Anthologie p. go No. V gegebenen.
5) nitampa. “$) ar. Schriftstiick. 7) ar. Sonnenuntergang, im suah. ist
matueo ya jua oder machweo ya jua gebriuchlich. 9?) bibi yake. 7?) aka-
washa. 7) mjukuu wake. ') neben nimekwisha. 7?) ar. Recht, Forderung.
13) bibi vyako. ') aliwasha. 5?) ar. klagen. '$) amenituma. ) neben
ujira ar. Lohn. 5) ar. festliche Bewirthung. ?) meist hort man bana
sagen. “?) neben gissi gani und ginsi gani — wie kommt das?
Velten, Suaheli-Mirchen. j 2
18
pika — moto chini chungu juu, leo umepika mbalimbali?” sultani
akakasirika sana, wakagombana.
khatima!) sultani akauliza: ,,kwa nini hivi? akasema: ,,mimi nna
ma'ana, nikafanyiza hivo — huyu maskini umemnyanganya haagi
yake; umeona wapi ya mtu aliyokuwa katika maji, hatta moto ulio
juu pwani ukampata? kana?) umempata, mbona chungu hakiwia:?
sasa mpe haggi yake.“ sultani akagubali, akasema: ,,;inshallah, ntampa
haagi yake."
bassi wakenda mjini, yakenda yakampa haggi yake. bassi ndipo
ilipokwishia hadithi ya Abu Nuwasi.
Muhemedi bin Diwani Tambaza
aus Klein-Bagamoyo.
1) ar. schliiesslich. 7?) neben kama.
hadithi ya Abu Nuwasi.
Abu Nuwasi alikuwa na njaa sana, sababu njaa tele katika inchi
hii. akatoka akenda kwa rafigi yake kumtazama. na yule rafigi ana
chakula. aliposikia, Abu Nuwasi anakuja, akaficha chakula katika kiti,
akaweka na nguo juu.
wakamgaribisha ndani. Abu Nuwasi akenda kukaa katika kiti cha
pili cha garibu na chakula. akawambia hadithi za vita za kupijana'),
akawambia: ,,siku moja tulikuwa tukapijana na watu, nikamkuta moja
akatangulia kunipija, nikaanguka. nikaondoka kidogo, nikakimbia kidogo,
nikarudi nikaja nikampijia na miye”); yule mtu naye akaanguka. kha-
lafu nikampija marra ya pili, akaanguka. nikachukua mfuko wake,
nikakimbia nao. nikaona njaa sana nilipokwenda, marra nikapija chini
hivi — nikakuta chakula, ndio kama hiki hiki kitini vilevile."
ba'ada ya haya wakala sawasawa.
. ..... “Abdallah bin Musa.
1) pigana. 7) mimi.
hadithi ya Koodini.
Palikuwa mtu jina lake Koodini, wengine wakamwita Abu Nuwasi.
kazi yote anajua, “agili nyingi sana. ikakokuwa'!) sulutani?) — hamtaki;
amefanyiza taratibu?) zote yamwuef), lakini hampati, sababu hana sababu.
siku moja sulutani akaweta?) watu, na yule Koodini na mtoto
wake. wakachukua mti, wakautia katika chumba chenyi kiza). sulutani
1) besser wire ikawako. 7“) sultani, 9) ar. Ordnung, hier im Sinne
von List gebraucht. $) amwue. 9) akawaita. 9) neben giza.
19
akamzmbia Koodini: ,,nenda ndani uchukue rissi'), upije”?) huu mti
marra tatu, lakini pahali pamoja; na kama umefanyiza darba?) mbili —
utakufa.”
Koodini akenda ndani, akawambia: ,,mmesikia?" wakasema: ,,tume-
sikia”. yakachukua rissi, akapija kwa nyuma, na marra ya pili akapija
vilevile, marra ya tatu akapija kwa uso, akawacha akatoka. akawambia:
nendeni ndani mkatazame". wakenda ndani watazame; wakakuta
darba moja tu.
wakatoka. sulutani akamambia: ,,sasa na aende mtoto wako".
mtoto wake akenda, babakc akamambia: ,,kwa herif), na nyuma yake
ntakuifundisha". na yule mtoto akajua, yule babake”) amamfundisha.
yule mtoto naye akenda ndani, akapija kwa nyuma marra mbili,
marra ya tatu akapija kwa uso, akatoka. sulutani alipoona hii aka-
sta'ajjabu?), na watu wote pia. wakamwacha yeye na babake.
“Abdallah bin Musa.
1) Art. >) upige. J)ar. Schlag. “)seltener hdrt man kwa kheri,
ar. kheir, das Gute, gut, wahrend kheri, Gliick, alleinstehend haufiger ist
als heri. 9?) baba yake; auch babaye. 9) ar. sich wundern.
Sultani na Abu Nuwasi.
Paliondokea sultani, milki') na inti”) zake nyingi sana, na “askari?)
wake wengi sana, kulla namna?) anazo. naye sultani amezaa watoto
wake wawili, wote waanawake, mmoja ameolewa na mmoja bado.
akatoka Abu Nuwasi, akanena na watu, akasema: ,,;takwenda?)
mposa mtoto wa sultani“. watu wakimkataza, akanena: ,,sisikii maneno
yenu”. wakimwuliza wale watu: ,,utakwenda nafsi?) yako ao utapeleka
mtu ao barua?" akanena: ,takwenda”) nafsi yangu".
akimngojea siku ya baraza. watu wamejaa tele. akamgabili?) sul-
tani, akasema: ,,sultani, nimekuja kwako, nataka unioze mtoto wako,
nilale naye". alipokwisha sema vile, sultani akafanya ghadabu?) sana,
akiamru “askari akauawe Abu Nuwasi. marra moja Abu Nuwasi aliruka,
akianguka katika ) miguuni mwa waziri wa sultani, gasidi ') amwombee
apate salaama. sultani akanena: ,,Jhuyu amenitukana sana, walakini
ba'ada mmetaka samahani”) nyingi, mawaziri zangu, nimemsamehe,
ar. Macht, Herrschaft. ?)fiir inchi. $) ar. Heer, Soldat. far.
Art. ?) das Fiirwort ni wird beim Futur hiaufig weggelassen. 9) ar. Seele.
7) nitakwenda. $) ar. sich nihern. 9) ar. Zorn. 9) katika wire durch das
angehingte ni in miguuni tiberfliissig. '!) ar. Absicht, Vorhaben. 7?) Ver-
zeihung.
0”
20
lakini nataka yatoke') katika milki yangu, asikae". akatolewa katika
mji, akienenda?) nti?) nyingine.
ikitokea shani?) katika mji wa sultani. kwa baadi?) za baharini
kiko kitu hutoa mikono miwili ndani ya maji, kikitoa?) vidole kumi,
kikawaonyesha walio katika mji. wakata'ajjabu?) watu wote, waka-
peleka khabari kwa sultani, wakamwambia: ,,pwani iko ishara?) ya
kitu, kinatoa vidole kumi ndani ya bahari“. akienenda sultani, akita-
zama akiona kweli. wakitakwa wa'allimu, wanaotazamia kulla ishara,
wasitoe fasili?) yake; ikiwashinda waganga wote.
akatokea “askari mmoja, akanena kwa sultani, akamwambia: ,,kama
angalikuwapo Abu Nuwasi katika inti?) yako, angaliitambua ishara
ile“,. ,,marra"“, sultani akamwambia waziri wake, ,,pelekeni khabari,
akatwe Abu Nuwasi, arejec katika mji, aje atuambie mambo haya,
atupe fasili yake". akapelekewa khabari Abu Nuwasi kuitwa. akaleta
majibu, akanena: ,,siwezi kuja, sababu roho yangu ina khofu, labuda
sultani anita'") kunikhada'a?) — ataniua". ikipelekwa majibu ya sa-
hihi?) — ya kwamba ,,huna dara"), ni kuja ?)“.
akaja Abu Nuwasi, hatta akifikia kwa sultani. sultani akimpa
khabari. akinena: ,,nimesikia, lakini iwapo mimi nimetambua ishara yake
kile kitu, tapewa'9) nini ahsante) yangu?” sultani akanena: ,,takuoza
yule mtoto wangu, uliyomtaka auwali“. akanena: ,,vema, sultani, ni-
megubali, nipelekani”) pwani hatezame ?)“. .
wakampeleka pwani, akatazama, akiona kitu kimetoa vidole kumi.
na yule Abu Nuwasi akatoa vidole tiss'a, kile kitu kikarejesha mikono
yake, khalafu kikatoa vidole vinane. Abu Nuwasi akamtolea vidole
sab'a— kikatoa vidole sitta. akatoa vitano — kikatoa vinne, akatoa vitatu —
kikatoa viwili. Abu Nuwasi akatoa kimoja, khalafu kile kitu kikaondoka.
wakarejea katika mji. sultani akamwuliza: ,,Abu Nuwasi, nipe
khabari, nini ishara yake”)? akanena: ,ishara yake — amekuja uliza,
anena: ,iko siri?!) ya watu kumi?" mimi hamjibu”): ,,haiko hatta ya
watu tissa.” akanena: .,,hatta wanane?" hamwambia: ,,hatta sab'a.”
akanena: ,,hatta sitta?" hamwambia: ,,hatta watano.“ akanena: ,,hatta
wanne?" hamwambia: ,,hatta watatu.“ akanena: ,,hatta wawili?" ham-
ambia: ,,hatta moja;“ akenda zake. hio ndio ishara iliyokujia.
) atoke. 7?) akenda. 3) inchi, f) ar. Sache. 3) ar. Theil.
6) kikatoa. 7) ar. V. Form, erstaunen. $) ar. Hinweis. 9) ar. er-
klaren, auslegen. 9) inchi. '!) fiir anijita, ?) ar. betrigen, hintergehen.
3) ar. wahr. 1) ar. Schaden, Ungliick. 5?) wortlich ,,du bist zu kommen“,
gebrauchlicher ware njoo. '9) nitapewa. 7) Dank. '?) neben pelekeni.
19) fiir nikatazame. “) zu erganzen ist ma'ana. "!) ar. Geheimniss. 7) fiir
nikamjibu.
21
akasadigi') sultani; akafanya “arusi 7), iliyo kubwa sana, ya mtoto
wake na Abu Nuwasi. akikaa katika nyumba Abu Nuwasi siku nyingi,
asilale naye mwanamke, walla asikae naye mahala pamoja. ikapelekwa
khabari kwa sultani, akiambiwa: ,,yule mume, uliyomwoza mwanao,
hawakai pamoja.“ sultani akanena: ,,mwiteni, aje.“
akaitwa, akenenda akamwambia: ,,sababu nini, mimi nimekuoza
mke, sababu nini hulali naye, walla hamkai mahala pamoja?” akajibu
Abu Nuwasi, akanena: ,,nataka amri kwako, sababu nnaogopa.” akanena:
“himekuamru."
akenenda Abu Nuwasi nyumbani kwake, akalala na mkewe, h'a-
rusi ikasitawi, akapawa na nussu ya mji na watu wake. akastarehe na
mke wake, akiwa mtu maarufu?) kwa sultani, sababu ya maana,
aliyoitoa mbele ya sultani, fasili ya kile kitu kilichotoa vidole kumi.
Abu Nuwasi akawajibu maneno yaliyo sawasawa: ,.siri hakuna
ya watu kumi, hatta mtu mmoja; ajapokuwa mtu pekeyake, akiona
jawabu?) la siri, hapana buddi?) atapata rafigi?) yake, atamwambia na
rafigi yake, naye anaye rafigi yake mwingine, atamkhubiri”), ndipo
linapotoka nje, watu wote wakijua khabari.
Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi.
Yar. glauben. 7) “arusi neben harusi. 39) ar. angesehen. “f) ar.
Antwort. ') ar. Ausweg. $) ar. Freund. ') benachrichtigen.
Muhemedi na washitaki wake.
Alikuwako sultani tajiri!) sana, yakazaa waanawe?) wawili, mmoja
manamke na mmoja manamme.3) baba yao yakifaf), yakibagi?) yeye
na ndugu yake. manamme yakaoa, yakazaa mtoto mmoja manamme,
na manamke akaolewa, yakazaa mtoto mmoja manamme.
bassi — wakalewa watoto hao hatta wakakua. wakawambia
wazee wao: ,.tuozeni wake, ma'ana tumekuwa wakubwa.” wakaoza
wake, kulla mtu na mkewe.
hatta siku hiyo wakenda sogonif), wakenda wakakutana mbuzi
wawili, wanauzwa kwa rupia 'asherini. wakanunua, sababu siku kuu
garibu. yakamambia: ,,mwenzangu'), tungoje siku kuu tuchinshe.“ huyu
akamambia: ,,vema.”
hatta siku kuu ikafika, yule mmoja yakachinsha mbuzi wake,
yakampelekea kichwa, yakamambia: ,,nnakupa kichwa cha mbuzi wangu,
nawe unipe chako;" yakagubali. wakala nyama yao. ikesha naye
1) ar. reich, Kaufmann. 7?) waana wake. 3) mwanamume. 1 akafa.
5) ar. tibrigbleiben. $) sogo ar. Markt. 7) mwenzi wangu.
22
mwingine yakachinsha mbuzi wake, yakampelekea mwenziwe kichwa.
akamambia: ,,sigubali mimi, nilikupa kichwa cha mbuzi wangu na
weye unipe chako; leo unanipaje!) kichwa cha mbuzi, nasi?) hatukua-
gana! shurti nataka kichwa chako!"
yule akafanza dihaka?) ya maneno aliyosikia. yule mwingine
emeshikaf), asema: ,,shurti unipe kichwa chako, ma'ana ndipo tulivoa-
gana”). wakenda kwa baba zao, wakaamua$) maneno, wasiyaweze.
wakawambia: ,,nendeni kwa sultani “Ediri?).“
wakaondoka watu wengi mpaka njiani. yule. ened'awiwas),
Muhemedi, njaa inamuma sana. wote huwa mbele — watu, yeye akakaa
nyuma kwa huzuni?) kumwingia, kwa oga!V) kufa.
hatta wakapata mji mwingine yakapita kuomba maji. akamkuta
kizee!!) kimoja huanika. jua likampata sana, yakenda yakataka maji.
yakaambiwa: ,,maji, kwetu ta“abu??), waanawake wametoka toka asubuhi,
ili kwenda kutafuta maji, hawajarudi; walakini upo mnazi barazani,
panda uende juu, ukaangue madafu, upate maji unywe.” yakapanda
Muhemedi mpaka juu, akenda akaangua madafu. marra yakaanguka,
yakamfikia kizee; yakafa yule kizee.
mwanawe, alipoona mamake amekufa, yakamshika: ,,umeniulia
mama yangu, ntakwenda kwa sultani, cnde!?) akatuhokumu.“ waka-
fuata njia moja, hatta wakafika mji mwingine.
garibu na mji Muhemedi yakamkamata kanga yakamchinsha.
yakenda katika nyumba ya hakim/), yakaomba moto. akaokota na
kuni, akazunguka nyuma, yakachoma ndege wake; harufu) ikanuka
nyumbani. na yule mke wa hakim ana mimba. aliposikia harufu ya
nyama ile — yakaharibu.
yakaja, yakaambiwa hakim, kama alikuja Muhemedi, yakapaa
moto!$), akazunguka nyuma, yakenda yakachoma nyama yake, bibi aka-
sikia harufu, yakaharibu. hakim akakasirika sana, yakamkamata
Muhemedi, akasema: ,,na twende kwa sultani, yaende yakahokumu,
maana kanitolea!?) mimba ya mke wangu."
wakafuatana wengi, wakenda kwa sultani Ndozi, ili kwenda
hokumiwa. walipokwenda njiani, wakasema wengine: ,,pataneni, huyo
si amri yake, amri ya njaa.” hakim asigubali. tenna Muhemedi
1) angehiangtes je— wie, was. 7?) na sisi. 9) ar. Spott. 1) ameshika.
3) tulivyoagana. $) richten, Streit schlichten. 7) Gerechtigkeit. $) anayed'awiwa
ar. d'ai beanspruchen. 9) ar. Traurigkeit. 19) neben ogopa. 11) unter kizee ist
eine alte Frau, Zauberin zu verstehen. 12) ar. Ermidung, Beschwerde.
15) aende, 14) Herrscher, Richter. 19) ar. “arf Geruch. 18) paa moto
heisst sich in einem Hause brennende Kohlen holen, um Feuer machen
zu konnen. 17) ukanitolea.
23
asema: ,,nataka rukhsa sasa kwenda kwa sultani “Ediri, sababu ya
khabari ningine, ma'ana hokum yake nzun.“
marra yakaja yule mwenyi mbuzi, yakashitaki: ,billahi!) wa
billahi, namshitaki Muhemedi, tumeagana mimi naye, ,,nakupa
kichwa cha mbuzi wangu na weye unipe chako; leo anakataa,
kwa sababu gani? na siye?) tumeisha?) agana, sasa nataka kichwa
chake.“ sultani akamambia: ,haifaa kumua nduguyo), pataneni.“
akakataa.
akaja yule mtu mwenyi mamie”), aliyokufa, yule mzee. yakaja
yakashitaki. sultani Ndozi yakaamua yale maneno, yakamambia: ,,uta-
pewa reale mia, maana hakumgusudiab?) kumua billa nguvu za
muungu.” wyakakataa.
wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri. akenda akashitaki mwenyi
mbuzi: ,billahi wa billahi, namshitaki Muhemedi, nilimpa kichwa cha
mbuzi wangu, nikamambia ,,unipe chako“, yakagubali. khalafu chake
hataki kunipa. akachinsha mbuzi wake, akaniletea kichwa; na sisi
“ahadi?) yetu — kichwa chake.“
sultani akamuliza: ,,maneno, anayosema mwenzio3), kweli?“
akamambia: ,kweli, bana.” wakaitwa 'askari, sultani akawambia:
mshikeni Muhemedi.” wakamshika, wakatoka naye ugani”); yakatoa
kisu yule mwenziwe. sultani akamambia: ,,mchinshe, uchukue kichwa
chake — angalia umwachie roho!?) yake.” akamambia: ,,siwezi, nikim-
kata kichwa, atakufa.” akamuliza Muhemedi: ,,ulimpa roho, ao ulimpa
kichwa?" akasema: ,,nilimpa kichwa.” ,,bassi, chukua kichwa chake,
umpe roho yake.” akamambia: ,siwezi.” akamambia: ,,utaweza,
ma'ana sikunyanganyi haggi!!) yako, mchukue kichwa chake, umwachie
roho yake, tenna kwa upesi, walla usikawie, ma'ana nasumbuka kusi-
mama, nnakusaburisha?) weye, chukua upesi, uangalie roho yake."
vule akalia, akamambia: ,,bwana, nimetubu!?) maneno yangu, hatta
siku ya pili nitakapo haya maneno — nichinshe." akamambia: ,,bassi,
rukhsa, ende!?) zako."
yakagabiri!3) yule mwenyi mama yake, aliomua katika mnazi,
yakaja yakashitaki: ,,huyu Muhemedi kaniulia!$) mama yangu.” sul-
tani yakamambia: ,,alimuaje?“ akamambia: ,,alipita pangu ya kutaka
maji, nikaambia ,.maji hapana, walakini uko mnazi, panda juu kaangua
madafu." na mama yangu yakakaa chini ya mnazi. yakenda yakuangua
1) bei Gott. 7?) sisi. 39) tumekwisha ist gebrauchlicher. 4) ndugu
yako. 9) mama yake. 9) ar. beabsichtigen. Tjar. Versprechen. $) mwenzi
wako. 9) offener Platz. 10) ar Seele. 11) ar. Recht, Forderung. 72) ar.
sich gedulden. Endung sha ist suah. causativ-Endung. 3) ar. sich
bessern, bekebren. 14) nenda. DP) ar. sich nahern. 168) akaniulia.
24
dafu, marra yakaanguka mwenyewe, yakamfikia mamangu!) — yakafa;
na sasa nataka uniamue."
yakamwuliza: ,,mnazi unapatajer“ akasema: mnazi mkubwa
sana.” ,uwongo, si mkubwa — mdogo.” akamuliza tenna: ,,unapa-
taje mnazi huu!" akamambia: ,,mnazi mrefu sana.“ yakamambia:
twende, ukanionyeshe mfano wake.”
akenda akamwonyesha mnazi. yakapawa kisu mkononi, aka-
mambia: ,,panda juu ya mnazi, uende ukaanguc nazi, na huyu atalala
hapa chini ya mnazi, uende ukaangukce juu, umfikie huvu; emekufa?)
— bassi, la — umckufa weye — bassi.“ yakamambia: ,,siwezi, bana,
bokumu hiyo.“ yakamuliza: ,,alimpiga fimbo” yakasema: ,,hakum-
piga;“ ,,alimchinsha na kisu?" yakanena: ,,hakumchinsha"; alimpiga
risasi?” yakasema: ,,hakumpiga.” alipataje hatta yakamua?“ asema:
alipanda juu ya mnazi, akamangukia, akafa; ,na weye panda juu
ya mnazi, na mnazi huu ndio mfano aliopanda yeye." akamambia:
>Siwezi bana.” akamambia: ,,utaweza, ma'ana mwenyi kuua — naye
huuliwa, na mwenyi kupiga — naye hupigwa, ma'ana huyu kaua —
nawe panda juu umwuc.”
na mnazi huu mrefu, kama alivosema”), yaogopa kupanda. ya-
kitoka juu hatta chini — atakufa, yakampata — atakufa, na yakamkosa
— atakufa! akamambia: ,,bwana, nimetubu maneno yangu, walla sina
da“awaf) naye, na unasikia ntamshitaki, nifunge utakapo mwenyewe,
na mimi ni radi”), nimemsamche?) mambo aliyonifanyizia.“
yakagabili mwingine, huyu wa tatu, aliyotolewa mimba mkewe”.
akashitaki, akimambia: ,,huyu kanitolea?) mimba mke wangu.“ akau-
liza: ,,kaitoaje?) mimba hiyo?" asema: ,alikuja na ndege wake mpaka
mjini, akataka moto nyumbani kwangu. yakapewa moto, yakazunguka
nyuma, yakachoma ndege wake; na yule ndege emenonal?), bassi
akasikia h'arufu mke wangu, mimba — ikatoka; sasa nataka mimba
yangu.“ yakaulizwa yule Muhemedi, yakaambiwa: ,,weye mbaya sana,
kulla mtu anakushitaki weye kwa ubaya wako.“ sultani akasema:
”mimi ntayaamua hava maneno."
akamwita mwenyi mkewe, akamambia: ,.tafuta nyumba kubwa,
utie vyakula vingi, utie na kuni na vibiriti!!) vingi, na nyama nyingi
na samli nyingi, na huvu Muhemedi pamoja na mkewe; ufunge
mwango, ufunguo uchukue mwenyewe muhulla?) wa miezi sitta,
1) mama vyangu. ?) amekufa. 653) alivyosema. 9) ar. Klage,
Prozess. ?jar. zufrieden. 69) ar. verzeihen. 7) mimba ya mkewe. 8) aka-
nitolea. ") akaitoaje. 10) amenona. !!) kibiriti ar. Schwefel; plur. sollte
also auch kibiriti lauten; so bildet der Suaheli auch yon ar. gissa den
plur. vissa. 12) ar. Frist.
25
atatia mimba.” yule asigubali, akamambia: ,,siwezi, bana. aka-
mambia: ,,bassi, pataneni weye naye.” yakamsamehc; ndipo ilivopita!)
hokumu. |
wakaondoka wote pia, kulla mtu yakajuta. mwenyi mamaye
yakajuta, ,,kheri ningalipokea fedda pale kwanza;“ na yule mwenyi
kutaka kichwa yakajuta, na yule mwenyi mkewe yakajuta.
sultani yakatoa “askari, wakampeleka hatta kwao yule Muhemedi,
wakamgabidi?) mama yake na baba yake, wakawambia: ,,mwanenu3)
emewasiri?). bassi ndipo ilipokwishia. Muhemedi bin Diwani Tambaza
“ aus Klein-Bagamoyo.
1) ilivyopita. 2?) ar. in Empfang nehmen. 3) mwana wenu;
seltene Zusammenziehung. 7) amewasili,
Usishike shauri la mwanamke.
Alitokea mfalme, akanena: ,,shauri la mwanamke asishike mtu“.
akitokea mtu na mkewe, anakwenda tembea. wakapata mahala pana
mitende mingi. akapanda juu manamme, juu ya mtende kungoa tende,
apate kula yeye na mkewe.
alipopanda juu, akashika kuti kavu. yule mwanamke chini aka-
mwambia mumewe: ,,uache kuti kavu, ushike kuti bichi, kwa sababu
hilo kuti kavu halina nguvu“. yule mwanamume akawaza akanena,
sultani amesema ,,msisikilize mashauri ya waanawake.” akashika kuti
kavu, ili kukataa shauri ya mwanamke, akaanguka chini akazimia!).
khalafu yule mwanamke alipomwona yule mumewe amezimia,
akalia mwanamke. marra wakija wenyewe wenyi mitende yao, waki-
mwuliza?) mwanamke: .,,unalilia nini?" akanena: ,,nalilia mume wangu,
amekufa. alipanda juu ya mtende, akashika kuti kavu, hamwambia?)
vShika kuti bichi,“ asigubali, akaanguka, akifa?), na sasa nalilia mume
wangu.”
wale wakamwambia: ,,kama alishika kuti bichi mumeo?), naye
akiwa mzima, tungalimpiga mikuki akafa, walakini sasa haiduru?). wa-
kamchukua mwanamke.
hatta asubuhi yule mumewe ikarejea roho?) yake, akatazama
mkewe amechukuliwa, akanena; ,,kama ningalishika kuti bichi, hafu-
ata$) maneno ya mke wangu, wangaliniua.“
Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.
1) das Bewusstsein verlieren. 7?) wakamwuliza. 5) nikamwambia.
4) akafa. 9) mume wako. 9$j)ar. schaden. “Jj ar. Seele. $) nikafuata,
Mtoto mtundu!) lazima kumrudi?).
Alikuwako mtu mmoja, ana mali mengi, lakini anataka mtoto,
hajapata. akaweka naziri”): ,,nipatapo mtoto, gadrif) atakalofanyiza?)
— simrudi."
akapata mtoto, akamlea, hatta akiwa mkubwa. alipokuwa mku-
bwa, yule mtoto hufanyiza utundu, hana heshima?), haogopi watu;
kulla mtu akamwona — humtekenya?).
wakenda watu, wakimwambia babaye) — ya kama: ,,huyu mtoto
mtundu, hana heshima, kulla mtu anayemwona humtekenya.“ na yule
baba yake hamrudi mtoto wake, kwa sababu ile naziri, aliyoweka auwali.
siku moja akamtekenya mtu, akastuka?) yule aliyotekenywa!,
ana kisu mkononi, akampiga nacho, akamwua akafa.
alipokufa, watu waliobagi mjini, wakimwambia baba yake — ya
kama: ,,mwanao amekufa kwa sababu ya utundu; nawe hukuweza
kumrudi mtoto wako? kulla tukinena nawe husikii, na sasa mtoto wako
amekufa, hapana da“awa!J).? akashukuru !?) muungu.
hadithi hii hadithi ya mtu mwenyi mtoto mdogo, akifanyiza
utundu, wajibu 3) kumrudi.
Mw'allim Mbaraka bin Shomari
aus Kondutschi.
1) unartig. 2) rudi hat die Bedeutung zuriickkehren, dann zurecht-
weisen, bestrafen. 59) ar. Geliibde. f) ar. ungefihr. 9) lo auf neno be-
ziglich. 9) ar. Respekt. 7) kitzeln. $) baba yake. 9) auffahrer, erschreckt
werden. 10) das relat. yo fiir ye der I, Klasse ist sehr hiufig. 11) ar.
Prozess, Klege. 72) ar. danken. 13) ar. Pfiicht.
Mwarallimu'!) mwenyi 'agili?).
Alitokea mw'allim mmoja wa kizungu, aliyejua kusoma sana;
vamcekuja?; kutoka Ulaya?). akauliza mw'allim: ,,nani anayojua kuso-
ma” akaambiwa: ,,watu wengi wanajua.” akasema: ,toka niliposoma
mimi, sikuona mw'allim ajuave kusoma kama mimi.“ wakamwambia:
utele hapa, wapo hao wafallim.“ , twendeni mnipeleke;" wakimpeleka.
kulla mw'allim humwuliza: ,,kitamu nini?" wale wafallim hum-
jibu, wakasema: ,tamu roho?) na 'afyaf) na bakhati?) na mali na uzima
na kesho kuingia peponi.” vule mw'iallim wa kizungu akawambia:
bado hamjanambia kweli.” wakasema: ,,kwa nini?" ,hamkijui kitu
kilicho kitamu nyie58;.“
Ii) ar. Lehrer. 2?) ar. Verstand. 53) amekuja. 1) ar. Bezirk, Provinz.
Dcr Suahceli versteht unter Ulaya Europa resp. Deutschland und in zweiter
Linie ,,Heimath“ iiberhaupt. ?) ar. Scele. $) ar, Gesundheit. 7) ar. Gliick.
$ . .
) NINYI.
27
akamwona mw'allim mmoja, emekaa!) kitako barazani pake, eme-
shika?) kitabu anasoma. yule mw'allim wa kizungu akamjongelea
garibu yake, na yule mw'allim yasimtazame, yameshika kitabu chake,
emejinamia?), anasoma. akamwambia mw'allim: ,,kitamu nini?“ yule
mw'allim wa kiswaheli akamjibu, akamwambia: ,,kitamu — wali.“
akatoka akenda zake hatta kwao Ulaya; akakaa miaka 'asherin,.
akiwa mtu mzima. khalafu alipokuja zake kwa yeye), yule mw'allim
wa kiswaheli, akamwambia: ,,mw'allim, kwa nini?" akamwambia:
kwa nyama.” akampa mkono, akamwambia: ,,weye mw'allim mku-
bwa, hapana mwingine tenna." Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) amekaa. 7?) ameshika. 3) amejiinamia. 4) besser kwake.
Mashindana)).
walishindana watu wawili kwa shuruti?) yule mtu mmoja aka-
nena: ,,hapana mtu anaweza mtezo?) wa watoto.” yule mwenzi wake
akanena: ,,mimi naweza.” wakafanya mashindana, akamwambia: ,,uwe-
zapo mtezo wa watoto, ntakupa reale mia.” naye akanena: ,,kama
sikuweza takupa?) reale mia. j
akenenda katika mtezo wa watoto, akateza?) nao kulla namna.
khalafu alipoona watoto wakavua nguo zao — wote, wakenenda tupu,
veye asiweze kuvua nguo, ajili9) yeye mtu mzima. akashindwa, akatoa
rcale mia.
Mubhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) Wette. 2?) ar. Bedingung. 3) mchezo, 1) nitakupa. 9) akacheza.
6) ar. Grund; gebrauchlicher ist sababu, kwa sababu als ajili, kwa ajili.
Dijoni na Tarafu.
Palikuwa mjini watu wawili, wana 'agili sana. mmoja jina lake
Dijoni, na mwingine Tarafu. ikakuwa!) pale sulutani?) moja; yule
Tarafu akakuwa3) katika rafigif) zake.
yule sulutani alifanyiza shauri kumkamata yule Dijoni. akenda
akafanyiza karamu kubwa sana. na yule rafigi yake Tarafu, alipopata
khabari, ya kama sulutani alitaka kumfukuza Dijoni, akachukua mchele
kidogo na nyama kidogo, chakula chote chilikuwa?) katika karamu
1) besser ikawa. 7) sultani. 5) akawa. 41) ar. Freund. 9) kilikuwa.
28
amechukua kidogo kidogo kwa yule rafigi yake. akafanyiza paketi!)
kidogo?), akampa mtu kupeleka kwa Dijoni.
na yule Dijoni khalafu akaja nyumbani kwake usiku, akakuta
ile paketi kidogo, akafungua. alipoona vitu vidogo hivi vyote, aka-
tambua maana?) yake, yaani?) — sulutani alitaka kumkamata.
aka“azimu”?) kuondoka usiku na vitu vyake na mke wake na
mama yake. akachukua tenna mbuzi wawili na ngombe wawili, aka-
wafunga mlangoni kwake nje. walikuwa wanalia sana, yule Dijoni
akathanni$), ,,sasa wanakuja kunikamata“, yakakimbia, na vitu vyake
na mke wake na mama zake na mbuzi na ngombe vyote?) akawacha
palepale nyuma.
siku ya pili watu wa sulutani wakenda nyumbani pake kumka-
mata, wakamkuta hayupo, amekimbia.
ikapata mwaka mwingine, yule sulutani akafanyiza shauri, alitaka
kufanyiza suluhu?) na yule Dijoni. akatuma watu — ya kuwa; ,,sitaki
ugomvi na wewe sasa, urejee papa hapa mjini.” na yeye akasema:
Ndio, ntakuja;“ lakini yeye hakuja.
yule sulutani akafanyiza watu kwenda mchukua, yakamambia
yule Tarafu: ,,nenda, ukamlete Dijoni.” yule Tarafu akasema: ,,mimi
sitaki kwenda, kwa sababu nikenda ntasema, labda nimesema na yeye.”
khalafu yule sulutani kamambia: ,,nenda, kwa sababu weye rafigi yake,
ukenda weve — atakuja.”
Taratu akafanviza safari?), akafika kwake. walipokutana, Tarafu
akashika upanga wake, akamambia rafigi yake: ,,nimetumwa na sulutani
kuja kukuchukua.” Tarafu aliposema maneno haya, akafanya “alama!9).
na upanga wake, Dijoni akajua — akamambia: ,,ngoja kidogo, nakuja,
navaa nguo zangu kwanza.” marra akakimbia, sababu ametambua
katika “alama — sulutani alitaka kumchinsha.
“Abdallah bin Musa.
1) das deutsche Wort Packet. 7?) besser ndogo. 3) ar. Bedeutung.
4) nimlich. 9) ar. sich entschliessen. 69) ar. glauben, meinen. 7) zu er-
ganzen vitu. 83) ar. Frieden. 9) ar. Reise. 19) ar, Zeichen.
Mfalme na waziri wake.
Alitokea mfalme katika inchi yake; na waziri wake mmoja hum-
penda sana. na katika inti!) za mfalme yule zimo nyumba mbili za
mawe tu, moja va mfalme na moja ya waziri wake; bassi hapana
nyumba ningine ya mawe katika mji.
1) inchi; inti und nti (Lamu Dial.) sind neben inchi gebriuchlich.
29
hatta siku moja akibarizi mfalme katika barza!), na watu waka-
kutana sana. akaletwa mtu mmoja mbele ya yule mfalme, na jamf'ei
ya watu wakubwa katika barza. mtu yule ameshitakiwa, sababu ame-
zini na mke wa mtu mkubwa, mfalme akafanya ghadabu?) sana. aka-
ondoka waziri wa mfalme, akawaamru 'askari kumkamata, kumfunga
yule; akiamriwa kuuawa.
khalafu akanena yule mtu, akanena: ,,msiniue, nna?) neno nataka
kusema.” yule mfalme akasema: ,,mmwacheni, msimfunge.”“ waki-
mwacha), wakimwambia: ,,sema maneno yako.” khalafu yule mtu
akasema, akamwambia mfalme: ,,;iko mbegu kwangu, nataka kupanda."
mfalme akamwuliza: ,,unayo mbegu gani?" akamjibu akamwambia:
“mbegu ya lulu, ndio niliyo nayo.” mfalme akamwambia: ,,kalete?),
nipande.” akanena: ,,;ina shuruti9) mbegu hiyo, kupanda kwake shurti
ipatikane mahala panapo nyumba ya mawe — ivunjwe, ipatikane ki-
wanja cha nyumba ya mawe pasaftidiwe?), ndipo panapofaa kupanda
mbegu hiyo.”
mfalme akamwambia waziri wake: ,,amru$) nyumba yako ivunjwe.“
ikavunjwa nyumba va waziri wake, pakitengezwa kiwanja. wakimwam-
bia: ,,sasa lete mbegu, upande.” akanena: ,,ipo shuruti ya pili.“ aka-
mwambia mfalme: ,taka mtu, asiyopenda waanawake, huyo ndio
afaaye kupanda mbegu hiyo.“ akidabbiriwa?) mtu, asiyopenda waana-
wake, katika buldani!?) zote, asipatikane.
khalafu akija!!) sultani wa inchi ningine kutembea katika milki!?)
ya yule mfalme. akampa khabari zote yule mfalme, akamwuliza mfalme
mwenzi wake, naye akamwambia: ,,hatta katika inchi yangu hutapata
mtu asiyopenda waanawake.“ akasamehewa yule mtu akapata sa-
laama kwa vule mfalme asiuawe, walla asifungwe, akapata amani,
akenda zake.
Mwenyi Hija bin Shomari
aus Kondutschi.
1) baraza. 2?)ar. Aerger. 39) nina. 1) wakamwacha. 9?) ukalete; besser
lete. 6) ar. Bedingung. 7?) ar. reinigen. $) amuru. ?) ar. anordnen,
disponiren. 10) ar. beled pl. buldan Ort, Stadt. 11) akaja. 12) Reich,
Herrschaft.
Mwallim!) mtaowa na shetani?) zake.
Kuwa mw'allim, ana rafigi zake shetani wawili. na yule mw'allim
kazi yake ya :kusali?). killa siku, hatta kutembea njiani, anataka kusali
tu. hatta mwanamke kuoa hataki, alitaka kusali, ndio kazi vake.
1) ar. Lehrer. 2?) ar. Teufel, Verfiihrer hier. 9) ar. beten.
zo
siku moja yule rafigi yake, shetani mdogo, akafanyiza shauri na
huvu shetani mwingine, akasema: ,,nataka kumhadaya!) mw'allimu,
yawache?) kazi ya kusali“ vule mwingine akashindana”); akamam-
bia: ,,huwezi kumhadava.” na yule mdogo wa shetani akamambia:
ntaweza.”
yakenda, yakamtafuta mwanamke mzuri sana, mtoto bado,
“omri!) wake miaka sitta'ashara. akamchukua akamfanyiza nymba
garibu na yule mw'allim wa kusali, akamambia: kaa wee?); kesho kapiga
kelele kuwa huwezi."
siku ya pili yule shetani yakafika kwa yule rafigi yake mw'allim,
kamambia?): ,,yuko mwanamke kijana hawezi sana, usiku halali, njoo
umtazame.“ na yule shetani amechukua ulewi?!), amemwekea yule
kijana. yule mw'allim akafika kwa yule kijana kumtazama; ikakuwaf?)
siku zote anafika kumtazama. na vule manamke kijana, alipomfika)),
akimgaribisha yakimpa mvinyo!) kidogo, akanywa mwenyewe, hatta
khalafu wakilewa wote mawili. na munda!!) wa miezi minne vule
mw'allim amefanyiza mtoto kwa yule mwanamke.
khalafu yule mw'allim ameogopa kwa sababu ya kulewa, amejua
kama shetani amemhadava, akamchinsha yule mwanamke na yule
mtoto wake.
mwisho wake akakuwa???) shetani vilevile.
“Abdallah bin Musa.
1) verfiihren. ?) aache. ”) wetten. Bar. Alter. 9) wewe. $) akamambia.
7) berauschende Getranke. 9$)ikawa. 9) besser alipomfikia, 10) jedes
starke berauschende Getrank. 11) mudda. 12) akawa.
Mahomedi.
Alikuwako mtu mmoja, jina lake Mahomedi; akawa na mali sana.
akawa tenna manamke, binti sultani, naye mzuri sana. naye Maho-
medi anamtaka; bassi mali yake yote anampa manamke. na yule
manamke alitaka kumnyanganya mali yake, walakini hamtaki. bassi
fedda nyingi anawapa tenna watumwa wake, walakini hampati bibi.
hatta siku hiyo akamwita bibi, akasema — kama: ,.leo njoo
kwangu.“ alipokwenda akapewa kileo, akalewa sana. khalafu bibi
akamuliza: ,,una mali yako giasi!) gani?“ akamambia: ,,nna laki?) ya
fedda.” akamambia: ,,vema, mali yako yote unipe mimi, nawe utani-
pata, ntagubali kuolewa.” yakampa mali yote Mahomedi. alipokwisha
kumpa, akamfukuza Mahomedi.
1) ar. Maass. 72) hindust. lakh — 100000, pers. lik s0000.
31
akawa maskini sana, akaomba mjini. khalafu siku moja aka-
mambia mamake!): ,,mimi ntatokomea?) mjini.“ bassi yakaondoka mjini,
akenda zake. akenda siku sab'a, hapati chakula, walla hapati maji.
akenda kutana matango mahali yamewiva sana; akenda akatafuna tango
moja, akaota pembe mbili za kichwa. akenda zake, yakasema:
”nnasimama — ntaanguka, hapa sipati jengine nitafune, maana njaa
inaniuma sana.”
yakenda mbele, yakapata tango bichi, yakatafuna; pembe zika-
anguka chini. khalafu yakachuma matango mabichi na mabivu, akachu-
kua mpaka mjini alikotoka. yakamona yaya wake3?) binti sultani, ya-
kampa matanga mabivu, akamambia: ,,kampe bibi.” yakachukua tango,
akenda akampa. alipotafuna, zikaota pembe. wakesha kufanza dawa,
zile pembe zikakaa vilevile kichwani. sultani akasema: ,,mwenyi
kufanya dawa zikaanguke, ntamoza huyu mwanangut?), ewe?) mkewe."
akatokea Mohamedi, akamwambia sultani: ,,nikafanza9) dawa,
zianguke pembe, mke nioe mimi, lakini nipe khatti?) ya mkono
wako.“ akafanza dawa Mohamedi siku sitta; siku ya sab'a zikaanguka
pembe. zilipoanguka pembe, ikapigwa mizinga mingi; khalafu aka-
mwoza mke.
alipokwisha oa, akamambia: ,,nipe mali yangu, maana ulinitoa
khada'a$), mali yangu ukanidanganya, na sasa nikatafuta uganga ku-
pata mali yangu; na sasa nipe mali yangu.“ manamke akamambia:
mhaya, mali yako na mimi sawasawa, sasa ntakupa nini?“ Mohamedi
akasema: ,shurti?) unipe mali yangu, kama nilivyokupa.“
sultani akasikia khabari, akampa usultani mkwewe, aliyomolea mwa-
nawe. naye akakaa mjini hana hokumu!?), hokumu yote kwa mkwewe.
Muhemedi bin Diwani Tambaza
“ aus Klein-Bagamoyo.
1) neben mamaye von mama yake. 7?) verschwinden. 3) Auslassung
des gen. praef. hiufig; binti sultani konnte als Apposition gedacht werden.
4) mwana wangu. ?) awe. 6$) nikifanza. 7) ar. Schreiben, Schriftstiick.
8) ar. betrigen. 9) ar. Bedingung. 10) ar. Urtheil, Gesetz, Herrschaft.
Mtoto mwenyi kigongo.
Palikuwa mtu, akazaa watoto wanne; wale watatu wakimchukia!)
yule mtoto wa mwisho, kwa sababu mwenyi kigongo. na yule baba
na mama walimpenda sana yule mwenyi kigongo.
1) wakamchukia,
32
khalafu baba yao na mama yao wakafa. wakarithi!) wote mali,
kulla mtu akachukua sehemu?) yake. yule mtoto mgonywa akafanya
karamu), akawetaf) rafigi zake na ndugu zake, wakaja katika karamu.
akawambia: ,nasafiri kuondoka hapa, ninyi na mkae hapa, na miye”)
ntaleta barua huko.“ akanunua punda moja, na vitu vingine vya safari,
akaondoka, akafika njiani katika inchi haina mtu.
khatima siku moja akakuta mama moja mzee. yule mama aka-
mambia: ,unakwenda wapi?” akamambia: sijui huko naokwenda,
na naotoka?) sijui.” yule mama akamweka pale katika nyumba yake,
kamambia: ,njoo, tukae hapo wote wawili.“
khalafu pana pahali pengine, si mbali sana, iko nyoka kubwa
nyumbani mwake. ile nyoka siku moja hujigeuza mtu, kwa sababu
ni shetani, na siku moja — ni nyoka, hukamata watu njiani.
akamkamata yule mtoto mgonywa. yule mama akamtafuta siku
mbili, asimwone. na yule nyoka akamambia yule mtoto: ,njoo hapa
ukae kitako, kanipikie?) chakula.“ na ile nyumba viko vitu vingi sana;
ile nyoka huchukua vyote nyumbani humo.
kulla siku nyoka hutoka kutafuta vitu, hurudi jioni; akaja, akala,
akalala. na yule mtoto kazi yake kufanyiza chakula.
siku moja akafanyiza maji ya moto sana. alipolala nyoka, akam-
mimina maji yote katika kichwa; akafa nyoka.
akarudi kwa mzee, akamambia khabari zote. khalafu akarudi
akachukua vitu vyote, kachukua?) frasi na punda na kulla kitu aka-
chukua; akenda akajenga mji mkubwa, akawa sulutani?) mkubwa.
“Abdallah bin Musa.
1) ar. erben. 2?) ar. Amntheil. 3) ar. festliche Bewirthung. 49) aka-
waita. >?) mimi. 6) besser nakokwenda und nakotoka. 7) ukanipikie. $) aka-
chukua. 79) sultani.
Maneno matatu.
Palikuwa sultani, kakaa!) katika mji. akawaita watu wote walio
katika mji, akawambia — kuwa: ,nataka mnambie maneno matatu.”
nao watu wakauliza: ,maneno gani unataka“ kasema?) — nauliza:
vikiwa?) imekuja njayaf?), khalafu njaya ikatoka — nyumba gani huwa
njaya killa siku?“
na jingine”): ,ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka —
nyumba gani huwa ugonywa?“
1) akakaa. 2?) akasema. 5”) fiir ikawa, 1) njaa. >?) auf neno be-
zuglich,
33
na la!) tatu: ,ikawa vita; na vita zikisha toka — nyumba gani
huwa vitar“
na watu mjini hawajui; akawauliza watu wote, bapana mtu aka-
jua. hatta siku ya pili mtu moja akasema: ,yuko mtu ambayo?)
mzee, hayuko hapa, naye atajua, tukamwite; wakenda wakamwita.
alipokuja, wakamwuliza. akasema: ,ikiwa njaya, na njaya ikaondo-
ka; nyumba enyi?) njaya — nyumba ya mtu mvivu.“
Ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka; nyumba vya
ugonywa — nyumba ya mtu mzee, hautoki ugonvwa.“
”Mmjini ikiwa vita, vita zikatoka; na nyumba enyi vita — ma-
namme mwenyi wake wawili.“
aliposikia maneno haya, sultani akasema: ,ndio, maneno
yako kweli.
“Abdallah bin Musa.
1) neno. 2?) veraltetes Relativ. 3) yenyi.
Bibi mungwana na bibi mtumwa.
yuko mtu alikuwa na manamke na mjakazi wake. na yule mkewe
akizaa naye, akazaa watoto; mjakazi wake akazaa naye, akapata watoto.
na sura!) zao ote?) sawasawa. tenna yule mjakazi na yule mwanamke
nuru”) zao sawasawa.
khalafu yule mwanamme akafa, wale warithi?) wake walitaka
kurithi?). wakawakamata yule mama, mjakazi, wakasema: ,,wewe bado?)
— uko katika utumwa; umezaya?) na baba yetu, lakini bado hakufanyiza
mungwana."“ na yule mjakazi akasema: ,,mimi ni bibi yenu, mimi si
mtumwa, mtumwa ni huyu mwingine.”
kakuwa?) da“awa?) kubwa sana; wakachukuliwa wote mbele ya
magadi 9). wakifika, hawajui nani mjakazi nani bibi, sababu nuru zao
sawasawa.
mwisho ikakuwa!!) mtu moja mzee wa katika wao kafanviza!?)
shauri. wakachukuliwa yule mjakazi na watoto wake, wakatiwa katika
chumba chenyi kiza !5), na yule bibi na watoto wake wakatiwa kazalika H)
katika chumba chenvi kiza; na katika kulla chumba kina chakula.
1) ar. Form, hier Gesicht. 7) ote gebriuchlich neben wote. 3) ar.
Licht, hier helle Hautfarbe. 9) ar. Erbe. 9) ar. erben. 8) zu erginzen
huru. 7) zaa. 8) ikawa. ar. Klage, Prozess. 10) ar. Richter. 11) ikawa.
12) akafanyiza. 13) neben giza, Dunkelheit. 14) ar, gleichfalls.
Velten, Suaheli-Mirchen. 3
34
khalafu yule mjakazi na watoto wake wakashikwa na njava!),
wakala katika kiza. na wale wangwana kazalika wakashikwa na njaya,
lakini wao wakapiga mlango?) kutaka taa, wapate kula.
khalafu vyumba vyote viwili vikafunguliwa. wakakuta yule mja-
kazi na watoto wake wamekwisha kula chakula, na yule mungwana
na watoto wake hawakula bado. vule mzee akasema: ,,kweli, hawa
ndio watumwa.”
“Abdallah bin Musa.
1) njaa. ?) mlangoni.
Kibwana na kibibi.!)
yakitokea maskini ya muungu, amekaa katika inchi ile. yule
maskini ana mkewe, amezaa mtoto mwanamume. yuko sultani katika
inchi ile amezaa mtoto mwanamke.
wakikaa siku nyingi na miezi mingi na miaka mingi, hatta mtoto
mwanamume yakibaleghi?), yakiwa mtu mzima. na yule mtoto wa
mfalme amekwisha vunja ungo; yakikaa mwaka moja”) yakibaleghi. vi-
jakazi wake wote wakisifu?), kama mtoto wa bwana mzuri sana, walla
hapana mwingine tenna.
na yule mtoto wa maskini jina lake Kibwana. bassi, wale wa-
jakazi kulla siku hunena: ,,kama kibibi vyangalimpata mardadi?) kama
huvu Kibwana, mtoto wa maskini! kuwa mwana mardadi sana."
hatta siku hiyo wale wajakazi wakimwambia bibi yao — kama:
mbibi, yuko kijana kizuri sana.” akiwambia: ,,anakaa wapi?" wakisema:
mbibi, yanakaa hapa mjini, ni mtoto wa maskini."
na vule Kibwana, tangu amemwona huyu kibibi, akikataa chakula.
mama yake na baba yake humwuliza: ,,Kibwana, una nini? una kichwa?
una homa: Kibwana jibu lake huwajibu: ,.sina homa walla kichwa,
lakini yuko mwanamke moja mzuri sana, nampenda sana.” yule Ki-
bwana, mtoto wa maskini, kulla siku hunena vilevile. na babaye hu-
mwambia: ,,€6€, mwanangu, utasikia? watakuchukua wakakuchinsha;
mtoto huyu wa sultani, usifanze zarau") yako.”
na yule mtoto wa sultani amesikia, kama yule mtoto wa maskini
yananitaka mimi, yanioe yeye. roho vyake anampenda, walakini atam-
pataje kumwoa?
1) Diese Erzahlung hat cinige Aehnlichkeit mit mtoto wa sultani
na mtoto wa mfalme. ?) ar. mamnmbar. 3) mmoja. 1) ar. Inf. sifa, gute
Eigenschaft (beschreiben). ?) schmuck, eitel. 9) ar. zara, verachten, hier:
mach dich nicht zum Spott anderer.
35
na yule kibibi akapewa rizigi!) yake vyakula vya siku settin, na
vitoweo vya siku settin, na kuni, na maji, kulla zana?) za matumizi”)
wafanyiza pamoja na mchele wake. yakijifungia mlango mudda wa
mwezi mmoja; baba yake hakumuliza.
siku hizi yakitoka, yakamamkia baba yake, yakitaka zana zake
zilezile za miezi miwili, siku settini. yakapewa yote, yakenda zake,
yakajifungia ghorfani kwake.
hatta siku moja wakimteremsha wajakazi wale katika kikapo, ya-
kishuka kibibi yule, yakenda nyumbani kwa yule kijana, yakipiga hodi;
yakimwitikia, yakifungua mlango, yakipita hatta ndani, yakimgaribisha,
akikaa kitako.
kijana amefurahi sana kama amemwona. wakizumgumza mwezi
u nussu. hatta siku moja kibibi yakimwambia — kama: ,,mimi si
mwenzio?), nimekuja kukutezama?”); na wewe usinitie rohoni mwako,
kwa ma'ana mimi mtoto wa sultani, akikusikia atakuchinsha.”
yakitoka, yakenda zake; hatta wajakazi wakimwona bibi anakuja
wakateremsha kikapo. kilipoteremshwa, vakiingia kikaponi, wakam-
vuta, yakifika hatta juu.
na vule Kibwana yakikaa siku nyingi, hatta siku hiyo wyakifikiri$),
yakimambia mama vyake: ,,nifanyizie mikate; kesho, nikija'aliwa?), sina
buddi?) kuondoka.“ yakitoka yakenda zake nyumbani kwake. na
vule kijana mwanamke ametoka yapata siku sitta.
na vule Kibwana yakenda hatta yakafika njiani; pana mti mku-
bwa, yakikaa chini ya mti, yakapumzika. khalafu yakipanda juu ya
mti, yakiona mwanamke mahali mbali sana, na garibu yake pana ziwa
la maji; mwanamke huyu kizee?), amekaa kitako, amechoka.
Kibwana vakenda hatta yakifika kwake. alipomwona yakimwam-
bia: ,,umekuja taka nini?“ yakimwambia: ,,mama wee, unajua msiba 10)
wangu! unaniulizaje?” yakimambia: ,,utapona, inshallah.“
bassi, wakenda zao wote wawili mahali mbali, wakiona mji.
wakenda hatta wakifika, wakikaa kule mjini siku nyingi. hatta siku
hiyo kizee yakimambia: ,.tarudi!!).“ yakimambia: ,,wewe bibi, ukirudi,
sitakupata tenna, nipe shauri lako wewe mwanamke.“ yakimambia:
nitakupa dawa ya kugeuka njiwa, uingie ukajifiche katika mapango ya
nyumba ya mawe. na ukitaka kumgeukia mwingine useme ,,nataka",
1) ar. Lebensunterhalt, MNahrung. 72) Vorrath. 5) Verbrauchs-
gegenstinde. 4) mwenzi wako. 9?) tazama. '#Sjar. nachdenken. 7?) ar.
bestimmen; hier: wennich von Gott dazu bestimmt werde. 8) ar. Ausweg.
9) unter kizee versteht man fiir gewohnlich eine alte Zauberin. 10) ar.
Ungliick. 11) nitarudi.
36
marra yakigeuka; ya pili useme ,,nataka“, utapinduka paka; na ikiwa
yuko mtu mwingine useme ,,nataka“, yatageuka chui, nawe umegeuka
mtu. kiisha shika bundugi umwende umwuce. ndio dawa yangu na-
kupa, nami nakwenda zangu sasa."
naye Kibwana yakenenda hatta yakifika nyumbani kwa baba
yake. na baba yake hakupata khabari, ya kama mtoto wake amekwenda
kutembea mahali mbali. yalipokwisha mtezama, wakikaa kitako nyum-
bani mwao.
hatta siku moja yakipita yule kibibi, hawara!) yake ya zamani,
yakenda kutembea. marra yakigeuka njiwa, yakimrukia yakimgeukia
njiwa, yakicheza naye. yule mtu anayomlinda huyu kibibi, alipoona
njiwa hawa — yakasta'ajjabu?). marra akaona paka, naye mwenyewe ya-
kigeuka chui; naye Kibwana yakipinduka kuja mtu, yakashika bundugi,
yakimpiga chui yakifa. na huyu njiwa mwingine yakipinduka kibibi.
yule mfalme, baba yake, zamani ameweka naziri”) — ,,sitamwoza
mtoto wangu mume illa mtu hodari)". alipopata khabari ya vitendo
vya yule Kibwana, akapeleka mtu kumwita. alipokuja, akampa yule
Kibwana mtoto wake, awe mkewe; yakimwoza mwenyewe. na yule
kibibi hakusema tenna — ya kama: ,,huyu maskini“, maneno hava
yamekwisha.
yakioa Kibwana, yakitumia ufalme; yeye na baba yake na mama
yake na jama'a”) wake walio mjini wakikaa kitako raha mustarehe.
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) Geliebte, die man nicht zu hceirathen beabsichtigt, auch Liebhaber
einer Frau; Geliebte, die man zu heirathen gedenkt, heisst mchumba
oder mposi (Braut). ?) ar. sich wundern. 93) ar. Gelibde. 4) tapfer,
tuchtig, fleissig. ?) Familie, Verwandtschaft.
Binti Matar'i!) Shemshi.?
Aliondoka sultani, yakawa na mwanawe mwanamme. vakamlea
hatta akawa mkubwa. bassi akasema: ,,nataka binti Matari Shemshi"“.
babaye yakamjibu: ,,mke huyu simpati miye”), ma'fana ana “askari
wengi, tenna tajiri sana, na kwake ukuta wa shaba.” mtoto yakalia
sana, akamambia: ,,baba, hunipendi!” yakamambia: ,,mwanangu, huko
siwezi kwenda, maana nikienda ntakufa.”
yakamambia mama yake: ,,nifanyizie mikate, na maji unitirief)
1) ar. matlai Sonnenaufgang. 2?) ar. shems Sonne. 9$) mimi.
4) unitilie.
37
katika guduria.“!) wakamfanyizia vitu vyote vile, wakampa. yaka-
panda frasi wake, yakaondoka yakenda zake. yakafika njiani, yakaku-
tana na shetani, yakakutana na nyoka ana vichwa sab'a, anataka?)
kummeza shetani. mtoto yakenda yakatoa salaamu, yakamuliza; aka-
mambia: ,,nifae, mafana huyu nyoka ataka kunila.” akafuta upanga
yule kijana, yakampiga nyoka, ataka kumua; nyoka akafa.
akamambia yule shetani: ,,twende kwetu!” yule kijana yakamjibu:
kwenu hakwendi?) mtu, kulla enaokwenda?) — hufa.” akamambia:
kwetu hafi mtu; ukafa?) — juu yangu mimi!” wakafuatana, wakenda
hatta garibu ya kwao. yakamambia: ,,ukija kwetu — usicheke, ma'ana
kuna watu uso upande, kuna watu wa mguu mmoja, na wengine
mkono mmoja, na wengine jicho moja.“ akamambia: ,.sicheki.”
wakenda hatta mjini kwao. wakafika kwa baba yake, akauliza:
mtu huyu umempata wapi?” asema: ,,cmeniponya$9) njiani; kama si
huyu — ningalikufa. mafana tulikutana na nyoka, yakataka kunimeza,
huyu yakamua nyoka; nikamambia ,,;twende kwetu“; yakakataa sana,
khatima nikambembeleza?) kwa nguvu.“ ikafanyizwa karamu nzuri
na ngoma kupigwa. akakaa miezi minne, akawambia: ,,nataka kuon-
doka, ma'ana nimekaa siku nyingi."
shetani akamambia: ,,somo$), tunakwenda kwa baba, atakupa
mali mengi, kataa, illa taka kitwana, jina lake Kibelei.”“ wakafuatana
wote, wakenda baba yao kumwaga safari. yakapewa ngamia sab'a na
kulla ngamia shehena?) fedda kwa zahabu; yakapewa na wachunga
sab'a na kulla mchunga ana nguo zapata reale mia. mtoto yakakataa
yote, akawambia: ,,nataka Kibelei“; alivyosema — yakaanguka.
wakamchukua nyumbani, hana “agili, yakaugua siku nne. siku
ya tano yakapata 'agili, yakamuliza: ,,mwanangu, unataka nini?" aka-
mambia: ,,nataka Kibelei.” wakapelekwa watu kutafuta Kibelei, yaka-
patikana, yakapewa. alipopewa, yule kijana yakakasirika sana, yaka-
mambia: ,,weye, mwenzangu, mbaya, hukuwacha mali kunipa, unanipa
kitwana huyu, hapati hatta rupia kumi.“ yule akasema: ,,mimi nakupa,
mchukue.”
mtwende sasa kwa mama, twende tukaage; kwa baba tumekwisha
aga, ndio twende kwa mama. na kwa mama utapewa mali mengi —
kataa, utake upatu,"19) akamambia: ,,nimesikia.” wakenda hatta kwa
mama yao, akamambia: ,,mama, kwa heri, nakwenda zangu.” yakampa
1) Thonkrug. 72) statt aliyotaka. 93) haendi gebrauchlich. 9) ana-
yokwenda. 9) ukifa. $) ameniponya. 7) liebkosen, jd. zureden. $) Freund,
wenig gebrauchlich. 9?) ar. Last. 10) Messingteller, der als Musikinstru-
ment dient.
38
ngamia kumi, na kulla ngamia ana twike!) ya fedda na wachunga
kumi. yakakataa yote, akamambia: ,,nataka upatu." alipokwisha ku-
sema, yakaanguka. wakamchukua nyumbani, yakakaa siku tatu; siku
ya nne yakapata 'agili. yakapewa upatu, akaondoka akenda zake.
moyo wake ukakasirika sana, yakasema: ,,mwenzangu mbaya
sana, amenipa vitu havipati hatta rupia tano.“ akaondoka na uchungu
wa moyo wake, akenda zake na mtumwa wake na upatu wake, hatta
njiani akakaza mwendo sana, ili gusudi?) kumtupa yule mtumwa, ham-
taki. kulla akenda, yule mtumwa yuko nyuma. hatta saa sitta waka-
fika mti mkubwa, wakapumzika.
mtumwa yakamambia bana wake: ,,kwa nini bana hatuzum-
gumzi'“ bana wake akamjibu: ,,ntazumgumza na nani?” yakimambia:
khassa?) mali uliyopewa ungaliyafanyaje?" akamambia: ,,ningalijenga
nyumba ya mawe, ghorfa tatu, nikanunua na vitwana na vijakazi na
masuria mazuri, ningalikuwa tajiri.” yakamuliza: ,,ungalijenga mahala
gani?“ akamambia: ,,ningalijenga juu ya mrima.“f) akamambia: ,,kaa
kitako upatu, piga bismillahi ondoke!” upatu ukaondoka, ukampeleka
hatta palepale alipotaka.
j marra ikaota nyumba ya mawe kubwa, na vijakazi wengi na
vitwana wengi na fedda nyingi na masuria mengi. kule watu waka-
sema: ,,hii “ibura?) gani? sasa hivi pakawa mwitu, sasa pana nyumba,
sasa kumekuwa nyumba ya mashetani“; wakakimbia watu wote.
akakaa pekeyake mjini. mtumwa wake yakasema: ,,ntafanya hila
za kuwaita watu.” hununua vitu vyote kwa themani?) kubwa. watu
wakafanya tama'a?), huja watu wengi sana wakauza vitu, naye hunu-
nua vyote. bassi, wakaja watu mjini tenna, wakakaa kitako tenna
mjini, lakini kule kwake wanafanza oga kuenenda. mtumwa wake
akenda mjini, yule Kibele, akasema: ,,nimetumwa na bwana, anaweta?!
watu wote mjini, kwa saa tatu mwende kwake." watu wakasema:
inshallah, tutakuja.”
akenda akapika wali mwingi yule Kibelei kwa sahani?) za fedda;
kulla sahani mna kitwana moja kusimama. wyakafagia sebleni10), yaka-
weka sahani, yakafunika na shuka. wakaja watu wakala, waliofanza
oga wakajuta; lakini bana wake Kibelei!!) hashuki chini. walipokwisha
kula wakenda zao.
Kibelei yakenda yakamambia bana wake: ,,ulitaka kwenda kuoa
binti Matari Shemshi, mbona huendi?" akamambia: ,fanza hila,
1) Last. 2?) ar. Absicht. 5) ar. besonders. 9) mlima. 9?) ar. Beispiel,
Zeichen. '#$j)ar. Preis, Werth. Yar. Verlangen. 8) anawaita. 9) ar.
Teller. 10) sebule Empfangshalle. 11) gen. praef. ausgelassen.
39
twende!” akamambia: ,,jingia katika upatu." akaingia ndani, upatu
ukapaa, ukenda!) hatta binti Matari Shemshi, ukenda mpaka mwan-
goni.”) wakakuta 'askari thelatha mia; akamambia bana wake: ,,una-
ona “askari hawa?” wakapanda ghorta mbili?), wakenda wakakuta
“askari mia. wakapanda ghorfa ya tatu, wakakuta wajakazi mia; waka-
panda ghorfa ya nne, wakamkuta bibi kalala. alipomtazama — vya-
lianguka. wvyakamuliza: ,,bwana, unaangukia nini?“ vyakamambia:
tokea ndipo zaliwa, sijamwona mzuri kama huyu." Kibele; aka-
mambia: ,jifunge?) vitambaa vya macho, tumshike tumweke katika
upatu.“ wakamshika wakamweka katika upatu. upatu ukaondoka hatta
nyumbani kwao; wakenda wakakaa kitako.
mwanamke alipoamka, yakauliza: ,,miye?) niko wapi?" akaam-
biwa: , tulikuja kwenu, tukakuchukua.” mwanamke akakaa kitako na
bwana wake. naye mtumwa hamkumbuki, huko juu alikopanda ha-
shuki chini, walla hamwiti, walla hampi chakula. yule mtumwa aka-
sema: ,,bwana wangu mbava, haya?) asingalipata kama si miye, leo
wanawambiwa?): ,,Jhuyu msimpe chakula, walla msimpe maji; na neno
ndio kosa?) — silijui? watumwa wake kulla suku?) hunipiga.“
bwana wake akalala, yakaota yuko kwao, cemekaa 9) barazani
anangojea muhogo wa kutafuna. alipoamka — yuko kwao, nguo hana,
walla kofia hana, hatta pesa moja hana. yakashukuru muungu, vaka-
sema: ,,muungu kanipa!!), yakannyanganya.“!?) ndipo ulipokwishia.
'Ali bin Rajabu aus Kilossa.
1) ukaenda. 2?) mwango neben mlango gebrauchlich. 53) ya pili.
1) mfunge. ?) mimi. 9) mambo zu erginzen. ') Zu crganzen watu.
4) nimelikosa. ?) siku. 10) amekaa. 11) akanipa. 7?) akaninyangainya.
hokumu!) ngumu.
kuna waanawake wawili, wamezaa katika nyumba usiku kitanda
kimoja na kiza tenna.
hatta asubuhi walipoamka, wakatazama watoto wawili, mmoja
mwanamke na mmoja manamme?), hawatambui kulla mtu mtoto wake.
khalafu wakaondoka wakagombana.
tenna watu wakauliza: ,jee?), khabari gani kugombana nyvief) wa-
wilir? moja akasema: ,tunagombana sababu ya watoto, mwenzangu”)
1) ar. Urtheil. 2) mwanamume. 3) Ausruf des Erstaunens, etwa
was ist denn das?" 4) ninyi. ?) mwenzi wangu.
40
anataka kuchukua mtoto mwanamme, kuniwachia!) mtoto mwanamke,
ndio khabari yetu tunagombania?). wale watu wakawambia: ,twen-
deni kwa gadi”), atazame khabari yenu.“
wakenda zao kwa gadi. gadi akawauliza: ,jee, khabari gani?“
waanawake wote wawili wakasema: ,tumezaa wote wawili pamoja,
sasa kulla mtu hamjui mtoto wake; mwenzangu anataka kuchukua
mtoto manammce kuniwachia mtoto mwanamke, na mimi nataka
kuchukua manamme kumwachia manamke.
bassi yadi akashangaa!), hakuweza kuwahokumu, akasema: ,mtu
mwenyi kuja hapa akahokumu waanawake wawili hawa, ndiye ata-
kuwa gadi pahali pangu.”
akatokea mtu akasema: ,hokumu yao khafifu?); chukueni kulla
mwanamke maziwa yake vapimeni, mwenyi kutokea maziwa yake ma-
zito, ndiye mtoto wake manamke, na mwenyi kutokea maziwa yake
mapesi, ndiye mtoto wake manamme!).
bassi, gadi akasema: ,emejuaje') khabari hii? ninakuona “agili?)
yako barraba?,..” yule mtu akamambia gadi: ,“omri!?) wangu sikula
samaki, illa marra moja, na tenna imekaangwa na samli, ndio “agili
zangu zikaja barrabarra kichwani!!).“
“Omar ben Rufa'i aus Barawa.
1) wacha neben acha. 2) die relative Form ist hier wohi ge-
braucht, da der Erzihler ninamgombania meinte,. 39) ar. Richter.
3) rathlos, in Sorge sein. P”jar. leicht. 69) aligemein verbreitete Ansicht
unter den Suaheli. 7) amejuaje. 4) ar. Verstand. 9?) barraba oder
barrabarra pers. gerade, eben. jar. Alter. !!) wer nach Ansicht der
Araber und auch der Suaheli viel Fisch isst, dessen Verstand nimmt ab.
Vipofu watatu.!
Alikuwako mtu mmoja maskini, vakaweka naziri?): y,ymwaka ni-
patao mali, nitapiga mafungu mawili, fungu moja ntampa maskini,
fungu moja ntwae3?) miyef).“
yakapata kazi, yakapata rupia nane. vakenda kumpa maskini
rupia nne, yakasema: ,niliweka naziri — mwaka nipatao fedda, ntapiga
mafungu mawili, fungu moja kumpa maskini.“ maskini akasema:
|hipe haggi?) vyangu.”
1) Diese FErziahlung ist zur Halfte dieselbe wie kijana aliyeweka na-
ziri na vipofu vitatu in den Swahili stories ..Kibaraka" von der englischen
Mission in Zanzibar herausgegeben. Diese hier gegebene ist jedoch aus-
fiihrlicher. 7?) ar. Geliibde. 59) nitwae. 4) mimi. 9?) ar. Recht, rechtliche
Forderung.
AI
alipompa, yakamkamata mkono, yakalia sana maskini, vakasema:
”nmji huu hamna hakim? huvu ananyanganya fedda yangu!“ wakaja
watu, “askari, wakamkamata yule kijana, wakamambia: ,kunyanganva
kwako hakuna hava? unanyanganya maskini ya muungu?“ yakasema:
mimi sikunyanganya.“ maskini vakasema: ,uwongo, kaninyanganya!)
fedda yangu rupia nane.“ wakamfunga kamba yule kijana, wakam-
piga fimbo nyingi. yakasema: ,mtaniua burre, miye sikumnyanganya."
vakesha yakafunguliwa, akenda zake.
tenna maskini akenda zake. yakamvizia bassi — hatta nyumba
encokaa?). yakasimama maskini, yakafungua mwango”), yakaingia ndani.
na yule kijana akaingia ndani. yakesha yakafunga mwango maskini,
akaingia chumbani; na yule kijana yakaingia nave pamoja. yakachimba
chini maskini, yakatoa chungu chake cha feddaf), na yule kijana ana-
mwona, yakahasibu?) reale mia. yakesha yakachimba palepale, yaka-
fukia fedda yake.
hatta khalafu yule kijana yakachimbua, yakaifungua miango yote
miwili, vakamambia: .wfedda vyangu nimechukua mwenyewe; na
chungu akamvunjia cha uso. wyakalia maskini sana, yakapiga makelele
sana mjini. watu wakenda wakamsikiliza, wakamambia: ,una nini
maskini?“ asema: ,nimenyanganvwa fedda vyangu reale mia.“ wa-
kamambia: ,mwongo, kama ungalikuwa na fedda, usingaliomba.“ wa-
kamfanyiza ana wazimu. wyakalia siku kucha.
hatta asubuhi yakaondoka yakenda kule wanapoomba maskini,
vakakaa kitako. na yule kijana yuko nyuma amemfuata, yakenda ya-
kakaa naye pamoja. yakawambia wenziwe?) — kama: ,,mimi nimenya-
nganywa fedda yangu.“ wakamambia: ,tueleze khabari, ilivokuwa?)
hatta ukanyanganywa fedda yako.“ akawambia: ,alikuwako mtu moja
yakaweka naziri, asema: ,mwaka nipatao fedda, nitampa maskini.“ ya-
kapata rupia nane, yakaja yakanipa rupia nne. mimi nikamkamata
mkono, nikapiga kelele; wakaja “askari wakamkamata wakampiga, bassi
ndio khabari iliyonipata.“
wakamambia: ,weye mjinga weye, huna macho, fedda yako
unachimbia chini? ikawa ikawaka moto ile nyumba, fedda yako utai-
pata wapi? na weye huna macho, huoni!” akamambia mwenziwe:
>mimi fedda yangu ntatia katika fimbo vangu.“ yule kijana anasikia,
akakaa kumvizia yule mwingine.
hatta majila8) wa jioni yakamfuata mpaka nyumbani kwake. wa-
1) akaninyanganya. 7?) anapokaa. 3) nceben mlango. 1) Es ist dies
die herkommliche Art und Weise bei den Suaheli grossere Summen aufzu-
bewabren. 9?) neben hesabu gebrauchlich. 9) wenzi wake. 7) ilivyo-
kuwa. 8) majira die Zeit, wenig gebriuchlich.
42
kenda wakaingia nyumbani wote wawili, maskini na yule kijana. ya-
kakaa kitako yule maskini, yakatoa fimbo yake yakaipakata!). bassi
ikesha?) yakalala na fimbo vake pamoja. yule kijana yakafungua
miango yote, yakaivuta fimbo yakaitoa, yakatoka nayo mbio.
alipoamka maskini, yakapiga kelele, asema: ,mwizi3) emekuja!)
nibia”?).“ watu wakaja wengi kumuliza khabari: ,una nini maskini
weye, unapiga kelele burre, walla hapana sababu?“ yakasema: ,,nimei-
biwa fedda yangu reale miten.“ wakamambia: ,mwongo wee, kama
ungalikuwa na fedda, hungaliomba.“ wakamambia: ,ninyi mmezoea
kupiga kelele burre, na kule amepiga makelele sana maskini moja
kwa hu khabari ya uwongo.“ , yakalia sana maskini.
hatta asubuhi wakenda wanapoomba, wakamkuta mkubwa wao,
wakameleza khabari iliyowapata. mkubwa wao yakacheka, akawambia:
nyie wajinga sana.“ na yule kijana emewafuata?), emekaa?) kitako,
kulla neno wanalosema anasikia. akamwambia: ,weye mjinga, weye
huna macho ukatwae fedda yako ukatie katika fimbo, ukaja ukanyanga-
nywa ukapigwa nayo mwenyewe; miye fedda vangu natia katika mi-
fuko, nikavaa na fulana tenna, nikavaa na kanzu gusudi$) mtu asipate
kunyanganya. tenna nalala meskitini, watu wote wakiondoka ukawa
usiku sana ndipo nipovua?) kanzu yangu.“ yule mtoto anasikia.
yakaondoka mtoto yakenda kwao, yakamambia mama yake: ,ni-
fanzie mkate, utie pilipili nyingi, unipe.“ akakaa mpaka usiku, aka-
jitia upofu naye, yakavaa nguo za maskini, yakenda meskitini vyaka-
mambia: ,miye maskini, nataka mahala pa kulala.“ huyu kipofu ya-
kamambia: ,lala huko.“ vakampa mkate akala; alipokula mkate unao
pilipili nyingi, yakafanza jasho, kulala na nguo nyingi hawezi, yaka-
nena: ,ntastamirri!?) mpaka yalale huvu, niende nikoge.“
yule ,kijana yakajitia usingizi. yakamwita marra tatu — asimjibu;
vakasema ,yamelala.“ yakaondoka polepole hatta katika biriga!!), ya-
kenda yakavua kanzu ya kwanza, yakavua na fulana, yakavua na nguo
ya chini, aliyovaa, yakavua na mfuko unao fedda, yakaweka wyakatoa
maji koga. na yule kijana yakamfuata nyuma yake. yakachukua mfuko
wa fedda, yakatoka nje, akenda nacho.
alipopapasa maskini — hapana fedda, yakalia sana, yakapiga
kelele. wakaja watu wakamuliza wakamambia: ,nyie maskini mne-
ngiriwa?) na wazimu, mnapiga makelele burre, walla pasipo neno.“
jin den Arm, Schoss nehmen. 2?) ikiisha. 3) neben mwevi.
1) amekuja. 9) kuniibia. 6) amewafuata. 7) amekaa. 8) ar. Absicht.
?) ninapovua. 10) ar. N. Form von marr beharren. 11) ar. Wassergefass,
in arabischen Hiiusern gewdohnlich ein Wasserbehalter aus Stein. 12, fiir
mnaingiliwa,
AA
43
asema: ,,nimechukuliwa fedda yangu yote.” wakamambia: ,uwongo
wako, ungalikuwa na fedda ungaliombar“
yakalala hatta asubuhi, yakawambia wenziwe mambo yaliyompata
usiku, akawambia: ,sasa hivi twende tukebe!) kwa sultani.“ na yule
kijana anasikia, akawavizia mpaka usiku. wakenda wakeba mifuko
mitatu”), wakachukua mpaka magaburini mwituni. wakakaa watu wa-
tatu wakaweka mifuko mitatu; na yule kijana emewafuata?) nyuma.
akawambia wa kwanza: ,gawa weye.” yule akasema: ,la, gawa
weye.” wakashindana sana. yule kijana yakaondoka, akenda yakai-
chukua mifuko yote, akenda akaificha.
wale wanashindana, wakapapasa — hapana kitu. wakajishuku?)
wenyewe kwa wenyewe, wakamfanyiza mwevi yule maskini wa kwan-
za, wakamambia: ,weye mbaya sana, fedda yetu isingalipotea illa kwa
ajiri?) yako weye.“ wakampiga sana kwa migongo?), naye akawa-
piga; wakafukuzana mpaka mjini, wakampingia kumua, naye aka-
kimbia.
yakapotea, yakenda katika mto, yakakaa kitako; na maji mengi
mtoni. yakapita mw'arabu moja na mkewe na mtumwa wake na frasi
watatu, wakamkuta maskini analia, wakamuliza: ,unalia nini?“ aka-
wambia: ,nalia njaa, ya siku sab'a') sijala kitu.” wakampa mkate,
wakampa na maji, vakala. yakesha yakawauliza: ,mnakwenda wapi?
nami mnichukue.” wakamambia: ,tunakwenda kwetu.“ akawambia:
nami chukueni.” mkewe akamambia mumewe: ,,usimchukue, ma'ana
maskini mbaya — hana imani$).<“ mumewe akamambia: , weye mbaya
sana, huyu maskini yuko mtoni, hajui enekokwenda?) walla enekorudi!0).“
mumewe yakampakia katika frasi, wakenda mpaka mjini kwa sultani,
mji mkubwa sana.
wakafikia nyumbani, wakakaa kitako. maskini yakauliza: ,nyum-
ba va sultani garibu?“ wakamambia: ,garibu.“ ,nipelekeni kwa sul-
tani!” wakaja watoto wakampeleka mpaka nyumbani kwa sultani.
alipopata nje, yakaanguka maskini, yakalia sana. sultani akatoka ya-
kamuliza: ,unalia nini?“ akamambia: ,nimenyanganywa mke wangu,
nafsi zangu, na mtumwa wangu na fedda zangu nimenyanganywa, na
hivi!!) nataka “askari waende wakawakamate.”“ wakaondoka “askari,
wakenda wakawakamata, wakawaleta mpaka kwa sultani. akawauliza:
kwa nini mnamnyanganya mke wake?” yule mwarabu akakana,
1) tukaibe. 7) ya fedda. 3) amewafuata. 1) ar. beargwohnen, ver-
dachtig halten. 9) ar. Grund (ajili). $) gongo, mag. Kniittel, oder mgongo
— mig. 7?) siku ya sab'a, es ist der siebte Tag. 98) ar. Vertrauen.
9) anakokwenda. 10) anakorudi. 11) sasa hivi.
44
akasema: ,sikumnyanganya mke wake; nikamkuta yule mtoni nikam-
chukua.” yule akasema: yuwongo, bana, wameninyanganya mke
wangu.”
wakenda wakafungwa wote watu wanne. moja!) maskini aka-
fungwa chumba cha punda, na manamme yule mwarabu yakafungwa
chumba cha ngombe, na manamke yakafungwa chumba cha mbuzi,
na yule mtumwa wao yakafungwa chumba cha kondoo. hatta usiku
sultani yakapeleka kulla chumba “askari watu watatu kwa sikiliza
MANCNO Vao wasemayo.
hatta usiku mwanamke akasema: ,mume wangu nilimambia,
kana?) maskini mbaya, usimchukue, akanikaidi?), na sasa tumefungwa
bilashif.< na mtumwa yakasema: vybana wangu mkaidi sana, bibi
amemambia usimchukuc maskini, vakakaidi yakamchukua, na sasa
tumefungwa burire.” maskini akasema: ,punda na wanyie mavi, na
wanipige mateke, asubuhi ntapata mke.” “askari wakasikia killa ma-
neno wasemayo.
hatta Zama za buraza waketwu?) 'askari wote: wkulla maneno
mliyosikia nelezeni9).€ “askari wakamjibu maneno yote, waliyoyasema
hawa watu watatu. wakafunguliwa wakasailiwa. mwanamke akaulizwa,
yakaambiwa:? vyule maskini mumeo)?” akakuna akusema: ,tulimwona
mtoni huyu muskini.” maskini alikamatwa yakafungwa, vakapigwa
hatta yakasema:! ,si mke wangu.“
na yule akapewa rukhsa na mkewe, na mali yakampa sultani,
yakamambia: wniwic radi kwa maneno ndio kutendea, usiuzike sana,
huyu maskini mwongo.“ akasema: wmimi ni radi.” bassi wakashika
njia wakenda zao. na maskini akakaa kitako pale mjini yakaomba
kama kwanza. Muhemedi bin Diwani Tambaza
" aus Klein-Bagamoyo.
1) mmoja. ?) ncben kama. 5”) widerstreben, 9) ar. ohne cine Sache,
9) wakaitwa, 6) nielezeni. 7) mume wako.
Mchumba!) wa ndugu watatu.
yalitokea mtu moja?) yakizaa watoto watatu; na yule mkubwa wao
yameposa mchumba.
wale watoto wakitaka kusafiri kwenda kuchuma mali, yakiwapa
fedda baba yao kwenda fanya bfashara?); yakiwapa kulla mtu rcale mi-
teni. wakiondoka kwenda chuma, wakikaa miaka mitatu.
1) Geliebtc, Braut (auch mposi genannt). 72) mmoja. $) ar. Handel.
45
mmoja, yule mkubwa wao, yakinunua kichupa cha mafuta mazuri,
yakiuliza!): ,,dawa yake nini?" yakiambiwa: ,,yakifa mtu ukimtia?) —
hufufuka, yakiwa mzima.
na yule wa katti yakinunua kioo, yakipewa. kioo hicho dawa
vyake kwenda kukitazama — marra kuwa yuko kwenu, na kule kwenu
mahali mbali, hana buddi?) kuona yote; ndio khabari ya kioo hicho).
na wa tatu yakinunua kitanga”). yakiambia: ,,shughuli yake nini?“
wakimambia: ,,kwenu hapo kuwa mwendo wa siku kumi hatta miaka
kumi, utafika kwa siku moja, kwa sa'a mbili hufika; ndio khabari ya
kitanga hiki.
kama hiyo wakikaa siku nyingi. hatta siku hiyo yule wa katti
yakatezama$) kioo chake, yakiona mchumba wa kakaye?) amefarigi3)
dunya?), yakimambia: ,,kaka yangu, mchumbao!!) amefaligi!!) dunya,
tenna leo hatta kilio kikija amrishwa.“ yule kakaye yakimambia: ,,twende
zetuni!?), tukawahi tuzike.” yakiwambia: ,,haya twendeni."
wakingia katika kitanga, kikaruka, marra kikafika. wakiwahi
hatta kilio kikija amrishwa, yakinena kaka vao: ,,niwacheni nikamwage
mchumba wangu.” yakungia ndani, yakimnukiza mafuta puani, marra
vakiwa mzima. watu wakista'ajjabu!?), mtu yule yu kufa — khalafu
hufufuka.
tenna wale ndugu wakigombana. ,,mchumba huvu wangu mimi
mdogo.” na yule wa katti yakinena: ,,mchumba wangu mimi.” na vule
mwenyewe, mkubwa, yakinena: ,,mchumba wangu mwenyewe tokea
zamani, na sasa nimempa dawa mimi mwenyewe." na yule wa katti
yakinena — kama: ,,siku hiyo wangu, kumwona mngalipataje kumpa
mafuta yenu hayo?" na yule mwenziwe akanena: ,kama si mimi
kuwaleta — mngalimpataje?"
wakigombea mchumba yule, hatta khalafu wakimambia/!): ,,sasa
mchague mwenyewe wa?) kumwoa.” sasa wote wanaacha kugombana.
shauri gani? watu yakawashinda kumtafuta mumewe, illa hapana mwin-
gine — illa baba yao, ndio wa kumwoa, wote wamwite ,,mama”;
mwisho ndio wakigubali. ndipo ulipokwishia.
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) besser alipouliza. 72) zu erganzen puani. 3)ar. Ausweg. 1) oder
hiki. 5) kleine runde Matte. 6) akatazama. 7) kaka yake; kaka, der
altere Bruder. 939) ar. sich trennen. 9) ar. Welt. 190) mchumba wako.
11) farigi. 2) neben twende zetu, auch twendeni zetuni. 13) ar. sich
wundern. 14) wakamambia. 1?) zu erganzen mume.
46
Mtu bakhili).
yalitokea mtu mmoja bakhili, yamekufiwa?) na baba vake na
mama yake, yanataka kufanviza khitima?). kwa karamu hii yakinunua
michele na mbuzi na bizari!) na vitunguu, kulla kitu zana?) yakinunua,
illa nazi hajanunua.
yakiona ghali?) zile nazi. na mwenyewe vanajua kupanda mnazi,
vakenenda sogoni') kuuliza: ,nazi giasi?) gani?” yakiambiwa?): mbili
— pesa, walakini ukenenda hapo mbele utakuta tatu — pesa.“ yaki-
pata tamaa), yakenda yakiuliza: y,giasi gani nazi?” wvakiambiwa:
ntatu — pesa, walakini ukenda hapo mbele utakuta nazi nne kwa pesa.“
yakenda hatta mbele, vakiuliza: ,nazi giasi gani?“ yakiambiwa:
Mhizi nne kwa pesa, walakini nenda Kiungani!!) wanatafuta mkwezi!?),
kama unajua kupanda, utapata nazi sawasawa!?).
na mwenyewe yakenenda hatta Kiungani, yakiziona yakiziuliza.
ndiasi gani?“ yakiambiwa: kumi kwa pesa, walakini nenda hapo ga-
ribu wanatafuta mkwezi wa kupanda minazi, wewe kama unajua nenda
ukapanda.“ wvakisema: ,ninajua.” wakimwambia: ,haya, nenda uka-
pande, utapewa nazi tele.“ yakipata tama'a yakenenda; wyakiwaona,
wakimpandisha minazini, yakipanda.
na huku kawacha!?) mudda wa siku kumi kusoma khitima va
baba yake na mama yake, wanamngojea wasome khitima.
na yule kisha panda juu ya mnazi, yakipindukia juu ya katti??)
Hle kule la nazi, na mikono yake kazuia kuti lake; miguuye!6) kapa-
suka!?), yakizuia mikono na miguuye.
yakapita mtu moja, yakamambia: ,tafaddali, ukija ukiniondosha,
nitakupa reale thelatha mia.” wyakipata tamaa, yakipanda kumzuia
miguu yake, ikanasa mikono yake ndani ya miguu ya yule anayomtoa,
wakaninginia!3) wote.
yakipita?) mtu mwingine, wakimwambia: ,ukija tutoa, tutakupa
fedda.”“ yakiuliza: ,wewce ulio juu utanipa giasi gani?” yakimambia:
ambapo nikitoka salaama, nitakupa reale arba mia.” yakimambia:
ha wewe ulio chini yake, utanipa giasi gani?“ vakimambia: ,nita-
kupa arba mia.“
1) ar. geizig. “) amefiwa. ") ar. Koranlesung. 1) ar. Gewirz.
?) Vorrath. Sjar. theuer, 7? ar. Markt. 9) ar. Preis, Werth. 92) aka-
ambiwa. 10) ar, Verlangen. 11) Vorort von Zanzibar, kiunga Obstgarten.
12) Kokosbaumkletterer, von kukwea klettern. 13) worti. das Gleiche
d. h. zur Halfte. 4) akaacha. !#) Mitte, d. h. in der Krone, wo die
vielen Acste zusammenlaufen. 168) miguu yake. 17) akapasuka. 18) da
hingen sie beide (als wenn sie aufgehingt wiaren). 19) akapita.
47
yakipata tama'a, yakiwaza — ,reale themanie mia hizi nitatwaa
reale mia ninunue punda, na reale miteni nitanunua nyumba ya mawe,
kidogo chanitosha; na reale mia nitanunua joho na kilemba na jam-
bia, na fedda ningine nitaweka nikenda shamba nitumie nikiludi!).“
yakiwaza yakiwaza, hatta yamekwisha kuwaza na kutengeneza
yalivopanda?) juu ya mnazi — marra wakiporomoka?) wote na kuti
lao, wakianguka wakifa. yule na matengenezo yake hakupata, ikiwa
wamekufa wote wawili.
Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza
aus Klein-Bagamoyo.
') rudi. 7) alivyopanda. 9?) herunterstiirzen,
Usijifiche kusikiliza maneno ya watu wengine.
wagati!) wa kulima na gabla?) ya kuvuna watu hufanya siku kuu.
yuko mtu moja siku hii anakwenda pekeyake katika minda”), anapima
anasema — kuwa: ,huyu atapata mizigo khamsini, na mwenziwe!)
atapata mizigo 'asherin, na huyu atapata labda mizigo mitatu ao
minne.“
hatta munda wa mwaka mwingine ikakuwa?) mtu mwingine,
jirani yake, akasema: ,leo mimi ntakwenda ntajificha, nisikilize ma-
ncno vambayo?) yatasema huyu katika shamba langu.“ khalafu akenda
akajificha katika shamba lake. na yule mtu akatokea; alipoona shamba
lake la jirani yake, akasema: ,huvu atapata mzigo mmoja.“ na
veye mwenyi shamba yuko hapa, akasikia maneno yale. khalafu
akenda zake.
na yule mtu akenda akafanyiza muaba'?), lakini mkubwa sana
sana, upata mizigo mia. siku ya kuvuna katika shamba lake ule muaba
ukajaa tele; wakauchukua watu wengi sana. kutaka kufika nyumba-
ni kwake, yule mwenyi muaba akafa, na ule muaba ukapotea njiani,
hawajui umekwenda wapi.
na tenna tokea hapo hatta sasa hamna mtu hathubutu3) kufanyiza
kama hii, ma'ana kujificha kusikiliza maneno ya watu wengine.
“Abdallah bin Musa.
'Jar. Zeit. “Jar. vor. 7) munda (kiangazija) — shamba. f) mwenzi
wake. ”) ikawa. $) veraltete, nur selten gebrauchte Relativform. 7) kiangaz.
Sack. $) ar. fest, muthig sein.
48
Wajinga watatu.
Alikuwako maskini, ana mwanawe mzuri sana; kulla mwanamume
anakuja kuposa — hataki. ,,atakaye mwanangu!), atoe reale thelatha
mia.“ kulla watu?) wanakwisha, hapana awezaye kutoa.
khatima yakawa mtu mmoja akasema: ,,naweza kutoa.” yakauza
vitu vyake vyote, hatta watumwa wake akauza, yakapata reale thelatha
mia. yakapeleka kwa mkwewe”), yakamambia: ,tezamia?) siku njema,
nije nikuoze." akatazamia, yakapata siku njema, yakenda yakaoa; asi-
pate heshima, yakaoa kana mtumwa. yakakasirika sana, yakasema:
mfedda yangu nimepotea burre.”
akakaa siku nyingi pale, khalafu akachukua mkewe; babaye asim-
pe nguo hatta moja, asimpe mtumwa hatta mmoja. yakatoka yakenda
na mkewe, yakakaa nje ya mji, yakawa maskini sana. na kazi yake
kupiga ndege. hupata ndege wawili, moja akauza chakula na moja
kitoweo; sikuzote kazi yake.
yakatoka manamme mgine?”) kijana, akuja taka mkewe. mwanamke
akafanya kama akagubali. yakampa reale ya sham€); killa siku hum-
zungusha, humambia: ,,kaningoje mwituni“; naye haendi.
siku moja yakaja baba yake, mwenyi kumzaa yule manamke,
yakamkuta njiani yule mtu, aliyotongoza mwanawe, akamambia: ,,na-
taka nyumba ya “Ali, iko wapi?“ akamambia: ,,mimi najua sana, twende
nikupeleke.” vyakamkuta mumewe hayuko, yakapiga hodi, akamambia:
ulete mkeka, baba emcekuja?).” yakatoa mkeka yakampa, wakatandika
barazani?). akauliza: ,,mumeo?) emekwenda9) wapi?" akamambia:
vemekwenda tembea."
wakakaa barazani kuzumgumza, yakaja mumewe. yakaona watu
barazani, naye akachukua ndege wawili, yakafanya haya!!) ya kupita,
yakapita kwa nyuma. yakampa ndege moja, yakauliza: ,,nani emekuja
barazani?" akamambia: ,,baba emekuja.”
akenda sogoni?) kuuza ndege wake. wakapata mchele yakanu-
nua, na nazi yakanunua, na pilipili yakanunua, yakapita kwa nyuma,
yakampa mkewe. khalafu akarudi kwa njia ningine, yakaja barazani,
1) mwana wangu. 7 besser kulla mtu oder watu wote. $) mkwe
wake. “$) tazamia. 5) mwingine. 9) ein Maria-Theresien-Thaler. 7) ame-
kuja. ") baraza ist zundichst die vor dem Hause noch unter dem Schutz
des weit vorstehenden Daches befindliche meist etwas erhdhte Terasse,
die gewissermassen als Empfangsraum fiir Giste djient; ferner werden die
von den Bezirksmannern abgehaltenen cffentlichen Gerichtssitzungen
sowohl, wie die Gerichtshallen selbst baraza genannt. 7) mume wako.
0) amekwenda. ') ar. Scham. 2) ar. Markt.
49
yakampa mkwewe mkono, yakamuliza: ,,khabari ya huko utokako?
kina mama otc!) hawajambo?" akamambia: ,,0tc hawajambo.” waka-
zumgumza sana, khalafu wote wakalala.
manamke akapika. chakula kimekwisha, yakasima?) mwangoni?),
yakawetaf): ,,enye), wajinga watatu!" kwanza yakaamka baba yake.
yakaweta: ,,enye, wajinga watatu“ tenna, yakaamka mumewe. yakaweta:
wajinga watatu“ tenna, yakaamka yule kijana aliyetongoza mke.
baba yake akakasirika sana, yakamambia: ,,mwanangu, nimekuja
kukutazama, nawe unanambia mjinga?" akamambia: ,,nipe mkoba
wangu, niondoke!” mwanawe akamuliza: ,,unaondokea lini?” akam-
ambia: ,,umenitukana, ntaondoka sasa hivi, umenambia mjinga na mimi
mwerevu.” akamambia: ,,kaa kitako, ule chakula kwanza, khalatu
ntakwambia maana yake."
na yule mumewe alikasirika sana, akamambia: ,,mke wangu,
umenitukana.“ akamambia: ,,usikasirike, kula chakula kwanza, ntaku-
ambia ma'ana yake.
na yule mwingine akakasirika naye, yakawaga?), yakasema: ,,kwa
herini”), ntakwenda zangu, ma“ana nimetukanwa burre.” akawambia
wote: ,,kaeni kitako, mle chakula, ma'fana zake ntawambia khalafu."
wakakaa, wakala chakula.
walipokula, wakesha$), wakamambia: ,,tupe maana yake." ,,kwan-
za, akasema, mjinga baba wangu ya kunmioza mimi mwanawe kwa
reale thelatha mia, walla asinipe mtumwa hatta moja, walla asinipe
nguo na mali, walla asinipe chombo cha fedda, walla asinifanyizie
“arusi?) nzuri! umenioza ao umeniuza kwa mume? baba yangu — mjinga."
mwa pili mjinga mume wangu. ukatoa reale thelatha mia, ukanioa
miye), sina shamba walla sina kitu; ungalioa mwana wa sultani, un-
galipata mali mengi, ungalitumia kwa wasa'a!!), ukapata shamba nzuri
la kwenda 2), na vitwana nyuma vitakufuata 3) — ukanioa miye mas-
kini wa muungu, sina kitu cho chote. ya pili: ukiwa na kazi ya ku-
patia pesa, tukatumia kwa nafasi), ikawa kunitazama nikifurahi miye
kulla suku!3) — weye, mume wangu, mjinga."
wa tatu mjinga — huyu. mume wangu alinioa kwa gharama 18)
nyingi, fedda zake zote, zisiwe mali, ikawa mari!?) reale yako moja;
1) wote. 7) simama. 9) mlangoni. “) akawaita. ”) ninyi. $) aka-
waaga. ') kwa heri ninyi. 9) wakaisha. “) meist hort man harusi sagen.
10) mimi. '!) Musse. ?) kwendea. 5) der bessere Suaheli liebt es, nach
-dem Vorbild des Arabers, einen moglichst grossen Tross von Leuten hinter
sich zu haben, wenn er ausgeht. 4) ar. Gelegenheit. 2?) neben siku ge-
briauchlich, jedoch seltener. '$) ar. Unkosten, Gebiihren. 7) mali.
Velten, Suaheli-Mirchen. 4
50
akiwa kanitongoza siku zote kwenda laza mwituni — umetokea huna
adabu.”
aliposikia mume, akakasirika sana, akamambia: ,,huyu ndio emem-
tongozea!?) mke wangu?“ yakashika fimbo, yakampiga sana yule, ya-
kamfukuza mbio, na matusi yakamtukana, akamambia: ,,nataka nikuone
hapa, ukapita!?) pangu tu, ntakuua.” akarejea barazani akakaa kitako.
mkwewe akaaga safari, asema: ,,nimekuja kuwatazama, na sasa
nakwenda zangu nyumbani.” wakamambia: ,, kwa heri baba, salaam
mama na watoto wote pia mjini salaam.” yakaondoka yakenda kwa
mkewe, yakamweleza khabari, iliyompata huko alikotoka.
yakatoa fedda, yakapiga mafungu mawili; fungu moja yakatwaa
yeye, na fungu moja yakanunua vitu. yakanunua nyumba nzuri sana,
yakanunua na vijakazi vizuri, yakanunua na matandiko mazuri, yakanunua
na mapambo mazuri, yakanunua na mbuzi, yakanunua na mchele
mwingi, yakanunua na pilipili na bizari. yakaandika barua, yakawaita
mkwewe na mwanawe; wakaja. wakatia h'arusi kwa mali mengi waka-
fanyiza, yakatoa watumwa yakampa mwanawe, na vitwana yakampa
mkwewe. |
mwanamme akafunga mali kwenda kuchuma barra. yakapata
mali, yakapata pembe na watumwa wengi; yakarudi pwani, yakakaa
kwa kheri na mkewe, wakazaa watoto.
ndipo ilipokwishia hadithi ya wajinga watatu.
Muhemedi bin Diwani Tambaza
aus Klein-Bagamoyo.
') amemtongozea. 7) ukipita.
Sultani 'Ediri!) na sultani Ndozi?).
Alitokea mfaume?) 'Ediri na mfaume Ndozi. kulla mtu anakaa
kwa inchi yake. na ile inchi ya sultani 'Ediri haina mvua, kulla mwaka
jua. hukaa wale katika inchi yao. na yule sultani 'Ediri ana watoto
wake na yule sultani Ndozi ana watoto wake.
hutoka mtu mmoja mvuvi wa samaki, akenda baharini kuvua.
aliporudi akimwamkia mama yake kizee, lakini yule kizee si mama
yake aliyomzaa, kamzaaf) mtu mwinginc. yule kizee humpikia chakula
chake; akiona hana mama, afadali awe mama yangu huyu. akenda
1 ar. Gerechtigkeit. 7?) der Deuter, Traumdeuter. 7?) mfalme.
1) akamzaa.
HI
baharini kuvua, ndio kazi yake kulla siku; kurejea kule baharini
yakija!) zake nyumbani.
na yule kizee kulla siku kamwambia mfalme Ndozi: ,kulla siku
ukiota, njoo unambie.“ yule kizee akamwambia: ,vyema.” na yule
kizee kulla siku huota, huenda yakimwambia sultani: ,leo nimeota
hivi ao nimeota hivi.” na yule kijana hulala, naye akiota, humwambia
vule mama yake kizee, na yule kizee hupeleka kwa sultani Ndozi ndoto
zake, kulla siku ndio 'amali?) yake.
hatta siku hiyo yule kijana, mvuvi wa samaki, akiota ,,mwezi
unakuchwea huku matokea jua?), na jua linatokea machweo jua.“
yule kijana akamwambia yule kizee, mama yake, na yule kizee akaenda
mwambia sultani, kama ,leo nimeota mwezi unatokea machweo jua,
na jua limekuchwea matokea jua.“ yule kijana akimwambia: ,,mama,
usiende mwambia sultani, ma'ana maneno haya mabaya sana; tuta-
kufa wote, atatufunga, atatupiga."
yule mama yake asisikie maneno ya yule kijana, akiondoka yule
kizee akenda kumwambia sultani. na sultani alivomwambiaf) vile, ya-
kamkamata, yakamfunga, akataka kumchinsha. naye akamwambia:
”Siyo mimi niliyoota!” sultani akamwambia: ,nani aliyoota?“ akim-
wambia: ,mtoto wangu.“ akafunguliwa yule kizee. akapewa na 'as-
kari kwenda mkamata yule mtoto, aliyoota ndozi?) hiyo. hutoka wa-
kenenda, wakamkamata, wakamleta kwa sultani. sultani akiwambia:
vSitaki kumwona, mtie ndani ya fumba, mshone kamtose baharini.”
wakamtia ndani ya fumba, wakimchukua hatta nyumba ya pili
ya sultani, anayokaa mtoto wake; na yule mtoto — mwanamke. aki-
wambia: ,nini mmechukua“ wakimwambia: ,mtoto moja maskini,
baba yako amesema mchukueni, mkamtose baharini.” akasema: ,mle-
teni kwanza nimtezame. akapeleka kurabu$) yake chini yule mtoto,
ikinaswa ile fumba, ikavutwa juu. na wale 'askari wapo chini, wa-
nangojea; huwambia: ,yhuyu mtu namchukua mimi, na nyie”) twaeni
mawe, yatieni ndani ya fumba, kayatoseni baharini.“ wakitia mawe,
wakenda tosa baharini, wakirudi wakimwambia sultani: ,tumekwisha
tosa.“ akiwambia: ,bassi.“
na yule kijana yuko juu kwa mtoto wa sultani, ndio aliyemchu-
YVakaja. 7) ar. Arbeit. 7) Fir N. S. O. W. haben wir folgende Bezeich-
nungen im suah.: N. gibla (Gebetsrichtung) oder kaskazini (N. O. Mon-
sun); S.: suheli oder kusini (S. O. Monsun); 0.: kunapotokea jua, kuna-
pokucha jua, matokea jua, ma'a wa jua, matlai, mashrig; W.: kunapo-
kuchwa jua, machweo jua, mateo jua, maghribi oder maghribu. “) alivyo-
mwambia. ?) Traum, sonst ndoto gebrauchlich. 9) ar. Haken (kulabu).
7) ninyi.
4"
52
kua. siku moja yule kijana humwambia: ,mimi sina kazi yangu.“
akimwambia: ,kazi gani?" akasema: ,nnavua baharini na mshipi."
akimwambia: ,nikununulie mshipi utavua?”“ akimwambia: ,nunua.”“
akimnunulia') akimpa, akimnunulia na mtumbwi, akimpa, akenda
pwani kuvua.
anaporudi kuvua, hutumbua samaki, matumbo yao hutupa, samaki
yakatunga. huja ndege, wakalia: ,nipe utumbo, nipe utumbo ao sa-
maki.“ na ndege wale huja wengi — samaki). wanavosema”?) vile,
mama yao huwapo pale, akiwambia: ,nyief) watoto, kuna kuja ki-
pande kinatoka kwa mfalme 'Ediri, mje mkatambue ncha na shina,
kinaletewa sultani Ndozi.”“ wale ndege husema wadogo wadogo: ,na
wewe mama kazi gani hiyo, itayomshinda mtu? kinapokuja kipande
hicho?) hukitia majini, kunakozama ndio shina, na kunakoelea
ndio ncha.“
hutoka yule kijana, akenda zake, humwambia yule mtoto wa sul-
tani, aliyemponya yeye, humwambia: ,baba yako ataletewa kipande,
akitambue shina na ncha.“ akimwambia: ,na akitwae kipande hicho,
akitie majini, kunakoelea — ndio ncha, na kunakozama — ndio shina."
akiletewa barua yule sultani na sultani 'Ediri, na kipande pia
kikaletwa. akasoma barua sultani Ndozi, akaona khabari yake ya ku-
tambua shina na ncha kipande, naye hajui. akatoka mtoto wake, yule
mwanamke, yakimwambia: ,baba, lete sufuria kubwa, ujaze maji tele,
ukitie kipande ndani, ukaona?) kunakoelea ndio ncha, na kunakozama
ndio shina.“ akakitia majini, akaona kipande ncha na shina. shina
akaweka “alama?), akampelekea mwenyewe sultani “Ediri, yakimwambia:
>kipande chako hicho kinakuja, na ncha nimetambua, na shina nimeli-
tambua, na huko kunako 'alama nyekundu ndio shina, na kunako
“alama nyeusi ndio ncha.” yakapelekewa; akatazama sultani “Ediri,
akasema: ,huyu kweli sultani Ndozi.“
na yule kijana huenda akivua. kulla siku wakaja ndege tenna,
wakimwambia: ,tupe samaki, amma utumbo.“ mama yao husema:
mwataka nyie, yeye atakulani”)?“ kuna kuja mbuzi watatu kwa sul-
tani 'Ediri, aje awatambuc sultani Ndozi watoto na mama yao.“ wale
ndege wadogo wakimjibu mama yao: wee, mama, ni rakhisi?).“ wa-
kija mbuzi watatu hao, huwafungia majani vichungu") vitatu, na wale
mbuzi wakaletwa kwa yule sultani Ndozi. akiletwa na barua ya ku-
tambua mbuzi hao'!).
') akamnunulia. ") zu erginzen kutaka. 97) wanavyosema. 1) ninyi.
5) neben hiki. $) ukiona. ar. Zcichen. 6") atakula nini. 9) ar. rakhis,
billig, leicht; suah. wird es meist rakhisi geschrieben,. 9) kichungu kleine
Last Gras, Heu, Holz etc. '!) hawa.
53
akitoka yule kijana mvuvi, akenda mwambia yule mtoto, aliyom-
ponya, wa sultani — kama: ,baba yako sultani ameletewa mbuzi awa-
tambue mama ya mtu na watoto, mwambie na wafunge mbalimbali,
asubuhi anapowafungua watakimbia kumkimbiria!) mama yao, bassi
ndiye?) watoto wale.“
sultani akafanyiza vilevile, akawatambua mbuzi watoto na ma-
mic?) mtu). mamaye mtu?) akamkata shikio, akimwambia: ,huyu
ndio mama yao.“ alipoona hii sultani “Ediri, akasema: ,yatanishin-
da huyu.“
akapeleka watu watatu. na yule kijana huvua, wakimwambia
ndege: ,tupe samaki, ao tupe utumbo.“ akawapa; mama yao akiwa-
jibu akiwambia: ,kuna kuja watu watatu, uwatambue mtumwa na
mungwana na khadimu?).“ wale ndege wakanena: ,kama sisi tunga-
liwapikia chakula, tukawatandikia ukumbini?). akiweka taa ya bati
ya pesa tatu, wakagaribishwa ndani, wakapita, wakakaa kitako ndani
wanakula chakula. akapita mtoto akiuzima taa, ukamwona anayo-
sangaa$) na tonge?) ya wali mkononi — ndiye khadimu, na aliyo-
weka mkono mtupu, asiyoweza kushika chakula gizani — ndiye
mungwana."“
na yule kijana mvuvi akitoka, akenda zake nyumbani, akamwam-
bia mtoto wa sultani: ,kuna kuja watu watatu kwa baba yako, awa-
tambue mtumwa na khadimu na mungwana.“ kusema vile — marra
wakitokea. sultani tenna roho yake ikafanya kutumai, kulla siku ina-
letewa aina!) ya kutambua na muungu yamweke mtoto wangu, hu-
sema: ,sizijui ndozi hizi mimi, walakini mwanangu ndio anayonipa
ma'arifa!!) haya.”
akatumwa mtu upesi kwenda kwa mwanawe: ,wamekuja watu
tenna wameletwa, watu watatu, wataka watambuliwe mtumwa na
khadimu na mungwana.“ akimwambia: ,pika chakula, baba, uwa-
tandikie ndani; wanapokula yapite mtoto mmoja aizime taa kwa
ujanja.“
wakitandikiwa ndani, kikapikwa chakula, wakapita ndani kwenda
1) kimbilia. 7) besser ndio — ndio wao. J) mama yake — ma-
maye und mamiye. 1) das gen. praef. wird hiaufig ausgelassen. 59) ar.
Diener; suah. freigelassener Sklave; Aussprache ist hadimu und
khadimu; Muhadimu, Wah. werden die Urbewohner Zanzibars genannt
(ihr Chef Munyi mkuu), von denen noch e€in geringer Theil sehr zu-
rickgezogen im Innern der Inscl lebt. 9) der an der Vorder- und Hinter-
thiire gelegene lange, schmale Raum in den Suahelihausern. 7) giza und
kiza. $) rathlos sein, nicht wissen was zu thun. ?) kleines Kliimpchen.
10) pers. Sorte, Art. 1) ar. Kenntniss.
54
kula. mtoto mmoja akazima taa kwa ghafla!), wakaona — moja ame-
sangaa na wali mkononi, na moja anakula, na moja hali, anangojea taa.
sultani akawakamata, akawambia: ,huyu mungwana, akamweka “alama,
na huyu khadimu na huyu mtumwa, akiwaweka 'alama, kulla mtu na
“alama yake.
wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri, wakamwambia: ,tume-
kwisha tambuliwa.“ sultani “Ediri akasema: ,l007), amenishinda, wala-
kini sasa nitataka kitu kingine, aniletee mvua.
na yule kijana akenda zake pwani kuvua samaki, wakija ndege
vilevile, wakinena: ,tupe samaki, tule, ao utumbo.“ akinena mama
yao — kama: mwacheni, mnataka niye?) — yeye atakulanif)?“ kuna
kuja amri moja huko ya kutaka mvua sultani "Ediri kwa sultani Ndozi.“
wale ndege wadogo wakinena: ,kama mimi ningalitwaa mjusi, nikam-
kata mkia, nikatwae nikachome, unga wake nikarushe kwa upepo,
marra mvua itakuja.
ikija barua ile ya kutaka mvua. yakiletewa sultani Ndozi, yaki-.
nena: ,emenishinda”) huyu sasa, khabari ya kuleta mvua nitajuaje
mimi sasa? khabari hii anajua muungu mwenyewe.” akitoka mwe-
nyewe, akenda mwambia mtoto wake: ,imekuja barua ya sultani “Ediri
ya kutaka mvua.“ akimwambia: ,kamata mjusi, umkate mkia, mkia
wake uchome, unga wake urushe kwa upepo, bassi mvua itakuja
marra. ukitaka jua, twaa kichwa cha mjusi ukichome, ufanye sawa-
sawa, marra itakuja jua.“
yakitoka?), yakenenda sultani Ndozi hatta kwa yule sultani “Ediri,
aliyotaka mvua, akimwambia: ,kama nimekwisha kuja, nini unataka
sema?” akimwambia: ,nataka mvua.“ akamwambia: ,ungoje, saa
sitta usiku itakuja mvua.“
yule sultani Ndozi akakata mjusi wake mkia, akachoma hatta
usiku akarusha kwa upepo, marra likatanda uwingu, ikija mvua nyingi
sana, ikajaa ndani ya majumba, nyumba za udongo zinaelea juu
kwa juu.
yakipiga makelele yule sultani “Ediri — kama: ,sultani Ndozi,
kama nimetubu?) maneno yangu, tenna sitaki mvua, walla kitu kin-
gine sitaki kufanyiza juu yako; nikifanyiza nyumba zangu na mji
wangu raia?) zako, na mji uchukue wewe.“ yakimwambia: ,sasa
unataka jua.“ sultani Ndozi yakachoma kichwa cha mjusi, akarusha
unga wake, likatoka jua. j
) ar. Nachliissigkeit. 7) Ausruf des grossen, bewundernden Er-
staunens. 7) ninyi. “jatakula nini. ) amenishinda. 9) akatoka. 7) ar.
sich bessern, bekehren. #$Jar. Unterthan.
55
yakafirisika!) yule sultani “Ediri, sultani Ndozi akaja zake mjini
kwake. khalafu yule mwanawe mwanamke akawambia — kama:
mbaba, aliyo?) akakuponya — huyu mtoto uliyotaka kumtosa, mimi ni-
kamtwaa, ikenda?) toswa mawe mahali pake; na maneno yote ananam-
bia yeye.“
sultani akamfanyiza ndio mwanawe mwanamme, tenna akamwo-
za na mwanawe, akamfanya mkwewe tenna. ndio khabari!) ya sul-
tani Ndozi na sultani “Ediri.
Muhemedi bin Madigani
” aus Magogoni.
1) fiir Bankerott erkliren; d. i. er erklirte sich fiir geschlagen.
3) aliye. 7?) es gingen. “$) khabari und habari.
Mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri.”
LI
alikuwa mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri, walikuwa sahibu?)
sana. mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri walikuwa wakitoka pamoja
na kucheza pamoja.
ilikuwa siku moja wamepata fikira?) ya kujenga uwalio.9) wali-
pokwisha jenga uwalio huenda zao, hatta asubuhi hurudi huja huta-
zama samaki. wakipata samaki, vule mtoto wa sultani huchukua
samaki wazuri, walio wadogo humwacha mtoto wa tajiri. yule mtoto
wa tajiri hakuridiwa?) na khabari hii, kwa sababu wamefanya gha-
rama?) sawasawa, kulla mtu ametoa fedda nuss kwa nuss. mtoto wa
tajiri akasema nafsi yake: ,;tumekamata samaki kwa mchezo tu, hatu-
taki kuziuzi, kwani siye?) tuna fedda, hatutaki fedda ya bi“ashara va
samaki! tafanza?$) 'agili gani hatta tugawe huu uwalio?" akamambia
mtoto wa sultani: ,tugawe uwalio nuss kwa nuss, kulla mtu awe na
wake; uwalio wangu wakiingia samaki zaidi — bakhti?) yangu, waki-
ingia kwako zaidi — bakhti yako.” mtoto wa sultani amegubali 19),
wakagawa!!) uwalio.
mtoto wa tajiri uwalio wake ulikuwa na bakhti, zikaingia samaki
') reich, Kaufmann; die Aussprache ist entweder tajiri oder tajiri.
2) ar. Freund. 3) ar. Gedanke. $) Zaun, der am Meeresstrande im Wasser
angelegt wird, um Fische zu fangen. Wenn die Fluth die Fische daritiber
hinwegtreibt, konnen dieselben bei ablaufendem Wasser nicht wieder zu-
ruck und sind bei eintretender Ebbe leicht zu fangen. 5) ar. zufrieden
sein. 9) ar. Unkosten. 7) sisi. $9) nitafanza. ?) ar. Glick. 9) ar. an-
nehmen. '!) neben gawanya.
56
sana; na mtoto wa sultani huingia kidogo. yule mtoto wa sultani
akaona vile uwalio wa mtoto wa tajiri unavoingia!) samaki wengi,
akafanza hosuda?), akiondoka asubuhi mapema kuliko mtoto wa tajiri,
huenda kule huchukua samaki wa mtoto wa tajiri, hutia kwake. mtoto
wa tajiri akija — hukuta samaki kidogo, na kule kwa mtoto wa sul-
tani wengi.
akatokea mtu, akamambia — kama: ,,wewe uwalio wako huka-
mata samaki zaidi, lakini mtoto wa sultani huondoka na mapema,
akaja akaweba.“3) akasikia mtoto wa tajiri, akanena: .,haina hajaf)
kugombana na rafigi yangu kwa ajili?) ya samaki; kwanza nikinena
haitapendeza mimi kudai?) samaki mbele ya rafigi yangu, mtoto wa
sultani.” akawacha uwalio, akenda zake, akampa mtu mwingine.
akamambia rafigi yake: ,,sasa sitaki uwalio.“ billa yeye kutoa fikira
mtoto wa sultani akawacha naye uwalio wake.
wakakaa siku kaza wa kaza — hawana mchezo. hatta siku moja
wakanena — kama: ,.tukacheze karata?) mgahawani.) wakenda
mgahawani, wamepata watu wanne, wakacheza karata, nao wakaingia
katika shirika?) ya karata. walikuwa wakacheza zile karata, mtoto wa
sultani akafikiri!0): neno gani tamwambia!!) sahibu yangu hatta au-
zike?"12) huchukua mzungu wa nne') hupijaM) juu ya bao!5), hu-
sema: ,,sultani aula.“16) mtoto wa tajiri amesikia marra kaza wa kaza
katika mchezo, gauli!?) ile imemuzi. kwani huyu ananena ,,sultani
aula?" akaondoka na msiba!8) moyoni mwake, akenda zake.
alipokwenda zake nyumbani mwake, baba yake amemtazama,
marra ile alimjuilia, kama huyu amepatikana na “izara!?). ,,mtoto
wangu umcfanya ninir mbona umekasirika; akanena: ,,sikufanya
kitu.“ akamambia: ,,mtoto wangu, usikasirike! kwa nini unakasirika?
kitu gani unachokitaka? mtoto wangu una fedda, kulla kitu unacho-
kitaka utakipata! kwa nini unauzika?" akasema: ,la, sikuuzika kwa
hivo, rafigyi yangu kanikasiri. tumekwenda kucheza karata, na kulla
tukicheza huchukua mzungu wa nnc, hupija juu ya bao, husema: ,,sul-
tani aula.” babake akanena: hayo ndio maneno yaliyokukasiri? aki-
sema marra ya pili, nawe chukua asi), mwambie: ,,mali ngazi?!).“
wakenda kucheza karata. mtoto wa sultani akacheza, akasema:
vsultani aula; naye akapija asi yuu ya bao, akanena: ,,mali ngazi.“
') unavyoingia. ”) ar. Neid. 7) akawaiba. $) ar. Verlangen. 5) ar.
Grund. “SJ ar. beanspruchen. ')Karten. $)im Kafleehaus. 7?) ar. Gesell-
schaft. ?) ar. nachdenken. ') nitamwambia. ?) sich gekriankt fuihlen.
13) KOonig im Kartspiel. ) hupiga. '”) Spielbrett, Tisch. '$) der Sultan ist mehr.
li) ar. Rede. )ar. Unglick. '?) ar. Erniedrigung, Beleidigung. 7?) Ass.
21) Vermeogen ist die Leiter, der Weg, auf dem man alles erreichen kann.
aa
57
mtoto wa sultani akashtuka!): ,,vilikwendaje kunambia mali ngazi?"
naye akamjibu mtoto wa sultani: kwani?) ukanambia ,,sultani aula?“
akanena: ,,ndiyo mimi sultani, ntaweza kufanya. nnavotaka?).”“ wale
watu walikuwapo wameshtuka, wakasema: ,,ngojeni tuwafanzie sulu-
hu.” wale watoto wamesikia, na wale watu wamewafanzia suluhu;
wakapatana.
wakacheza marra ingine. mtoto wa sultani akacheza mzungu
wa nne, akanena: ,,sultani aula.“. mtoto wa tajiri akacheza, akamcheza
asi, akajinasabu?): ,,mali ngazi." akanena mtoto wa sultani: ,,kwani
unanena mali ngazi?" naye akamrudishia mtoto wa sultani kamam-
bia$): ,,kwani unanena sultani aula?" akasema: ,,mimi naweza kubho-
kumu katika inchi hii na katika inchi ningine.” akanena: ,,nami naweza
kufanza kulla kitu nnachokitaka, kwani nna?) mali.” akamambia mtoto
wa sultani: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani
akamambia mtoto wa tajiri: ,,na wewe huwezi kumwoa ndugu yangu.”
akamjibu: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani
amemcheka, akamambia: ,.tajiri hawezi kumwoa mtoto wa sultani.“
wakagombana sana, hatta khalafu wakafanya shuruti$). mtoto
wa sultani akamambia mtoto wa tajiri: ,,uUkiweza kumwoa dada yangu
— inchi yangu na usultani wangu halali?) yako.“ akanena mtoto wa
tajiri: ,,kama ukiweza kumwoa ndugu yangu — mali yangu yote chu-
kua halali yako.” wakaweka na mashahidi!?), kulla mtu akatia sahihi!)
va ushahidi, na kulla mtu akachukua khatti?) yake. wamepatana tenna,
na khalafu wakenda zao.
mtoto wa sultani akajenga merkebu, alitaka kusafiri kwenda ma-
tembezi. na yeye hakumwambia rafigi yake, amekaa siku kaza wa
kaza hatta merkebu imekwisha, imebagi!3) siku tatu alitaka kusafiri.
akaja mtu moja akamambia mtoto wa tajiri: ,umepata khabari ya ra-
figi yako? siku gani atasafiri?” mtoto wa tajiri akashtuka, akamwuliza:
.Tafigi yangu gani?“ akanena: ,,mtoto wa sultani.” kanena): ,,sina
khabari kama anasafiri, umesikia na nani?“ asema: ,,najua zamani
amejenga merkebu, ataka kwenda matembezi, kesho anashua?), na
kesho kutwa anasafiri."
mtoto wa tajiri ameuzika; ameondoka katika baraza, akenda zake
kwa baba yake. babake alivomwona!) macho yake yamegeuka, marra
alimjuilia kama amcuzika. akenda zake katika chumba chake, akenda
1) stuka, erschreckt werden. 7?) kwa nini. 9$)ninavyotaka. “ar.
Friede, Versohnung. ”) ar. sich bristen. ")akamambia. ')nina. #Jar. Be-
dingung. 7) ar.erlaubt. 9) ar. Zeuge. '!) ar.richtig. “ar. Schriftstick.
13) ar, iibrig bleiben. '“) akanena. ?) vom Stapellassen. ) alivyomwona.
58
akajilalia. amekaa hatta wagati!) wa chakula, babake ameuliza: ,,mtoto
wangu yuko wapi?" wakanena: ,,mtoto wako yuko chumbani kwake.”
akaondoka, akenda chumbani kwake, akamkuta ametia tumbuu?) kwa
ndani. akamwita: ,,mtoto wangu, fungua mlango.“ akaondoka aka-
fungua. akamambia: ,,una nini? huwezi?" akamambia: ,la, mzima.”
akamambia: ,,nambie kweli.” yule mtoto akamambia: ,,baba, mzima,
lakini ntakwambia neno moja, kama kweli unanipenda — usikasirike."
kanena: ,,unataka nini, mtoto wangu?" akanena: ,,mtoto wa sultani
amejenga merkebu, anataka kusafiri, na miye hakunambia; bassi, baba,
kama unanipenda, nataka leo hatta kesho nataka merkebu, na kesho
kutwa asubuhi nataka kusafiri." kanena: ,,hivo tu? ndiyo maneno ya-
liyokukasiri?"“ akasema: ,,bassi — usikasirike, ondoka ukale chakula, mer-
kebu iko tayyari?) hatta ukitaka kesho.
alipoondoka baba yake, akenda zake mashamba, akakusanya ja-
mfei ya watu, akawambia: ,,nataka merkebu, hapa hatta kesho jishe,
mtoto wangu asafiri.” akamambia yule fundi: ,,ukiweza kwisha hatta
kesho, takupaf) befi unaitaka”). wakenda wakajenga merkebu. siku
ya pili imekwisha. mtoto wa sultani hana khabari. wakapakia rufa'a9),
kulla kitu cha dunyani na aina?) vyakula, wakaishua merkebu. mtoto
wa tajiri akasafiri.
mtoto wa sultani amesikia, kama mtoto wa tajiri amejenga mer-
kebu kwa siku moja, siku ya pili amesafiri. marra ile mtoto wa sul-
tani akaamru watu, wakashua merkebu yake, wakasheheni$) na vya-
kula, wakapakia na makaa?), akamfuata rafigi yake.
alipomfuata, akamkuta katika bahari. alipomkuta, akampandia
akamambia: ,tafaddali twende shanjari!9), na tule pamoja.“ yule mtoto
wa tajiri akamambia: ,ndio, lakini siku moja tule kwangu na siku
moja tule kwako.“ siku anayokula kwa mtoto wa sultani — hapati
vyakula vizuri, siku wanayokula kwa mtoto wa tajiri hupika kulla aina
ya vyakula vizuri.
hatta wamekaa siku kaza wa kaza baharini, mtoto wa tajiri vya-
kula vyake vimekwisha. akamambia mtoto wa sultani: ,tafaddali, ni-
hesabie!!) nuss ya vyakula vyako katika merkebu yangu, kwani vya-
kula vyangu vimekwisha.“ mtoto wa sultani amekataa kumpa mtoto
wa tajiri. mtoto wa tajiri akastahamili?), akila vyakula vya maba-
haria!5).
ar. Zeit. 7) Riegel. 53) pers. fertig. “) nitakupa. “) unayoitaka.
8) ar. rufa, aufheben, tragen; hier Ladung. 7) pers. Art. Sar. be-
frachten. 7) Kohlen. 9) neben einander fahren. 7) auf Rechnung ab-
lassen. 7) ar. mit Geduld ertragen. ?) Matrosen.
59
hatta siku ya tatu alivomambia vyakula vimekwisha — ikeshiwa!)
makaa, kamambia?) mtoto wa sultani: ,nipe makaa kidogo, makaa
gu yamekwisha.“ kamambia: ,sikupi.“ mtoto wa sultani akenda
e. mtoto wa tajiri akatwceka.
mtoto wa sultani akarudi, akenda zake kwao. katika fikira?) yake
thanni?) ,mtoto wa tajiri amekufa kwa njaa.“ alipowasili akasema:
'oto wa tajiri amekufa, kaniusia?) nimwoe dada yake, alipokuwa
a.“ dada yake akasema: ,la, miye siolewi na mtoto wa sultani.“
mjibu: ,miye takuoaf), kwani ndugu yako ameniusia.“ dadake
kataa, akanena: ,hunioi, mimi naolewa na mtoto wa tajiri kama
ai.” mtoto wa sultani akamambia: ,kama kesho hukufanza shauri
ikuoe — bassi kesho kutwa utaondoka katika inchi yangu, na mali
0 takunyanganya/?).“
siku ya pili akawasili?) mtoto wa tajiri. alipowasili bendarini,
u wakamwuliza: ,umemambia mtoto wa sultani amwoe ndugu
oo?“ kawambia: ,la, sikumambia.” watu wakasema: ,mtoto wa
ani amekuja, amesema umekufa; amenena: ,ulipokuwa ukifa ume-
sa kama amwoe dada yako.“ akawambia: ,uwongo.”
gadi?) akenda kamchukua mtoto wa sultani, akamambia: ,kwani!?)
:sema uwongo mbele ya shera'a!!)? umenena kama mtoto wa tajiri
'ikufa, naye amekuusia kama umwoe dada yake!“ akajibu: ,haku-
ibia, lakini nataka kumwoa dada yake.“ mtoto wa tajiri akam-
via gadi: ,sema sasa nimemsamehe?) mtoto wa sultani, kwani
za 'agili”) anaitaka kufanza;“ akamsamehe.
akenda zake nyumbani mtoto wa tajiri, akenda akaandika barua
mpelekea dada yake, mtoto wa sultani, akataka kumposa. na ile
a yake, mtoto wa sultani, alikuwa anampenda mtoto wa tajiri.
mjibisha majibu, akamambia: ,nimeridia!?4), lakini sitaki mtu ajue
ika tufunge khutuba!?), wagati ule wakijua — bassi hapana
cka 16),
siku ya pili akamjibu barua dada yake mtoto wa sultani, aka-
nbia: ,kesho kutwa nakwenda shamba, nakwenda kutembea, bassi
ddali njoo katika shamba langu ufuatane na gadi, aje atukhu-
ishe.
siku ya pili akatengeneza magari na frasi na watu wa kufuatana,
enda shamba. na mtoto wa tajiri akenda shamba. wakenda wa-
1) ikishwa. 7?) akamambia. ?J) ar. Gedanke. 9) ar. denken. 3) ar.
nachen. 9) nitakuoa. 7) nitakunyanganya. $) ar. Ankommen. ar.
iter. 0) kwa nini. '!) ar. Gesetz. ?) ar. verzeihen. 3) ar. Verstand.
ir, Zufrieden sein, einwilligen. 5?) ar. Predigt. '8) ar. Zweifel.
60
kifanza karamu wakala. mtoto wa tajiri akaonana na dada yake mtoto
wa sultani, akamwita gadi, akenda akawafungisha nikahi!).
mtoto wa tajiri amerudi amekuja zake, akaja akamwita mtoto
wa sultani, akamambia: ,nimemwoa ndugu yako.“ mtoto wa sultani
akamambia: mwongo, ndugu yangu humjui.“ akamambia: ,mimi
namjua.” kamambia?): nani jina laker“ akasema: ,jina lake Fatuma."
marra ile alishtuka mtoto wa sultani, akaingia khofu”), akamambia:
bado sikusadigif); nioneshe?) mashahidi, walipokuwa ulipokuwa
ukikhutubisha nikahi.“
akamwita gadi na mashahidi watatu. akaja akauliza. gadi akam-
ambia: ,ndugu yako ameolewa na mtoto wa tajiri.” na mashahidi
wakatoa ushahidi waliposhuhudia. akaondosha barua yake ya ma-
shuruti kamambia: ondoka katika inchi yangu, usultani wako ni-
menfuta.”
Selim bin Abakari.
) ar. Ehe. “jakamambia. 3) ar. Furcht. 9) ar. glauben. ) nion-
yeshe.
njia ya mbali na njia ya garibu.
walikuwa watu wawili, wakafanya urafigi. walikuwa wakilima
mashamba pamoja. yule moja njia anayopita mbali, naye shurti afua-
tane na rafigi yake, wapite kule njia ningine. na garibu ya ule mji
wanaokaa pana njia ya garibu; ukikaa mjini huona mashamba yao.
siku moja wakatoka asubuhi, wakafika pale penyi njia ya garibu,
akamambia: ,tupite hii njia ya garibu, twende upesi.“ yule rafigi
yake akamambia: ,napita hii ya mbali, nende zangu, maana hiyo ga-
ribu siijui.“ vule akanena: ,bassi miye napita hiyo garibu, maana
nataka kwenda upesi, nawe pita hiyo mbali nende zako.“
yule akapita njia ya garibu, alitaka kwenda upesi; akenda
— akaanguka katika shimo; na yule aliyopita mbali — akawasili
salaama.
njia ya garibu si njia!), afadali ya mbali unaijua?).
Selim bin Abakari.
1) Ein guter Weg um, ist nicht krumm. 7?) unayoijua.
01
mtu mvivu na mtu wa kazi).
alikuwa mtu mmoja mvivu, naye alikuwa mzima na nguvu zake.
kulla siku, akiona watu wakienda mashamba kulima, yeye husema:
<nangoja muungu.“
hatta siku moja akaja rafigi moja, akamambia: ,kwani?) weye
huendi kulima“ asema: ,siwezi kulima.“ rafigi yake akamambia:
>miye nnalima, mweny ezi?) muungu anisaidief).“
hatta walipovuna mpunga wao na mtama wao, yule mtu mvivu
akawaona wamekwisha vuna, wamekuja zao mjini, yeye kulla siku
hulala na njaa, huondoka na njaa, akasema: ,mweny'ezimgu?) anipe.“
yule rafigi yake akamambia: ,nenda ukalime, amma ufanye kazi,
upate pesa utumie.“ yeye hataki kufanya kazi kwa ajili) ya uvivu
mwingi.
hatta siku moja akenda kwa rafigi yake, akamambia: ,nipatie
chochote?), ninunue chakula, maana sina chakula sina nguo.“ akamwu-
liza: ,kwani huna chakula huna nguo, weye mgonywa? akanena:
la, miye mzima.” asema: ,kwani weye hulimi?” akamambia:
”mimi namngojea muungu, mwenyezi muungu atanipa.“ akamambia:
mhatta sisi tunamngojea mwenyezi muungu atupe. lakini mtu hufanya
kazi, akaomba muungu — mweny'ezi muungu humsaidia, lakini uki-
kaa kitako, ukisema ,nnamngojea mwenyezi muungu“, na wewe hu-
fanyi kazi, hakupi kitu, atakupa donda3).
Selim bin Abakari.
1) fleissig; hodari. 7) kwa nini. 9?) mwenyi 'ezi; 'ezi ar. Macht.
1) ar. helfen. 7) mwenyi “ezi muungu. $) ar. Grund. 7) kitu. 9) Wunde, d. h.
Krankheit.
Mfalme tajiri na mfalme maskini.
alikuwa mfalme tajiri na mfalme maskini. mfalme tajiri alimam-
bia mfalme maskini: ,tukizaa watoto waanaume!) — tuwaue.” yule
mfalme maskini akasema: ,haifai, watoto waanaume zaidi kuliko wa-
anawake.“ mfalme tajiri akasema: ,la, tutawaua.” mwenzake?) aka-
fikiri3): ,shauri gani ntafanyiza watoto wangu wasiuawe?” alipofikiri
“agili, akanena: ,vema — tutawaua, lakini kulla mtu ataua wake mwe-
nyewe katika nyumba yake.“ mfalme tajiri akasema: ,vema;“ akagu-
bali lile shauri.
!) neben waanawaume. 7) mwenzi wake. 39) ar. nachdenken.
02
mfalme tajiri amezaa mtoto kwanza, akamambia mfalme maskini
— kama: ,mtoto wangu namwua.“ akamambia: ,vema, fanya una-
votaka!).“
mwaka wa pili mfalme maskini amepata mtoto manamme, aka-
fikiri: ,mtoto wangu nnampenda, shauri gani ntafanyiza mtoto wangu
asiuawe?“
akenda kwa mtu moja maskini, akamambia: ,nifanzie shauri,
kwani nimezaa mtoto, na miye sitaki kumwua, na ndugu yangu sitaki
yajue, ya kama mtoto wangu yu hai?).” yule maskini akamambia:
vlete mtoto wako ntamficha, walakini usimambie mtu, kama mtoto wako
yu hai. mtu akikuuliza, mambie: ,mtoto nimemwua.”
akenda kwa mfalme tajiri, akamambia: ,nimepata mtoto, nami
nimemwua.” akanena: ,vema.“ kulla mwaka kulla sultani hupata
mtoto. mfalme tajiri huua wake, na mfalme maskini huwaficha wake,
hatta wamekuwa saba.
wale watoto wamekua, wametiwa chuoni, wamesoma hatta wa-
mekhitimu gorani?). mfalme maskini akanena: ,sasa watoto wangu
wamekua, wamcekhitimu gorani, wanajua killa kitu, 'agili?) gani ntafan-
viza watoto wangu wasiuawe, na miye?) nisiuawe?
akatokea mtu moja fitinaf), akawaona wale watoto katika ua wa-
nacheza, akaingia katika nyumba ya yule mtu maskini, akamuliza:
Watoto wa nani?” akamjibu: ,watoto wangu.“ akauliza: ,,umezaa
watoto hatta upate watoto wazuri namna hii? neno hilo sitagubali,
hawa ni watoto wa watu wakubwa, sura?) zao naziona.“ akamambia:
hawa watoto wa sultani maskini, amekuja kuwaweka amana$) nyum-
bani kwangu, mfalme tajiri asiwauc, lakini usimambie mtu.“ akamam-
bia: la, sitamambia mtu.”
akaondoka, akenda zake, akenda kwa mfalme tajiri, akamambia:
shipe kitu, nami nikwambie neno usilolijua.“ akauliza: ,neno gani'“
akamambia: ,shurti unipe kitu nikwambie.” akamuliza: ,unataka kitu
gani“ akajibu: ,nataka kitu kitontosha?),.“ akamambia: ,takupa!?)
mali itakutosha uhai!!) wako na uhai wa watoto wako.
akamandikia barua, akampa mashamba na fedda zambazo!?) zi-
tamtosha. akanena sasa: ,ndugu vyako watoto wake hakuwaua.“ ka-
mambia: , weye mwongo, ndugu yangu amezaa watoto saba, nami
nimezaa watoto sab'a, na sote!”) tumewaua.” akanena: ,la, watoto wa
1) unavyotaka. 7) ar. lebend. 7) den Koran beendigen, lesen kdnnen.
1) ar, Verstand. 7) mimi. 9) ar. Zwist, Zwietracht, Intrigue. 7) ar. Form,
Gesicht. 9?) ar. Sicherheit. 7?) kitanitosha. ') nitakupa. '!) ar. Leben.
12) selten gebrauchte Relativform von amba sagen. 3) wote.
63
ndugu yako wa hai, na kama husadigi!), takuoncsha?)j; na kama
sivo3) — kichwa changu halali yako.“ akamambia: ,twende ukanione-
she.“ yule mtu fitna akamambia: .jigeuze namna ningine, uvae ki-
maskini, tukingie?) katika nyumba, usije kutambulikana, kama wewe
mfalme tajiri.“ akajigeuza kama maskini, akenda katika ile nyumba.
walipogurubia?) ua, wakawakuta wanacheza uani. akamwuliza
yule mtu mwenyi nyumba: ,watoto wa nani?“ akamjibu: ,watoto
wangu.“ akamambia: ,usinene uwongo, nambie neno la kweli, kwani
nauliza kwa haggi?).“ yule mtu akashtuka. ,kwani anauliza namna
hii? akamambia: ,nataka nijue, kwani watoto hawa si wako, hawa
watoto wa ndugu yangu, na wewe ukisema uwongo — kichwa chako
halali yangu, ma'ana mimi mfalme katika inchi hii.“ marra ile akaji-
geuza na nguo ningine kwa hali yake, na yeye akamtambua, akasema:
mkweli, mfalme tajiri.” akanena tenna: ,hawa watoto wa ndugu yako,
lakini akanambia ,,usimambie mtu,” kwani anawapenda watoto wake.
na yeye anataka kusikia hokumu') yako, ndio ma'ana aliowaficha, aka-
kwambia kama amewaua.
akaondoka mfalme tajiri, akenda zake nyumbani, akamwita ndugu
yake kwa uchungu na mauziko, akamambia: ,neno gani tuliloseme-
zana, hatta ukaja ukanighilibu$), ukanambia watoto wako umewaua,
nawe hukuwaua.“ akanena: ,ndio, watoto wangu sikuwaua, kwani
miye napenda damu?) yangu, weye hupendi damu yako; kwani!?) weye
usiweke wako?” akamambia: ,la, sive tumekwisha maneno kama tuue
watoto, weye umegubali kama tuwaue. sasa nimewaua wangu, kwani
usiue wako?” ,nimetaka kusikia hokumu yako, ndio maana niliyo-
kwambia nimewaua, kwani wewe umenishika kwa nguvu, kama tuue
watoto, na miye sikuridia!!). ukaja ukanishurutiza kwa nguvu, kha-
lafu nikaitika — kama ,fanyiza unavotaka!??).“ akanena: ,na sasa
twende katika sheri'a3), twende tukahokumiane, huyu atakayeshindwa
— shera“a itamlazimu.“ akanena: ,vema, twende.”
gadi!4) akawauliza: ,,kuna maneno gani?“ mfalme tajiri akanena:
tuna mashitaka yangu na ndugu yangu. nilimambia ndugu yangu
shauri — kama ,,tukiwazaa watoto waanaume tukiwaue,” naye ame-
gubali. tuliwazaa watoto. miye nimewaua wangu na yeye kaficha 9)
wake; kwani10) hakuwaua? sasa tunataka shera'a ituhokumu.” gadi
akatazama katika kitabu, akamwuliza mfalme maskini: ,,maneno haya
1) ar. glauben. 7) nitakuonyesha. 37) sivyo. 1) tukaingie. 9) ar.sich nahern.
6) ar. Recht. ?) hier Befehl. Sar. bezwingen. ar. Blut. 9) kwa nini.
11) ar. <zufrieden sein, cinwilligen. “) unavyotaka. 5?) ar. Gesetz. “ar.
Richter. 5) akaficha. '9) kwa nini.
64
yalikwendaje weye usiue wako” akanena: watoto wangu nawapenda,
ndio ma'ana sikuwaua. kama siwapendi, haifai kuwaua, kwani ni bin
Adam kama mimi, ni watoto wangu. tenna mtu mwenyi 'agili hatoi
shauri kama hu — ya kuwa ,,ukipata mtoto umwue.” miye nilimam-
bia mfalme tajiri — kama ,,shauri hili si zuri,” naye hakusikia, ame-
sema ,,anataka,“ ndio ma'ana sikutaka kumkasiri. na miye nikaitika,
nikamambia ,,vema, fanyiza unavotaka." akafanza alivotaka mfalme
tajiri, kaua watoto wake, nami nimeweka wangu. killa mtu ana khi-
yari!) katika nyumba yake.“
mfalme maskini amepata shera'a, sherafa imemlazimu mfalme
tajiri. gadi amefikiri: ,,tafanza suluhu?).”“ akamambia mfalme maskini:
gaweni watoto, chukua watatu, mpe mfalme tajiri, nawe chukua
wanne.” mfalme tajiri amekataa, amesema: ,,na tuwaue.” mfalme
maskini akasema: ,,siwaui watoto wangu!” lete shauri jingine, kulla
neno unalotaka?) ntafanyiza, lakini watoto wangu siwaui.” mfalme
tajiri akasema: ,,kama huwaui, niletee ngoma ya milio sab'a, na miye
takusamehe1) watoto wako. kama hukuniletea ngoma ya milio sab'a,
ntakuua weye na watoto wako." kamambia?): ,,vema, takwenda$) ku-
fanza shauri miye na watoto wangu."
akenda kwa watoto wake akaweta?), akawambia: ,,watoto wangu,
nimeshikwa kwa8) sultani, nami ntauawa, nanyi?) mtauawa, kama
hamkuweza kufanza neno analotaka!9), bassi — sote!) tutakufa.” wa-
katoka wale watoto, wakamambia: ,,baba, neno gani unalotaka 2)? kulla
kitu unachotaka 3), inshallah tutafanyiza.” akawambia: ,,pana ngoma
ya milio sab'a, nayo iko hilani?), iko kwa sultani wa mashetani.”
wakasema: ,,bassi, baba, tuundie jahazi, twataka kusafiri.” baba aka-
waundia jahazi, watoto wakatengeneza safari, wanataka kusafiri. sultani
tajiri akasema kwa sultani maskini: ,,kama watoto wako hawakurudi
na ngoma ya milio sab'a “umiri?) wako halali yangu, ntakuua.” akenda
akaweta watoto wake: ,,msende 18) mkapumbazike?!?); kama hamkurudi
— miye ntauawa.”“ watoto wakasikia maneno ya baba yao, wakasafiri,
wakenda zao mudda 8) wa miaka miwili.
wakenda katika bahari?) mwendo wa miezi miwili, wakenda
wakapata inchi. watoto sitta wakashuka pwani, yule Msiwanda”)
amebagi jahazini. wale walioshuka, hawakurudi jahazini illa kwa siku
Ijar. Wahi. ?) ar. Friede, Versohnung. 95) unalolitaka. “) nitaku-
samehe. ") akamambia. 9) nitakwenda. 7) akawaita, 9?) na. 9?) na
ninyi. 9) analolitaka. '!) sisi sote. '?) unalolitaka. ?) unachokitaka. 7!) sie
ist nur auf listige Weise zu bekommen. 3) 'omri, ar. Alter, Leben.
16) msiende. '?) sich dumm anstellen. '?) ar. Zeittaum. 2?) ar. Meer.
2) der jiingste Sohn wird immer Msiwanda (Benjamin) genannt.
—.
65
ya pili. Msiwanda akakasirika, kawambia!): ,,ndugu zangu, huku
hatukuja kucheza, tumekuja kutafuta kitu kwenda kumhui?) baba yetu.”
ndugu zake wamekasirika, wameanza kumpiga na kumtukana Msiwanda,
kwa ajili?) kawambia kweli. wakasema: ,,na tusafiri". wakatweka
chombo chao, wakenda inchi ningine.
walipofika bendarini, ndugu zake wote wakashuka, wakamwacha
yeye na Uledi) katika jahazi. wamekwenda wamepata machezo ka-
tika mji, wakakaa gadiri?) ya siku tatu, wasipande jahazini. ndugu
yao Msiwanda akakasirika, akamtuma Uledi: ,,nenda katafute ndugu
zangu, wambie waje zao tupate kusafiri, maana huku hatukuja kucheza,
tumekuja kwa shughuli).
Uledi akashuka pwani, akenda akawakuta katika ngoma wana-
cheza. akaweta wote pamoja, akawambia: ,,ndugu yenu anawiteni?”);
tafaddali3) nendeni jahazini.” wakenda jahazini, wakamuliza: ,,una-
tuitia nini?" kawambia: ,,nataka kutweka, nataka kwenda zangu, ku-
tazama kazi, niliyoijia.” wakamkamata, wakamfunga na mlingote,
wakampiga, wakamambia: ,,wewe una wazimu? unataka kutuhokumu,
sisi wakubwa zako?" akawambia: ,Ja, sitaki kuwahokumuni?), lakini
nnauzika kwa baba yetu atakavouawa!), na sisi tumegabali, tumemda-
mini!!), kama tutaweza kumhui asiuawe! sasa mnakuja mnafuata ma-
chezo! neno hili halitapendeza baba yetu akisikia. na nyie fanzeni
mtakavo?), na mimi ntawambieni!3) kweli, ijapokuwa mmenipija 1);
walakini haiduru!9), radi iko kwa baba na mama yetu."
wakasafiri wakenda zao, hatta wakafika katika inchi waliyoitaka.
wakenda wakakuta inchi; inchi ile ina mji mzuri. wakashuka katika
mji kwenda kuuliza wenyi ngoma ya mishindo sab'a. waliposhuka
wakakuta hanasa!$) kubwa iliyoko katika mji. wakafuata vijana kama
wao, wakenda katika machezo, wakazoea katika mji, hawafikiri baba
yao hatta mama yao."
Msiwanda amekaa na msiba!?”), akawambia: ,,nyie mmekuja kuta-
futa kitu kwenda kumwondosha baba yenu katika mashakka!$) na
“azabu !?), sasa mmejikalia na sterehe, nyie mmekosa radi ya baba yenu
na mama yenu.” wakamfukuza Msiwanda, wakamambia: ,,nenda zako."
Msiwanda akenda zake, akenda katika nyumba ya mzee moja,
akenda akapanga chumba. akakaa siku mbili, akamuliza yule mzee,
1) akawambia. ar. am Leben erhalten. 9) ar. Grund. 1) der
jiingste Schiffsjunge wird stets Uledi genannt. “jar. ungefahr. $jar.
Geschaft. "Janawaita ninyi. 9) ar.bitte. )kuwahokumu ninyi. “)atakapouawa.
11) ar. biirgen. 7) mtakavyo. 5) nitawambia ninyi. '?) piga. “?) das schadet
nichts. '$) wohi ar. husn, Schonheit, durch Metathesis zu hanasa ge-
worden. 7”) ar. Ungliick, Trauer. '3) ar. Zweifel. ?) ar. Strafe.
Velten, Suaheli-Mirchen. 5
66
akamambia: ,.tafaddali unambie kwenyi!) ngoma ya milio saba?” ,,00"
— yule mzee akashtuka, akamambia: ,,mtoto wangu, huko unaulizia
nini? asema: ,,nataka kwenda kutafuta kitu.” yule mzee amemcheka,
akamambia: ,,ni ujinini?), huku hakwendi?) mtu; akenda mtu, harudi
m'aisha?) yake.” akamambia: ,.tafaddali unambie, na miye nikwambie
gissa?) niliyojia huko.” yule mzee akamambia gartasi€) ya kulla mji
atakapokwenda, akampa na hivo?) atakavofanyiza.
yule mtoto akamambia maneno yote ya baba yake, na maneno
ya ndugu zake walivomtupa. akamambia: ,,nataka shuruti ya kupata
ngoma hii, na miye nikipata, ntakupa mali utajirike.” yule mzee aka-
furahi, akamambia: ,,ntakufanyizia safari yako.” akamfanzia safari,
akamfanyvizia bissi la mtama, na 'asali9) ya nyuki, na bissi la mahindi.
akamtilia katika mituko, akampa na buyu la maji, akamambia: ,,nenda
katika njia, ukisikia watu wamekoroma, usiende, kaa kitako; ukisikia
wanasema, nenda — wamelala."
vule mtoto akenda katika njia usiku na mchana, naye hapati
kulala kwa kumfikiri?) babake na mamake. akisikia wanakoroma, hu-
kaa kangoja 9) hatta wanaposema. akafika pahali penyi mji, akenda
katika nyumba. nyumba ile nyumba kubwa, na hapo hapana mtu.
akenda kutembea katika ile nyumba, akenda pahali akamkuta mzee
moja, mzee sana. mzee yule alipomwona akashtuka, akamambia: ,,mwa-
nangu'!), unakwenda wapi?" akasema: ,,natafuta ngoma ya milio
saba.” mzee vule akamambia: ,,ngoma ya milio sab'a afadali rudi
uende zako, bado wenyewe hawakuja, nathanni!?) wako njiani wana-
kuja.“ akamambia: ,,njoo upesi nikufiche." akamchukua, akamtia
katika uchochoyo!3), akamfinika na makanda, akamambia: ,,nyamaza.
usiseme neno, walla usitoe upiimzi, mafana hawa wakija wakisikia
watakutafuta wakuue.
wakaja majini katika nyumba. walipokuja wakamwita yule mzec,
wakamambia: ,,mbona pana h'arfu 1) ningine katika nyumba, labda ume-
ficha mtu. amekuja bin Adam katika nyumba hii?" yule mzee akasema:
Sijui, miye sikumwona.“ yule mtoto amesikia, anatetemeka katika ule
uchochoyo alipofichwa. yule mzee akawambia wale majini — kama:
labda nyie mmekamata bin Adam, nani atakuja katika nyumba hii:”
') zusammengesetzt aus ko und enyi, der Ort dort, welcher besitzt.
?) im Reich der bosen Geister. 7) haendi. f) ar. Leben. ?) ar. Sache. $) ar.
Papier, hier Beschreibung. 7) hivyo. $) ar. Honig. 9?) ar. denken. 0) aka-
ngoja. 1) mwana wangu. ?) ar. glauben. ?) ein dunkler schmaler Gang
im Hause. ) ar. 'arf, Duft, Geruch; im suah. harufu und harfu ge-
sprochen.
07
wale majini wamegubali, kama hapana mtu katika nyumba. marra ile
wakenda zao.
akenda akamtoa yule mtoto katika uchochoyo, akamambia: ,,njoo
upesi, tazama wale majini, wale ndio wenyi ngoma ya milio sab'a.“
akamambia yule mtoto: ,,kama umenipa ngoma ya milio sab'a, ntakupa
reale laki na buyu la 'asali ya nyuki.” akamambia: ,,nipe nuss ya
mali, khalafu ntakwambia namna ya kuchukua ngoma ya milio sab'a.”
akampa nuss ya laki, na nuss ya buyu la “asali. akamwita akamambia:
unaona pale penyi ngoma? tazama kile kilima pana mlingote, na ile
ngoma imetundikwa juu, na wenyewe wamelala chini. bassi — na
ngoma ukitaka, chukua bissi lako na 'asali yako na buyu lako utie
katika mifuko, uenende polepole, hatta ukifika pale. ukisikia wanako-
roma — usiende, ukisikia wanapiga makelele — panda mlingote, ui-
chukue ngoma. ukisikia wanakoroma — kaa huku juu ya mlingote,
ukisikia wapiga kelele ,,huyo huyo, mfuate, mkamate, mpije" — bassi
chukua polepole, nenda zako. ukisikia wamenyamaza, ujue, kama
wamekufuata. bassi, uwamwagie “asali. kama umeona wamekuzidi!),
wanataka kukukamata — mwaga bissi la mtama; ukiona wamekuzidi
sana — mwaga buyu la maji, itafanya bahari, wasiweze kukukamata.
amekwenda hatta katika njia, amesikia wamekoroma, amejinama?),
amekaa kitako. alivosikia?) wanapija kelele, alikwenda akapanda mlin-
gote, akaikamata ngoma ya milio sab'a. alivoikamata?) ngoma, ilianza
kuvuma namna ya mishindo, na majini hupija makelele ,,huyo huyo,
mkamate, mtuate, mpije.”“ hatta walivyonyamaza, wakaondoka kuta-
zama ngoma yao katika mlingote — haipo.
naye amekwisha fika mbali. wakamfuata mbio, wamenyamaza
kimya; wakamgurubia hali ya kuwa walitaka kumkamata. akamwaga
“asali ya nyuki. wakasimama kuiramba. ikesha wakamfuata, wataka
kumkamata, akamwaga bissi la mtama. wakaokota bissi la mtama.
likesha wakamfuata, akavunja buyu la maji, ikaondokea bahari, wasi-
weze kumfuata. yule mtoto ameipata ngoma ya milio sab'a.
akenda zake kwa ndugu zake, akawambia: ,,nimepata ngoma ya
milio sab'a.” ndugu zake wakafurahi, wakamambia: ,,twendeni zetu."
wakenda katika jahazi, wakatweka, wakenda zao. Msiwanda akamam-
bia Uledi: ,,chukua vijiti?) vya ngoma, ufiche kwako, na kamba zake
vilevile, ndugu zangu wakiniua, khalafu peleka kwa baba yangu.”
khalafu ndugu zake wakaona, kama Msiwanda anapatana na
Uledi. wakafanya shauri ,,;tuwaue wote wawili, nasi) tuchukue ngoma,
1) vermehren, hier in der Bedeutung ,,ndher an jemand herankom-
men". 7) amejiinama. 9) aliposikia. “) alipoikamata. 5) die Trommel-
stocke. $) na sisi; neben nasi ist auch naswi gebriauchlich.
n”
68
tukaseme, tumepata sisi, Msiwanda amekimbia, hataki kwenda ujinini."
wakamtupa Msiwanda na Uledi baharini; na Msiwanda alikuwa na
kamba na vijiti vya ngoma. na kama ile ngoma haina vile vijiti vyake
— vijiti vingine havifai.
Msiwanda ameogelea yeye na Uledi, hatta wamefika katika inchi
ya Islam. wakapata mashua moja, wakanawili!) ile mashua. na ndugu
zake wamekwenda zao. wakenda wakasema — kama: tumeipata ngoma
ya milio saba.” babao?) akafurahi, akasema: ,,yuko wapi Msiwanda?"
kwani alikuwa akimpenda zaidi kuliko wote. wakamambia: ,,Msiwanda
amekimbia yeye na Uledi, amesema hataki kwenda ujinini, na siye
tumekwenda tumepata ngoma, tumekuja.”
wakenda kwa mfalme tajiri, wakamambia: ,,tumepata ngoma ya
milio sab'a.” akawambia: ,,vema, nataka mwipije?), nisikie mlio wake."
wakenda wakaipija kwa vijiti vingine, isilie kwa namna yake, ilitokea
sauti) zisizojulikana. mfalme tajiri akasema: ,.hii siyo, bado hamkuni-
letea.” babao marra akafikiri: ,labda hawa wamemwua Msiwanda."
bassi, mfalme tajiri akasema: ,,kama hatta kesho ngoma sikuipata —
nyote mtauawa.”“ ikibagi siku moja kuuawa.
mudda wa sa'a mbili watauawa — marra wakaona mashua iko
mbali inakuja. na baba yao ana msiba moyoni mwake ya khabari
ya kuwa watauawa. wakaja kuchukuliwa na mfalme tajiri kwenda
kuuawa. mfalme maskini akamambia: ..,nisibiri?) hatta mashua ile
iwasili, labda ntapata barua ya Msiwanda.“ akampa saburi$9), akangoja
ile mashua. hatta ilipokuja, ikaja na Msiwanda na Uledi.
alipowasili Msiwanda, akawambia khabari, ya kuwa ngoma amei-
pata yeye, na ndugu zake wamemnyanganya, wamemtupa baharini.
ndugu zake walijinamia kuona haya. marra akaondosha vijiti na
kamba za ngoma, akaikaza kwa kamba; akaipija na vijiti vyake, marra
ilianza kulia kwa mishindo sab'a ya namna yake. na kulla mtu ana-
cheza, anayetaka na asiyetaka — hucheza, kwa jissi?) inavolia$) nzuri.
wafalme wote wawili wakacheza, wakasema: ,,hio ndio ngoma tuliyotaka/?).
Msiwanda akawambia vissa vyake na ndugu zake, walivyom-
fanyiza wakampiga wakamtupa, na hivo!) alivoipata!!) ngoma. babake
akafurahi, akampa radi, akawafukuza ndugu zake. mfalme tajiri akampa
Msiwanda “ezi?) yake, akaituma.
Selim bin Abakari.
1) nauli Fahrgeld, Fracht; hier miethen. 7?) baba yao. 37) mnaipige.
1) ar. Stimme, Ton. Jj ar. warten, sich gedulden. $) ar. Geduld. 7) ar.
Art; im suah. ist die Aussprache jinsi, jissi Oder ginsi, gissi. $) inavyolia.
?) tuliyoitaka. 9) hivyo. '!) alivyoipata. 7?) ar. Macht.
69
Mtoto wa sultani na mtoto wa mfalme.!)
Alitokea sultani na mfalme. sultani amezaa mtoto manamke na
mfalme amezaa watoto sab'a waanawaume. watoto wale akawaoza
wake, illa yule mkubwa wao wa sab'a ndio hakuoa.
na yule sultani katika ule mji mfalme mkubwa. na yule mfal-
me ni mfalme, mtu mojapo mkubwa katika mji, akampenda yule
sultani, amemfanya waziri wake; anakula mshahara yeye na wa-
toto wake.
yule mtoto mkubwa wa mfalme husikia, ya kuwa kuna mtoto
wa sultani, jina lake Miza. na yule kijana kazi yake, kulla siku huwa
kazi yake, kwenda barran?) kupiga ndege. hatta siku hiyo alipokwe-
nenda mwituni, akafika mahali pana siwa kubwa la maji. akaokota
unywele, akauchukua, akaukunjua, akauona mrefu, zera“a?) mbili marefu
vyake. alipouchukua yakafika nayo nyumbani, marra akaingia ndani
va nyumba yakalala.
wale watumwa wake wakasta'ajjabu?), kama bwana emeingia?) na
mapema leo humo nyumbani; na desturi yake, yakienda piga ndege,
hurudi jioni, lakini leo amerudi na mapema, ameingia ndani amenya-
maza kimya. wale wajakazi wakamwambia baba yake: ,,kibana$)
yumo humo ndani, yemeingia') zamani, ana nini? hebbu?) — nenda
kamwulize, bana."
akenenda mwuliza, yakamwambia: ,,una nini mwanangu wee
kibana, una kichwa, tufunge mgomba, kama una homa, tupae ma-
kaa?" na kibana akamjibu baba yake: ,,sina kichwa, walla sina
homa, nalikwenda kule matembezi?), halikuta9) kapo!!) la wanja 2),
si wanja, si makoma manga), nipaticni Miza mnioze. hapatiki Miza,
hapitiki, na miango?) ya kwao ifungwa, panga na ngao ziko mko-
noni.”
yakatoka baba yake mle ndani, yakaja zake kumwambia mkewe:
khabari ya kibana unayo? anataka mtoto wa sultani kuoa; na
mimi naogopa, siwezi kwenda posa — nnaogopa, sisi maskini, sultani
1) Diese Erzahlung hat einige Aehnlichkeit mit kibwana na kibibi.
?)ins Inland. JJ ar. Elle, suah. zirafa und zera'a. “$) ar. sich wundern.
>) ameingia. 9) der ilteste Sohn wird vielfach bei den Suaheli kibana ge-
nanpt. /) yemeingia fiir yameingia, ameingia. 9) Ausruf der Aufforderung,
deren Sinn sich gewohnlich nach dem im nachstehenden Satze vorkommen-
den Verb richtet — hier also etwa ,,komm her“, ,,sieh her“, 9?) Spazier-
gang. 5“) hakuta fiir nikakuta. '!) grosser Korb. 7?) Schonfirbemittel.
13) Granatipfel aus Arabien. 1) milango; mlango und mwango.
70
ni mtu mkubwa sana, ni sultani mwenyi mali mengi. mtoto wetu ana
khatari!) sana, mtazame kwanza mwanao?)."
yule mtoto wake mfalme akafanya uchungu, akakaa kitako nyum-
bani. na yule Miza amepata khabari — kuwa: ,,mtoto wa mfalme ana-
nitaka mimi.“ na yule Miza anasoma gorani”) na ilimu), na 'ilim
dunya”) anajua. akatazama katika ramli yake, akamwona mtoto mfalme
anataka kumposa. naye mgonywa, walla hataki kula kwa sabiki?) ya
mtoto wa sultani; ,,shurti nimpate nimwoe.”
na yule mtoto sultani mwanamke anapewa vyakula vya mwezi
mzima, na kuni za mwezi mzima, na maji ya mwezi mzima, kulla
shughuli, na vitoweo pia pia, anapewa vitu vya mwezi mzima. naye
desturi yake anakaa huko huko juu, hashuki. hatta siku moja akinena
akimwambia mjakazi wake: ,,nenda kwa mtoto wa maskini yule, mwam-
bie leo yafurahi, walla asiuzike, na chakula yale?) kwa furaha, kama
ananitaka mimi — jioni ntakuja sa'a mbili usiku.
yule kijakazi yakaondoka kwenda mwambia yule kijana, mtoto
wa mfalme, akamwambia vilevile kama alivomwambia?) bibi yake.
akafurahi yule kijana, yakimwambia: ,,kweli atakuja leo bibi yako?"
yakinena: ,,atakuja.” wyakifurahi sana, akikaa hatta jioni sa“a mbili
usiku. yule manamke wa sultani akateremsha kikapo juu ya nyumba,
yakashuka yeye na mjakazi wake, wakaingia ndani ya nyumba ile.
yule kibana akafurahi sana. wakakaa siku kumi pamoja.
yule mtoto wa maskini akamwona?) baba yake, akasta'ajjabu
huyu: ,,mwanangu furaha gani aliyo nayo?“ hatta siku ya hed“ashara
vule mwanamke akitaka rukhsa, akamwambia: ,,nenda 9) zangu sasa,
shika adabu yako, mimi mtoto wa sultani, si mwenzio!!), walla huni-
pati mimi, umekwisha pata kwa kuzini, kuoa hunipati mimi; bakhti 2)
yako kubwa hatta nimekuja nyumbani kwako.“ akamwambia: ,,sasa
hivi nitakwenda zangu, kwa heri.
hatta sa“a nne ya usiku akafika nyumbani. wale wajakazi wake
wakamwona yule bibi, wakamteremshia kapo, yakaingia, wakamvuta
hatta akafika juu; akakaa kitako. na baba yake anathanni3) labda
mwanangu yuko juu tu, atakwenda wapi? hatta siku ya arb'at'ashara
akija mwamkia baba yake chini, akirejea kwenda kaa kitako.
na yule mtoto wa maskini emefanya 9) ghadabu 19) marra ingine,
ememwambia!6) mama yake: ,,nipikie mikate.” yakimpikia mikate mingi,
1) ar. Gefahr. 7) mwano wako. Jjar. Koran. fjar. Wissenschaft. 5) ar.
Welt. $9) ar. Resultat — kwa sababu. 7) ale. 9) alivyomwambia. 9) fiir aki-
mwona, besser alipomwona. 'P) nakwenda. 'J3) mwenzi wako. Bar.
Glick. 5) ar. glauben, meinen. 'f) amefanya. P)ar. Zorn. 8) ame-
mwambia.
71
akatandika na frasi wake, akamrukia akimpanda. akamwaga akamam-
bia: ,,baba kwa heri, na mama kwa heri, nenda!) zangu, walla siji
tenna.”
akaondoka yule kijana akenda zake, hatta yakafika mahali pana
mti mkubwa. akapanda juu ya mti akatezama anakokwenenda, akiona
mji uko mbali sana. na ule mji hauna watu, watu wamekufa wote,
vuko zimwi pekeyake.
yule kijana akenenda, na inchi hiyo amekwenda mwendo wa
siku sab'a. alipofika ugani, panapo ile nyumba kubwa, ndani mna
zimwi, yule zimwi yakanena: ,,nani wee?" yule kijana akasema: ,,mi-
mi.“ zimwi akamwambia: ,,njoo ule chakula, upate ushibe, nije kha-
lafu kukumeza.”“ yule kijana akamjibu: ,,utaweza kunimeza mimi?“
vakimwambia: ,,ntakumeza.“ zimwi yakimwambia: ,,wacha ghururi?)
yako weye kijana, hapa kuwa watu wengi walio katika mji huu, na
mimi wote nimewameza; kama wewe mtu moja, utanishinda mimi?"
vakamwambia: ,,njoo unimeze, kama unaweza kunimeza!” zimwi aka-
sema: ,,ngoja, nakuja, kaa tayyari.
akatoka zimwi kwenenda. na yule zimwi ana vichwa sab'a na
miguu sab'a na mikono sab'a. alipokwenda mrukia, yule kijana aka-
peleka upanga wake, akavikata vichwa viwili pamoja na mikono mi-
wili. zimwi yakasema: ,,umekata vichwa viwili na mikono miwili,
lakini vichwa vitano viko na mikono mitano iko bado.“ akimwambia:
njoo.“ zimwi yakamwendea kumrukia, alimpiga vichwa viwili, ya-
kaviangusha, na mikono miwili, vikabagi vichwa vitatu na mikono
mitatu. akamambia: ,,€883), umefanya nini wee, ngoja nakuja tenna."
vule kijana akasema: ,utakufa zimwi leo.“ alipomrukia akamkata
vichwa vitatu vyote na mikono mitatu — likaanguka zimwi.
na yule kijana mwenyewe emechoka, emeduruf), hatta “agili
hana, akaanguka naye. hatta saa kumi na moja umekuja ubaridi
mzuri, akapata fahamu?). akaondoka, akachukua upanga wake, huenda
vakimpiga yule zimwi aliyokufa, humgonga zimwi huyu alitaka kum-
ua. yule mtoto anapogonga hivi, hutoka mtu moja moja ndani ya
zimwi, wakatoka watu wengi ndani ya zimwi mle tumboni mwake,
watu wa mji ule wote wakatoka, hatta sultani wao, hatta na wa-
toto wa sultani pia pia, na mbuzi na ngombe na punda wakatoka.
khalafu mwisho akatoka Mgazija$) mmoja. alipokuwa yakimpiga
yule zimwi, alipotoka yule Mgazija, kidole cha mwisho ukamkata ule
upanga kidogo, akakasirika sana yule Mgazija, yakamwambia: ,,umc-
') nakwenda. 7) ar. Betrug, Verfiihrung. ?) Ausruf der Verwundc-
rung. far, schaden. ?) ar. verstehen. 9) ein Comore.
72
nikatia nini? na mimi ntakukata vilevile! watu wale waliopo wa-
kamwambia: ,,tazama huyu, sisi cmetuponya!), tulikufa sisi ndani ya
tumbo la zimwi, huyu amekuja kutoa, kama unataka kumpiga yeve
tupige sisi, mtu umtakayo hapa, japo?) kama sultani mpige, walakini
huyu usimpige.” Mgazija akasema: ,.sitaki, ntampiga huyu huyu35).“
vule kijana akasema: ,,mwache, anipige.” yakamwambia: ,,lakini tuka-
pigana hapa utakufa weye, twende tukapigane msituni?).“ akam-
ambia: ,,haya, twende;“ wakenenda msituni.
yule kijana akamambia yule Mgazija, akamambia: ,tusipi-
gane kwa upanga, tupigane kwa fimbo.“ vule Mgazija akamambia:
"ndio kweli.” wakapigana; yakapigwa yule Mgazija sana, likapinduli-
wa gogo, yakaanguka, yakapotea “agili.
yakija zake mjini yule kijana, akaulizwa: ,,yule Mgazija yu wapi:”
akasema: ,,nimemwua.” watu wakasema: ,,sisi tumejua toka zamani
kama anataka kwenda kufa — bassi.” yakakaa yule kijana, yakarejea
kule mwituni, akamsomea, akageuka bin Adamu. yule akamambia:
mbassi bwana, nimetubu?) tenna.” akamambia: ,,bassi, nenda zako,
rukhsa.
sultani akapiga mbiu, wakija watu wengi sana, na yule kijana
akija. alipokuja yule kijana, sultani akamwambia: ,,wewe ndio mwe-
nyi 'enzi9), wewe sasa ndio sultani, hapana sultani mwingine tenna
ila wewe; na mimi ni mtu mzima, tenna wa kukaa chini yako.”
vule kijana akakataa, akasema: ,,mimi siwezi usultani.“ wale watu
wa mjini wote pia wakasema: ,bwana wetu wewe, sultani wetu
wewe.“ yule kijana hana hila?) tenna va kukataa, akakaa vyule ki-
jana. mudda wa mwezi moja akamwoza mwanawe, akimwoa. vule
sultani akiwapa upande wa inchi mwanawe$) na upande mkwewe?!,
yakikaa juu ya 'enzi hatta mwezi wa sitta, yakamwambia: ,,na-
taka kwenda kwetu, mkwe wangu." akimwambia: ,,nenda.“ akifunga
safari “askari mia, akachukua na punda moja na frasi moja na waja-
kazi waanawake kumi na watwana waanaume 'csherini, na mkewe
akachukua wajakazi kumi. akatoka yule kijana na mkewe kwenda
mtazama baba yake na mama yake.
alipofika mjini, wakapiga bundugi nvingi. yule sultam akastuka!? ,
akapeleka “askari: ,,katazameni bundugi nvingi za nini?” yule mtoto
') ametuponya. 7?) selbst wenn, mecist wird ijapokuwa gesagt.
3) die Comoren sind im Aligemeinen nicht beliebt bei den Suaheli und
gelten bei ihnen als undankbare Menschen. f) auch mwituni. '“Jar.
bekehren, sich bessern. #$jar. Macht, Kraft; “ezzi, “ezi und “enzi sind ge-
brauchlich. 'Jar. List, hicr ,,cr fand keinen Ausweg."" 9?) mwana wake.
?) mkwe wake. 0) erschreckt werden, auffahren.
73
wa mfalme, aliyetoka zamani mjini humo, akasema: ,,mimi, mtoto wa
mfalme, nimekuja kumtazama baba." wakarudi “askari wale, wakam-
jibu sultani, wakamwambia: ,,mtoto wa mfalme amekuja mtazama
baba yake.” wakafurahi sana baba vyake na mama yake kuwa mwa-
nao!) amekuja.
na yule mtoto wa sultani, Miza, akapata khabari, ya kuwa ame-
kuja mtoto wa, mfalme. akimwambia baba yake: ,,baba, mimi nnataka
mume mtoto wa mfalme, mume mwingine simtaki kabisa.” aka-
mwambia: ,,vema, mwanangu.” akapelekwa mtu kwa mfalme kwenda
mwita. yakija, akimwambia sultani: ,,mwanangu utamwoza mwanao?
nipe shauri lako, nini? utagubali?” mfalme akasema: ,,nimegubali,
sultani.”
akenda kumwambia mwanawe mfalme: ,,sultfani anataka yakupe
mwanawe uoe, yule uliyokuwa ukimtaka zamani.“ yule kijana yakiji-
zuia, akisema: ,,sasa simtaki, nimepata mke mzuri huko, nimepata na
usultani na mali mengi huko, huyu simtaki tenna.“ akambembeleza?)
baba yake, hatta khatima yakagubali yule kijana.
akamwoza yule mtoto wake sultani Miza, yakiwa ndio mumewe
uladi3) mfalme. wakakaa kitako siku nyingi, yakiaga kwenda zake
tenna kule alikoupata usultani. kule akakaa kitako na wakeze), wa-
kizaa nyike na ndume), wakakaa raha mustarehe.
Muhemedi bin Madigani
aus Kondutschi.
1) mwana wao. '?)zureden, liebkosen. 7?) ar. Sohn, hier falschlich
der plural gebraucht. f) wake zake. ?) Weibchen und Minnchen; meist
von Thieren gesagt.
Msiwanda.!)
Alitokea sultani mmoja, akizaa watoto sab'a, mmoja jina lake
Salem, na mmoja jina lake Sleman, -na mwingine Nagsur, na mwingine
S'aid, na Hemedi, na “Abdallah, na mwisho wao Msiwanda, ndio mdo-
go?) wao; ndio jina lake hili Msiwanda.
wakikaa watoto wale hatta wakiwa watu wazima. na pale
1) Diese Erziahlung hat einige Aehnlichkeit mit kisa cha binti
Matlai Shems, Bittner Anthologie p. 106, ist jedoch bei Weitem ausfiihr-
licher. 7?) jingste.
74
ugani!) pana mti mkubwa, katika uga ya nyumba ya baba yao. yali-
kuja ndege moja, yakitua katika mti ule, yakilia yule ndege; mlio wake
mzuri. baba yumo ndani, na watoto wote wamekwenda zao majum-
bani kwao, yakibagi?) yule mtoto wa mwisho, msiwanda?) wao.
akimtezama?) yule ndege, ndege yakiona oga — akiruka, yaken-
da zake, yakiangusha unyoya moja. yule mtoto yakiuokota?), akimpe-
lekea baba yake, yakimwambia: ,,baba, yalikuja ndege mzuri leo hapa
panapo mti huu.” yakimambia: ,uko wapi unyoya wenyewe?"
yakimambia: ,,huu.” yakiutazama baba yake, akiuona kweli mzur
sana, yakaweta9) watoto wake wote, akiwambia: ,,nyie?) ni watoto
wangu, nawatuma, sheruti$) mtumike, kama mnataka radi?) yangu
mwende mkaniletee ndege huyu.” wakimwambia: ,,tutamwona wapi,
baba, na ndege wengi aina?) moja, huyu umtakayo hatumjui sisi."
akiwambia: ,,mkafanza upindani!!) na mimi, baba yenu? nawatuma,
sasa hivi mwenende mkamlete huyu ndege, ndio mpate radi yangu."
wale watoto wakiona neno limekuwa kubwa tenna, walla hali-
kataliki, wakimwambia: ,tusafirishe.“ yakafanyiza mikate mingi sana,
na kulla mtu akampa fedda rupia elfu elfu?) kullu mtu, na kitwana
kimoja kimoja), na frasi moja moja. wakitoka wakipanda frasi zao,
wakenenda hatta mwendo wa miezi miwili — hawamwoni ndege, wa-
naona barra na pori4) moja kwa moja!”), walla mji hawauoni.
hatta mwezi wa tatu akiona mji yule mkubwa 19), akanena: ,,mi-
mi hapa siondoki tenna, na kama radi za baba za kumtafuta ndege,
shurti nimpate huyo ndege, na ndege ni wengi, simjui mojapo!?). na
kama radi ni hizo, na nizikose!8). mimi hapa — tenna siondoki, na
nyie!?) kama mnataka kwenda, nendeni, mkamtafute huyo ndege.“
wakatoka watu sitta wale, ndugu yao wa sab'a wakimwacha.
wakenenda wao hatta mwendo wa siku kumi, wakikuta pori moja
kwa moja. wakaliingia, wakienenda mwezi mzima na mwezi wa pili
na mwezi wa tatu, ndio lilipokwisha pori. yule mwingine ba“ada ya
mkubwa wao ndiye yeye akisema: ,,mimi miguu inauma, hapa nime-
fika katika mji huu, siondoki tenna, nendeni zenu.”
wakitoka, wakenenda watu watano tenna. waliobagia hawa-
wezi kujizuia, kulla mwendo wa miezi miwili wakikuta?) mji — hupa-
JJ) auf dem freien Platze. ?Jj ar. tibrig bleiben. 9) der zuletzt Ge-
borene.. $) alipomtazama. 7) akauokota. 9) akawaita. 7) ninyi. '"“Jjar.
Bedingung. ) ar. Zufriedenheit. 1) pers. Art, Sorte. '1) Worte ver-
drehen, davon das subst. mpindani — z. B. weye mpindani mno du
verdrehst meine Worte, um mir tiberlegen zu sein. 7?) je tausend. 2) je
einen. '“)Steppe. 2) nur. 9) ilteste. 7) wo der eine steckt. 9) so moge
sie mir fehlen. ?) ninyi. €) walipokuta.
75
iga, wakikaa kitako wote wale watu sitta. kulla mji amekaa moja
noja, akibagi yule ndugu wao wa mwisho, aliyozaliwa msiwanda!)
vao. yakinena: ,,mimi kama kuwachongea nimewachongea mimi, kwa
na“ana alikuja ndege huyo, akiingia?) mtini, akiangusha unyoya, ni-
rampelekea baba, na baba ule unyoya akiuhibbu”) sana, akinena):
wanangu”), kama mwanitaka radi zangu, sherti munipatief) ndege
ijuyu.” .na sisi tukatoka tenna wote kumtafuta ndege huyu kwa rida?)
zetu wenyewe. na leo siwezi kukaa mimi, illa nimpate ndege, nim-
etce baba yangu, aima?) nife mimi bassi. imekuwa miaka miwili
asa, na ndege hatujampata; haya, kwa heli?) ndugu zangu, nenda)
angu kutafuta ndege.“ yakitoka akenda zake.
hatta mwendo wa miezi miwili akikuta kizee kimoja, kimekaa
ijiani na kijumba chake. yakipiga ,,hodi“, yakamwitikia: ,,Hodi, nani
weye?” yakimambia: ,,mimi, mtoto wa sultani.“ yule kizee yaki-
nuliza: ,unakwenda wapi" yakimambia: ,sijui nnakokwenenda,
walla sijui nitokako.“ yule kibibi kizee yakimambia: ,,nimekwisha jua
thabari yako, kwa mafana mmekuja watu sab'a kutafuta ndege,
wenzio 1) wote wamepanga, kulla mji wamekaa kitako, na weye ume-
zuja mtafuta ndege. hupendi kukaa, unaogopa radi ya baba; walakini
idege huyo hapatikani hapo, yulipo ndege huyu — mahali pa sultani,
za watu 'askari wengi sana na mizinga na bundugi.” yakimambia 2?)
yule kizee: ,,ntakupa werekeo!3) moja). ukasikia?) ,,mfunge” ao
mpige", ,,mchinshe“, ,,mnyonge", ,,mtose” — ndio wamelala hao 18),
ikasikia!?) kimya, hawaneni — bassi ndio wako macho 8); ukienenda,
watakukamata watakuua.” yule kijana akinena!?): ,,vema, nimesikia;“
yakitoka.
akenenda, frasi wake na mtumwa wake yakiwaweka msituni, ya-
:diwaficha. akatoka yeye mwenyewe, yakienenda akasikia wamenyama-
za. akirudi?), akikaa kidogo, akisikia wanasema kwa matusi na kum-
unga mtu na kumpiga. yakijua?!) yule kijana, ndio maneno yake
yule kibibi kizee. yule kijana yakitagaddam ??), yakienenda akamwom-
ya muungu: ,,nife ao nipone!" vakenenda.
alipokwenda, wamelala wenyewe, na mikelele yao ndio kulala
swao. yakenenda hatta panapo ndege huyo; roho inampiga shindo,
1) der jiingste Sohn wird meist msiwanda genannt. 7”) akaingia.
') ar. lieben. “$) akanena. 5) waana wangu. $) mnipatie. ') ar. Zu-
;timmung. 9) amma. 9) kwa heri. 9) nakwenda. '!) wenzi wako. 2?) aka-
mambia. "?) welekeo Richtung, Fingerzeig. ') mmoja. 5) ukisikia.
6) hawa. ”) ukisikia. 9) wako macho sie sind wach; yu macho er ist
wach etc. ?) akanena. €) akarudi. "'!) akajua. ?) ar. vorgehen.
76
na maungo yanamtetemeka, woga umemwingia. yakenda kumkamata
yule ndege, yakaziacha mbawa zake; akikamata miguu — yule ndege
akapupurika!). “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana, wakim-
funga kamba sana mikono nyuma, wanamambia ,,mchinshe“, na wengine
wanasema ,,mpige”, wananena ,,€e82), mtose katika maji, katika
mto huo."
wakatoka “askari wengine wenyi huruma”), walioamriwa na
muungu kwa ebhsanif) yao, wakawambia: ,,€88, mwacheni huyu, mchu-
kueni kwa sultani kwanza yakamwone, kwa ma'ana hajaja mtu hapa,
huyu labda emeamriwa?) na muungu, ndiye wyakija9) hapa.“ wale
“askari wakamchukua hatta kwa sultani.
alipomwona sultani, akimambia: ,,khabari yako nimeijua mimi,
sina ku'azibisha radi za baba yako za kutaka ndege. na ndege yule
wangu mimi. yule ndio mtoto, hao mama zake, huwaoni wewe. wala-
kini kama wamtaka ndege huyu, ntakutuma mimi, uende ukanilctee
upanga wa radu?).” yakimambia: ,,uko wapi, sultani?" yakimambia:
Sijui, nenda ukautafute.”
yakitoka?9) yule kijana, akenda zake mwituni, yakatwaa frasi wake
na mtumwa wake, wakitoka wakienenda zao hatta mwendo wa mwezi.
wanazidi kusukumiziwa mbele yeye na mtumwa wake. akikuta mji
moja?), akauingia mji ule, akakuta kizee kiko mwisho wa mji, akimwam-
bia: ,,bibi, nnataka upanga wa radu, ntaupataje?”“ yakimambia 10); ,,weye
kijana, weye huna khatari!!)? huo — upanga wa sultani, ukasikilikana
— utachinshwa.” ,,€€8, sasa ntaupataje?” yule kizee yakamambia: ,,nenda
zako katika chumba, mlango wake umeregebia 2) gibura 3).
yakenenda hatta akasikia wenyewe wale “askari wamelala. wana-
sema vilevile ,,mfunge", ,,mpige", ,,mchinshe“, ,,mtose maji“, yakijua!,
ya kuwa wamelala kwa maneno yake yule kizee aliyomambia. akae-
nenda yule kijana, roho inamtetemeka na maungo yanamcheza.
alipoukamata ule upanga, yakasahau kukamata kipini, yakakamata
ala!?), upanga ukachomoka!9), ukalia upanga kwa mshindo wa radu,
unalia rrrrr, “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana wakimfunga,
wengine wananena ,,mwue"”, wengine wanasema ,,mpeleke kwa sultani.“
wakimpeleka kwa sultani.
hatta yakimwona?!?) sultani, akimambia: ,,nini khabari yako? huo-
1) flattern; rauschen von Blittern. ") Ausruf des Erstaunens.
3) ar. rahma Barmherzigkeit, Erbarmen; durch Metathesis zu huruma
geworden. “ar. Gite. ”) ameamriwa. 9) akaja. 7) radi und radu
Donner. $) akatoka, ) mmoja. '"j)akamambia. "jar. Gefahr, 2) ar.
erwarten. 5) ar. Gebetsrichtung (gibla). '$) akajua. "ar. Instrument,
Scheide. '$) herausfallen. 7) akamwona.
77
gopi wee? kama mimi sultani, nikikutaka!) nitakuua, hapana?) wa kuniu-
liza, lakini nimejua kama hii amri ya baba yako ya kutaka ndege, na
mwenyi ndege amekwambia, ukalete upanga wa radu, ndio uje upate
ndege. na sasa unataka upanga, nenda ukaniletee kwanza ngoma ya
milio sab'a.” yule kijana yakimambia: ,jiko wapi ngoma hii?“ ya-
kimambia: ,,sijui, nenda ukatafute tu, hatta huko utakaipata.“
yakatoka yule kijana, yakaenenda kutwaa frasi wake na mtumwa
wake; yakenda zake mudda wa mwezi, hajaona mji, katika njia tu.
hatta mwezi wa pili yakaona mji uko mbali sana. akajongea garibu
ya mji, akakuta kizee, akapiga ,,hodi“ yule kijana. yule kizee akaitikia
hodi.“ ,,unataka nini, ao unakwenda wapi?" yakimambia: ,,sijui nna-
kokwenda, walla nitokako;” akenenda yule kijana.
yule kizee akamwita: unalolitaka?) nalijua, unataka ngoma ya
milio sab'a, walakini utaipataje hiyo ngoma ya milio sab'a?”“ yakimjibu:
vntaipata, ao ntakufa mimi, na ngoma ntaikosa; kama nikiwa mzima,
ngoma ntaipata."
akamwambia: ,,haya nenda, utapokwendaf), utasikia watu kama
vilevile nyuma, wanavosema?) ,,mfunge"“, ao ,,mchinshe“, ao ,,mnyonge"
— bassi wamelala; ukasikia9) kimya, hawaneni — ndio wako macho.
na hiyo ngoma iko sebuleni imetundikwa, unapoikamata kamata jiti?)
lake, usikamate ngozi yake; ukikamata ngozi — italia, “askari wataamka,
watakukamata wewe, wakufunge ao wakuue.”
yakitoka3) yule kijana, akenda zake hatta mjini. saa sitta ya
usiku yakaingia katika mji yeye pekeyake, frasi na mtumwa wake aki-
waacha mwituni. aliposikia ,,mfunge“, ,,mpige”, ,,mchinshe“, vaka-
jua, kama wemelala?). akenenda hatta katika nyumba ya sultani, ya-
kakamata ngoma. na ile ngoma yakasahau 9) kukamata kunako mti
wake, akakamata kunako ngozi yenyewe. na ile ngozi ndio inayolia;
ikalia ngozi ya ngoma. marra “askari wakaamka, wakamkamata wa-
kamfunga, wakimchukua!!) kwa sultani.
sultani akimambia: ,,nani emekutuma?) kuja kuchukua ngoma
yangu? huna oga w€e, walla huogopi? kama mimi sultani nitakalo
— huuwa13)!? yakimambia 14): ,,mimi najua kama wewe ndiye sultani
mkubwa, kama sikukuogopa wewe nitamwogopa nani mwingine? wa-
lakini huko nyuma nilikotoka nimekutana na sultani wengi, wenzio )
kama wewe, nikaambiwa: ,,illa ulete ngoma ya milio sab'a;“ na mimi
1) nikitaka. 7?) mtu. 3) auf neno oder jambo beziiglich. 9) utakapo-
kwenda. ”) wanavyosema. $) ukisikia. ') Holztheil. $) akatoka. 7) wame-
lala. 09) ar. vergessen. ') wakamchukua. ?) amekutuma. 5) utauawa.
14) akamambia. 2?) wenzi wako.
78
ndiye!) nimekuja kuifuata ngoma.“ sultani akinena: ,,kama wataka
ngoma — kaniletee?) binti Sanabu; ukiniletea binti Sanabu, ntakupa
ngoma uchukue.” yakimwambia: ,,yuko wapi binti Sanabu?“ ya-
kimambia: ,,uko mji mmoja, jina lake ,,Haji mtu kwa shari“3), una-
pokwenda wewe, ukimleta manamke huyo binti Sanabu, utafurahi
mwenyeo?), walakini sherti?) uingie katika merkebu, na merkebu
hio?) ntakupa mimi.” akimwambia: ,,nipe“; yakimpa”) merkebu.
yule kijana akimambia sultani: ,,nataka rukhsa kwanza nikatwae
frasi wangu na mtumwa wangu.“ akamwambia: ,,nenda.” yakenen-
da msituni, yakimtwaa frasi wake yakimchukua, yakimleta hatta pa
sultani. sultani akimambia: ,,mweke hapa frasi wako katika banda
hili, mtumwa wako chukua mwenyewe uende nayo“. ,,nataka unipa-
kilie ndani ya merikebu hiyo ushanga mzuri sana wa maji ya zahabu."
yakimpakilia$), hatta merikebu ikasheheni?) sana. ikitweka 10) merikebu
ikisafiri, ikenda zake mwendo wa siku sab'a usiku na mchana.
siku kumi na nne katika jua saa tatu akaona nchi!!), yakenenda
hatta akifika. ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja, akikaa
kitako ndani ya merikebu. siku ya pili wakichukua baharia??), yakiwapa
ushanga kidogo kidogo: ,,chukueni mjini mkaonyeshe waanawake;"
na kulla ushanga aina) moja moja. wakachukua, na yule kijana
akakaa kitako merkebuni; wale baharia katika mji wanauza ushanga.
yakitokea!) mjakazi mmoja, akinena: ,,hebbu 9), huu ushanga na-
taka kutazama." baharia yakimambia!$): ,tazama, kwa ma'fana mimi
nauza, ina haja gani!?) kukataza ushanga kutazama? na mimi muhi-
taji18), nataka pesa.” yakimambia: ,,ntachukua kwa bibi, ende) ya-
kautazame.” akamambia: ,,chukua, walakini na mimi nitakufuata hatta
chini ya nyumba, nitakaa nikungoje??).
yakichukua?!) ushanga mjakazi, yakipanda juu ya nyumba kwa
bibi yake. yakimwonyesha: ,,bibi, tazama ushanga huu mzuri sana.”
akimambia: ,,hebbu!” yakiutazama, akaujaribu?) kuvaa shingoni, ya-
kaujaribu mkononi, akiona kweli mzuri sana; yakimambia: ,,umepata
wapi?" yakinena kijakazi: ,jana imekuja merkebu, ina ushanga
1) aus ndio miye zusammengezogen. 7) ukaniletee. 9) Es kommt
niemand hinein, der Uebles im Schilde fiihrt. 1) mwenyi wako. 9?) man
hdort sherti, shurti und sharti sagen. 9) neben hii und hiyo. 7) akam-
pa. 9) akampakilia. 7) ar. befrachten. “jikatweka. ')jinchi. 2) Ma-
trose. 8) pers. Sorte, Art. “akatokea. ?) Ausruf der Aufforderung.
16) akamambia. 7) wie sollte ich das Verlangen haben. "“Jar. wiinschend.
19) aende. 7?) nikungojee. ?!) akachukua. 7?) versuchen, probiren.
79
mwingi, na hawa baharia ndio wanaokuza, na hivi huyu hapa chini.“
yakimambia: ,,mwite juu.“ yakimwita: ,,we8, mwenyi ushanga, njoo,
bibi anakuita." akauliza: ,,bibi gani?" akamjibu: ,,bibi yangu, binti
Sanabu.” yakamambia: ,,haya twende."
wakenenda hatta juu ya nyumba, yakimwona!) yule bibi. aki-
mambia yule bibi, akisema: ,,ushanga huu merkebuni mwingi sana?"
akimambia: ,,mwingi, walakini mwite tajiri?) yetu, aje upatane naye."
akisema: ,yuko wapi!" akamambia: ,,yuko merkebuni.“ akinena:
—henda ukamwite.”
akenda mwita yule kijana, akimambia: ,,unaitwa?) na manamke
moja, mtoto wa sultani, binti Sanabu.” yule kijana akinena: ,,si ndio
ninayomtaka huyo?“ yakitoka, yakenenda hatta akimwona, akimam-
bia: ,,nini khabari yako?" akimambia: ,nataka ushanga huu, kwako
uko merkebuni? yakamambia: .,uko kidogo, walakini uko chini na
juu ghazia nyingi sana, labda uende mwenyeo ukauchague utakao.”
yule manamke akimambia: ,,asubuhi nitakuja mwenyewe huko merke-
buni.“ akimambia: ,,vyemaf), haya kwa heri sasa.“ wakitoka?) yaki-
shuka, akenda zake merkebuni.
wakikaa tayyari$) kumngojea yule mtoto wa sultani. alipofika
merkebuni yule manamke kwa siku ya pili, yakimtia?) ndani ya
chumba, yakimletea ushanga mwingi, yakimambia: ,,haya, chagua aina
utakayo." yakiwa yanachagua ushanga, na huko merikebu inangoa
nanga, ikapiga peipu?), merikebu ikaondoka. na yule manamke hana
khabari kama merkebu inakwenda.
hatta katika jua sa'a sab'a yule manamke yakimambia?): ,,sasa
nakwenda zangu, na ushanga nimekwisha pata; frasila giasi gani?"
yakamambia: ,,chukua bulle19).” yakamambia: ,,ahsante sana.“ na
yule manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni!!) kumi, akamhaja!?)
kwa heri.”
yalipotoka nje, akatazama — haoni mji, anaona merkebu ina-
kwenda, yakamambia: ,,umekuja niiba.“ yakalia manamke: ,,wewe ndio
mwizi, unayokwiba watu!” yakambhoji!3), yakamambia: ,,usilie, kulia
sana maumivu. huko unakokwenda, hawakuli4) nyama, watakupenda
kama unavopendwa/?) na baba yako, na hao masultani vilevile.” aki-
nyamaza manamke yasilie.
1) akamwona. 7?) ar. Kaufmann; tajiri und tajiri gespr. 7) neben
unakwitwa. “) neben vema und njema, ngema gebrauchlich. 9) akatoka.
€) pers. bereit, fertig. ') akamtia. $) Pfeife vom engl. pipe. 7) akam-
ambia. ') burre. ') Pfund vom engl. pound. 7) wiinschen, verlangen.
13) zureden, tiberreden. '?) hawali — eigenthimlich ist die Beibehaltung
des Inf. ku im praes. verneint. ?) unavyopendwa.
8o
ikenenda merkebu hatta ikafika katika inchi vao, ikapiga mizinga
“esherini na moja. sultani akatambua wamerudi kwa furaha. waka-
shuka, na yule kijana akamambia sultani: ,,nimekwisha mpata yule
binti Sanabu, yuko merkebuni.“ akamambia: ,,kamshushe jioni.“ wa-
kenda wajakazi wengi kwenda kumshusha. wyakashuka yule manamke,
yakenda hatta akafika kwa sultani.
sultani akamambia: ,,aima!) kijana wewe una “ahadi?) na baba
yako, ilmuradi?) unataka upate ndege, huyo manamke chukua wewe,
mkeo) sasa, na ngoma ya milio sab'a chukua wewe, na watumwa
nussu chukua.” akachukua watumwa na frasi. na punda na ngombe
na fedda yakampa, yakamwaga: ,,haya, kwa heri mtoto, sipendi uon-
doke, umenitia masikitiko ya kukupenda wewe.”
yakitoka?), akenda zake yule kijana, hatta akafika kwa yule sul-
tani mwenyi upanga wa radu, yakimambia: ,,nimekwisha kuja na
ngoma ya milio sab'a, hii nakupa.“ yakimambia: ,,wewe hodari sana,
mtoto mwenyi “ahadi uliyomgubali baba yako, chukua wewe.“ yaki-
chukua); akampa na mali mengi, punda, frasi, watumwa na fedda,
akimambia: ,,haya, kwa heri.“
akenenda zake hatta akafika kunako mji ule kwa yule sultani,
mwenyi ndege, akamambia: ,,upanga huu nimekwisha leta.” akimam-
bia: ,,chukua weye upanga, na ndege chukua wewe, walakini ndege
huyo ukimambia ,,nataka fedda“ — atakupa fedda, ukimambia ,,nataka
wali“, atakupa; haya — chukua ndege huyu.“ yakachukua na?) ndege,
na mali mengi akimpa, akiwa na jeshi$) nzima, walla hapana mfalme
kama yeye, aima?) sultani mkubwa kama yeye wa barra, ana mali
mengi mno aliyoyapata burre, billa ya kupigania, billa ya kuya-
sumbukia. yakipata!0) mali, muungu yakimja'alia!!) kwa kulla kitu |
anacho, kulla aina ya nyama anayo.
yakatoka yule kijana yakarudi, anakuja?) zake hatta akafika kwa
ndugu yake mmoja, akamambia: ,,nimekwisha mpata ndege aliyom-
taka baba.” ,yuko wapi?" akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,kweli,
haya twende zetu sasa.” wakitoka wakenda zao. wakiwa watu wa-
wili, yeye na nduguye).
hatta wakafika kwa ndugu yao wa tatu, akamambia: ,.kaka,
twende zetu, ndege, aliyomtaka baba, nimekwisha mpata; sasa una-
kalia nini hapa, twende zetu.“ akamambia: ,tuenende, walakini huyu
')amma. ? ar. Versprechen. Sar. Wille. $) mke wako. 59) aka-
toka. 9) akachukua. 7) na wird hiufig so gesetzt im Sinne von ,,auch.“
S)ar. Heer. 9) amma. ') akapata. '!) ar. bestimmen (akamjaalia). '?) besser
akaja. ?) ndugu yake.
—.
SI
ndege yuko wapi?! akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,nimegubali
sasa, haya twende."
wakenenda hatta wakafika kwa ndugu zao wa nne, na wa tano,
wakiwambia: .,,twende zetu na ninyi, ndege tumekwisha mpata sisi,
twende zetu, msikae bulle!) hapa.” wakawambia: ,,haya, twendeni.”
wakenenda hatta kwa kaka yao wa sitta, wakamambia: ,,ndege
tumekwisha mpata.” akawauliza kaka yao: ,,haya mali mliyovapata
kwa nani? mmepiga vita, ao mmekwiba?" wakasema: ,,muungu
umemsahau?" wyakauliza: ,jissi gani?)?" wakanena: ,,ndio mwenyi
rehema) yake, yampaye?) — humpa, bassi usione “ajabu?) weye; ku-
pata kwetu sisi, ndio kupata kwako weye.“ akinena: .,,haya, twende
zetuni$), lakini maneno ya kweli hamnambii ya haya mali mliyoya-
pata!” wakamambia: ,tuenende, tutakwambia njiani hii;“ waken-
da zao.
njiani wanamweleza walivyopata mali haya, hatta wakifika kwa
mkubwa wao wa mwisho. akiona?) jeshi$) inakuja, yakaogopa yeye,
akasema: ,,hatta sultani wa nchi?) hii, niliyoikaa mimi, hana watu
kama hawa wanaokuja!”
wakajongea hatta garibu, akawaona wale nduguze !!), wakimwam-
kia, yakaitikia, yakafurahi, yakinena: ,,ndege mmempata?" wakinena:
tumempata ndege, tunataka twende zetu tenna kwetu. mwaka wa
kumi tuko barra, sasa twende zetu, mama na baba yetu wana msiba 11).
akawambia? ,,haya, twende zetu.
wakenenda, hatta ulipotimia mwezi wa kumi wakaona mji. hatta
wakifika katika mji ule, wakipanga, wakapumzika mudda wa mwezi
mmoja. wakatoka wakenda zao, hatta ilipopata miezi sitta tenna wame-
fika garibu va kwao, zimebagi siku mbili ndio kufika mjini mwao.
na pale walipofika pana kisima cha mawe. nao hawakufikia ka-
tika mji, wamepanga huko siku mbili mbele ya mji wao.
wakatoka wale ndugu zake, watu sitta, wakinenana — kama:
Shauri yenu nini?” wakimuliza!-) yule mkubwa wao wa sitta: ,,shauri
gani unataka weye" akinena: ,,emetutia) fedeha/?); sisi tumekaa
kulla mtu inchi moja moja, yeye amekwenda patikana na mashakka!?)
makubwa sana, na “azabu !$) ikamfikia — hatta akimpata ndege. na mwe-
nyi ndege akimambia ,,niletee upanga wa radu, ndio nikupe ndege;
na mwenyi upanga akamambia ,,niletee ngoma ya milio sab'a;“ na
U)burre. 7) wieso denn? 9$)jar. Barmherzigkeit. ") ampaye oder ana-
yempa. 7) ar. Wunder. 9) wird seltener gebraucht als twende zetu. 7) alipoona.
8) ar. Heer. ?) inchi. 9) ndugu zake. '!) ar. Trauer. ?) wakamuliza. ?) ametutia.
14) ar. Schande. BJ ar. Zweifel. '9) ar. Strafe.
Velten, Suaheli-Mirchen. 6
82
mwenyi ngoma yakamambia ,,niletee binti Sanabu.“ kijana huyu aki-
fanya buzzara!) kufungwa na kupopotolewa, hatta yakimpata?) ndege,
aliyomtaka baba yetu. tenna anatupita mumo humo njiani, na hii
fedeha kubwa, kitoto kidogodogo hiki kimepata 'agili?) sana. na uchu-
ngu yakiujuaf), na amri ya baba akaisikia, sisi watu wazima tusiisikie.
hatta tukifika katika mji wa kwetu, akaeleza khabari yake alivompata?)
ndege, sisi tutaambiwa wapumbavu, na kwa baba yetu atatutukana, na
radi zake tutazikosa, ntawapa shauri mimi, ndugu zangu, mtanisikia?“
wakinena: ,tutakusikia, mkubwa wetu.” akinena: ,mimi nataka tumtie
kisimani huyu mdogo wetu Msiwanda, kwa maana ndio aliyopata
ndege — yeye, bassi afadali9) tumwue.“
na yule mdogo wao Msiwanda haijui ile khabari yao, waliofa-
nyiza, kwa ma'ana yeye nia?) yake njema, walla yasiwaze mabaya?)
katika moyo wake. aliwachia mali yale yote- na mkewe, yule binti
Sanabu, aliyompata kule; akimwaga mkewe: ,ntapiga ndege msituni.“
yalipokuja panapo kisima, akakuta shauri imekwisha fanyizwa.
alipogaribia, akaona ndugu zake, wale wakubwa wake, wako kisimani
wanateka maji wenyewe, akitupa?) bundugi yake, akenenda mbiombio
hatta kwa kaka zake kisimani, akawapokea ndoo, akasema: ,kaka, kwa
nini mnateka maji wenyewe, watumwa wako pale, arba mia hapa, na
maji huteka wenyewe? nipeni, niwapokee mimi, mdogo wenu.“ wa-
kimpa ndoo. alivoinama!?) kuteka maji — wakimsukuma, yakiangukia
ndani ya kisima; mle kisimani akafikia wima!!).
wale ndugu zao watu sitta wakinena: ,,bana wenu ametupotea ;“
wakalia. na yule binti Sanabu yakalia: ,,maskini mume wangu, eme-
kuja?) inchi na miezi kumi na miwili hatta yakanichukua akanileta
huku! baba na mama yangu nimewacha kwetu, hapa sina baba walla
mama, walla nimjuayo jamaa 3) yangu, illa ni mume wangu, ndio baba
yangu, ndiye ni mama yangu! na leo cmekufa/), sasa ntakuta ma-
shakka!?)“, wakimambia: ,,twendeni zetuni!$), kulia — bassi tenna, shuku-
runi muungu.
wakishukuru, wakitoka watu sitta wale vijana, wakaondoa safari,
hatta siku ya pili wakafika mjini mwao. wakinena: ,,watumwa nyie!?),
pigeni bundugi za furaha.“ na baba yao, yule sultani, akapiga mizinga
mingi, akafurahi sana; walakini akatazama — hamwoni mtoto wake wa
mwisho, yule Msiwanda. wakawachwa, wakapumzika.
ar. Verschwendung. ") akampata. Jj ar. Verstand. “) akaujua. $) ali-
vyompata. 9) ar. besser. Uar. Absicht, Zweck. 9) zu erganzen maneno oder
mambo. akatupa. 9) alivyoinama. '!)stehend. 7?) amekuja. 3) ar. Ver-
sammlung, Verwandtschaft. “) amekufa. ?) ar. Zweifel, hier Unannehm-
lichkeiten. '9) oder twende zetu. 7) ninyi.
83
siku wa pili akawauliza: ,,jee, wanangu!), khabari ya huko?“
wakinena: ,,khabari njema, walakini Msiwanda emekufa, na mke wake
yuko katika nyumba yake". sultani marra yakalia, ukafanywa msiba
mkubwa, hapana mtu kuwa na furaha mudda wa siku sitta. hatta
ikapata siku sitta, tanga limeondoshwa, na khitima?) wamesoma. wala-
kini yule manamke, binti Sanabu, hacheki walla hazungumzi, hutoka
machozi tu kulla siku.
yule mtoto kule, aliyotiwa kisimani na nduguze, akapita nokoa5)
moja na ndoo yake kwenda teka maji. na nokoa yule wa baba yake,
ni ndio mtumwa wao. alipopeleka ndoo kisimani, alipoivuta na maji
ile ndoo, akaiona nzito, yakanena: ,,ndoo yangu imenasa na nini?“
akatezama kisimani, anaona!) mikono ya mtu, imezuia ndoo; yakavuta
kwa nguvu yule mtu hatta anampata, hatta yakamwopoa?). yakamweka
juu, akampigapiga na mchanga wa kifua, hatta yakatapika maji, ya-
kamchukua mgongoni mwake hatta nyumbani kwa nokoa shamba.
akamhimizia uji, yakimpa?) yakinywa?). akimfanzia maji moto
yakimogesha, akampikia tenna uji, yakimpa yakinywa; ukasimama tum-
boni kidogo. hatta jua sa'a sitta yakimpikia?) wali, yakimpa yakala;
ukasimama tumboni wali. ndio sasa yakamuliza khabari, akamambia:
weye si bwana wangu, mtoto wa bwana mkubwa sultani?" akamwam-
bia: ,,ndiye mimi, niliyosafiri kutwaa ndege.” yakimuliza?): ,,masai-
bu!) gani yaliyokupatia, hatta ukaingia ndani ya kisima?” akinena:
ndugu zangu ndio walionitia kisimani kutaka kuniua, na muungu
hakupenda kufa.” akimambia: ,,nduguzo!!) wabaya kutaka kukuua
kwa sabigi/?) ya barakale!3).“
akikaa yule kijana pale shamba, hatta yakapata nguvu kidogo.
yakaandika barua yake kumpelekea mkewe binti Sanabu. akimpa mja-
kazi mmoja Mama Ammao, yakichukua 4) barua ile hatta kwa mkewe,
akimpa kwa falagha?). akasoma yule manamke, na yule manamke
yajua kusoma, akaona katika barua mumewe mzima, hajambo. ma-
namke akafurahi, na watu walimwona siku ile kama yakicheka!$) kwa
furaha na kuzungumza na watumwa wake — wakasta'ajjabu!?): ,,bibi
leo ana nini? neno gani lililomfurahisha?"
akakaa hatta jua sa“a kumi, akimandikia barua moja. yule Mama
Ammao yakachukua, yakampelekea mumewe, yakaisoma, akifurahi nayo.
') waana wangu. 9?) ar. Koranlesung. 5) Sklavenaufseher.
4) besser akaona. ') herausnehmen. 9) akampa. 7) akanywa. 9) akam-
pikia. 9) akamuliza. 9) ar. Ungliick, pi. von msiba. ') ndugu
zako. 2) ar. auf Grund des (vorhergehenden). 2?) baraka lake, ar. Segen.
14) akachukua. 5) faragha, Musse; hier bedichtig, vorsichtig. '9) akacheka.
17) ar. sich wundern.
0”
84
hatta siku mbili akaandika barua ningine kumpelekea mkewe: ,,nenda
kamnongoneze!) baba yangu — kama ,,mimi mzima, kesho ntakuja,
sitaki yasikie mtu.“ akenda mambia yule mkewe: ,,mwanao ameleta
barua hii, hebbu?) isome.“ akaikunjua sultani, akaisoma, yakaona jina
la mwanawe, na siku atayokuja?) ameiona nayo.
hatta siku ya pili sa'a moja ya usiku yakija?) yule kijana, aka-
fikia kwa mkewe. na mkewe akiondoka kwenda mambia baba yake —
kama: ,,mume wangu, mwanao, amekuja, njoo usiku saa nne, uje
umtazame.” yakija?) usiku sa'a nne, yakimtezama?) mwanawe, aka-
mwona yeye na mama yake, wote wakamwona, wakifurahi sana.
akimambia:' ,,baba, sina maneno mengi, umeniona mtoto wako, ni
mzima, bassi — nenda kalale; hatta asubuhi nipigie mbiu, kama kesho
mwenyi mtoto yambebe mwanawe, na asiyo mwana abebe jiwef).
na mtu asiende shamba, walla hapana kazi kufanyizia ingine, walla
kuvua, walla chombo kutweka, hapana rukhsa.“ yakimwambia: ,,vema,
nimesikia maneno vyako.” na siku ileile akapiga mbiu sultani, akanena
vilevile.
asubuhi siku ya pili yake baraza ikajaa tele, waanawake kwa
waanaume, watoto kwa wakubwa, watumwa kwa wangwana. na wa-
toto wake yule sultani, wale watu sitta waliobagia?), waliotaka kumwua
ndugu yao, wote wamekaa barazani, walla hawana khabari, kama yule
ndugu yetu emekuwa?) mzima. hatta saa tatu ilipopiga watu wamejaa
tele, akatoka ndani yule kijana, nduguze wakastuka?), wakatahayyari 19),
yakinena!!) yule kijana — emesimama/??) wima, watu wote wamekaa
kitako, akapiga ukelele wake, watu wote wamenyamaza kimya, hapana
anenayo, akanena yule kijana: ,,baba alipotutuma kwenda kumtwaa
ndege mimi na wenzangu, tukafika inchi va kwanza, kaka yangu
mkubwa akikaa kitako; akikataa kwenda tafuta ndege. tukabagi watu
sitta. na kulla mtu akiona mji akikaa kitako; wakiona miji sitta, na
kulla miji sitta hiyo emeenea!”) moja moja kukaa, nikabagi mimi peke-
vyangu Msiwanda na mtumwa wangu na frasi. nikauliza, nikaambiwa
kunako ndege. nikenenda, wakanifunga, wengine wanataka kuniua, na
wengine wakisema ,,mpeleke kwa sultani, yakamwone kwanza.” nika-
pelekwa, nikamwona sultani, akanambia: ,,maneno yako nimejua uli-
yokujia — radi za babako hizi za kutaka ndege, walakini ndege humpati,
illa ukalete upanga wa radu.” nikenenda kunako upanga wa radu,
') leise zuflistern. 7) siceh, bier ist er. 9?) besser atakayokuja.
1) akaja. ") akamtazama. $) hiufig gebrauchte Redensart der Suaheli,
dass alle Leute zusammenkommen sollen bis auf die kleinsten Kinder.
7) ar. tibrig bleiben. 9) amekuwa. ?) auffahren, erschreckt werden.
10) ar. verwirrt sein, '!) akanena. 7?) amesimama. 53) ameenea.
wa.
nikafanyizwa vilevile kufungwa na kupopotolewa, nikaambiwa: ,,kama
unataka upanga wa radu, nenda ukalete ngoma kwanza ya milio sab'a,
na upanga wa radu utapata.” nikenenda kunako ngoma, nikafanyizwa
vilevile, nikakuta “azabu!) sana, nitazameni kamba za mikono nilivyo-
fungwa mikono nyuma. na mwenyi ngoma akanambia ,,kamlete?) binti
Sanabu kwanza, ndio ntakupa ngoma.” nikafanya buzzara?), nikapakia
ushanga katika merkebu, hatta nikampata manamke huyo kwa sabigi
va ushanga. nikaja kunako ngoma, nikamwambia: ,,manamke huyu
uliyomtaka amekwisha kuja.” akanambia: ,,chukua weye mke huyo
uoe, na ngoma chukua wewe“, akanipa ngoma, akanipa na mke yule
na mali mengi, watumwa na kulla kitu. nikija) kunako upanga, ni-
kimambia: ,,ngoma yako hii“; akasema: ,,chukua weye.” nikachukua
mimi ngoma na upanga na mali, nikaja zangu hatta kwa mwenyi
ndege, nikamambia: ,,upanga wako huu, nipe huvu ndege niende
zangu.” akanambia: ,,chukua wewe ndege na upanga na chochote.“
nikachukua mali mno 'athimu?). nikaja zangu, hamwona?) ndugu
yangu wa kwanza, na wa pili, na wa tatu, na wa nne, na wa tano,
na wa sitta, nikawambia: ,twendeni zetuni, ndege nimempata, kwa
kulla mali ninayo mimi.“ wakafurahi nduguze: ,,haya, twende zetu.”
tukija?) zetu hatta garibu ya mji kwa nokoa Tshande, pana kisima,
wanateka maji kaka zangu. nikiwapokea mimi, wakanitumbukiza kisi-
mani, wanataka waniue, waje kwako, babangu, wapate barakalo5).
hawa ndugu zangu si wema, walifunga shauri yao njiani kutaka kuniaa,
ndio khabari yao hawa. akapita nokoa Tshande akateka maji kisimani,
nikiikamata?) ndoo yake, akanivuta nikaja juu. yakanichukua kwake
hatta nimepona, ndio khabari yangu hiyo, baba, na ya ndugu zangu."
akamambia babake: ,,hebbu 0), mlete ndege.” ndege alipokuja:
memetoa!!) nini?" baba yake akisema: ,,hakutoa kitu.” , bassi, mimi
sikiliza, ntamambia upate kusadigi: ,,ndege, lete fedda 2)! akatoa fedda
nvingi mno “athimu, na zahabu!$) nyingi, na michele mingi, na vya-
kula akatoa. akimambia: ,,umesadigi, baba, kama ndege huyu wangu,
ndio niliyompata mimi'r“ akisemal/): ,ulete na upanga." ulipokuja
upanga: ,,umesema nini?” akinena: ,,haukusema kitu.“ ,,sikiliza mimi
ntavousemesha ?)." akaupiga ala!$) yake, kipini kikachomoka, na upanga
wenyewe ukalia sana kama mithili ya radu, watu wakiogopa. sultani
akisema: ,,kweli.” ukatwaliwa upanga ule 'ukatiwa ndani ya ala.
ar. Strafe, Pein. ") nikamlete. 9) ar. Verschwendung. “) nikaja.
5) .ar. hoch, gross. 9) nikamwona. 7) tukaja. 9$) baraka lako; baraka ar.
Segen. ")nikaikamata. 9) schau her, gieb her. '') ametoa. ?) ar. Silber. ?) ar.
Gold. ') akasema. ”?) nitavyousemesha. '9) ar. Werkzeug, Scheide.
86
akinena: ,,niletee na!) ngoma.“ wakaleta ngoma. akinena: ngo-
ma hii, toka ilipokuja, imenena nini?" wanasema: ,,tukaipiga — hailii.“
vSikilizeni mimi, itavolia?) ngoma!” alipoigonga ngoma — ikalia milio
sab'a. baba yake akafurahi, akamambia: ,,kweli, mwanangu, ndio mwen-
yewe wewe uliyozipata.“
maneno yale, yanavosema?) yule kijana, wale watu wameyasikia
maneno yale yote. na sultani akaondoka wima, akawambia watu: ,,hawa
si watoto wangu, washoneni fumba sitta, mkawatose baharini; walim-
taka kipendo changu, huyu wa mwisho, mtoto wangu kumwua, leo
kafeni ninyi pwani, mkatose huko.“ wakenda toswa watoto wale sitta.
sultani akakaa kitako na mwanawe Msiwanda raha mustarehef),
na toka siku ile jina lake Radi ya baba.
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) na im Sinne von ,auch“. 7?) itakavyolia. 9?) anavyosema. 9 ar.
Ruhe des Ruhe Suchenden.
Sultani na tajiri.
Alitokea sultani na tajiri moja. wamefanya urafigi toka udogo
wao. siku moja tajiri yakinena!): ,tuoe wake sasa.“ yule sultani ya-
kimwambia: ,na tuoe.“ wakioa, wakaapeana kiapo — kama: ,ukizaa
mtoto manamke wewe sultani, amma ukizaa mtoto manamme, mimi
nikizaa manamke — mtu na mumewe.“ yakimambia?): ,vema."“
wakikaa siku nyingi, hatta kulla mtu mke wake akachukua
mimba. sultani akazaa mtoto manamke, tajiri yakizaa?) mtoto nyoka.
yakimlea?) yule mtoto wake, hatta yanakua yule mtoto wake nvoka.
na yule sultani mtoto wake emekua?) sasa.
na yule tajiri yakamtwaa yule nyoka, akimwambia: ,mke wangu,
kama huyu si mtoto, huyu nyoka!“ mkewe akimwambia: ,ntafanyaje?
hii amri ya muungu ya kuzaa mtoto nyoka; siwezi kumtupa, walla
kumwua, ntamlea mwenyewe, hatta muungu anifariji$).“ naye mu-
mewe yakimwambia: ,atakuuma.“ mkewe yakisema: ,mwache yaniue,
kwa ma'ana mtoto wangu, amenipa muungu, siwezi kumkataa.“ ya-
kimwambia: ,mchukue shamba bassi, ukamlee.” akisema mkewe:
mntajenga nyumba kubwa huko shamba ya kumweka huyu mtoto
wangu.“
YJakanena. ?)akamambia. Y akazaa. “jakamlea. S) amekua. $9ar,
frei machen, Offnen.
akipeleka mawe mengi na chokaa, yakachoma tannuu!) nyingi
sana na mafundi wengi, akanunua na boriti?) nyingi, akasimamisha
jengo. wakajenga nyumba ya mawe, vyumba sab'a.
vakamtwaa yule nyoka mwanawe, akampeleka kulekule shamba,
vakamweka katika chumba kimoja. akaweta”) watumwa wake, aka-
wambia: ,nani atayokwenda?) kumlea mtoto wangu!“ wale watu-
mwa wakimwambia: ,sisi ni watumwa wako, wataka kazi ingine —.
tuambie, tufanyize; kama hatukufanyiza tufunge, utupige, kama desturi
ya mtumwa na bwana wake wanovokosa?). japo?) ikiwa kupigwa
risasi") mtumwa na bana wake, tupige; lakini yule mtoto wako nyoka
hatumlei.“ akawapa rukhusa?) wale watumwa, wakenda zao.
yuko kijakazi kimoja emesahau?) kumwita kumpa shauri lile.
akimkumbukia yakamwita. na' kijakazi kile jina lake Kihinja, yaki-
mwambia: ,Kihinja, nenda kamlee bana wako, huyu niliyomzaa mimi,
mwanangu! utakwenda Kihinja?”“ yakimwambia: ,mimi mtumwa
wako, japo!?) ukanichinsha, hapana atayokuuliza!!). huyu mtoto ni
wako, kama sikumlea mimi, nani atayomlea?)? japo kama yakanila 3),
mimi Kihinja kitu gani? mwache yanile.“ yakimwambia: ,nenda
bassi.“ j
yakenenda yule Kihinja hatta kwa nyoka yule, humpikia chakula
chake wanga wa majimaji; humpa yule nyoka. na yule nyoka huram-
baramba. yakiwa anakua, kikavunjwa chumba kimoja. hatta mwezi
wa pili kikavunjwa chumba tenna. imekuwa vyumba viwili vime-
vunjwa, vimebagia vitano katika vyumba sab'a.
na yule mtoto wa sultani, mwanamke, anakwenda kidogo kidogo,
hatta yakiwa kigori). na vule nyoka kikavunja chumba kimoja.
hatta ukipata mwezi wa pili, kikavunjwa chumba cha pili. yule mtoto
amekuwa mwari) nyumbani, na yule kijana nyoka limekuwa kubwa.
vimebagi vyumba vitatu, vyumba vinne vyote vimevunjwa.
yakimtuma!0) mtumwa wake yule Kihinja, yakimwambia: , nenda
kwa baba, nataka mw'allimu!?), mpeni mwana wenu moja Umali18).“
Kihinja yakenenda hatta kwa baba yake, yakimwambia: mtoto wako
Umali anataka mw'allimu.“ wyakatafuta mw'allimu, wakampeleka kule
Dar. Kalkofen, tannuru cf. St. Paul, Suaheli Sprachfiihrer p. 427.
3) Baubalken, Mangrovestamme. $) akawaita. 9) atakayokwenda.
5) wanavyokosa. “)besser wire ijapokuwa. 7) ar. Blei, Kugel. $) oder
rukhsa Erlaubniss (gehen zu dirfen)j; cf. St. Paul, Sprachfiihrer
p- 547- 7) amesahau. 1) selbst wenn, gesetzt den Fall '!) atakayokuuliza.
13) atakayomlea. '?) akinila. '?) bald mamnbar. 5) junges Midchen, das
zum ersten Mal die Menstruation hat, wird mwari genannt. '$) akamtuma.
17) ar. Lehrer. '$) “Omar.
88
kwa yule nyoka. na watu wanaogopa kwenda kufa bulle!j, hio ndio
sababu vakipata?) mtu mmoja maskini ya muungu, tenna mzee sana,
vyakimwambia: ,nataka twende ukanisomeshee mwanangu, walakini
ni nyoka, utaweza?“ yakimwambia: ,nitaweza."“
wakenenda kwa yule nyoka, akamwambia: ,kaa kitako.“ akakaa
yule mwallimu. akashika msahafu”) wake asubuhi, na nyoka yuko
mbali, anamsomesha. anasoma yeye tu toka elhamdu hatta alif lam
juzo?) ya thelathini; yule mwallimu hajui kama emekhitimu5?j. yule
nyoka mwenyewe akamwita Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwa-
nao Umari cmejua?) kusoma, fedda yake mw'allimu mpeni.”
akamtuma tenna Kihinja: ,,kamambie baba nataka ngariba”), mpeni
mwana wenu Umari.”“ yakitafutwa?3), yakionekana yakapelekwa, akiu-
tahiri?) mkia wa nyoka nchani9) kidogo sana. akamwita Kihinja:
nenda kamambia baba, nimekwisha pona, yvampe fedda yake huvu
ngaliba.“ Kihinja akaondoka, vakenda kwa baba yake, akimwambia:
mwanao emcekwisha!!) pona, anataka kutoka, mpe joho?) na kilemba
na jambia na upanga na fedda yake ngaliba mpe mwenyewe.“ aki-
mwambia: ,vyema.“ akipeleka”) nguo na upanga na jambia na joho
na kilemba na vyatu, yakapeleka yote 14).
sultani akaondoka, akapiga mbiu yake katika mji wote: , kulla
asiyo mtoto na bebe!?) jiwe!6), waje zao kwangu, niwape shauri langu.“
wakaja watu wengi sana, akiwambia sultani: ,nimeweta!?) mimi, kulla
mwenyi nyumba yake ina tundu na zibe!8).< wakenda zao watu, kulla
mwenyi nyumba mbovu — wakijenga, na kulla mwenvi nyumba inavyo
tundu — wakiziba.
hatta siku ya jum'a a!?) mosi kwa usiku kuamkia jum'a ya pili
alitoka joka?) yule, akaingia mjini kutembea. likatembea mji wote,
likarejea kulekule shamba nyumbani kwake. na vyumba viwili vimc-
vunjwa, kibagi chumba kimoja.
na yule mtoto wa sultani mtoto mzima, yumo nyumbani. yule
nyoka akamtuma Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwanao moja
Umari anataka mke, mpeni mwanenu?!) moja Umari.“ yakienenda??)
') burre. 7) akapata. 5) geschriebener Koran. 9) ar. Abschnitt.
5) amekhitimu, ar. besiegeln, beendigen (die Schule), 9) amejua.
7) ngaliba Beschneider; cf. Mittheilungen des Sem. f. or. Spr., 1. Jahr-
gang, Abthig. HII, p. 22. $) akatafutwa,. 7) ar. rein sein. 9) ncha Spitze.
11) amekwisha. 7) arabischer Mantel. ?) akapeleka. 4) besser vyote. ?) abe-
be. 8) gewohnlicher Ausdruck, um zu sagen, ,,€s sollen alle kommen,
selbst die kleinsten Kinder'. 7) nimewaita. 9) azibe. ?) auch jum'a
ya mosi. €“) joka, maj. grosse Schlange. "!) mwana wenu, Zusammen-
ziehung mit wenu ist selten. “) akaenenda.
89
yule baba yake hatta kwa sultani, akimwambia: ,kiapo chetu na 'aha-
di!) yetu tuliyoweka zamani — ,ukipata mtoto manamke na mimi
nikipata manamme — mtu na mkewe“, amma wewe ukapata ma-
namme, mimi nikapata manamke — mtu na mkewe. na mimi nataka
sasa mtoto wako manamke yaoe mtoto wangu.” sultani akamwam-
bia: ,una wazimu? umtwae mtoto wangu, umpeleke kwa mwanao
nyoka, sitaki; kama umezaa mtoto bin Adamu, nambie ntakupa, lakini
kama nyoka sitaki.
akaondoka yule tajiri, akatatuta mke wa mtoto wake, hatta ya-
kampata kijike kimoja cha mtu maskini baba yake. akampeleka shamba
kwa mwanawe, yule nyoka. akakaa yule mwanamke mwezi mzima.
usiku anapolala yule manamke, katika nyoka hutoka mw'arabu mzuri
sana, hukaa juu ya kiti, akavaa kikoi chake na kanzu yake na kulla
libasi?) ya kiarabu, yakivaa?”) kwa jambia na joho, kwa kilemba na :
upanga. akajitezama mwenyewe, na mke wake emelalaf) pale emelia?).
yule mwanamke huzindukana usingizini kwa tartibu, akimwona?) yule
mw'arabu: ,anatoka wapi? na miye mume wangu ni nyoka!“ akilala,
yalipojinyosha — yule mtu akaingia tenna katika nyoka.
wakilala?) hatta asubuhi, akitoka yule mkewe, yakenda kwa baba
zake na kwa mamaze3), akiwambia kina mama: ,yule si nyoka, nna
mume mzuri, walakini hapatikani, manamme huyo yumo ndani ya nyoka.“
“ pana kizee kimoja yakamwambia: ,fanyiza ulevi, kulla ulevi, utie
mahali pamoja, upike pombe yako na sukkari?) utie.“ yakipika!?) yule
manamke, akiweka garibu ya kitanda chake ule mtungi wa pombe,
hatta usiku yakitoka. alipouona ule mtungi wa pombe, yakanywa pombe
hatta yakalewa, asipate '“agili; akanguka kitandani akalala.
yakiondoka!!) yule mkewe na yule mjakazi wake Kihinja, waka-
lichukua lile joka, nalo kumbe si joka, ngozi yake nyoka. wakalipeleka
uani wakalikunguta, wakalitwaa wakalipiga moto, likawaka hatta garibu
ya yule kijana alipokaa. akazindukana pale alipolala, akaanguka chini.
akatiwa mitungi ya maji sab'a, ndipo akapata fahamu 2).
vule mjakazi akenda mbio hatta kwa baba yake, akamwambia:
v>bana, yule mtoto siyo nyoka, mwarabu mzuri sana, kama weye
mwenyewe.” akimwambia: ,kweli?“ akasema: ,kama mwongo, kichwa
changu halali!3) yako.“
yakipiga'?) mbiu tajiri, aketa?) watu wengi, wakija akiwambia:
1) ar. Versprechen. 7?) ar. Kleidung. 7?) akavaa. ') amelala. ?) amelia.
$) alipomwona. 7) wakalala. $) mama zake. 9") ar. Zucker. 9) akapika.
11) akaondoka. “Jar. verstehen. B)jar. erlaubt. 'f) akapiga. '?) akaita.
JO
"yule mwanangu nyoka — siyo nyoka, mtoto wangu khassa!) mwe-
nyewe, damu?) yangu, tenna mw'arabu, hapana kama yeye. na sultani
aliposikia, yakatahayyari?9), yakamleta yule mtoto wake, lakini tajiri
hagubali. na mtoto wa tajiri akakaa kule shamba raha mustarehe yeye
na mkewe, wakizaa mtoto mwanamme; yule tajiri akafurahi mjukuu wake.
sulfani mwanawe yakamwoza mume mbaya sana, na sultani
anaona haya tenna kwa 'ahadi yao ile yeye na tajiri.
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) ar. besonders. “ar. Blut. 7?) ar. verwirrt sein.
Uchungu!) wa baba na uchungu wa mama.
Alitokea mzee mmoja, ana watoto wawili, moja?) jina lake uchungu
wa baba na moja?) uchungu wa mama. wakikaa vijana wale, hatta
wakiwa watu wazima, mmoja akija poswa. na huyu mtu, aliyemposa,
anakaa katika bahari, ndiye aliyeozwa.
akikaa?) na mkewe mudda?) wa miezi sitta, akitaka mkewe kum-
chukua. akimwambia baba yake: ,siwezi kuzuia mke wa watu utakako
kokote — chukua.“ akimwambia: , vema, nimesikia.“ yakamjia manamke
nyumbani mwake, akimwambia: ,shauri gani? nataka twende zetu
kwetu!” yakimwambia: ,ngoja mwezi huu ukisha, tupate kwenda zetu;“
wakikaa.
hatta ulipokwisha ule mwezi, mume akimambia: ,haya, twende
zetu!” manamke akimjibu: hali hii nnayoiona — haba, ukinichukua
ukinipeleka hatta huko kwenu — vitendo utavonitenda walla sivijui,
na mtu huona vema hapa kwanza?), ndio ukitam'ani$) kwenda kwenu,
na mimi ndio kwetu”), walakini sikuona vema mimi nawe, hapana
ujinga huo wa kuacha kinywa kutia puani?“
yule mume akamjibu: ,vgissi gani kwenda nambia5) hivo?)? toka
kukuoa kwako hatta sasa maneno mengi umenitolea. na siku ya kunena
mimi — wewe utauzika, utavumbua njia ya kwenda kwenu, tafaddali —
twende zetu. mke na mume wana taabu 9) katika nyumba, khassa
') Bitterkeit, Sehnsucht, Hcimwceh. 7) mmmoja. ?j) akakaa. 9) ar.
Zeitraum. ?) da wo cr zuerst war, nimlich wo er geboren worden.
9) Verlangen haben. 7) zu erganzen, napenda kakaa. ") niambia. 7?) hivyo.
0) ar. Beschwerde, Sorge.
g1
ikiwa hana kazi mume, nyumba itamwangaisha, na sasa tuenende,
usinifanye mjinga, nakupenda mke wangu, walla hutapata mume kama
mimi.“ akamambia: , tuenende.”
wakenenda hatta garibu ya pwani, akimwambia: ,ingia majini.“
mnNitaingiaje, mume wangu? na hii ni bahari, huingia nyama wa
baharini, haingii bin Adamu, walla nyama wa barra.“ yule mume
akimambia: ,mke wangu, jivute hapo panapo micheche!) ya maji.“
akijongea katika maji, yule manamme marra yakigeuka?) papa, akamrukia
yule mkewe, yakamwangusha; alipoanguka katika maji hakuona nguvu,
hana kitu cha kuzuia mkononi. |
yule mumewe papa akimtia”) mgongoni, akimchukua hatta
panapo nyumba moja ya mawe. akaingia ndani, na yule mkewe akam-
peleka ndani ya nyumba. khalafu vule mwanamume akimambia mkewe:
vUuOnaje sasa, pema ao pabaya?“ mwanamke yakimjibu: ,ndivo ulivo-
taka) mwenyewe.“ wakikaa kitako; na ile nyumba iko katika maji
baharini.
hatta siku hiyo vule mkewe akafungua dirisha?), yakitezama$)
akiona kumefanya uwingu mkubwa. yakasta'ajjabu yule manamke:
v”kuna nini kwetu?“ akamwita mumewe, yakimwambia: ,mume wangu,
naona uwingu mkubwa, nataka unipe rukhsa.“ yakampa rukhsa, yakim-
beba?) hatta mlangoni, akimwambia: ,fungua mlango.“ alipofungua
mlango yule manamke, akiona njia moja kwa moja?) katika bahari.
akimambia: ,fuata njia moja kwa moja hatta nyumbani penu kwa
babayo.“ akafuata hatta yakifika. alipofika akamwona mama yake
amekufa. yakizika?) mama yake, akashukuru muungu; tenna akakaa
kitako.
vule mumewe akimwona anakawia, akaja kumchukua mkewe.
mke akikataa, akimambia: ,siendi, nataka kuachwa, mama yangu ame-
kufa — sikumwona, sasa baba yangu mzee, nataka kukaa kwake,
nataka kuachwa.” yule mwanamme yakimambia: , “ahadi 19) yako ime-
fika wapi? tukaapiana “ahadi, leo imefika wapi?“ asema: ,sikutaki, shika
njia, nenda zako kwenu; na uke na ume umekwisha, tenna usituma'ini!!)
kama utanipata. haya kwa heri, nenda zangu ndani, utangoja kunon-
gona 12).
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) Striiucher die an einer seichten Stelle im Wasser stehen. “jaka-
geuka. 9?) akamtia. 6“) oder ndivyo ulivyotaka, 7?) ar. Fenster. ") aka-
tazama. 7) akambeba; wieein Kind auf dem Riicken tragen. 9) einen
nach dem andern, d. h. lang. Jj akazika. 9) ar. Versprechen. '!) Ver-
Jangen tragen, hoffen. 7?) fliistern.
92
Nguvu za uganga.
Alikuwapo tajiri mmoja hana mtoto, akatafuta mtoto kwa uga-
nga. wale waganga wakatazama katika ramli zao, wakamwambia:
”Utapata mtoto, lakini atakuja uawa ni!) mtoto wa tajiri fulani.“
bassi yule tajiri, atakaye mtoto, ba“ada ya miezi mitano mke wake
akashika mimba, akazaa mtoto wa kiume, akamlea mtoto wake. hatta
alipopata miaka kumi, yule tajiri akatoka na merkebu, akaenda hatta
baharini, kuna kisiwa kizuri sana. akashuka hatta pale kisiwani, aka-
chimba shimo zira'a?) khamsini urefu, na zira'a khamsini upana, na
kwenda chini khamso u 'asherini zira'a. akajenga nyumba nzuri ya
chini kwa chini, akaifanya na bustani?) yake ndani, akapanda na
matunda yote, na s'amani?) ya nyumba, na vitanda vizuri vizuri sama-
dari”), na matandiko mazuri mazuri, na vyakula kulla na'u89), zote?)
akashusha katika merkebu, akatia katika ile nyumba.
akisha, alipokamilia$) ile nyumba, yule tajiri akasafiri na merkebu
yake, akarejea mjini kwake. akenda akamtwaa yule kijana chake,
akampakilia hatta pale kisiwani, akashuka naye, akamtia ndani ya ile
nyumba. mna ile nyumba imesaggifiwa?) kwa mbao juu, tenna
akaifukia yote kwa mchanga, mtu hatambui shamba hapa pana
nyumba.
bassi na ma'ana ya hayo yote — amkimbize mtoto wake yule,
asije kuuawa ni) yule mtoto wa yule tajiri mwenziwe!!). bassi
miezi mitano huja yule mzee na merkebu yake, akashusha vitu vingi,
akafunua mbao juu, akashuka katika darja??), akaingia ndani huko
chini, akenda akaonana na mtoto wake. akamtilia vitu vingine, na
maji mangine, akakaa mudda wa siku kumi; kisha 3) akasafiri.
hatta yule kijana wa tajiri, yule wa pili, aliyeambiwa atamwua
yule kijana, aliyekimbizwa ni?) babaye akamjengea nyumba ya chini
kwa chini — bassi yule kijana akamwaga babaye, akamambia: ,na-
taka kusafiri hajue!?) inchi; vijana wenzangu!8) wote wasafiri, mimi
kwa nini sisafiri?“ bassi yule baba akamfanya merkebu akamsa-
firisha.
yule kijana kufika kwake baharini — ikavunja merkebu, ikapotea.
yule kijana akashika ubao, hatta akampeleka pale kisiwani. alipofika
!) sonst wird ,,von“ und ,,durch“ beim passiv durch na ausgedriickt, im
Pangani- und Tanga-Bezirk ist ni gebrauchlicher. 7?) ar. Elle, 9) Garten.
4) hindust. saman oder samann Hausgerith, Mobel. 7) indiscbes Holz. $) ar.
Sorte, Art. 7") besser vyote. 9?) vollendet sein. 7) ar. ebnen, den Boden fest-
stampfen. ?) na. 7) mwenzi wake. Bar. Treppe. 5?)akiisha, '?) na.
15) nikajue. '$) wenzi wangu.
kisiwani, na kiu ya maji imemshika sana, akawayawaya!), akazunguka
na kisiwa, asione mtu walla asipate kitu.
hatta kwa siku ya pili yule kijana amechoka kwa kiu na njaa,
amelala pale kisiwani mbali. alipolala kichwa chake kainama?), ame-
kiweka juu ya ubao. alipoamka akashika ule ubao, akautazama, akau-
funua, akaona daraja nzuri; akashuka, akaingia mle nyumbani, akenda
akamwona yule kijana. ghafula?) akastuka?) yule kijana, akathanni”)
ni shetani?), akamuliza: ,nani wewe?” akamambia: ,mimi bin Adamu,
nani wewe?” akamambia: ,na mimi bin Adamu, garibu!” akakaa
yule kijana.
akamuliza: ,watokapo?)?“ akamambia: ,mimi nimekufa maji),
hashika?) ubao hatta hafika hapo kisiwani, na hali yangu ni hii
da"ifu10).< akampa chakula na maji na matunda, kulla kitu akampa,
akamambia: ,na tukae pamoja, unizungumze hapa nyumbani, ni
pekeyangu."
bassi wakakaa pamoja hatta mudda wa mwezi mmoja. hatta siku
moja yule kijana, mwenyi ile nyumba, akashikwa ni harara!!), na kiu
kumwuma, gadiri!?) maji atiayo — hayamkati kiu. akamambia yule
rafigi mgeni: ,twaa hilo tikiti uniweke na kifua, nipate ubaridi hapa
moyoni.“ yule akaondoka, akatwaa ile tikiti, akamweka na kifua.
hatta kisha akamambia: ,.Jete kisu ulikate hapa juu ya moyo, nipate
ubaridi wa maji ya tikiti.“ yule hathubutu 3) kukata 4), gadiri amwamru
vule kufanya, amekuwa kama boy?) wake. bassi, akatwaa ile tikiti,
akamweka vule kifuani, akashika kisu, akalikata na kisu, chakuwa!8$)
akaona???) wembe — kisu kikashuka hatta uti wa maungo.
yule kijana akafa. walla hakugusudia!83) kumwua, walakini ajali!?)
vyake tangu hapo sababu yake itoke mikononi mwa yule kijana, ndiyo
iliyoonekana ni?0) wale waganga.
bassi yule kijana akafanya khofu?!), akatoka mle ndani ya nyum-
ba, akafinika??) ile mbao, akalala chini ya mvindi”), ndiko alalako.
hatta mudda wa siku chache akaona merkebu ikatokea, akapanda
juu ya mvindi. hatta merkebu ikatia nanga, akashuka yule mzee aka-
fika pale kisiwani, akafunua mbao, akaingia ndani. akenda akamwona
) hin und her schwanken. 7?) akainama. 953) pletzlich. 1) er-
schreckt werden, auffahren. ?Jar. glauben. $) ar. Teufel. 7) besser
watokapi aus watoka wapi. 9?) ich ware fast im Wasser umgekommen.
?) nikashika. 9) ar. schwach. '"Jjar. Hitze. ?j)ar. Ouantitat. Bar. fest
sein, bestehen (wagen). 'f)im suah. stets so geschrieben; ar. gaf'a ab-
schneiden.(?) 3) engl. boy. '$) kinakuwa. 7) ukiona. '?j ar. beabsichtigen.
Dar. Ziel. W)na. “Jar. Angst. 7?) neben funika. 5) Baumsorte.
94
mtoto wake ameuawa, akalia kilio kikuu sana, akatoka kwa huzuni!
iliyo kubwa sana, zikaja mashua zote merkebuni, zikapakia jamrei?)
ya vitu vilivyo ndani ya ile nyumba. na yule kijana akatolewa, aka-
tiwa katika sandugu?), akapakiwa katika merkebu.
hatta kisha, yule mgee akapeleka macho juu ya mvindi, akaona
mtu, akata'ajjabu?), akamuliza: ,,nani wewe?“ akamambia: ,,mimi ni
bin Adamu, Islamu.“ akamambia: ,shuka.“ yule kijana akashuka juu
ya mvindi, akamuliza: ,wewe i nani?), watokapo)?" akamambia:
>Mmimi fulani bin fulani.” yule mzee akajua ,ni yule kijana, niliyeam-
biwa atakuja kumwua mwanangu,“ kwa lile jina alijua. akajua — hii
ni amri”) ya muungu, walla hakugusudia kumwua.
akamuliza: ,umefikaje hapa kisiwani?“ akamambia: ,nimekufa
maji, hashika$) ubao hatta hawasili hapa kisiwani.“ akamaliza kama
yaliyokuwa. mzee akamambia: ,twende zetu mwanangu!” akampakia
hatta mjini, wakenda wakamzika yule kijana. kisha yule mzee akam-
pakia yule kijana hatta kwao kwa babaye, akenda akamambia babaye
kama yalivokwenda?) tangu mwanzo hatta mwisho.
“Ali bin Nasr, Wali von Pangani.
) ar. Traurigkeit. ?Jar. all. Sar. Kiste. $) ar. sich wundern.
9) wewe u nani oder wewe nani ist besser. 9) besser watokapi. “ar.
Befehl. 9) nikashika. ?) yalivyokwenda, zu ergianzen mambo.
oa mke — mkeo, usioe mke — mke wetu), rafigi ya
baba yako usimsahau.
Walitokea watoto wawili, maskini wote, hawana baba walla mama,
wote yatima?). wakakaa siku nyingi, hatta wakiwa watu wazima.
zikaingia “agili3) kichwani mwao, wakisema: ,mimi na wewe, mwenzi
wangu, urafigi tumeuanza zamani tokca watoto hatta sasa wakubwa,
haifai kukaa hivihivi illa tufanye kazi. baba zetu na mama zetu wali-
kuwa wakikaa maskini, na sisi tufanye kazi, muungu mkubwa huja,
tukapata mali“ yakimwambia?): kazi gani tufanyize?" yule mwen-
ziwe yakimwambia: ,tuchuuze?).” akimwambia: ,siyo kazi, kama
wataka kazi, tukope mali, twende zetu barra tukafanyize bi'ashara$) ya
Jd. h. oa mke wako mwenyewe nyumbani kwako, usioe mke akaja
nyumbani kwetu kutusumba. 7?) ar. Waise. 5”) ar. Verstand. $) aka-
mwambia. 5) churuza und chuuza Strassenhandel treiben. $9) ar. Handel,
bei Verkauf shira Kauf.
pembe, na watumwa kununua, na punda kununua, na ngombe na
mbuzi na kondoro!) kununua.“ yakimwambia: ,haya, tukakope.”
wakenenda dukani kwa Banyani?). Banyani akiwapa mali, billa
ya kutaka faida”), wakafunga mali mengi, wakachukua bida'af) na
ushanga na baruti?) na bundugi?). wakenda zao hatta barra waka-
fika, wakafanya bi“fashara. wakanunua mali mengi; kulla kitu wamenu-
nua. wakija zao pwani, wakaingia mjini kwa furaha?) na bundugi
kupiga, na ngoma kucheza, na watu walio mjini wakafuraha sana.
wakauza pembe kwa yule tajiri$) yao Banyani, wakamlipa, na wao
wakapata mali mengi. Kulla mtu akitaka kuoa sasa. mmoja akaoa
mke mjini pao, na yule mmoja, rafigi yake, akaoa mke mwendo wa
siku mbili, ndio kwao?) yule mke. wakikaa hatta miezi sitta, yule
aliyooa mbali mwendo wa siku mbili yakamhamisha mkewe, waka-
kaa mahali mwendo sa'a sitta. wakawa matajiri wakubwa mno sana,
wana mali mengi 'athimu 10),
yule mwenziwe, aliyeoa mjini pao, amezaa mtoto manammc;
yakizaa!!) na mtoto manamke, wakikaa. mkewe akachukua mimba 22)
tenna, yakazaa mtoto manamme mwingine. na yule mwenziwe, ali-
yokaa mji wa sa'a sitta, yakazaa mtoto manamke. wakiwa watu wa-
kubwa wale watoto, yule mwenyi watoto watatu, yule mwanawe bassi
mkubwa, yakimwambia: ,baba, nataka mke, kama kusoma nimekwi-
sha kusoma, na tohara 3) nimekwisha ingia.“ baba vake yakimwambia:
yoa mke — mkeo, usioe mke — mke wetu, rafigi wa babayo 4) usim-
sahau.”
yakenda kwa mama yake, yakimwambia: ,nataka kuoa, mama.“
yakimwambia: ,0a mke — mkeo, usioe mke — mke wetu, rafigi ya
baba yako usimsahau.“ wyakasita'ajjabu 9) yule kijana: ,baba na mama
wamenambia maneno, walla siyajui ma'ana!$) yao.“ wyakioa!?) billa!8)
ya kuyajua?) maana.
akakaa na ndugu yake manamke, yakija?!) mtu akiposa. yakiozwa?!);
na mtu huyu anakaa mahali mwendo wa saa tano, yakimwoa??) yule
mtoto manamke.
) kondoo. 7) heidnische Inder, die in Ostafrika meist Klein-
handel, hauptsichlich in den Derfern treiben. $) Gewinn. “$) ar. Waare.
Sar. Pulver. 9) ar. Gewehr. 'jar. Freude. $)Jar. reich, Kaufmann. $) ihre
Heimath; meine und unsere Heimath kwetu, deine und meine
kwenu, seine und ihre kwao; z. B. nakwenda kwetu, unakwenda
kwenu, anakwenda kwao. 9) ar. gross. ') akazaa. 2?) Schwangerschaft.
3) ar. Reinbeit, '$) baba yako. 5) ar. sich wundern. '$) ar. Bedeutung.
17) akaoa. 8) billa ist hier wie die andern Prapositionen mit dem geni-
tiv-praefir gebraucht. 5) ya bezieht sichauf maneno. 7?) akaja. ?!) aka-
ozwa. 7?) akamwoa.
96
na yule mdogo manamme, naye akimwambia baba: ,nataka
kuoa.“ babaye akimwambia: ,oa mke — mkeo, usioe mke — mke
wetu, rafigi wa babayo usimsahau.” akenda kwa mama yake, yaki-
mwambia: ,mama nataka kuoa;“ yakimwambia vilevile kama alivyo-
mambia babaye.
wakakaa siku kumi, baba yake akifa. wakakaa siku tano, na
mama yake akifa. na yule rafigi wa baba yake yuko mabali mbali
mwendo wa sa'a sitta, na wale vijana hawamjui, kama ni rafigi wa
baba yao. wakakaa kitako pale mjini pao, wakisoma khitima!) ya baba
yao na mama yao, wakashukuru muungu.
hatta na yule mdogo yakioa?) mke. alipooa mke mahali
mbali, mwendo wa siku tatu, wakikaa na mkewe hatta sab'a ikesha5),
yakatoka nje tenna, yakimwambia mkwewe): ,sasa nataka kuchukua
mke wangu.“ yakimwambia: ,siwezi kuzuia mke wa watu, chukua
hatta mwendo wa miaka mia.” yakamchukua kwa wajakazi wengi
na watwana waanaume na punda gadri ya kumi moja?). wakafunga
magodoro na vitanda, na kulla kitu cha nyumbani wakachukua. wa-
kenda zao, hatta wakafika mjini kwao.
yule kaka?) yake yakimwambia: ,ndugu yangu, mali katika
nyumba yanapotea, sitambui baba yangu alivonambia?) — kama ,o0a
mke — mkeo, usioe mke wa mwenzio, Tafigi wa babayo usimsahau.“
na sasa ntakwenda mahali pa mwendo wa siku sitta, walakini sita-
fika, ntarudia njiani, ntakuja na uwongo, ntasema mgonywa, macho
yananiuma, nipeleleze hii maana, alivonambia baba yangu.“
yakifunga?) safari?), yakimwaga!?), yakenda zake mwendo wa
sa'a nne. khalafu yakarudi na makelele: ,mke wangu, nimeumia macho
yangu, labda ntakuwa pofu.“ mkewe yakasta'ajjabu!!); vjissi gani,
mume wangu ameondoka mzima, sasa anarudi na ugonywa?” yakim-
twaa!?), yakimpeleka ndani, yakimweka kitandani, yakatafta 2) mganga,
akafanyize dawa. yakikaa?) mle ndani mumewe, na yule mkewe hu-
sema: ,mume wangu kweli hawezi, dawa hizi wanazofanyiza wa-
ganga kaza wa kaza”) — na macho vilevile, naye haoni.“
humtwaa hawara!8) yake, yakamtia nyumbani. hupika chakula
') ar. Koranlesung. 7) akaoa. 7) cf. Sitten und Gebriuche der
Suaheli, Mittheilungen des Sem. f. orient. Spr., Jahrgang I Abthig. III,
Pp. 24. 9) mkwe wake. 7) eine Zehner. 9) dcr a#ltere Bruder. 7) alivyo-
niambia. 9) akafunga. 7?) sich zur Reise riisten. 7) akamwaga. '!) ar. sich
wundern. ?) akamtwaa. 5?) akatafuta. '?) akakaa. ?) ar. so und so. '8) Ge-
liebte, die man nicht zu heirathen gedenkt; mchumba oder mposi Geliebte,
die man zu heirathen beabsichtigt; hawara auch Liebhaber, mchumba
Gcelicbter.
97
cha mumewe, hula naye pamoja na yule hawara yake, kwa sababu
hana macho mumewe. siku nyingi yule mumewe yakafikiri!), yaka-
sema: .,ndiyo maneno aliyonambia baba kama haya!“ yakikaa?).
akaja tenna yule hawara, na mkewe akapika chakula cha mumewe,
vakapakua, yakiandikia?). anakula pamoja na hawara yake yule mu-
mewe, akinena: ,,Jhana macho huyu, haoni tenna.“ wakila pale.
vakiondoka?) yule mumewe, akamrukia yule hawara wa mkewe,
yakimwambia: ,wewe ndio mgoni?) wangu, ndio unayokwisha mali
yangu; lakini sikuchukui kwa hakimu, walla sikupigi kwa kisu, walla
kwa upanga, rukhsa nenda zako. umenifanya mimi mgonywa wa
macho — sioni, naona mwenyewe kama zamani; napeleleza khabari
va maneno ya babangu.” yule mwanamke ametahavyari$). yakamfu-
kuza akimwambia: ,sikutaki tenna, mke wee.“
yakenda?) zake manamke kwao?). na yule ndugu yake mdogo
nave mkewe huenda kule kwao mwendo wa siku tatu. kulla siku huja
kwa mumewe, yakikaa?) siku kumi, khalafu huenda kwao, akikaa
miezi miwili.
hatta siku hiyvo mumewe vyakamfuata, yakapita pale kwa dada!)
vake, ni nduguye manamke. akatwaa frasi wake na nguo zake na
mtumwa wake, akawaficha mwituni. yeye mwenyewe yakaokota ki-
tambaa cha kaniki, akapita pa dada yake; na yule dada yake yuko
ndani anachungulia. na yule shemekiye!!), mumewe?) dada yake,
vuko barazani. alipomwona yule shemekiye anakuja kwa umaskini,
vakimwambia: ,,mke wangu, lete kitambi hichi3) upesi, tumpe ndugu
yako, hana nguo ya kuvaa.” dada yake akimwambia: ,mali yao wa-
meyatupa, mimi sina kitambi, na barazani pangu sitaki aje."
yakiondoka 1), akenda zake hatta kule mwituni. yakatwaa nguo
zake, yakavaa, yakapanda frasi wake, yakenenda hatta mahali mwendo
wa siku mbili, ndipo alipo rafigi ya babaye. walakini yule mtoto ham-
jui kama huyu rafigi wa baba yangu; anayomjua — yule rafigi wa
babaye, kama huyu mtoto wa rafigi yangu.
gabla ya kufika yakaenenda msituni yule kijana, yakavua nguo
zake, yakaweka msituni. na frasi na mtumwa wake na jambia na
upanga pia emeweka/?) msituni. yakatafuta kitambaa yakavaa, yaka-
pita mjini.
1) ar. nachdenken. 9?) akakaa. 9) akaandikia. 6“) akaondoka.
5) Ebebrecher, ugoni Ehebruch, kulipa ugoni Ehebruchsbusse zahlen.
6) ar. verwirrt sein. 7) akaenda. akenda. $9) zu den ihrigen, in ibre Hei-
math. 7) akakaa. 9?) Schwester. '!) shemeki yake. ?) fir mume wake
wa dada yake. 5) fir hiki. '“) akaondoka. 7?) ameweka.
Velten, Suaheli-Mirchen. 7
98
na yule rafigi wa baba yake hayupo, emekwenda!) sogoni ku-
tembea; yuko mwanawe, yule mwanamke, barazani emekaa?). wyaki-
mwona?) yule kijana anakuja, wakamtupia nguo, wakamtwaa wajakazi
wakampeleka chooni, wakamwogesha, wakamsafisha. akavikwa nguo
na kitambi cha kilemba na majambia na joho).
alipokuja baba yake, yakimwambia: ,baba, tumemwona mtoto
mmoja hapa, sura) yake ya kiungwana.“ yakimwambia: ,,yuko wapi?"
yakamambia: ,,yumo ndani.” akamtezama; alipomwona yakifurahi?)
sana, akisema: ,,huyu mtoto wa rafigi yangu.“ akamfanyia karamu?)
kubwa sana.
hatta khalafu mudda wa siku sitta yakimwambia: ,,baba, mimi
nimeoa; mke wangu yuko mbele mwendo wa siku moja, hivi sasa
namfuatia.” yakenenda yakafika, akatoa frasi wake na mtumwa wake
na nguo zake, yakaweka mwituni; yakavaa kitambaa cha kaniki cheusi,
yakaenenda mjini.
hakuwahi kufika mjini — kuna mchunga wa baba yake yule mke,
yakamwokota akasema kitwana hiki: ,,unatoka wapi?“ akasema: ,,mimi
mtoro, kama umeniokota — bassi.” yakamchukua hatta kwa bana
wake, yakimwambia: ,bana nimeokota mtumwa.” yakimwambia:
yuko wapi?" yakimwambia: ,,huyu.” yakimpa?) bana wake.
akatoka mtwana yule, akaja zake nyumbani kwa bibi yake, mtoto
wa bana wake, ndio hawara. yake, yakimwambia: ,,bibi, nimeokota
mtumwa leo mzuri sana. yakimwambia: ,,yuko wapi?“ vakamambia:
vemechukua?) bwana, baba yako."
yakitoka 9) yule manamke, yakaenenda hatta kwa baba yake, vya-
kimwambia: ,baba, yuko wapi mtumwa aliyookota Yaya, mchunga
ngombe?” yakimwambia: ,huyu.“ yakamwambia: ,niulize mimi.“
yakamwambia: chukua, mtoto wangu.“ yakamchukua, yakenda zake
nyumbani kwake, yakinena!!): ,kitwana hiki kimekonda sana“. na kile
kitwana kinyewe!?) emejipakaza'!3) tope, emegeuka'4) sura, emekuwa
meusi). huja yule mchunga ngombe, mtumwa wa baba yake, ndio
hawara yake, na yule kitwana huwapo palepale, yakimwambia: ,ki-
twana weye, chukua mkeka ukaoshe pwani.“ yakauchukua, yakenda
kuuosha.
alipokwisha kuosha, yakajitwika!$) kichwani, na yale maji va
mkeka yanajiririka!?), yakateremka!9) usoni mwake kidogo, ngozi ya
') amekwenda. 7) amekaa. 9) besser alipomwona... 9) arabischer
Mantel. $j ar. Form, Gestalt, Gesicht. 9) akafurahi. “Jar. Fest. 9) akampa.
?) amechukua. ") akatoka. ') akanena. 7?) chenyewe gebriauchlicher.
3) amejipakaza. ') amegeuka. 5) mweusi. 9) auf den Kopf nehmen.
17) heruntertropfeln. 9) heruntergleiten.
99
ndani neupe ikaonekana; ule udongo ulipobanduka — ndipo ulipoone-
kana uso wake.
akenda hatta kwa bibi yake, akimwambia: ,bibi, mkeka huu.“
na bibi yakimwambia: ,kwa nini hukuosha vyema?“ yakitaka!) kum-
piga. yule hawara yake, mtumwa wa baba yake, akimkamata akimwam-
bia: ,kwa nini kumpiga mtwana huyu?” yule bibi akamtezama, akaona
vshuyu labda mungwana, sura kama ya mume wangu.“ yakimwam-
bia bibi: ,nikate kidogo hapa na kisu;“ yakamkata. akamwambia:
nifunge na kitambaa kilichokuwa chako mwenyeo?) — kisicho kuku-
potea;“ yakamfunga na kitambaa chake mwenyewe.
yakitoka?) yule kitwana, akenda zake mwituni kule kunako vitu
vyake. akatwaa maji akaoga, akatwaa nguo zake yakavaa, akajifunga
jambia lake na upanga wake, akachukua na kilemba chake, yakapiga,
yakapanda frasi wake. wakenda zao, hatta mjini wakafika, yaka-
mwona mkewe, yakamwonyesha “alamaf): ,kitambaa cha nani hiki?“
vakimwambia: ,changu mimi.“ wna kisu nani emenikata?)?“ yaki-
mwambia: ,mimi nimekukata.”“ yakamwambia: ,yule uliyokuwa nayo
hapa ndio hawara yako?“ ,huna haya$) weye?“ yakimwandikia tala-
ga”), yakimpa, akamambia: ,sikutaki tenna, na mdhari$) yako chukua.“
yakatoka yule kijana manamme, akafunga yitu vyake, yakichu-
kua?), yakaenenda zake, hatta akafika kulekule kwa rafigi wa baba
yake, yakimwambia: ,baba, tenna nimekwisha rudi, mke simtaki, ni-
memwacha, na weye baba kwa heri, nenda!!) zangu.“ yakampa frasi
kumi na punda 'asherini na watumwa waanawake na waanaume the-
lathini, yakamambia: ,katumie!!) wewe na nduguyo 2) shirika 13).“
yakenenda zake, akapita palepale pa dada yake aliyomnyima')
kitambi cha kuvaa. alipomwona ana mali mengi aliyokuja nayo, marra
akimtaka: ,njoo, ndugu yangu, garibu hapa.“ yakikataa, akamwambia:
vUmeona mali, sasa hivi unanitaka; nimekuwa maskini, ukanyima nguo
yakuvaa, haya kwa heri, nenda zangu.”
yakenenda, hatta yakafika mjini pao, yakamwambia: ,kaka yangu,
nimekwisha rudi, maneno ya baba yetu na mama yetu — kama ,0eni
mke mke wenu, msioe mke wa mwenzenu 3), rafigi wa babayo usim-
sahau,“ ndugu yangu hakunijua mimi, yaliyonijua — baba yangu,
') akataka. 7) mwenyi (mwenyewe) wako. 3?) akatoka. $) ar.
Zeichen. 9) amenikata,. 99) ar. Scham, Schande. 7) ar. Scheidung; cf.
Mittheilungen des Seminars fiir orientalische Sprachen, I. Jahrgang,
Abthig. III, p. 26 fi. $) ar. Brautgeschenk. 9?) akachukua. 9) na-
kwenda. '!) ukatumie. 7?) ndugu yako. 2?) ar, Vereinigung, Gesellschaft.
14) yerweigern. 7?) mwenzi wenu.
#
7
OO
rafigi wa baba yetu; ndiyo aliyonipa mali haya.” yakimweleza!) kaka
yake khabari, alizofanyiza yule mwanamke zote pia.
wakakaa kitako, wakashukuru muungu, wakafanya kazi yao, we-
nyewe mjini matajiri wakubwa sana; kulla kitu wanacho, hawata'abu?)
kitu. wakatia masuria, kulla mtu na wake, wakakataa kuoa kabisa.
muungu akawaja'alia?), wakapata watoto, wakakaa raha mustarehe.
ndio khabari yangu ya kutaka kuoa mke. ndio waliposema wazee
wa kwanza — kama: ,0eni mke mke wenu, msioe mke wa mwenzenu,
rafhgi wa babayo usimsahau.“
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1) akamweleza. 7) ar. Sorge, Miihe haben. 7) ar. bestimmen; sehr ge-
brauchlich ist die Redensart nikija“aliwa (zu erganzen na muungu), ,,wenn
ich von Gott dazu bestimmt werde“, und zwar gebraucht der Suaheli diesen
Ausdruck, wenn der betr. Wunsch oder das Vorhaben von ihm ausgeht;
geht die Aufforderung von einem andern aus, seli es in Gestalt eines
Wunsches oder Befehls, so zieht der Suaheli vor inshallah ,,s0 Gott will"
zu sagen.
Sultani na maskini.
Aliondokea sultani, inti!) yake kubwa sana, amemiliki?) watu
wengi sana. na matajiri katika nti!) yake wangi?), lakini matajiri
khassa4) wanao mali mengi — watu arbatashara.
na katika mji wa sultani yumo maskini; kazi yake anavua mshipi
katika bahari”). huenenda siku moja katika bahari, akatupa mshipi
wake marra tatu, hupata samaki?) wake mmoja. na yakirejea baha-
rini, hupeleka kwa sultani yule samaki mmoja, na sultani humpa cha-
kula chake pishi ya mtama; hio ndio huwa kazi yake kulla siku.
hatta khalafu ikatokea mvua ya masika'), yule maskini anatoka
baharini na samaki wake, anapeleka kwa sultani. akifika kwa sultani,
baraza imejaa tele, wamekutana ote$), mawaziri wapo, matajiri wapo,
na jumla?) ya watu. sultani akamgaribisha maskini, akamsaili!9), aka-
1) fiir inchi. 7?) beherrschen. 7?) wangi fiir wengi ist in den Dorfern
ndrdli. Daressalaams bis Bagomoyo sehr gebriauchlich, ebenso wangine fiir
wengine. “ar. besonders. Sar. Meer. Sjar. Fisch. ') grosse Regenzeit
(Mitte Miarz bis Mitte Juni). ?)oder wote. ar. Summe, P) ar. fragen.
—
IOI
mwambia: , wanne na wanne hawakukifu!), hawakukifu wanne?“ -aka-
jibu, akanena: ,hawakukifu wanne, lau?) kwama”) wangalikifu wanne,
ingalikuwa hali hi?” akamwuliza: ,hukulala — ukaamka?“ akamjibu,
akamwambia: ,nimelala haamka?), lakini nimeamkia wenzi wangu,
sikuamkia nafsi yangu.“ sultani amwambia: ,usiuze kwa rakhisi?).“
maskini akajibu: ,usimfundishe mchuruzi, ndio “amali?) yake.”
alipokwisha jibu, sultani akampa pishi moja ya mtama, maskini
akenda zake.
khalafu sultani akawambia mawaziri zake na matajiri wakubwa
wote, akanena: ,nataka mnipe fasili?) ya maneno, niliyokuwa hanena8$)
na yule maskini, mnipe ma'ana yake; kama hamkuzumbua?) maana
yake — tawaua 9) wote, ma'ana hamna 'agili.” wakitaka rukhsa ya saa
arb'a u “asherini kupeleka majibu kwa sultani, wakipawa!!) rukhsa.
wakienenda, wakikutana na nvumba moja Cte!?) mawaziri na
na matajiri, wakileta fikira!?) zao, wasipate majibu.
khalafu yuko mtu mmoja katika mkutano wao, akanena: ,mimi
nimekwisha fahamu majibu ya sultani sasa, kutanani'?) katika saa ya
sab'a usiku.“ wakakutana usiku katika saa ya sab'a, akawambia: ,na
tuchange!”) fedda sisi 0ote1$) reale elfu, tumpelekee yule maskini, aliyo
akinena na sultani, tupate majibu ya maneno haya, tuliyolazimishiwa
na sultani.“ wakachanga fedda reale elfu, wakaja hatta katika nyumba
ya mvuvi maskini, wakapiga hodi, akatikia!?) maskini; wakampa ile fedda,
maskini akawapa majibu.
wao wenyewe hawakupata kutambua ma'ana ya maneno ya sul-
tani, ndio afadali kwenda kwa mvuvi maskini kununua maneno
ya “agili. Mwenyi Hija bin Shomari
aus Kondutschi.
1) ar. geniigen. 7) lau —ao. 3) kama. 1) nikaamka. 5) ar. billig.
8) ar. Arbeit;,.Werk. ") ar. Erklirung. $) nikanena. 9) finden. ") nita-
waua. '!) wakapewa. 7) wote. 3) ar. Gedanke. ') die Endung eni fiir
Imper. Il ist gebrauchlicher als ani. 5?) zusammenschiessen. '9) sisi sote.
17) akaitikia,
Mfalme na watoto wake.
Alitokea mfalme, akazaa watoto tiss'atashara; wa tiss'at'ashara
mwanamke. kulla mtoto na yaya!) wake. wote wakatiwa chuoni, na
1) Amme, Kinderfrau; dieselbe nimmt bei den Suaheli eine bevor-
zugte Stellung ein und gehsrt vielfach in ihren spiteren Jahren ganz zu
der Familie.
102
yule mtoto mwanamke kazalika. wote wakasoma, wakakhitimu!),
wakatoka chuoni.
na mle mjini wanafanya kharbati?) ya kupiga watu, ya?) kutu-
kana watu mjini, ya”) kubikiri watoto wa watu wengine wengi, ya)
kuingia katika nyumba ya watu billa ya hodi?) — vitu vya watu
njiani na sogoni)).. na katika ule mji hawakkofu waziri walla
mashekhi wakubwakubwa pia.
na waziri wakenda shauri, wa'arabu wakubwakubwa kwenda
mwambia waziri. waziri akawachukua, wakenda kwa mfalme. na yule
waziri akamambia mfalme: , wamekuja wa'arabu wakubwa na mashekhi
wakubwa, wote wanataka shauri, kwa maana watoto wako wana-
tu'azibu?9) sana, bassi — kama watutaka?) waue watoto wako — a0
tuondoe?) sisi wote?) mjini.“ yule mfalme akawambia: ,nataka mudda
siku tatu, nitawajibu shauri lenu.
wakenda zao waarabu, akabagia waziri na mfalme mbali. mfalme
akamambia waziri: ,tufanye shauri gani?“ watoto hawa wanauzi watu
mjini?” akamambia: ,hatta mimi, waziri wako, nitauzika, lakini wewe
mtu mkubwa, niseme nini? nao watoto wa mfalme!” ba'ada waziri
akitaka?) rukhsa, akenda zake kwake.
yule mfalme akaweta!!) wanawe!?), akawambia: ,walikuja watu
wa mjini, wote wananena, ya kuwa mnafanya kharbati mjini ya ku-
nyanganya watu vitu vyao, na kupiga watu, na kuingia nyumba ya
watu, bassi wa“arabu watatoka inchini na mjini humo, ninaoupenda
mimi; huo mji ni wenu, napenda mwache kharbati yenu, ufalme huu
ni wenu, ni kuondoka mimi mwenyewe — si ninyi, bassi tulieni.”
wale watoto wakamambia: ,sisi hatuna shauri — tunaondoka, na
ufalme wako mwenyewe.“ na watoto wake wakaingia nyumbani kwa
mama yao, wakamwambia: ,mama, tufanye mikate mingi, kesho
tunaondoka.“ yule ndugu yao mwanamke akawauliza: ,mnakwenda
wapi?” yvbaba yetu ananena, ya kama tunaharibu!3) mji wake, na sisi
tunaondoka tumwache mji wake yeye na waarabu wake.” wakenda
zao manyumbani?) mwao.
yule mtoto mwanamke akamwambia babaye na mamaye: ,nami
nitaondoka, nifuate ndugu zangu, siwezi kukaa mji huu.“ mama yake
na baba yake wakalia: ,,usiondoke na wewe katika mji huu!” ,,nitakaaje
') die Schulzeit beendigen. 7?) ar. Aufrubr, hier bese Streiche.
3) auf kharbati beziiglich. 1) ohne hodi zurufen. Jj) ar. Markt. 9) ar.
strafen, peinigen. /') wataka watuue. $) utuondoe. '“9)sisi sote. 9) aka-
taka. '!) akawaita. 7) waana wake. 3) verwtisten. ') in ihre verschiedenen
Hiauser.
103
mji huu, nami nilikuwa na ndugu zangu, nami sasa ntakaaje? na sasa
ndugu zangu ntaondoka nao."
bassi hatta alfajiri!) wakaja, wakaingia katika chumba cha panga
na cha bundugi, wakatwaa bundugi zao wenyewe na za watumwa
wao, wakiwapa, na kulla mtu ana mtumwa mojamoja?). wakatoka
wakaingia banda la frasi, wakachagua frasi kumi na wanane, wakaji-
funga kiume kivita wote kwa panga, kwa bundugi na mikuki na ma-
jambia kulla mtu, na shoka mojamoja wale watumwa wao. yaka-
tokea baba yao, akawapa mifuko ya fedda, mmoja mifuko saba —
kulla mtu.
yule mwanamke akivaa?) kiume, akajifunga bundugi, kulla se-
laha?) ya kiume, yakaingia kondeni kwa nduguze; wakapakia mikate
na fedda zao, wakenda zao.
wakenenda hatta wakafika mahali pa kulala. kulla usiku hutoa
mashoka wale watumwa wao, hukata miti, hujenga kambi. wakenda
zao mudda wa siku sab'a, wakaona mji mkubwa hauna watu, watu
wako mojamoja mwisho wa mji, watoto maskini. katika ule mji kuna
nyumba nyingi za mawe, hazina watu — zote.
wakaingia mjini, wakaona nyumba kubwa sans, iko kattikatti ya
mji ina uga mkubwa sana na ghorfa?) nyingi na sebule$) nzuri sana;
yalikuwa ya mfalme wa mji huu. na chini unapita mto wa maji; wa-
kakaa mulemule?) wote.
na mama yao huko nyuma yakachukua mimba, yakazaa mtoto
mwingine mwanamume. yakamlea yakamtia chuoni, akasoma, aka-
khitimu, akafanya kharbati kama zile walizozifanya nduguze”). naye
akasikia na watu, ya kama nduguze wametolewa katika mji huu.
akamwuliza yaya yake, yakikataa, yakamambia: ,,uwongo.” yakamu-
liza mamaye, yakimambia: ,urongo?).“ yakimambia baba yake, yaki-
kataa. na katika mji watu wanasema, wamecheka kunena.
akamambia mama yake na baba yake: ,nambieni kweli ao ntawa-
pigana.“ wakamambia: ,kweli, walikuwa nduguzo!) wakafanya khar-
bati, nawe tulia, kama hukutulia utaondoshwa.“ akamambia baba
yake: ,mimi jina langu ,Kamiliwa 'asherini11),<“ na ndugu zangu wote
wameondoka, sasa nawafuata.” babake akamambia: ,ntakupa ufalme,
na mimi nikae chini yako!“ yakakataa.
ndipo wanapofanya watoto kama wazee hawajui kuwalea vema.
1) ar. Morgenrdthe. 3?) je ein. 9) akavaa. “$) Wafle. “) Stock-
werk. $) Empfangshalle. 7) mle mle dort drinnen. $) ndugu zake.
9) neben uwongo gebriauchlich. 9) ndugu zako. '!) der die Zahl| zwanzig
vollmacht.
104
akaja asubuhi!), yakamambia babake: .,nipe kama ulivyowapa
ndugu zangu!“ akampa fedda na frasi na bundugi na upanga na jam-
bia?) na kitwana, akenda zake mudda wa siku saba, yakafika alasiri?)
katika ule mji. alipoiona nyumba ile, walipokaa nduguze, akashuka
juu) ya frasi, akamfunga katika mti, akaingia ndani ya sebule, akakaa
kitako. akaona panga themint'ashara, roho yake ikagubali — kama
"hawa ndio ndugu zangu.”
na wale nduguze hakuwakuta, wamekwenda kupiga ndege msi-
tuni. nduguze waliporejea, wakaona frasi amefungwa ugani chini ya
mkunazi, wakatazama ndani ya sebule, wakiona mtu. wakimwona?)
wale vijana, wakataka kumua. akaja mkubwa wao, akawambia: ,tu-
ngoje, tumulize khabari kwanza.”
wakamwambia: ,unatoka wapi?” akawajibu: ,sijui nendako,
walla nitokako.“ wewe mtu ao jini:“ akasema: ,mimi mtu, walla si
jini.“ khalafu yakitoka?) mkubwa wao, wakafanya shauri, wakataka
kumua. yule mkubwa wao akanena: ,ngoje?), nende mjini, nipate kha-
bari yake.” yakamwambia tenna: ,watoka wapi wewe? niambie, una-
kwenda wapi? ili tueleze unakotoka.“ akawambia: ,mimi natoka kwa
mfalme aliyozaa watoto themintashara, wa tiss'at'ashara mwanamke.
nilipozaliwa, mimi Kamiliwa 'asherini, watu wakanena mjini — kama:
"huyu yalikuwa na nduguze, wakafanya kharbati katika mji, wameto-
lewa mji, na mimi nikasikia hafanyiza?) vilevile. wakanishitaki watu
mjini kwa babangu. nikenda mwambia yaya yangu — kama: ,kweli
nilikuwa na ndugu zangu?“ yaya yangu akaniambia: ,sijui, khabari
hiyo — uwongo.” nikenda kwa mama yangu, yakanijibu vilevile. ni-
kenda kwa baba yangu, yakanijibu: ,hatta mimi sijui.“
akasema tenna: ,wamenikatalia ingia mjini watu. nikenda ku-
mwambia baba yangu na mama yangu — kama: ,nambieni kweli; kama
hamkuniambia — ntawapiga.“ wakaniambia: ,kweli.“ nikamambia baba-
ngu: ymimi sasa nitafuata ndugu zangu, na mimi ndiye?) Kamiliwa
“asherini.“ nikenda kwa mamangu, nikamwambia: ,nifanyizie mikate.“
yakanifanyizia, nikatoka, nikenda zangu nyumbani kwangu. hatta
asubuhi nikenda kwa babangu, nikamwambia: ,nataka kama ulivo-
wapa!) ndugu zangu, nami nipe.” yakanipa vilevile kama ndugu za-
ngu. hiyo ndiyo khabari yangu.“
wale nduguze wakafurahi!!!) sana, wakampelekea khabari ndugu
yao mwanamke juu. naye yakashuka, yakija onana naye, wakafurahi
1) ar. Morgen. 7) Dolch. $) ar. Nachmittag. “von oben herab.
5) besser walipomwona. 9$) akatoka. 7") ngojeni. 9) nikafanyiza. 7") ndio
yeye, 9) ulivyowapa. “Jar. sich freuen.
105
sana, wakifanya karamu kubwa sana, tenna wakilala hatta asubuhi.
siku ile hawakwenda kupiga nyama, wakakaa nyumbani kwa furaha
ya ndugu yao mudda siku sitta; ya sab'a wakenda piga nyama msi-
tuni. na yule ndugu yao — ,leo, akanena, na mimi twende.“ waka-
nena: ,sisi tulikuwa na shauri ya kumweka mtu mmoja, amngoje
ndugu yetu; na wewe ndiye ndugu wetu, kaa — afadali.“
wakenenda mwituni kupiga kanga, kulla siku ndio kazi yao.
na yule ndugu yao huwapo nyumbani. hatta siku moja yakashuka
dada yao chini panapo mto kwenda koga. alipofumua!) nywele, ukatoka
unywele mrefu sana, ukachukuliwa na maji. chini kidogo pana kizee?),
anakoga maji, unywele ukamzingiria mguuni, yakautoa yule kizee aka-
ukongoa, akaukata nta5).
khalafu akingia?) kwenda panga moto, akapiga hodi, akaingia
ndani. yule kijana yupo sebureni?), akamwambia: ,nataka moto.“ ya-
kimwambia: ,nenda ndani.“ yakaingia ndani, yakapanda juu yule
kizee. alipomwona yule kibibi, yakajitia ujanja, yakaanguka yule kizee.
yakisema:9) maskini huyu kizee ameanguka!” wyakenda yakimwondo-
sha.) yule kizee yakaupata unywele moja,”) yakauchukua, na mwe-
nyewe hana khabari. yakamwuliza: ,unataka nini?“ ,nimekuja panga
moto;”“ yakampa moto. wyakashuka, yakenda zake hatta kule kwao.
yakautwaa ule wa zamani, aliouokota mtoni, na ule yalioupata
kwa kibibi — sawasawa kama huu, na huyu ndiye menyi unywele.
yakenda mwambia mfalme: ,mwanamke huyu hafai mtu illa
wewe.” yakauliza: ,mwanamke huyu yuko wapi?“ ,nimemwona
mbali sana.“ ,unaweza kumleta?“ yakasema: ,nipe watu.“ ,wataka
watu mia ao miteni?” ,huko sitaki watu wengi; jambo”) kwa “ashe-
rini.” yakampa khamso u 'asherini, yakafuatana nao, hatta wakafika
katika mji ule.
na yule mwanamke yuko juu anasoma, yakiwatambua "), yaki-
mwambia nduguye — kama: ,njoo ule chakula, wanakuja watu, wata-
fanyiza ghazia''); nimewaona wanakuja.“
wakaja wale watu hatta nyumbani, wakapiga hodi. yakiwambia:
vmnataka nini?“ yakajibu yule kizee: ,tunataka huyu bibi ndani.“
Pita, ukamchukue.” yule kizee yakafurahi sana, yakapita ndani. na
yeye yakapita njia ningine. wakakutana katika ngazi, yakimulia”)
mbali; yakatoka nje, yakawaulia mbali. huyu wa mwisho yakamkata
1) Haarflechten auftrennen. 7) unter kizee ist immer eine alte
Frau, Zauberin zu verstehen. 7) ncha. 1) akaingia. 9) sebuleni. 9) aka-
sema. 7) akamwondosha. $) mmoja. ") Geschift, Arbeit. 7) akawatam-
bua. 'J) ar. Feldzug, Erpedition. 7?) akamwulia, akamwua.
106
sikio,') yakamwambia: ,chakula,”) kitoweo kiko wapi?“ yakamwacha,
vakenda, yakisema na sultani. akamwambia: ,mwanamke yuko wapi?“
>Sikuniuliza3) watu wako wako wapi? wamechinshwa, na mimi
nimekatwa sikio, nimeambiwa: ,umeleta chakula, kitoweo kiko wapi?“
sultani yakimwambia: ,kuna watu wangapi huko?" yakimwambia:
“kuna mtu moja — kama elfu na moja ukali wake.“ yakapeleka watu
khamsini.
hatta asubuhi yakamambia nduguye: ,njoo, ule chakula, kuna-
kuja watu.” wyakenda kula upesi. alipokwisha kushuka chini, yaki-
waona") watu, yakiwapiga, yakiwaua. akabagi?) mmoja, yakenenda
hatta akafika kwa sultani. sultani akamwambia: ,wako wapi wenzio?)?”
akasema: ,tumeuliwa?), nimebagi mimi, nimekatwa mkono, nime-
ambiwa ,umepeleka chakula, kitoweo kiko wapi?“ akimwambia: ,,mtu
huyu watu wangapi?“ yakimwambia: ,moja — kama mia kumi
na moja."
yakipeleka?) watu mia. yakiwaona?) dada yake vilevile, yaki-
mwambia: ,kunakuja watu wa kuzidi wale.“ yakamfanyizia chakula,
yakala upesi. hatta yalipofika chini, yakimwona waziri sultani na jeshi!0)
yake, yakitoka nje, yakawaona, yakawapiga, yakiwaua, vakabagi moja;
akasema: ,nenda kamwambie, umeleta kitoweo — amekula, ana-
taka maji ya kunawa.“
yakenenda mbio kumwambia — kama: ,yule anataka maji ya
kunawa.“ akafunga vita tenna watu miteni. wakenenda wakapigwa
naye, yakabagi moja, yakikatwa!!) sikio na mkono moja: ,kamwam-
bie, anataka sasa tumbako na tambuu/??), tengeneze3) kwa upesi!“
yakifunga ") vita vikubwa sana, watu elfu, na sultani pamoja nao;
wakenenda, na wale watu wa kwanza walichimba handagi?). na yule
kijana humwambia kaka!$) yake — kama: ,watu wanakuja, njoo ule
kwanza.“ yakenenda kula juu kwa dada yake, yakala upesi, yaki-
shuka!?), yawaona!8) — jeshi iko garibu ya nyumba. yakiwaendea !9),
yakawapiga yule kijana, yakawaua wengi, yakiangukia katika lile han-
dagi, walilochimba watu wa vita kwanza, yakaanguka shimoni katika
handagi. waliobagi wakakimbia wakasema: ,amekwisha kufa sasa.“ na
yule kijana mle shimoni — hakuumia hatta kidogo.
1) neben shikio. 7) zu erganzen umeleta. 9) soll wobl usiniulize
heissen. $) akawaona. 5) ar. iibrig bleiben. 9) wenzi wako. 7) besser
ware tumeuawa. $) akapeleka. 7) akawaona. P) ar. Heer. '!) akakatwa.
13) gudz. tambul Betel; die Zuthaten zum Betel, der gekaut wird, sind
popoo die Betelnuss, tambuu Betelblatt, chokaa Kalk und tumbako Tabak.
13) atengeneze. '#) akafunga. 5) ar. khandag Graben, Kanal. '$) der altere
Bruder. '') akashuka. '$) besser akaiona. ?) akawaenda.
.
——....
107
vule frasi wake wakimwona ndugu yao kule mwituni wakasta'a-
jabu!). wakamkamata yule frasi, wakirudi hatta mjini, wakiona damu?)
nvingi na watu waliokufa, wakamwona: ,gissi gani, umeumia?“ aka-
sema: ,sikuumia.“ wakamtoa ndani ya handagi, wakisema: ,tupe kha-
bari yako, nini“ akisema: ,imekuja vita hii marra ya sitta na ya
sab'a.” ,wakimwambia: kwa nini usituambie?” yakisema”): ,,hao sa-
wasawa vyangu, hawakunishinda.“ wakisema: ,haifai kumwacha peke-
vake tenna; ikiwa enda?) kupiga ndege — moja moja. wakakaa kitako
raha mustarehe.
Muhemedi bin Madigani
“ aus Magogoni.
') ar. sich wundern. 3? ar. Blut. 7) akasema. f) kwenda.
hadithi ya maneno matatu.
Alikuwako mtu mmoja maskini sana, kazi yake huvua baharini!).
ana mwanawe mmoja manamme. siku moja akamambia: ,mwanangu,
ntakupa urithi?) wako, mimi maskini, sina kitu, lakini sikiliza maneno
matatu.“ akamambia: ,kwanza ,hamadi?) iliyo bindoni?),“ na ya pili
>mke — mkeo akatoka nje — si mkeo,“ na ya tatu ,lala jirani?) —
kuliko ndugu mzaliwa naye.“ uyauze kwa reale thelatha mia, kulla
neno reale mia; iwapo hukufanyiza, ntakushika sana.“
khalafu babake akifa9;, huyu maskini mwanawe akafanza haya
kuyatembeza?) mjini. baba yake akamshika sana, asipate mapesa ya
kutumia. yakawa maskini, akaomba mjini.
khalafu siku moja akenda kwa mganga kutazamia, akamambia:
babako alikwambia maneno, na shurti$) maneno hayo ufanyize.“
asubuhi?) akaondoka, akapiga makelele kunadi) maneno matatu kwa
reale thelatha mia. watu wakamfanyiza ,ana wazimu, umaskini wake
umemtia kichaa.“
akenda akapita kwa sultani, akamambia: ,maneno yako nimenu-
nua.“ yakatoa fedda yakampa reale thelatha mia. ,nimekwisha nunua,
nambie maneno yangu.“ akamambia: ,kwanza hamadi iliyo bindoni,
') ar. Meer. ?j)ar. Erbschaft. 3) ar. Lob, Preis. ') Geld tragt der
Suaheli gewohnolich in dem die Hiiften umschliessenden oberen Rande
(Saum, bindoni) des Lendentuches. “) lala kwa jirani. 9) akafa. 7) feil-
bieten. 9) ar. Bedingung. “ar. Morgen. 'Wjar. cffentlich ausrufen zur
Versteigerung.
108
cha!) shamba hakikufai, walla katika bueta hakikufai; na mke mkeo
yakitoka nje — si mkeo; lala jirani kuliko ndugu mzaliwa naye.” ya-
katoa fedda, yakagawa sawasawa, yakamambia: ,niwekee iwe hagai?
yangu.“ yakatoka, yakenda zake maskini.
na sultani ana mkewe, mtoto wa sultani. hatta siku moja aka-
ingia ndani, akamkuta mkewe analia, akamambia: ,mke wangu, unalia
nini?” akamambia: ,nikapata khabari, babangu hawezi sana.” akam-
ambia: ,kwa nini isije barua?“ akamambia: ,hawa watu walipita njiani
wakaniambia, nami nataka kwenda zika akifa.” sultani akatoka nje
asimjibu neno.
akaingia marra ingine, akamkuta mkewe analia sana. akamambia:
mke wangu, unalia nini?“ akasema: ,nataka kwenda kwa baba yangu,
akifa nimwone.“ akafunga mali kumpa mkewe kwenda kwa baba yake, ;
akafanya watumwa sab'a akampa mkewe, yakatoa saanda yakampa mkewe.
asubuhi akaondoka, akenda, akamkuta babaye barazani akasoma.
akamuliza: ,umekuja, umegomba na mumeo)?” akamambia: ,nime-
pata khabari huwezi sana, na mimi nikaja kukutazama.“ akamambia:
uwongo, mimi mzima.“ yakapita ndani yakakaa kitako. na yumo
ndani mtwana anayompenda. mwanamke akakaa siku sab'a, mumewe
hapati barua, walla hapati majibu yatoke kule kwa mkewe.
hatta siku ya nane yakatoa reale mia, yakafutika bindoni, yaka-
panda frasi kwenda kwa mkewe. yakafika usiku garibu mjini, yaka-
toa frasi yakamfunga mwituni, yakatoa upati?), yakapiga, na fedda yake
emefutika katika upati. yakatoa nguo yote, yakafunga tambaa, yakatoa
na fimbo ya kwendea. yakipata mwangoni, yakapiga ,hodi;“ yakamwi-
tikia: ,nani anapiga hodi?“ yakamambia: ,mimi mtumwa wa bibi,
natoka kwa mumewe.“ yakamambia: ,pita ndani umtazame bibi yako."
alipokwenda yakamkuta mkewe emekaa?) pamoja na mtwana
huyu; akatambua marra yote. lakini mkewe hakumtambua, akaman-
bia: ,khabari za huko ulikotoka?“ yule mwanamme wake akakasirika
sana, yakatoa fimbo, yakampiga, yakampasua nguo zake. akapiga kelele:$
”mtwana huyu ananiua.” wakaja watu wengi sana. baba yake ak
ma: ,mwenyi kupiga mwanangu — shurti nikamchinshe, na kichwa ch
mkilete hapa nikione; kama hamkuleta ntawachinsha niye?),“
wakamfunga kamba sana, wakampiga sana, wakamkokota hatu
mwituni, wakataka kumchinsha. akawambia: ,ntawapa mapesa, wak
1) zu erginzen kitu. 7?) ar. Recht, Forderung. 7) mume w
4) ein kurzes Lendentuch, das, zwischen den Beinen durchgezogen,
anliegt; andere Ausdriicke dafiir sind kupiga winda, kupiga msamban
(nach Banyanen Art). 9) amekaa. “$) ninyi.
“NY
109
kini msinichinshe mimi.“ wakamambia: ,mwongo, waipata wapi fedda?“
akawambia: ,,ndegezeni!) kamba, ntawapa fedda.“ wakasema: ,uwongo
wake, mkamregeza?) — atakimbia mbiombio.“ akawambia: ,kaeni hapa,
moja?) anishike mkono kama ntakimbia.“ wakamshika mkono; yaka-
wapa fedda. wakamambia: ,,kimbia sana, asikuone sultani tenna.“ fedda
yao wakagawana.
wakenda, wakanunua mbuzi, wakachinsha, kisu wakampelekea
sultani, wakasema: ,kimepaka damu yake, mtumwa huyu tumekwisha
tumika.“
khalafu yule akakimbia sana, akenda yakapata frasi wake, yaka-
rudi kwake. alipokwenda njiani, iko nyumba ya ndugu yake, baba
moja mama mojaf). akamambia: ,mji wangu nimepigwa vita; na mimi
nikafungwa na kamba. yakiisha?) nikakimbia; sasa nipe watu nikapige
vita, watu wangu nirudishe mjini kwangu.“ huyu akanena: ,weye
tajiri, unajua maskini? na hapa ondoka, sitaki ukae, walla sikupi
watu.“ akamfukuza kwa fimbo, akenda zake.
akenda kwa rafigi yake, akamambia: ,mji wangu nimepigwa
sana, hakikubagia hatta kitu kidogo.“ rafigi yake akalia sana, kiisha
kulia akapiga goma?). wakaja watu wengi sana, ndugu zake na wa-
tumwa wake. akawambia, ,rafigi wake amepigwa vita sana.“ watu
wakafuata wote, wakenda hatta mjini kwake, wakakuta mji kamiri?),
hakupigwa hatta mtu moja.
akafanya karam3$) kubwa sana, yakawapa watu waliokuja naye —
yakawapa fedda nyingi sana. wakisha wakenda zao watu. naye ra-
hgi akamambia: ,umesema mjini wako?) umepigwa vita, mbona hau-
kupigwa vita?“ akamambia: ,khalafu, nataka kupona fimbo zangu nili-
zopigwa, na kesho nitakwambia.“
| yakaja mkewe, akamuliza: ,mke wangu, khabari huko ulikotoka?
baba yetu hajambo? nipe gissa 9) ulichokaa siku nyingi.“ akamam-
bia: ,nilikuwa nikaonana na ndugu zangu, nilikuja njiani, nilikutana
simba, akanifukuza sana, nguo ikapasuka; na sasa, mume wangu, nipe
themani!!) ya nguo iliyopasuka.“ akamambia: ,imepasuka — bassi.“
akafanya takirim!?) sana na watu aliokuja nao; akawapa bakhshishi ?)
1) nilegezeni. 7) mkimlegeza. '?) mmoja. $) ndugu allein kann
“Bruder, Schwester, Freund, Verwandter, Bekannter“ bedeuten; will
man wissen, Ob es der leibliche Bruder oder Schwester (dada) ist,
so fragt man wie hier baba moja mama moja? oder auch tumbo
moja? 9) zu erganzen mambo. 9) Kriegstrommel. 7) kamili ar. volikommen.
8) ar. gastfreie Bewirthung. ”) mwako. YJar. Sache. '!) ar, Preis, Werth.
12) ar. fiir edel, freigiebig erklaren. 5?) pers. Geschenk.
ILIO
nyingi. hatta usiku yakamandikia talaga!) mkewe ya kumwacha, ya-
kamandikia maneno kama aliyompata kwao.
hatta asubuhi akatoa watu kumpeleka kwao, na barua yakampa
kuchukua mwenyewe. akamambia baba yake: ,mimi si mkweo?) —
mkweo mtumao3?) aliyo?) nyumbani kwako; nami mlitaka kuniua,
lakini fedda yangu ikanifaa. na sasa mwanao?) niliyomwacha nakupe-
leka, na mahari?) yake nimeishempa?).“
mfalme akakasirika sana alipopata khabari hii, yakamuliza mkewe:
vkhabari hii unajua?” akamambia: ,sijui;“ akamambia: ,ulikuwa nyum-
bani — ukakosa wapi huijui khabari?” wakafungwa kwa kamba mke
na mwanawe, na yule mtwana yakafungwa pia; wakatiwa wote katika
fumba, wakatoswa baharini.
na yule, aliyokuza$9) maneno matatu, akapata usultani, yakawa
mtu mkubwa, umaskini wote ukamtoka. khabari za waanawake
ndizo hizo.
Muhemedi bin Diwani Tambaza
aus Klein-Bagamoyo.
1) ar. Scheidung. 7) mkwe wako. 7) mtumwa wako. $) neben
aliye. 9) mwano wako. $) ar. Brautgeschenk, Morgengabe. 77) aus
nimekwisha mpa zusammengezogen. $) neben aliyekuza und aliyeuza,
'Agili!) ya waanawake.
Alikuwako sultani akazaa mtoto mwanamume, na maskini akazaa
mtoto mwanamume. wakilewa wale watoto hatta wakiwa watu wa-
kubwa. walipokuwa wakubwa wale watoto, yule sultani akamwita
maskini, akamwambia: ,weye ntakufanyiza waziri, na mtoto wako
ewe?) rafigi?) ya mwanangu.” akaridi1) maskini, akiwa waziri, na yule
mtoto wake akafanyiza urafigi na mtoto wa sultani, hatta wakape-
wa wake.
yule mtoto wa sultani akaoza mke, na yule mtoto wa waziri
akaoza mke naye?). yule mtoto wa sultani hutongoza$) mke wa mtoto
wa waziri, hutwaa vitu vizuri akampelekea. na yule mwanamke ali-
kuwa anampenda yule manamme wake, mtoto wa sultani, walakin
yule manamke hakuwa na nafasi?) ya kuonana naye manamme wake,
mtoto wa sultani. .
YJar. Verstand. )awe. Jar. Freund. “Jar. zufrieden sein. 9) auch
er. $) nachstellen. ")ar. Raum, Gelegenheit.
III
akafanyiza hila!) mtoto wa sultani ya kusafiri kwenda barra, aka-
chukua mali mengi akenda barra. aliporudi akaleta zawadi?) ya vitu
vingi, kumletea yule mke wa rafigi yake, mtoto wa waziri. akakaa;
siku moja "Vile mwanamke akamwambia mumewe, mtoto wa waziri:
>kwa nini na weye, mume wangu, husafiri, ukenda barra kama anavo-
kwenda mtoto wa sultani, ukileta?) na zawadi, ukampelekea mwen-
zangu, mkewe) mtoto wa sultani? ajili yeye ananipa mimi na weye
wajibu?) kumpa mkewe.“ yule mwanamume akanena: ,haihitaji8)
kwenda barra, hatta hapa naweza kupata zawadi hampelekea?) mke-
we.“ yule mwanamke akamwambia: ,kitu kinachotoka barra tunu?$).“
yule mumewe akanena: ,iwapo unapenda, mke wangu, nisafiri, nta-
kwenda barra.“
na yule mwanamke anafanya hila magsudi?), na yule mumewe
hakujua khabari ile. akaazimu) safari kwenda barra. alipoondoka,
yule mwanamke akanena kumwambia mumewe: nenda kanunulie!!)
kipande cha 'agili, kama hukuja nacho kipande cha 'agili mimi siku-
taki.“ vule mwanamme akanena: ,vema;”“ akasafiri. akaingia katika
chombo, akapakia mali mengi, akaenenda, akawasili katika inchi nin-
gine, mji mkubwa sana.
alipowasili katika mji ule, akafikia katika nyumba ya kizee ki-
moja, akakaa katika nyumba ile. na katika mji ule yumo sultani, ana
watoto wake waanawake sab'a, hawajaolewa bado. kulla mwanamme
anavokuja akawataka — wale watoto hukataa kuolewa; naye ni mtu
mzuri yule kijana. akakaa siku moja vule kijana akavaa nguo zake,
akafanyiza uzuri sana. akapita katika nyumba, wakimwona?) wale
vijana waanawake watu sab'a, wakampenda rohoni mwao.
akazunguka marra ingine, akatokea panapo nyumba ya waziri,
ina!3) mtoto mwanamke ndani yake — binti waziri. alipomwona, aka-
furahi akamwita. alipomwita akenda ndani akamsaili ?): ,nini khabari
yako?“ akanena ,nimekuita kuonana nawe.“ akamwambia: ,nataka
nikuoe, wanitaka?“ yule mwanamke akanena: ,nataka, aridipo?) baba
yangu."
akaenenda kwa baba yake waziri kumtaka yule mtoto kumwoa.
waziri akanena: ,sharti!$) ulete junia mbili za fedda!?), ndipo umpate
1) ar. List, Vorwand. ”)Geschenk. 3jukaleta. f) mke wake wa
mtoto. Sar. Pflicht. $9) ar. ndthig haben. 7) nikampelekea. 9) Selten-
heit. 9) ar. Absicht. 9) ar. sich entschliessen. '!) ukaninunulie. ?) besser
walipomwona. 53) auf nyumba beziiglich. '?) ar. fragen. 7?) ar. zu-
frieden sein. '$) ar. Bedingung. “Jjar. Silber.
112
mtoto wangu.” akenda zake nyumbani kwake. alikofikia hatta asu-
bubi akuleta junia mbili za fedda, akamwoa yule mtoto.
na katika mji ule waanawake wote wana 'agili nyingi. yule
mwanamke alipoolewa, akamwambia mumewe: ,iwapo unanipenda
mimi, sharti!) uende kuwachezea wale watoto wa sultani.” akamwam-
bia: ,siwajui hawa waanawake.” akamwambia: ,ntakupa sifa?) zao,
wana 'agili nvingi, walakin ntakufundisha maarifa?) gadiri?) utaka-
loona?) uje unambie.” akamwambia: vema, nimeridi. akamwambia:
yaa nguo zako, ufanvize uzuri sana.“ akavaa nguo zake, akafanyiza
uzuri sana, akamwambia: ,pita panapo nyumba ya sultani, gadiri
utakaloona uje unambie.”
akapita panapo nyumba va sultani kwa nyuma. walipomwona
wale waanawake, wakammwagia maji nguoni mwake. akapita, akenda
zake. alipokwenda kwa mkewe, akamsaili akamwuliza: umeona nini?“
akamwambia: ,nimepita, wakanitia maji katika nguo zangu.“ yule mwana-
mke akamjibu mumewe: ,hiyo ma'ana ya kutia maji — wanakuita, nenda
kawangoje?) kisimani, kwa usiku sa'a?) tano watakuja.“
akaondoka yule manamume, akenda kisimani usiku, akakaa kisi-
mani kuwangojea, asiwaone. marra akarudi akenda pwani. alipo-
kwenda pwani, wakitokea wale waanawake kwa nyuma. walipokuja
hawakumfika, wakanena: .,,mwanamme yule hana 'agili;” wakarudi
nyumbani. naye aliporudi pwani akatazama hapana mtu pale kisi-
mani, walakin alisika harufu?) ya mafuta mazuri pale kisimani, aka-
jua ya kama wamekuja waanawake.
akaondoka akenda nyumbani kwa mkewe, akamsaili mkewe:
“Umeona nini, mume wangu” akanena: ,nimekwenda kisimani, si-
kuona mtu, marra nikarudi nikenda pwani; niliporudi pwani, hasikia?)
harufu ya mafuta kisimani, hajua kama wamekuja waanawake, wa-
lakin bawakunifika.” yule mwanamke akamwambia: .lala hatta agu-
bubhi, ufanyize uzuri kama jana, upite nyumbani kwao."
akulala, akafanyiza uzuri asubuhi, akapita nvumbani kwao. wali-
pomwona kwa juu, wakachukua yasmini!?) kwenda mtupia, wakam-
!) nchben shurti. 7) ar. (gute) Eigenschaft. 7) ar. Wissen, Kennt-
niss., fjar. ungefahr. 7) zu crginzen neno. !) ukawangojee. ar.
Stunde, Ubr, "par. 'arf Geruch, 7?) nikasikia. '”) Jasmin, des scharfen
Wohlgeruchs wegen bei den Suaheli-Frauen sehr beliebt. Wische und
KicidungsstuUcke, die zur Aufbewahrung in einc Kiste gelegt werden,
werden mit Jasmin bestrcut. Will cine Frau ihrem Manne eine besondere
Aufmerksamkeit crweiscn, s0 schmtdckt sic sich (Haar und Kleider) und
das Mhebett mit Jasmin,
113
mwagia yasmini nguoni mwake. akatoka akenda kwa mkewe. naye!
akamsaili: ,umeona 'alama!) gani leo, ulipopita. kwa hao?) waanawake,
watoto wa mfalme?“ akanena: ,wamenitupia yasmini nguoni mwa-
ngu.“ akamwambia: ,ma'arifa?3) yao — wanakuita, nenda kawangoje
kitaluni). akatoka usiku, akenda akawangojea kitaluni.
ilipopata saa ya tano, wakija wale waanawake wote, watu sab'a,
walipokuja, wakimwambia: ,sisi watu sab'a, nani umtakayo?” yule
mwanamme akanena: ,nawapenda wote.” wakamwambia: , kutwaliwa
ote?) na mtu mmoja hatutaki, walakini taka umtakayo aliyovote katika
sisi watu sab'a.<“ yule mwanamme akanena: ,jichagueni ninyi wen-
yewe, aliyoyote namtaka, ajili nawapenda wote.” walipoambiwa wa-
anawake wakafurahi, wakamtoa ndugu yao, yule mdogo wa mwisho,
wakamwambia: ,huyu tumekupa.“ akamchukua. yule mwanamke
akampenda manamme. khalafu wakaondoka, tenna wakenda zao.
na yule mtoto wa waziri akenda kwa mkewe. yule mwanamke
akamsaili mumewe: ,umewaona?” akanena: ,nimewaona, wamekuja,
nikachukua mdogo wao.“ yule mkewe akimwambia: ,bassi mume
wangu." .
akakaa siku moja yule mtoto wa sultani kwa mwanamme wake.
akamwambia: ,nataka uje ushinde?) nyumbani kwangu.“ na yule ana-
ridi, akenda akimwambia mkewe — ya kama: ,yule manamke ananiita
kwake, nikashinde;“ akimwambia: , nenda.”
akatoka usiku akenda, akaingia nyumbani. yule mwanamke aka-
fanyiza chakula, ale na yule mwanamme wake; wakala pamoja yeye
na manamme wake. marra akatokea kizee kimoja, anajua 'agili ya
chanakike?) sana. bassi alipokuja, akaondoka yule manamme, akaji-
ficha ndani. vule mtoto akatwaa kule alikokula manamme wake, aka-
tengeneza. akamgaribisha huyu mzee, akapita ndani, akamwambia:
Njoo, ule.“ yule mzee akenda kula. alipokaa kitako, akaona wali umea-
nguka chini. akajua yule mzee, kama walikuwa watu wawili wakala,
walakin mtu mmoja amekimbia kujificha kwa kuniogopa mimi; naye
ametambua kwa ajili ya ule wali ulioanguka.
akala yule mzee, khalafu akaondoka, akenda akaleta khabari kwa
vijana wa mji. na wale waanaume vijana wanataka kumwoa yule
mwanamke, walakin yule mwanamke hataki kuolewa na mmoja wao.
khalafu wale vijana wakenda wakamvizia?) usiku. wakenda wa-
1) ar. Zeichen, Kennzeichen. 7) hawa. Jj ar. Mittheilung. ") Garten,
mit Mauern umgeben. 9?) wote. 9) shinda hat neben besiegen, iiber-
treffen auch die Bedeutung bleiben, verweilen, sich authalten. 7) chana
— kiana — kijana; kike weiblich. 9) auflauern.
Velten, Suaheli-Marchen. 8
LIA
kapanda juu ya ghorfal!), wakamkamata yeve na yule manamke, binti?)
sultani. wakamchukua, wakamtia katika kanda, yeye na manamme
wake pamoja. wakalifunga lile kanda, nao wakawachukua hatta gere-
zani”), wakampa bawabu) wa gerezani. wakamwambia: ,twaa
amana”) yetu uweke hatta asubuhi, tutakuja wenyewe.“ na yule
bawabu hana khabari, ya kama ndani ya kanda wamo watu wame-
fungwa.
khalafu yule mkewe alipoona, yule mumewe hakuja nyumbani,
amekawia sana, akapeleka khabari kwenda mwuliza kwa vule mwa-
namke; wale nduguze wakanena: ,amekuja chukuliwa usiku.“
akenda nyumbani kwake yule manamke; akenda akatwaa fedda,
akampelekea yule bawabu, akamwambia: ,shika hii fedda, unionyeshe
hiyo amana uliyopewa kuweka.“ akatwaa fedda, akimwonyesha lile
kanda. khalafu yule mwanamke akafungua lile kanda, akamtoa mtoto
wa sultani. yule mwanamke akaingia yeye na mumewe katika kanda,
akamwambia yule mtoto wa sultani: ,lishone kanda.“ akaingia yeye
na mumewe, likashonwa kanda. yule binti sultani akenda zake kwa
nduguze?), wale watu sitta.
khalafu usiku ulipokucha, wakenda kwa sultani wale watoto wa-
anaume, wakamwambia — ya kama: ,watoto wako sisi tukiwataka
kuwaoa — utukatae, nao wanazini?) na watu wengine.” sultani
akauliza: ,mmewaona wakizini?"” wale watoto wakasema: ,tume-
waona; tenna tumewakamata, wako gerezani, veye na mwanamme
wake.“ khalafu sultani akaamrisha: ,kawatoeni gerezani.“
wakenda kutwaliwa gerezani, wakaja. walipokuja, likafunguliwa
kanda, akitazama ndani ya kanda — yumo binti waziri na mumewe,
binti sultani hayumo. wale vijana wakasta'ajjabu?)j. akasailiwa?) binti
waziri: ,nini maana ya kufungwa?" akanena: ,hawa waanaume wa-
mekuja nitaka 10), nami hakataa!!), wakanifunga mimi na mume wangu."
baba yake waziri akaghadibika??) sana, kwa ajili ya kufungwa mtoto
wake pasipo sababu.
bassi, khalafu sultani akawatoa wale watoto waanaume katika
mji, kawafukuza 3), kawambia 4): ,tokeni mji wangu ?), kwa sababu siyo
adabu kwenda kutaka mke wa mtu, naye, akikataa mwanamke, khalafu
mke mfunga; hii si desturi, tokeni mji wangu.“ wakitoka wale watoto,
na waziri akafurahi, akajua — nimepata heshima18) kwa sultani.
1) ar. Stockwerk. “jar. Tochter. 9) Gefangniss. “) ar. Thiirhiiter. 5) ar.
Sicherheit, Pfand. $) ndugu zake. 7) Ehe brechen, Unzucht treiben. $) ar.
sich wundern. 9?) ar. fragen. '") oder kunitaka. '!) nikakataa. 1) ar. er-
ziurnt sein. 5?) akawafukuza. ) akawambia. 5) oder mjini mwangu. '$) ar.
Achtung.
115
na yule mtoto mwanamume aliyooa binti waziri akajua, kama
inchi hii wamo waanawake wenyi “agili. akasafiri akenda inchi ingine!).
akitokea katika mji mwingine una?) waanawake wana 'agili sana.
akenda akawambia: ,nataka mnipe “agili ya waanawake.“ na khabari
alimwambia mzee mmoja. yule mzee akamwambia: ,yuko mwanamke
ntamwambia akufundishe “agili ya waanawake. yupo mwanamke mmoja,
ana mumewe, na yule mumewe ana uwiwu sana; hampi rukhsa kutoka
nje mkewe — kabisa, walla mwake”) haingii mtoto wa mwanamme
kwa uwiwu wake alio nao.“
akenenda ndani mwaf) mkewe, akimpa?) khabari yule mwana-
mke, akamwambia: ,emekuja?) mwanamme mmoja mzuri, anatoka
inchi za mbali, emekuja kuja kutaka 'agili za waanawake, bassi nataka
umfundishe “agili za waanawake.“ yule mwanamke akanena: ,vema,
nimesikia.“
akamwambia: ,nenda kwa mume wangu umwambie: ,nimepewa
amana na mwarabu”) mmoja, na huyu mwarabu mkubwa sana, aka-
nipa mkewe nikae naye, naye mwenyewe amesafiri; bassi nnayo yule
mkewe. na sasa mimi mtu mzima, nataka kwenda tafuta chakula na
kuni za kupikia, na kuondoka na kumwacha pekevake nna?) khofu?),
wasije waanaume wakimtaka !0), imekuwa — atakasirika mwenyewe
akija akisikia. na sasa nataka nimlete kwako kwa mkeo!!).“ kizee aka-
fanya kama hivi, naye mwanamme akamwambia: ,vema, nimegubali 2),
nenda kamtwae 3) umlete aje nyumbani kwa mke wangu.“
akenda, akamvika kanzu ya chanakike na suruali?) na ukaya na
mitali miguuni, akaja naye. yule manamme akajua ,huyu sahihi!?)
mwanamke,“ naye mwanamume si mwanamke, walakini hila ya waana-
wake wamefanyiza. akamwambia: , mpeleke nyumbani kwa mke wangu.”
akawasili18) nyumbani, akamwambia: ,na aende, akakae chumba
kidogo.“ akenda, akakaa chumba kidogo. yule mkewe huenda aki-
zungumza!?) naye na yule mwanamme aliyoingia nyumbani. yule mu-
mewe akathannr!3) manamke, lakini si manamke.
hatta usiku wagati!?) wa kulala yule mwanamke akenda kulala na
mumewe. yule mumewe akanena: ,si desturi, emekuja mgeni katika
nyumba yako, naye mtoto wa watu, tenna mke wa mtu mkubwa,
') oder ningine. 7) auf mji beziiglich. 9) zu erganzen ist nyum-
bani. $) nyumbani mwa. 97) akampa. 9) amekuja. 7?) ar. Araber.
8) nina. “ar. Angst, Furcht. 9) wakamtaka. ') mke wako. ?) ar.
einwilligen. 3) ukamtwae. '?) Beinkleider. ?) ar. richtig. 9) ar. ankommen.
17) akazungumza. '5) ar. glauben, meinen. 2?) ar, Zeit.
gi
116
kumtupa — akija akilala huku — si desturi, enenda kazungumze naye
pamoja, mimi ni radi!). |
akenenda yule manamke, akafunga mlango, akazungumza naye.
yule mwanamke akamwambia yule manamme: ,unaona 'agili ya waana-
wake?” akamwambia: ,nimeona.” akamwambia: ,bado — ntakuo-
nyesha 'agili ningine.“
akikaa hatta usiku, akamwita yule mzee, akamwambia: ,kesho
njoo umtoe huyu mwanamme; atakapokuja kwako, mwambie, atake
mkewe kwako, ajifanyize emerudi?) barra.” . yule mzee akajua, huyu
anataka kumwua mumewe, kwa sababu yule mzee anajua 'agili ya
waanawake sana. akimwambia: ,vema."“
akikaa”) hatta usiku. alipolala mumewe usiku, akamwambia yule
mwanamme wake: ,twaa jambia kampige la) tumbo mume wangu.”
akatwaa jambia yule, akenda akamchoma tumboni, akafa yule mumewe.
akamkata kichwa, bagi”) yote ya mwili akaenda akatia katika shimo
la choo, na damu zote akaosha. kile kichwa akakitia dawa, kisipate
nuka. khalafu, alipokwisha tia dawa, akatia ndani ya buetaf) kile kichwa.
khalafu yule mzee akaja asubuhi, na yule manamme amekwisha
toka kwenda kwa yule mzee. alipokwenda mwanamume, ndipo ali-
pokuja mzee, akamwambia: ,mumeo?) yuko wapi? nataka amana
ya yule mke wa watu, niliyomleta kwenu.” yule mwanamke akanena:
wewe mzee harabu3) sana, umeleta mwanamke katika nyumba yangu,
gasidi?) kumzinisha mume wangu, na sasa yule mwanamke na mume
wangu wametoka, siwajui walikokwenda; yapata ya tano na ya sitta
sijawaona.“ .
yule mzee asigubali. akenda akamfundisha yule mwanamume,
akamwambia: ,nenda kanishitaki kwa hakim?), ya kama umenipa
mkeo, nami nimempoteza.“ akenda akashitaki kwa hakim. aketwa!!)
yule mzee, akaambiwa: ,toa mke wa watu.“ yule mzee akanena: ,ha-
gdiga!?), amenipa mkewe kukaa naye, walakini nimempeleka kwa mw'a-.
rabu mmoja kumweka.“ yule hakim akamwambia: ,mwite huyu
mw'arabu.“ akamwambia: ,hayupo, amekimbia yeye na huyu mwa-
namke.“ hakim akauliza: ,mkewe yupo?" akanena: ,vyuko.“ .aka-
mwambia tenna: ,kamwiteni huyu mkewe; huyu mwarabu, aje.“
akenda akitwa!3).
) ar. zufrieden. ") amerudi. 9?) akakaa. $; auf pigo Hieb be-
zuglich. “)ar. Rest. 9) portug. Kiste, Kistchen. ") mume wako. 7?) ar. boshaft,
Verderben bringend. 9?) ar. Absicht, Vorhaben. D) ar. Herrscher, Richter.
11) akaitwa. 2?) ar. Wahrheit. 5) besser mkewe wa. 1) neben aketwa
und akaitwa.
117
alipokuja, akasailiwa: ,,yuko wapi mumeo!)?' akanena:.,,hayupo,
emekimbia?) yeye na huyo mwanamke aliyokuja.” hakim akanena:
weye mwarabu, sikiliza mudda wa siku sitta, arudipo mkeo na huyu
mw'arabu — vema, na asiporudi — chukua huyu mkewe uende naye.”
akakaa mudda wa siku sab'a — hakutokea, ajili amekwisha uawa
na mkewe zamani. akachukua yule mwanamke, akenda naye. yule
mwanamke akamwambia; ,,umeona 'agili ya waanawake, niliyokufanvi-
zia marra ya pili?" akanena: ,,nimeona.“ akachukua mkewe, akenda
naye. na yule manamke — kile kichwa cha mumewe aliyomwua kachu-
kua”) kwenda nacho.
aka“azimu1) safari?) yule mwanamme kurejea kwake, walla haku-
pita kwa yule mkewe, binti waziri. akenda hatta alipowasili9) garibu
ya mji Wake mwendo wa safa tatu, ikatia nanga manowari?).
hatta usiku ulipoingia, ikenda mwendo wa sa'a mbili, bagi sa'a
moja kuingia mjini. yule mwanamke, aliyokuja nayo, akamwambia;
mhapa na mjini mwendo wa sa'a ngapi“ akanena: ,,sa'a moja." aka-
mwambia: ,,shusha mashua ya moshi$).“ akashusha mashua ya moshi
wakenda zao hatta mjini, na yule mwanamke amechukua dawa za
mlango uliofungwa — kufunguka. bassi wakiwasili bendarini usiku,
wakashuka, watu wamelala katika mji wote.
walipoingia mjini, wakenda hatta nyumbani kwake kwa yule
mkewe. yule mwanamke akamwambia: , tafuta ngazi uweke.“ akaweka
ngazi, akapanda hatta juu ya dirisha?), akatia dawa — likafunguka dirisha,
akaingia ndani nyumbani mwake.
akienda — akamwona yule mtoto wa sultani anazini na mkewe.
akawatia dawa, ikapotea “agili kwao, wasiwe na '“agili. khalafu akamwua
yule mwanamme aliyomfumaniza!?) na mkewe. khalafu akatwaa damu
zile zote, akazitia maji, akitwaa!) kichwa chake, akatia dawa, gasidi
kisioze. ile iliyobagi, akenda akatia katika shimo. bassi khalafu akam-
vua dawa puani, ikarudi “agili yake yule mwanamke.
na yule mumewe akaondoka na yule mwanamke, na kile kichwa
anachukua cha mtoto wa mfalme, akenda akaingia ndani ya sitima!?),
kwenda merikebuni kurejea. hatta alipoamka usingizini, yule mwana-
mke akaona manamme wake, mtoto wa sultani, hayupo, akata"ajjabu sana.
khalafu usiku ulipokucha, ikija ile merikebu mjini. na yule mtoto
wa mfalme anatafutwa mjini. ilipowasili mjini ile merikebu, akashuka
) mume wako. 7?) amekimbia. 9) akachukua. f) ar. sich entschliessen.
5) ar. Reise. $) ar. ankommen. 7?) engl. man of war. $) das kleine Dampf-
boot, die Pinasse. 9) ar. Fenster. ') iiberraschen, ertappen. '!) akatwaa.
13) das englische Wort steamer, daneben ist auch meli (mail) gebrauchlich,
118
akenda nyumbani kwake, akamfika mkewe. nave amekasirika, kwa
ajili manamme wake, mtoto wa sultani, hajulikani alikokwenda, naye
alilala mwake!).
bassi — alipomwona mumewe, akamwambia: ,,kiko wapi kipande
cha “agili, nilichokutuma kununulia?) yule mwanamme akamwam-
bia: ,,nifanzie chakula nile, ndipo unisaili khabari.” mwanamke aka-
mwambia: ,,nionyeshe kipande cha 'agili, nilichokutuma kununulia;
na iwapo hukunionyesha, niwache, sikutaki.” yule mwanamme aka-
mwambia: ,,vema, lakini fanyiza chakula.”
akafanyiza chakula mwanamke. hatta ilipopata usiku, akamwam-
bia: ,,nionyeshe kipande cha 'agili.” akampa ufunguo, akamwambia:
fungua sandugu?).” akafungua sandugu mwanamke. ndani va san-
dugu akaona bueta, akatoa bueta, akaifungua, akaona imo dawatif9;
kamwambia?): ,,fungua dawati.“ akafungua dawati, akaona ndani yake
vimo vichwa vya watu wawili. akamwambia: , fungua, kichwa
kimoja utazame.” akafungua, akaona kichwa cha mumewe yule mwa-
namke aliyokuja naye. akamambia: ,fungua na hicho chingine;” aka-
ona kichwa cha mtoto wa sultani, aliyozini naye, yule aliyokuwako
nyumbani mwake. akata'ajjabu mwanamke, akalia sana, akatetemeka
nafsi$) yake. |
khalafu akasema: ,,nimetubu?), mume wangu, hatta siku ya pili,
nikwambiapo maneno kama hayo — niue. mwanamume akasema: ,,Si$a-
digi?), apa yamini?) — ya kama ,,wewe hutanena maneno haya, uli-
yoyaona ya mtoto wa sultani, aliyokufa.” akaridi mwanamke kuapa
yamini, akaapa.
na yule mwanamme hamtaki yule mkewe tenna, walakini anam-
khofu, asiende msaliti10), ya kama ndiye!!) aliyeua mtoto wa sultani.
alipokwisha apa, akalala hatta asubuhi. akajua kama mwanamke huyu,
maadam ameapa kiapo cha yamini, hataweza kuniduru 2); akamwacha
akamwambia: ,,sikutaki, nenda kwenu."
yule mwanamke akakosa mwanamme wake, mtoto wa sultani,
yakafa. naye akaapa yamini; na mume wake akimkosa!3), akakataa,
akikosa yote matatu mwanamke. la kwanza mumewe akamwacha; la
1) zu ergianzen nyumbani. 7) kuninunulia. 7) ar. Kasten, Koffer. “) Kast-
chen, Fach. 7?) akamwambia. 9) ar. Seele. 7) ar. sich bekehren, be-
reuen. 9) ar. glauben. 9) ar. Eid, und zwar den Eid auf den Koran
schworen kuapa yamini; das Suaheli-Wort fiir Eid ist kiapo; schworen
heisst kula kiapo, kufanya kiapo oder kushika kiapo; unter kiapo verstebt
man ejgentiich eine Eidesleistung in der Form, dass sich der Betreffende
einem Gottesurtheil unterwirft. '") beschuldigen. ') ndio yeye. '2) ar.
schaden. ?) akamkosa.
119
pili mwanamme wake, mtoto wa sultani, akauawa; la tatu hakuweza
kunena, ya kama mwanamme wangu, mtoto wa sultani, kauawa!) na
fulani, hakuweza kunena, kwa ajili ya yamini, aliyoapa.
hio ndio khabari ya mwanamke, aliyomwuzi?) mumewe; na “agili
ya waanawake ndio hiyo.
Mw'allim Mbaraka bin Shomari
aus Kondutschi.
) akauawa. 7?) ar. krinken.
Sultani wa kisiwa na sultani wa barra.
Yuko sultani anakaa kisiwani, na sultani wa pili anakaa barra.
beina!) yao vita, wanapigana. huyu sultani aliyo?) katika visiwa
ana ndugu yake, amekuwa mzee; kazi yake anavua samaki?) katika
bahari.
hatta siku moja amekwenda baharini kuvua samaki, yule sul-
tani ndio siku anayopiga mbiu katika inti?) yake kuweta?) “askari wa
jeshi9), gasidi?) na damiri?) yake kufanya vita kwenda mpiga sultani
wa barra.
walipokwisha kutana watu wote, akawauliza: ,hapakubagi?) mtu,
aliyesalia?“ wakamjibu: ,amebagi yule mzee, ndugu yako, amekwenda
baharini.” waziri wa sultani akajibu, akanena: ,huyu mzee haduru 9)
kwetu, sababu yeye hawezi kupigana."
baada ya hayo sultani akaamru 'askari kukaa zamu!!) katika
malango!?), kulla zamu kwa lango lake. ba'fada ya hayo yule mzee
akirejea 3) baharini. khalafu aliporejea baharini, akaondoka yule mtu,
aliyomwambia sultani — kama: ,amepungua mzee, ndugu yako, ndio
aliyokwenda baharini kuvua samaki.“
akamwendea yule mzee akamwambia: ,khabari ya mjini unayo?“
vule mzee akanena: ,sina khabari.“ akamwambia: ,nipe haggi9) yangu
samaki”), nikupe khabari.“ akatoa samaki, akampa akanena: ,nipe
khabari.“ akamwambia: ,ulipoondoka wewe ukenda baharini, sultani
alipiga mbiu katika mji, akakusanya watu, wakakutana watu wote;
khalafu 18) sultani akauliza: ,hapakubagi mtu?“ mimi hamjibu!?): ,yame-
Uar. zwischen. 7?) oder aliye. Sar. Fisch. “jinchi. 9?) kuwaita.
6) ar. Heer. ”) ar. Absicht. 9) ar. geheimer Gedanke. 7) ar. tibrig bleiben. 9) ar.
schaden. ') Wache, Posten. 2?) lango, mal. Thor. 5?) akarejea. ') ar.
Recht, Gebtihr. 5?) haggi yangu ya samaki. '$) zr. nachher. 7) nikamjibu.
'I20
bagi mzee nduyako!), amekwenda baharini. akaondoka waziri, akajibu
akanena: ,haduru yule mzee, anaweza neno gani, sababu hawezi-.ku-
pigana vita?” sultani akaamru zamu, kulla lango la mji na zamu
yake; ndio khabari za katika mji."
alipokwisha mpa khabari, yule mzee asijibu neno lo lote. aken-
da akalala hatta asubuhi, akenda pwani; akatwaa mtumbwi wake,
akavuka, akenda ngambo ya pili kwa sultani wa barra, akafika.
naye sultani wa barra amefanya tayyari?) vita, anataka kwenda
mpiga sultani wa kisiwani. alipowasili yule mzee, sultani wa barra
akamwuliza: ,mzee, umekuja taka nini? nipe khabari yako!“ aka-
nena: ,nimekuja kuwajihi3) kwako, nataka na kitu unipe.“ sultani
akamwuliza: ,wataka nini?? akamwambia: ,nataka kigogo?) cha
“ambari?). unipe.” asimkasiri sultani, akatoa kigogo cha “ambari
akampa. .
akipakia$) katika mtumbwi wake, akirejea?) kisiwani. akifika
usiku — milango imefungwa na “askari katika zamu, akipiga hodi,
wakimwuliza: ,nani wee?“ akanena: ,mimi, natoka baharini.“ waka-
fungua mlango, yule mzec akaingia ndani, alikwenda ndani kwa sul-
tani, akabisha hodi?). marra wakamjibu, wakimwuliza: ,nani wee“
kanena?): ,mimi, mzee fulani, namtaka sultani.“
akipelekewa sultani khabari, akatoka, akimwuliza!?) khabari:
”Umekuja kwa shughuli!!) gani — huu ni usiku?“ akanena: ,, natoka
baharini. naliondoka asubuhi, henenda!?) baharini kuvua samaki, hao-
kota kigogo cha “ambari, nimekuja nacho, kiko pwani ndani ya
mtumbwi; siwezi kukichukua, sababu mimi ni mzee — sina ' nguvu.”
alipompa khabari, sultani akipeleka) watu kwenda kitukua!?,
wakija nacho kwa sultani. khalafu sultani akampa rukhsa!5), aka-
mwambia: ,nenda zako nyumbani ukalale.“ umekuwa usiku yule mzee
akenda zake nyumbani akalala.
ulipotasabahi subuhi!), yule mzee akirejea katika mtumbwi wake,
akavuka akaenda ngambo kwa sultani wa barra, akamwambia: leo
nataka unipe vigogo viwili vya “ambari.”“ asimkasiri, akampa. akavi-
'pakia katika mtumbwi wake, akirejea kisiwani.
akifika usiku vilevile kama auwali, akibisha mlango wa pili wa
zamu, wakimsaili!?): ,nani wee?” akancna: ,mimi, mzee fulani."
) ndugu yako. 7?) pers. fertig, bereit. 9?) begriissen. $) Stamm,
Klotz, Klumpen. "“) ar. 'anbar Ambra. 9$) akapakia. 7) akarejea. $) ku-
piga hodi, kubisha hodi und kusumiza hodi gebrauchlich. 79) akanena.
0) akamwuliza. '!) ar. Geschiift, Arbeit. ?) haenenda fiir nikaenda. 3) 'aka-
peleka. '4) kichukua, ki beziglich auf kigogo. 5?) ar. Erlaubniss. '$) ar.
Morgen. 7) wakamsalli.
I21
wakamfungulia mlango, akaingia, akifuuza!) hatta katika nyumba vya
sultani. akaja sultani, wakionana?) mithili?) kama auwali. aka-
mwambia: ,leo nimeokota vigogo viwili, peleka watu pwani, waka-
wae.“ “naye mzee akitaka?) rukhsa, akenda kulala.
uliposabahi subuhi, akenda marra ya tatu kwa sultani wa barra,
ikataka vigogo vitatu, akapawa. akirejea?) vilevile usiku, akapeleka
wa sultani, khalafu sultani akamwambia wenyi zamu: ,sasa akija
nzee, ijapokuwa usiku, milango na iwe wazi; pasiwe mtu mwenvi
kuvunja milango va zamu, rukhsa usiku iwacheni wazi kwa sababu
ru mzee, akitoka baharini asiuzike."
'alipokwisha toa amri, mzee ulipotasabahi — akenda ngambo kwa
sultani wa barra, akataka vigogo vinne vva 'ambari, akavipata. aki-
peleka9), akafuuza siku sitta. hatta ilipotimia?) siku va sab'a, aki-
mwendea sultani wa barra, akimwambia: ,sasa fanviza jeshi$', upeleke
kisiwani, sababu milango vya ukuta yote 1 wazi, walakini wape?
mausi!) “ “askari katika vita vyako wasimwue sultani walla wa-
ziri wake.
akiwapa!!) mausi, wakenenda na vita, usiku wakaingia katika
mji. sultani akakamatwa na waziri wake akafungwa. uliposabahi
subuhi, akenenda yule mzee, akiwaona wamefungwa, akiwambia sul-
tani na waziri wake, akinena: ,zama mlipokutana mkitaka watu gasidi
ya vita, sultani ukiuliza), hatta wakinitaja mimi, ndio niliyopungua,
nimekwenda baharini, wewe waziri ukanena ,haduru, hawezi kupi-
gana, sababu mzee,“ leo nimeduru ao sikuduru?“
wakaamriwa kuuawa wote wawili. sultani wa baharini ndio
aliyouawa, na waziri wake. sultani wa barra akamiliki 3) inti) ya sul-
tani wa baharini.
Mwenyi Hija bin Shomari
aus Kondutschi.
') ruhig seines Weges gehen. ") wakaonana. 9) ar. gleich, gleich-
wie. '?) akataka. 9) akarejea. $) akapeleka. ') ar. vollendet sein. . ?) ar.
Heer. ”) uwape. ) Auftrag, Befehl, '') akawapa. ?) ukauliza. 5?) herrschen.
4) inchi.
hadithi ya mwanamke aliyeoa baba na mwanawe.
palikuwa mtu na mwanawe katika mji mmoja, nao watu wa-
moja maskini, hawana mali. yule mtoto akasafiri, akenda inchi ningine
122
kutafuta rizigi!). mweny'ezi?) muungu akaja'alia?), akapata mke akaoa,
akakaa naye akastarehef).
kisha yule manamme akamwaga mkewe, akamwambia: ,mke
wangu, kwa heri, nasafiri inchi ningine kwenda kutafuta mali, tuje
tustarehe.“ kisha yule manamme akasafiri, akenda mji mwingine
mbali. akakaa miaka minane, walla asipeleke barua kwa mkewe, walla
kwa baba yake, walla hapana mwenyi kumwona mudda wa miaka
minane ile aliyosafiri. bassi — sheri'a?) ikamachisha yule mke, akakaa
“eda$) yule mwanamke miezi minne na siku kumi kama desturi ya
sheri'a.
kisha yule babaye yule?) kijana mwanamme akatoka mjini mwake,
kenenda?) kutafuta mtoto wake. mweny'ezi muungu akajaalia aka-
shukia katika mji, na ule ndio mji wa kwanza aliposhukia mwanawe.
akauliza watu wa mji: ,mwanangu?) fulani yuko wapi?“ waka-
mwambia: ,mwanao hatumjui kwa jina hili.“
bassi, yule babaye mtu akakaa katika ule mji kwa tamaa) ya.
kupata khabari za mwanawe; mweny'ezi akamjaalia yule baba, akam—
posa yule mke wa mwanawe, aliyeachika kwa sheri'a. akamoa, akazaazmai
naye mtoto wa kiume.
mtoto alipopata miaka minane, yule mwanawe, aliyepotea, akajaa
hatta mjini, akenda nyumbani kwake. hatta akapata garibu ya bomba!! >
yake, akakutana na mtu wa mji ule, nao tambuana. akamwambia -
vahla!?) fulani, umekuja leo? watokapi3) miaka yote hii?“ akamwam—
bia: ,nalipotea, sasa mweny'ezi muungu amenirejeza katika mji wangu,
na sasa nakwenda nyumbani kwangu.“ akamwambia: ,shukuru mu-
ungu, huna nyumba tenna, walla huna mke tenna.“ akamwuliza:
vjinsi gani?” akamwambia: ,mke wako ameachika kwa sheria.“
yule ndipo alipokwenda katika nyumba yake, akafika mlangoni —
akamwona yule kijana, anatoka ndani, akamwambia: ,ewe ndugu
yangu wa kwa baba?) mwambie babako) ndiye babangu 18) — mume
wa mke.”
amesimama mlangoni yule mtu, akarejea nyumbani, akenda aka-
mweleza babake. alivoeleza 1?) akaona ni yule mwanawe mjini, aliye-
kuja sasa, aliyepotea zamani mudda miaka kumi na sitta. alipokwisha
1) ar. Lebensunterhalt, Nahrung. 7) mwenyi 'ezi. 3) ar. bestimmen.
HU ar. sich ausruhen. 7) ar. Gesetz. $9) ar. bestimmte Anzahi von Tagen;
cf. Mitth. des Sem. f. orient. Spr. Jahrg. I, Abthlig. III p. 29. 7) baba yake
wa yule. $9) akaenenda. 7) mwana wangu. ') ar. Sehnsucht, Verlangen.
11) portug. Pumpe. ?) ar. willikommen. 5?) watoka wapi? ') mein Bruder,
der du von demselben Vater bist. '3) baba yako. '$) baba yangu. 7) neben
alivyoeleza.
Pawa.
123
mweleza, babaye akatoka nje, akenda kumtazama yule mgeni aliye-
kuja. alipomwona, akaona ni yule mwanawe, aliyepotea miaka kumi
na sitta, aliyekuja mtafuta.
bassi — yule mke akiachika, akasirrikwa ni!) maharimu?) yao
baba na mtoto abadan”) ila yom elgiyama?).
“Ali bin Nasr, Wali von Pangani.
na. ? ar. unerlaubt. 3?jar.immer. far. am Tag der Auf-
E€rstehung.
hadithi ya zamani.
Alikuwako mtalme na ra'ia!) zake wengi; akawako mw'iallim
vyao. yule mw'allim akapiga ramli, akanena: ,,mwaka huu baada ya
CTieruzi?) watu wasitumie maji ya visimani, atakaye tumia — zitapungua
“agili zake.”
ikawa watu kufanya mitungi na kununua mabalasi?) na matungi
Da mapipaf), na kuweka mabiriga?), wakajaza maji gabla isijapata neruzi.
khatima$) ba'ad ya kupita neruzi, wakatumia maji yao waliyo-
kusanya. mafugara?) maji yao yakesha, ma'ana zombo?) zao si zombo
za “amali?); wakateka visima wakatumia. ikawa kulla anayetumia maji
yale — hupungua 'agili. ikawa hali hiyo, hatta wakesha watu mji mzima,
akabagi!9) mfalme — ndiye mwenyi “agili kamili!!); ma“ana mfalme mweza,
ana zombo za kutia maji kwa uwingi sana, maji yake hayakwisha.
lakini watu wote “agili si mustagarri?), hufanya marra nyingi
kelele burre. hakim53) akiwarudi neno, marra huwa wakatabayyani 14)
wamelifanya lilelile walilozuiwa, hatta yule hakim akaona, hapana
haja — tawaziisha!?) bilashi16), walla hatusikizani; kheri nami nijifanye
kama wao. akenda akateka maji kisimani akatumia, akawa kana wao;
wakasikizana wote.
S'aid bin Bushiri Ilmalindi 'agida
von Kilwa Kisiwani.
') ar. Unterthan. 7) pers. Neujahrstag. 5") grosses Wassergefiss, das
12—15 mitungi (gewohnliche Wassertopfe) enthilt. f?) port. Fass, Tonne.
5) ar. Wassergefuss. 9) ar. schliesslich. ') ar.arm. $?) plur. von chombo
Gefiss kann vyombo und zombo lauten. 7?) ar. Arbeit. ') ar. iibrig bleiben.
11) ar. volikommen. ?) ar. ruhig. 7?) ar. Herrscher, Richter. '") ar. sich
zeigen. '?) nitawaziisha. '?) ar. ohne eine Sache.
124
Sultani Haruni Alrashidi na waziri wake.
Zamani moja aliondoka Harun Alrashidi na waziri wake Jafafari
Baramak kutembea katika miji yake; wakenda safari iliyo kubwa, mfano
wa kupotea.
wakitokea mahala ipo bustani!), na mbele yao wakiona?) nyumba.
wakienenda wakafika barazani, wakimwona mtu moja mcha muungu,
ndio mwenyi bustani. akiwaona wageni, hakumjua, ya kama huyu
ndio Amiri almuminina?) Harun Alrashidi. wakamtolea salaam, yaki-
pokea?) salaam. yakiwagaribisha?), akienenda katika bustani yake, ya-
kikata miwa miwili. yakimenya, yakitwaa makopo mawili, yakikamua
ile miwa; kulla mua ukijaa kopo. akiwagaribisha maji ya mua, wa-
kinywa, wakikuta9). wakihemidi?) mweny'ezi muungu, khalafu wa-
kimwaga; akiwashindikiza yule sahibu?) bustani, akirudi katika makani
yake, na sultani na waziri wakiwasili?) manzili 19), yao.
nyongoni za!!) siku sultani akamambia waziri wake: ,tuenende>
tukatembee!”“ wakenenda, wakitokea pale katika bustani, na yule sahi—
bu yao wakimfika wakimtolea salaamu. wyakipokea ?), akiwagaribisha
yakifanyiza takirimu 3) kama auwali. khalafu akataka rukhsa, akawa—
shindikiza. wa amma sultani Haruni katika damiri14) yake alifazimu 1?)
ile bustani kumnyanganya yule maskini. wakenda zao hatta mji-
ni kwao.
marra ya tatu akamambia waziri wake: ,twende tukazunguke."“
wakienenda, wakiwasili katika bustani ileile) ya yule sahibu yao,
wakimfika barazani pake. wakimtolea salaam, yakipokea salaam, aki-
wagaribisha. akenda katika bustani yake, akikata miwa miwili, akija
nayo akimenya. yalipokamua ile miwa — haikutoka kitu, labda kikombe
cha gahawa!?). yule mwenyewe husta'ajjabu!3) sana na wale wageni
kazalika !?).
wa amma sultani Haruni alimsaili yule mwenyi bustani kam-
wambia?0): ,miwa hii yatoka mahala gani? naile miwa ya auwali,
ulivokuwa?!) ukikamua maji, yatoka mahala gani?” yule mwenyi
bustani akanena: ,ileile ya auwali na hii mahala pamoja, na shina ni
lile moja.” wakamsaili: ,nini fasili?) vake?? wyakanena — kama:
ar. Garten. 7) wakaona. 3) ar. First der Gliubigen. ") akapokea.
>) akawagaribisha; ndiher treten heissen. 9) sich laben. 7) ar. loben. $jar.
Freund. ?) ar. ankommen. 9) ar. Wohnung. '!) nach Verlauf von, ?) aka-
pokea. ?) edel, freigiebig. 'f) ar. Verborgenes, geheimer Wunsch. "?)Jar
sich entschliessen. '$) gerade jenen. ”) ar. Kaffee. '?) ar. sich wundern. '?) ar.
gleichfalls. “) akamambia. “?!) ulipokuwa. “”) ar. Erklarung.
125
itani amebadili!) nia?), ataghusubu5”) haggit) za maskini.” na
e mwenyi miwa hamjui, kama yule ndio sultani, walla yule wa
yake hamjui, kama ndio waziri. wakimwaga: ,muungu akuweke
ri,“ wakaondoka.
yalipowasili kwake sultani akaleta toba?) kwa mwenyezi
ungu wake, akamsamehe") mweny'ezi muungu kwa yale aliyo-
iria.
nyongoni') mwa siku kamwambia?) waziri wake: ,twende tu-
awwiri?).“ wakenda wakitokea pale pa sahibu yao. wakimfika 10)
'shughulika, mkewe aumwa na uzazi. wakatoa salaam, akawa-
3.11); akawagaribisha, akawafanyizia heshima?) kama auwali.
pale katika julusi!”) akija) mtu kumpa khabari — ya kama:
;azi mtoto huja, ukarudi, shika mchele?) uombe muungu.” aka-
: mbado, kama zuriya!?) yangu hazaliwi, illa kwa saa itafaayo !?).“
a!3) mtu marra ya pili, akamambia: ,shika unga wa mchele uombe
ungu;“ akanena: ,bado, hazai.“ sultani na waziri wanata'ajjabu.
'a zilipo mwafigi 9), gadiri alipomwaga, akajifungua salaama?) u
mini mtoto mwanamume.
yule sultani akamsaili: ,sababu nini marra ya kwanza amekuja
1 kukupa khabari — mkeo?!) anataka kuzaa, ukanena , hazai?“ marra
pili vilevile, illa wagati??) ulitaka weye, nini fasili??3) yake?” aka-
: nimetaka sa'a aliyozaliwa Harun Alrashid, ndio niliyoitaka. na
1 mtoto huyu akiwa kiumbe cha dunyani?) — sultani — kwama???)
'eny'ezimgu??) vatamtawilisha?”) amuri?8) — mamboye??) khatari ?0).“
isangaa”!) sultani, yakaondoka. .
akipata njiani, akamambia ilwaziri: ,nipe shauri lako, mtoto
> tumfanyeje?" yule waziri kamjibu??): vjawabu??”) kwako.“
wasili katika manzili??) yao; wa amma sultani ana hamu?””) sana.
wakikaa nyongoni mwa siku, sultani akamambia waziri: vtuka-
bee.” wakienenda, wakiwasili pale pa sahibu yao, wakamfika
izani na mtoto wake, wakimtolea ”?) salaam, akiwapokea. akawaga-
') ar. lindern, wechseln. “ar. Absicht. 9$jar. zwingen. far.
ht. ?j ar. Reue. 9) ar. verzeihen. 7) zama za siku. $) akamwambia.
r. sich nach etwas umthun. '?) besser walipomfika. '') akawaitikia. '?) ar.
tung, Respekt. 5) ar. Hof. ) akaja. ?) cf. des Verf. Abhdlg. tiber Sitten u.
Tauche der Suaheli Jahrg. 1, Abhdig. HI p. 16 der Mitth. des orient. Sem.
r. Nachkommenschaft. '') besser itakayofaa oder ifaayo. “JJ akaja. “Jar.
monirend, zu erganzen ist hier wohi sa'a. V) ar. Wohibefinden, unversehrt.
mke wako. 7?) ar. Zeit, Jahreszeit. 5) ar. Erklirung. 8 ar. Welt.
kama. ') mwenyi "ezi muungu. 7”) ausfiihren lassen. 7) ar. Befeht,
mambo yake. $?) ar. Gefahr. ?!) akasangaa. ”?) akamjibu. $) ar. Ant-
ti $) ar. Wohnung. 35) ar. Sorge. 98) wakamtolea.
124
Sultani Haruni Alrashidi na waziri wake.
Zamani moja aliondoka Harun Alrashidi na waziri wake Jdfafari
Baramak kutembea katika miji yake; wakenda safari iliyo kubwa, mfano
wa kupotea.
wakitokea mal
la ipo bustani!), na mbele yao wakiona?) nyumba.
wakicnenda wakafika barazani, wakimwona mtu moja mcha muungu,
ndio mwenyi bustani. akiwaona wageni, hakumjua, ya kama huyu
ndio Amiri almuminina?) Harun Alrashidi. wakamtolea salaam, yaki”
pokea?) salaam. yakiwagaribisha?), jakienenda katika bustani yake, ya
kikata miwa miwili, yakimenya, yakitwaa makopo mawili, yakikamua
kulla mua ukijaa kopo. akiwagaribisha maji ya mua, wa
ikuta 9). wakihemidi?) mweny'ezi muungu, khalafu wa
ashindi hibu$) bustani, akirudi katika makani
uani na vi ili?) manzili 19). yao.
nyongoni za!) siku sulfani akamambia waziri wake: tuenende
tukatembee!”— wakenenda, wakitokea pale katika bustani, na yale sabi-
ao wakimfika wakimtolea salaamu.
nviza takirimu !9 kama auwali, khalafu akataka rukhsa,
shindikiza. wa amma sultani Haruni katika damiri) yake ali"
ile bustani kumnyanganya yule maskini. wakenda zao |
ni kwao,
yake, ni
mara
a tatu akamambia waziri wake: wtwe!
ni pake. wakimtolea salaam,
waygaribisha, akenda katika bustani yake, a!
nayo akimenya, yalipokamua ile miwa —h
cha shani vule mwenyewe hust'aj
wambia MV -<
umekuwa” wkik mua “maji, yatoka A
vi akanena; wileile ya sauwali
wakamsaili:; wnibi
Oa,
125
.sulfani amebadili!) nia?), ataghusubu? haggid) za maskini.£— na
yule mwenyi miwa hamjui, kama yule ndio sukani, wala yule wa
pili yake hamjui, kama ndio waziri. wakimwaga: #muungu akuweke
kheri,
w
aondoka.
yalipowasili kwake sultani akaleta toba?) kwa mweny'ezi
muungu wake, akamsamche?) mweny'ezi muungu kwa yale alivo-
damiria.
nyongoni?) mwa siku kamwambia?) w. ? atwende tu-
enda wakitokea pale pa sahibu yao. wakimfika !)
mkewe aumwa na uzazi. wakatoa salaam, akawa-
tikia. 11) wafanyizia heshima!?! kama auwali.
pale katika julusi!?) akijaM) mtu kumpa khabari — ya kama:
>mzazi mtoto huja, ukarudi, shika mchele!”) uombe muungu.“ aka-
nena: vbado, kama zuriya!!) yangu hazaliwi, illa kwa saa itafaayo 17).<
akija!) mtu marra ya pili, akamambia: ,shika unga wa mchele uombe
muungu;“ akanena: ,bado, hazai.” sukani na waziri wanaufajjabu.
hatta zilipo mwafigi 9, yadiri alipomwaga, akajifungua salaama?!; y
salimini mtoto mwanamume.
yule sultani akamsaili: ,sababu nini marra ya kwanza amekuja
mtu kukupa khabari — mkeo?!) anataka kuzaa, ukanena ,hazai?“ marra
ra pili vilevile, illa wagati??) ulitaka weye, nini fasili?9) yake?” aka-
ibu: ,nimetaka sa'a aliyozaliwa Harun Alrashid, ndio niliyoitaka. na
hamu) sana,
126
Tibisha, akakata mua kama auwali. khalafu akiingia nyumbani, kum-
amru mkewe kuhimiza chakula; yule mtoto alimwacha barazani.
sultani akamamru waziri: ,mchukue mtoto.“ wakamchukua, wasipite
njiani, wakiingia maguguni.
yalipotoka baba yake — mtoto hayupo, na wale wageni hawapo.
ikawa kutafuta popote baba yake na mama yake — hawakuona jawabu,
wakashukuru!). hio ndio khabari ya wale wazazi.
turejee kwa sultani na waziri na mtoto wao. walipopata mwi-
tuni, sultani aliamru waziri kumwua mtoto. waziri kamjibu?) sultani:
kumshika damu yatamu (yatima?)) — haijuzu?).” wakitupa macho,
wakiona kisima cha asili?). elwaziri akinena: ,tumtie kisimani mtoto,
hana uponyi.” wakimtupa?) ndani ya kisima, wakashika njia sultani
na waziri, yao”) yamekwisha.
wa amma khabari ya yule mtoto: mweny'ezi muungu kambha-
fithi?), wakamcheleza malaika?), hatta maji ikiwa juu kwa juu.
mudda wa siku sab'a yuko mtu mmoja mwanamume na mkewe.
mke ameshitadi 19) kutaka talaga!!); na mume ampenda mkewe, amempa
uwingi wa mali, mwanamke abadan!?) haridi3), ikiwa muhikama!?
wao kwa Amiri Muminina Haruni. wamepotea ndia), wakija!$) wa-
kitokea panapo kisima.
ghafla!) yule mwanamke kiu imemshika, akamambia mumewe:
Nataka maji.” mwanamme katafuta!8) kamba zake, ipo ndoo ya asili
kaifunga!??). alipotia kisimani, yule mtoto kaingia?) katika ndoo; ya-
lipovuta kamwona?!) mtoto, kamwambia mkewe. mwanamke akashu-
kuru muungu, akamambia mumewe: ,,nataka radi??) ya muungu, wa
thamma?) nawe, mume wangu, unisamehe???) kwa haya?) niliyokuuzi”),
nimpate mtoto huyu nimlee. nami sina d'awa??) nawe, mume wangu,
wa amma hii ni sababu ya huyu mtoto mweny'ezi muungu kutuleta
huku.” wakapana radi mke na mumewe, wakachukua mtoto wao,
wakarejea kwao kulea mtoto wao.
walipowasili mjini kwao, hekima?) mtoto yule — walikuwa wa-
toto wa mji wote, wanaotambaa??) na wanaokwendea viwamba??),
Jar. (Gott) danken. “) akamjibu. 3) ar. Waise. $ ar. erlaubt
sein. Jj ar. Ursprung. 9) wakamtupa. 7) zu erginzen mambo. Sar.
beschiitzen. 7) ar. Engel. 9) ar.sich anstrengen. '"Jar. Scheidung. “Dar.
immer. 2) ar. zufrieden sein. '?) ar. fest. 'S) njia. '$) wakaja. 7) ar. pidtz-
lich. '?) akatafuta. '?) akaifunga. “) akaingia. 7?!) akamwona. 2?) ar.
Zufriedenheit. 5?) ar. hierauf. 4) ar. verzeihen. 7?) mambo. 8) ar. krtin-
ken. “Jjar. Prozess, Klage. ) ar. Weisheit, Verstand. “?) anfangen,
gehen zu lernen. 9?) sich beim Gehen an Gegenstianden. festhalten.
127
1) walio katika mji hutaka kwenda nyumbani kwa yule mtoto,
wa 'ajabu?). kulla mwenyi mtoto wake kutaka kumzuia — hazu-
L, huwa analia. wapata vijana mia U khamsin nyumba moja kum-
ua mwenzi wao, tokea wazazi wakichukiwa hatta yakiwapendeza.
yule baba yake na mama vyake wastirifu”) ilhali?); ikiwa marra
ngi chakula cha watoto wale ote juu ya wazee wake yule mtoto,
waliobagi?) wafanvizia chakula watoto wao.
hatta ikiwa mtoto wa kuenenda na wenzi wake, akitiwa?) chu-
na wenzi wake, akapishwa tohara!) na wenzi wake watu mia U
msin. shauri yao moja. na akitokea mmoja kumkosa mwenzi
re neno, huenda wakashitaki kwake; huwahokumu wale wenzi
(e; na baba zao na mama zao wakiwa radi3). wa amma hiyo
yo?) fe“cli19) ya yule mtoto pamoja na wale wenzi wake.
hatta walipokuwa wakubwa, wanaweza kushika silaha !1), iko
vi moja imet'aadi'?) hakim 3) Amiri Muminina. akajeshi4) kwa vita
> hakim — asidukhulu). akenda marra ya pili akapeleka vita —
ukhulu. marra ya tatu akaleta khabari kutaka watu waenende kwa
iri Muminina, wapate kwenda kupiga ule mji uliot'aadi. yule ki-
1 akamambia baba yake: ,mwambieni Amiri Muminina, asiende ka-
mji huu kupiga vita, ntakwenda mimi na wenzi wangu watu mia
hamsin, tutatosha."
akienenda'!9) yeye na wenzi wake, akaupiga ule mji, akaupata.
khalafu akaandika barua kupeleka kwa sultani — ya kama: ,mji
ni tumepata.“ yule sultani akafurahi!?) sana, tenna akata'ajjabu
1 kwa sababu ule mji ameupiga vita siku nyingi — hakuupata, na
> mtoto amekwenda — marra moja akaupata.
yule sultani akamwuliza yule mtoto: ,weye babako!3) nani?“
> mtoto akanena: ,baba yangu fulani.“ akapeleka “askari: ,kamwi-
babake aje.” wakenda wakimchukua; akija?) nao???) pamoja. na
:'we. sultani akawasaili?!) wale: ,huyu mtoto wenu?“ wale wa-
ena: ,mtoto wetu.” sultani akanena: ,semeni kweli.” wale wa-
ena: ,mtoto wetu.” akanena marra ya pili: ,semeni. kweli, kama
ikunena kweli — ntawaua.“ wakamambia sultani: ,,huyu mtoto
1) wote. 7) ar. Wunder. 3) weder reich noch arm sein, so dass das Ndthige
i Lebensunterhalt immer vorhanden ist. 1) ar. Zustand, Wohibefinden.
ir, tibrig bleiben. 9) akatiwa. 7) ar. Reinheit. $) ar. zufrieden. 7) oder
ndio. 9) ar. That. ') ar. Waffe. 2?) ar. tiberschreiten. 2) ar. Herr-
31. 9) zum Krieg riisten. '?) ar. hineingehen, hineintreten. 9) aka-
ida. 7) ar. sich freuen. 8) baba yako. ?) akaja. 9) na wao. 7) ar.
en.
128
tumemokota katika kisima.“ sultani akajua, kama mtoto huyu — ndio
niliyomtia kisimani.“
akapeleka watu kwa yule sahibu yake, mwenyi bustani, babake
yule mtoto; akamwita na mkewe. wakija!), akawasaili: ,ninyi ham-
kupotelewa na kitu?“ wale wakikana, wakinena: ,hatukupotelewa na
kitu.” akamambia: ,kumbukieni sana!” wale wakasema: ,mtoto wetu
ametupotea zamani sana, walikuja watu wawili kwetu, wakamchukua
mtoto wetu.“ sultani akanena: ,ni mimi ndio nilivokuja kwako pa-
moja na waziri wangu safari?) zote tatu, na huyu mtoto nimemchukua,
damiri3) yangu — kumwua, kwa sababu ulinena: ,mtoto huyu ameza-
liwa kwa sa'a aliyozaliwa Harun Alrashidi,“ nikachelea ndani yangu!) —
labuda mtoto huyu, akiwa mkubwa, atafanyiza fitina?) kwangu. ni-
kimchukua!), haenda?) hamtia kisimani, wakija$) hawa watu wa-
wili, mwanamke na mumewe, wakimokota. na sasa mtoto wako
huyu, weye ndio babaye, uliyomzaa, na huyu ndio babaye, aliyomlea;
na sasa nyote?) wawili chukueni mtoto wenu.”
akampa na inchi yule mtoto, akiwa hakim, akahokumu vema;
na Harun Alraskidi akampenda sana yule mtoto.
Mw'allim Mbaraka bin Shomari
aus Kondutschi. '
') wakaja. “ar. Reise. 9) ar. Verborgenes, geheimer Wunsch, Ge-
danke. ") ndani ya roho yangu oder moyoni mwangu. 'J ar. Unruhe, Auf-
stand, Zwist, Zwietracht. ") nikamchukua. 7) nikaenda. 9) wakaja. 9) ninyi.
hila!) za waanawake.
palikuwa mtu katika mji tajiri mkubwa mno wa 'ajabu?), ana
mali mengi; naye hana mtoto hatta moja. bassi akiomba?) muungu
kulla siku apate mtoto; muungu akampa mtoto wa kiume, akaona
imemshukia ne'ema4) kubwa kwa mweny'ezi muungu kushinda yale
mali aliyo nayo.
akakaa hatta alipotoka katika aroba'ini?), akafanya karamu?) ku-
bwa sana, na maulidi?) na ngoma kucheza kwa furaha?). akamlea yule
mtoto kwa mapenzi makubwa sana, akamfanyia vyombo vya fedda?)
1) ar. List. ?) ar. Wunder. 3) akaomba. far. Wohithat. 9) d. h. als
vier mal sieben — 28 Tage um waren. 9) ar. Fest.. ") ar. Geburtsgeschichte
des Propheten. 9) ar. Freude., “Jj ar. Silber,
129
na Zahabu,) na lulu na almasi,” na yaguti?) na feruzi,?) kwa furaha
nyingi alizomfurahia mtoto wake. na furaha alizo nazo, gadiri afanyalo,
aona halitoshi.
vule mtoto akapata miaka sab'a, akamfanyia kumbi”) kwa ngoma
kubwa, na kulla jambo iliyo?) kufurahisha watu — akamfanyia. kisha
akamnunulia frasi na matandiko ya zahabu, kwa khatamu'?) za zahabu,
akamfundisha mwanawe kupanda frasi. kisha akamtia chuoni kusoma,
akasoma hatta akakhitimu.?)
akakaa yule mtoto hatta akapata 'omri?) wake miaka kumi na
minne, akamposea mke kwa tajiri 7) mwenziwe — kama yeye, akamoza
mke, akashughulika kumtengezea harusi), na kulla neno ambalo!?)
jema kwa vyombo vya zahabu na lulu, kwa nguo za hariri3) na
zari 1).
na desturi ya swaheli hupiga ngoma siku sitta, ya sab'a ndio
h'arusi kuingia nyumbani. ilipopata siku ya sitta, yule mtoto akavaa
jambia ?) lake la zahabu na kitara!8) cha zahabu na almasi, akasimama
mlangoni katika nyumba yao, mlango wa nje; na yule kijana wa
kiume hajui khabari ya waanawake.
akapita mwanamke mmoja mzee, “umri wake apata miaka the-
manin. akauliza yule mzee: ,naona yule kijana anajitengeneza sana —
ana nini?“ wakamjibu watu waliopo: ,yule kijana ameoa, ataka kui-
ngia nyumbani kesho.“ akasema yule mzee: ,maskini yule kijana.“
yule kijana akasikia yale!?) maneno ya yule!?) mzee anayosema, ya-
kamwingia moyoni. yule kijana akasema: ,labuda hii harusi ni
neno baya, chamba'!?) ni njema yule mzee asingalinisikitikia;“ ukamwi-
ngia waswasi/?) yule kijana. akenda zake pwani yule kijana, akaona
chombo kinasafiri, akajipakia upesi katika kile chombo kuwakimbia
wazee wake, kuikimbia na ile h'arusi kwa yale maneno aliyosema 20)
yule mzee mwanamke.
akasafiri yule kijana, akenda inchi ningine, akakutana na mtu
mmoja, alikuwa msimamizi wa baba yake. alipomwona, akamwuliza:
wewe siwe?!) mtoto wa fulani bin fulani?“ akamwambia: ,ni
mimi;“ akamwambia: ,masaibu??) gani yaliyokutoa kwenu — ukaja huku,
') ar, Gold. 7) ar. Diamant. 9) ar.Smaragd. $) ar. Tiirkis. 7) Beschneidung.
6) besser lililo. 7) ar. Halfter. 9?) ar. siegelo, beendigen. “Jar, Alter, auch “umri
10) ar. reich, Kaufmann. '!) neben “arusi. '?) veraltetes Relativ. ?)Seide. '$) Bro-
kat. 5?) Dolch. '$) hindust. Sibel. ') Vorsetzung des pron. ist haufig,
besonders um etwas nachdriicklich hervorzuheben. 9) chamba — kwamba,
kama wenn. ?) ar. boser Gedanke. “€) aliyoyasema. 71) si wewe. 7?) ar.
plur. von msiba Ungliick.
Velten, Suaheli-Mirchen. 0
130
mtoto, upendaye hivo na utajiri ulio nyumbani mwenu?” akamwam-
bia: ,mimi baba amenioza mke, amenifanyia harusi, inataka!) kuingia
nyumbani, nimekwisha jipamba kwa kisua?) na selaha?) zangu za
mali, ambazo?) ni muthmini?), akapita kizee kimoja cha kike, 'umri
wake miaka themanin. aliponiona, hali niliyo — akata'ajjabu nilivojipamba,
akauliza: ,,ana nini yule mtoto aliyejipamba hali ile” akajibiwa: ,,aka-
pewa h'arusi, yule ataka sasa ingia nvumbani." yule mzee akasema:
maskini yule mtoto!" hasikia9) mimi yale maneno ya mzee, hafanya
khofu?) na waswasi, haona labuda hii h'arusi ni neno baya; lingalikuwa
jema, huyu mzee asingalinisikitikia, bassi. marra ile haterermka?$) pwani,
haona chombo, hajipakia, hasafiri, hatta haja haangukia katika mji
huu, bassi.”
vule mtoto, aliyekuwa msimamizi wa baba yake, akamambia:
twende nyumbani kwangu ukakae.” akampeleka hatta nyumbani
kwake, akamwambia mke wake: ,.shuka huko, juu ya ghorfa?), tumpe
huyu mwingine, wewe njoo chumba cha chini, kwani mgeni huyu ni
mtu mkubwa sana kwangu; asili!9) ya mali haya, niliyo nayo sasa, nali-
yapata kwa babaye, bassi nataka kumheschimu sana, nilipe fadili'9.“
akashuka mwanamke, akakaa chumba cha chini. bassi yule mwe-
nyeji!?2) akamwambia yule kijana: ,,panda juu, ukakae kitako, ajaye ku-
kuamkia umpe gahawa”?) na halwa/?).“ yule kijana akamwambia:
“mimi sikuja kukupoteza mali yako, mimi nimekuja kwa matembezi
bassi.” yule mwenyeji, aliyekuwa msimamizi, akafikiri”): ,,nitafanya
hila gani hatta huyu kijana arudi kwao kwa babaye, na waswasi alio
nao umtoke?"
akatafuta mzee wa kike, “umri wake apata miaka tiss'ain, aka-
mweleza mambo yaliyompata yule mtoto, hatta akakimbia inchi yao na
wazee wake na harusi yake. bassi yule mwenyeji akamwambia vule
kikongwe: , fanya hila, hatta ukamtoa huyu mtoto waswasi na khotu,
hatta akarudi kwao, nitakupa denari elfu.“ yule kizee akamwambia:
starehe"), ni madogo haya”), usitie khofu, lakini huyu kijana yuko
wapi“ akamwambia: ,,yuko nyumbani kwangu.“ akamwambia: ,,bassi,
kesho takuja 9) kwako, lakini wewe usiwepo, nataka nimkute huyu
mgeni wako pekeyake."
1) inataka auf harusi beziglich. 7?) ar. Anzug. 39) ar. Waffen.
$) seltener gebrauchte Relativform. ?Jar. kostbar. 9) nikasikia. “Jjar.
Furcht. 9?) nikateremka. ?) ar. Stockwerk. '?) ar. Ursprung. '!) ar. Giite.
3) mwenyi mji. B?)ar. Kaffee. ') ar. siisse Speise. 5) ar. nachdenken.
6) ar. lass dich nicht storen (sei unbesorgt). 7) zu erganzen mambo.
13) nitakuja.
I3I
hatta ilipopata siku ya pili, yule manamke mzee akenda, akamkuta
yule kijana mgeni, aliyekimbia h'arusi yake, kamwambia:') ,,we?)
<ijana, unatoka wapi? sijapata kukuona katika mji huu hatta siku
moja!" akaona sura?) zake za kitajiri yule kijana. akamjibu yule
kizee: ,,mimi natoka mji fulani.“ yule kizee akamwambia yule kijana:
nambie kweli, iliyokuleta mji huu i nini? kama umeleta biashara?)
ya kuza — nambie mimi, ntakutia watu wangu wanunue; na kama ume-
leta fedda wataka kununua vitu, mimi ntakuletea vitu utakavo;”) na
kama umepoteza kitu, nambie mimi, ntakupa khabari zake; na kama
umekuja kutafuta mganga, nambie mimi, ntakuletea; na kama umedi-
gika?) na neno, nambie mimi, ntakutengenezea bassi.”
yule kijana akamwuliza yule mzee: ,ma'ana ya kuniuliza maneno
yote haya, maana yake i nini?“ vule kizee akamwambia yule kijana:
vmimi hapa katika mji huu ndimi?) mzee wa asili9), kulla mtu mwe-
nyi neno lake huja kwangu, hamfanyia?); nami sikuwachi10) — illa
unambie lililo moyoni mwako, siondoki.“
bassi yule kijana akamambia khabari yake yote, akamwambia:
Mimi ni mtoto wa tajiri mkubwa sana, na baba yangu anipenda sana,
amenioza mke; hatta siku ya kuingia nyumbani, nimekwisha vaa nguo
zangu za mali, nimejifunga selaha!!) zangu, nimefanya uzuri wangu,
akapita mzee mmoja wa kike, kama hivo wewe uzee wako. aliponiona
hali niliyo — akauliza: ,mtoto yule ana nini, aliyejipamba sana?“ aka-
ambiwa: ,vyule ni harusi, lco ataingia nyumbani.“ akasema: ,,mas-
kini! namsikitika kijana yule!“ aliposema maneno yale yule kizee,
hasikia!?) mwenyewe, hastuka, hafanya khofu ?) nafsi yangu, tenna ha-
tac'ajjabu ya harusi kuwa neno baya, naye amesema maneno yale.
bassi — hakimbia, hashuka pwani, chombo hajipakia !9), hashukia mji huu,
hakutana na huyu msimamizi, twajuana tangu kwetu, alikuwa msima-
mizi wa baba; aliponiona, akanigaribisha hapa nyumbani pake.“
akamwambia: ,ni hilo jawabu yenyi) kukushughulisha — ni
jambo dogo, hilo juu yangu, nitakuonya!$) milango uingie — utoke.“
kisha yule kizee akotoka, akenda kwa mke wa sultani, akamwambia:
ewe, mke wa sultani, huna khabari, chamba ”) hapa mjini pameingia
kitu “azizi'?), nawe huna khabari nacho? amekuja kijana mmoja mzuri
1) akamwambia. “Jj als Anruf fiir wewe meist gebraucht. 79) ar.
Form, Gestalt. $) ar. Handel. 5) utakavyo. Sar, daig Noth, Enge;
ka ist passive Endung im Suaheli, digika in Noth, Sorge sein. 7) ndio
mimi. $) ar. Ursprung. 7) zu erganzen mambo yake oder shughli zake.
W) sikuachi. '') ar. Waffen. 7?) nikasikia. 5) ar. Furcht. ") nikajipakia,
15) besser lenyi, '9) neben onyesha. 7) kama. ?) ar, theuer, michtig, stark.
9
k
132
sana, hapatikani dunyani') mwingine kama huvu.”“ vule mke wa sul-
tani akamwambia yule kizee: ,umenitia waswasi, utafanyaje hatta uka-
mta kijana huyu — roho itulie: vule kizee akamwambia mke wa
sultani: ,starehe. takuletea” huvu kijana hapa nyumbani pako.“
akatoka yule kizee hatta kwa yule kijana mgeni, aliyekimbia h'a-
rusi, akamwambia: ,utasikiza maneno vyangu, nitakayvokwambia, ao
utanikhalifu?):? vule kijana akamambia vule kizee: ,mimi siwezi ku-
khalifu, gadri unambialo — ni mwenyi kufuata, hatta ukanambia tu-
ingie mtoni — taingia').“
vule kizee akamambia vule kijana: ,hii khabari yako vote nime-
kwisha mweleza mke wa sultani, asema ,hana buddi?) nawe shuruti!)
nikupeleke nyumbani kwake.“ vule kijana akamambia vule kizee:
vUtanipelekaje nyumbani kwa sultani na 'askari'), wataka hauawe?)j:“
yule mzee akamambia yule kijana: ,usifanye khofu, mimi nyumbani
kwa sultani 1 rukhsa, gadri nifanyalo, sina anizuize, hatta nijapoingia
sina aniulizaye.“ yule kizee akamambia yule kijana: ,kesho usiondoke
bapa barazani, mimi nitakuja na sahani kupima halua?) hapa pa mwe-
nyeji!?) wako; hisha!!) pima, ukaniona nimeshika sahani?) ya halua
kuchukua, ruka nje unipokee ile sahani uchukue wewe. mwenyeji
wako akikuzuia — usigubali kabisa kabisa, hatta uchukue wewe ile sahana
ya halua.“
bassi, kwa siku ya pili akaja yule kizee kupima halua. akishas
pima halua, yule kijana akaruka, akashika ile sahani ya halua kuchu—
kua, yule mwenyeji wake asigubali, akamambia: ,niata3) nichukue
mimi mwenyeji, wewe kijana mgeni hujui pahala.“ yule kijana asi—
gubali, wakagombea ile sahani vule kijana na mwenyeji wake, hattza
sahani wakaivunja. yule kizee akawambia: ,lipeni sahani yangu mli—
yovunja, walla halua venu sitoi tenna mapesa.“ akaondoka yule
mwenyeji, akaingia ndani, akaleta sahani kama ile, akampimia na haluza
yake iliyomwaika.
akaondoka yule kijana mgeni, akachukua ile sahani, ili kutimiza
yale maagano yao, waliyoaganagana na kizee. akatangulia mbele nz
yule kijana yuko nyuma, hatta wakafika nyumbani kwa sultani; kama
walivofuatana/), kizee mbele na kijana nyuma, wakingia?) ndani,
wanataka kupanda juu ghorfani.
bassi, wale “askari, waliopo mlangoni, wakasema katika moyoni?
')ar, Welt. 7?) nitakuletea. 9?) ar. ungehorsam sein. “) nitaingia.
?) ar. Ausweg. f) ar. Bedingung. 7) zu erganzen wako wengi. $) ni-
kauawe. 7?) ar. siisse Speise. ) Gastfreund. '!) nikisha, 7?) ar. Teller.
3) niache. 'f) walivyofuatana. ?) wakaingia.
aa
133
bona huyu kizee leo anaingia na mtoto mwanamme? nayo Si
turi yake, si afadal!) tumzuie asiingie, kwani twachelea sultani
ufunga na kutupiga.“ kiisha wakaona kheri — wamwache, ajipitie
se apendezavvo?), asije akatutongea?) kwa sultani, tukaja tukapata
ibu?) ya burre, bassi.
wakamwachia, akaingia kizee pamoja na yule mtoto, hatta alifika
a huvu bibi wa sultani. akenda akakaa pahala penvyi viatu kama
vana, na wale vijakazi na bagi?j; ya vitwana vilivyo mle nyum-
ui, wakamthannia?) ni kitwana Gorjia?) wa sultani, analeta halua
bibi yake.
na yule mke wa sultani alipomwona yule kijana — akapotea na
ili, akampenda mno wa 'ajabu?) kwa uzuri muungu aliompa yule
na — kwa uso mdawwari?), kwa shingo ya mwanzi, kwa macho
kikombe, pua va upanga, mikono va pino1), mwili umeviringana,
meno ya pembe.
bassi, yule mke wa sultani akamwambia kizee: ,mchukue huyu
ina sasa, hatta ukisikia muezzini!!) akiazzini — njoo nave bassi.“
yule kizee akashuka pamoja na yule kijana. bassi mke wa sul-
1 akajitengeneza mwili wake kwa kujisinga na kufanya uzuri na
aa nguo nzuri na manukato mazuri, ili kumfurahisha vule ki-
a mgeni.
hatta ilipofika wagati?) wa kusali!3), yule kizee akampitia yule
na, akamwambia: ,haya, twende zetu!” yule kijana akamfuata
€ hatta kwa mke wa sultani, bassi. yule mke wa sultani akam-
bia yule kijana: ,ingia humo — ukajifiche ukangoje.“
marra akaja yule sultani. alipomwona mkewe, akathanni ,huo
iri afanyao mke wangu leo — anifanyia mimi;“ akenda kusali. ali-
ali isha), sultani akenda barazani, asiweke barza) leo kwa
ugu!$) ya mkewe; hatta watu, waliopo barazani, wakata'ajjabu ,sul-
iana nini leo?“
hatta kuingia kwake ndani yule sultani, kufika mlangoni, aka-
ona yule mkewe ameshika moyo, apiga kelele sana, akalia: ,,nina-
a mimi leo!“ vule sultani akasema moyoni mwake: yana nini leo
U) ar. besser. 7") neben utakavyo wie du willst, upendavyo wie du
ebst, sei so gut. 7) verliumden. 1) ar. Strafe; die Suaheli gebrauchen
hg adabu Anstand 1m Sinne von Strafe, kupata adabu jd. Anstand bei-
'gen, ibn bestrafen. “Jj ar. Rest. “jar. glauben. 7) weisser Sklave aus
rgien. "j) ar. Wunder. "jar.rund. 9) weiss wie das pino-Holz. '!) ar.
etausrufer. "“Jar. Zeit. ?)ar.beten. Mar. Abendgebet beten. 2) in
Bedeutung von Gerichtssitzung. '$) ar. Verlangen, Lust.
134
mwanamke huyu, mke wangu” leo amejipampa, na mimi nimevunja
baraza mapema gasidi!) kuja kuanisi?) kwake, na sasa mambo ni
haya?” bassi kamwuliza?) mke wake: ,una nini, mke wangu?” aka-
mwambia: ,moyo wangu unaniuma.“ akamwuliza: ,tangu lini moyo
huu unakuuma?”" akamwambia: ,tangu ujana wangu.“ akamwuliza:.
”Zamani unapokuuma unafanyia dawa gani?” yule mwanamke aka-
mambia mumewe: ykama moyo wangu unaniuma, lazima nitulie
nisiseme neno.” sultani akamambia: ,vema, mke wangu, ntatoka
ukae pekeyako, kesho inshallah umekwisha pona.“ mkewe akamambia:
"kwa heri, mume wangu, kesho inshallah, nimekwisha ona vema
moyo wangu.” sultani akatoka, naye mwanamke akenda kwa yule
kijana kuzungumza naye.
hatta asubuhi kulipokucha, akaja yule kizee kumchukua yule
kijana, akaja akamtoa akampeleka hatta nyumbani kwa yule mwenyeji
wake, akamambia: ,kaa, na mimi ntakuja kesho kukutazama.“ aka-
mambia yule kizee: ,ngoja, kwanza nikueleze khabari, alizofanya yule
mke wa sultani.“ yule kizec akakaa kitako, yule kijana akamweleza
vitembef) na hila?) zote, alizofanya9) yule mke wa sultani.
alipokwisha mweleza, yule kizee akamambia yule kijana: ytuli—
zana”), utaona mambo mangine; nawe kwa heri, nakwenda zangu —
kesho ntakuja.” akenda zake yule kizee kwa mke wa waziri, aka—
mweleza mambo yote, aliyofanya$) mke wa sultani, akamsifia na yule—
kijana hali aliyo mzuri. na mke wa waziri akaingia ni shaugu?) ku —
pita mke wa sultani. akamambia yule kizee: ,,mlete kwangu huy. 1
kijana nimwone."
bassi yule kizee kwa siku ya pili akenda kwa yule mtoto, asifik.<
nyumbani, akasimama kwa mbali, akamkwiza 9) kwa mbali. yule km-
jana yupo barazani. alipopeleka macho, akaona yule kizee anamwitezd3.
yule kijana akaruka marra, akenda akaonana na yule kizee. akaman—3-
bia: ,kesho ntakuja kukutwaa jioni, mke wa waziri anakuita.“
bassi kwa siku ya pili kaja?!) yule kizee, akaja akamchuku—aa
akenda naye hatta nyumbani kwa mke wa waziri, akampandisha juu
ghorfani. na yule mke wa waziri tangu mchana anajitengeneza nafsi 7—7)
yake, na kutengeneza chumba chake, kama vile mke wa sultani. bas ),
akamtwaa yule kijana, akamficha ghorfa ya pili.
bassi yule waziri alipoona, mkewe anajitengeneza, akafurahi sa 4
akasema: ,mke wangu ajitengeza kwa mimi!” hana khabari — mkew—V€
') ar. Absicht. 7) ar. jd. familiir behandeln. 7?) akamwuliza, f) Schliche,
"Jar. List. 9) alizozifanya. 7) beruhige dich nur. 7") aliyoyafanya. 9) ar
Verlangen. '?) zuwinken, ein Zecichen gcben. '"Jakaja. ?) ar. Seele.
135
vuna!) mambo mangine — yake mwenyewe, ayatakayo?) kuyafanyiza.
bassi yule waziri alipokwisha kunywa gahawa?) kwa sultani, marra na
kumwaga sultani wake, akenda zake nyumbani kwake.
bassi yule sultani akatafakari?): ,huyu waziri wangu ana nini?
leo ameondoa desturi; na kulla siku, barza?) ikisha vunjika, hukaa
mimi naye tukazungumza kwa faragha?), leo hakuwaje? ana nini?“
vule sultani akatoa mtu akamambia: ,mfuate ukamtazame.“ akamfuata,
akamwona yule waziri ameingia nyumbani mwake. akarudi yule
mjumbe wa sultani, akamjibu sultani, akamambia: ,sikuona kuingia
mahala pengine illa nyumbani mwake, na mlango wa nyumba yake
umekwisha fungwa.”
bassi yule waziri kufika nyumbani kwake, akasikia mkewe apiga
kelele, ameshika na kidole cha mkono, analia kwa kelele. bassi yule
waziri akasema: ,mke wangu ana nini? mchana kutwa akajitengeza,
na kupamba nyumba, na mimi nimevunja baraza magsudi'”) kustarehe?),
na sasa mwanamke hawezi.” akamuliza: ,mke wangu, una nini?“
akamambia: ,siwezi, chanda cha mkono chaniuma;“ analia sana, na
chanda amekishika mkononi.
yule waziri akamuliza: ,tangu lini chanda hiki chakuuma?“ aka-
mambia: ,tangu zamani udogo wangu, lakini hunijia baada ya miaka
miwili — huja marra moja.“ na yule mwanamke anapiga kelele, ana-
sema: ,kanitieni wazee wangu, nakufa mimi leo.“ akamuliza: ,bassi,
dawa yake 1 nini?” akamambia: ,lazima damu itoke.“ akashika kisu,
akajikata kidole, damu ikatoka nyingi. akamambia mumewe: ,tafaddali
niache nilale pekeyangu, afadali takwenda?) ghorfa ya pili nikapum-
zike.“ akamambia: ,nenda, mke wangu, kapumzike.“ akatoka yule
manamke, akenda ghorfani ya pili kwa yule kijana.
hatta kulipokucha, akaja yule kizee, akamchukua yule kijana,
akenda naye hatta kwa mwenyeji wake. kisha yule kijana akamam-
bia yule kizee: ,kaa, nikueleze mambo ya mke wa waziri yalivo!0) ma-
kubwa.” yule kizee akakaa kitako, akamweleza.
alipoktvisha mweleza akamambia: ,sasa mimi ntasafiri, mji huu
sitaweza kukaa ulivo!!) na mambo makubwa.“ yule kizee akamambia
yule kijana: ,wewe wataka kusafiri upesi, bado mimi sijakupeleka kwa
mke wa gadi?)? leo ntakwenda kumuliza mke wa gadi, na kesho
ntakuja kukuchukua.“
') veraltete Form fir ana. 7?) oder anayoyataka. 9) ar. Kaffee.
Y ar. nachdenken. ?)baraza. Sjar. Musse. 'Jar. Absicht. 35) ar. sich aus-
ruhen. 9?) nitakwenda. "yalivyo. "Jjulivyo. “Jar. (geistliche) Richter.
136
bassi yule kizee akenda kwa mke wa gadi, akamweleza mambo,
waliyofanyiza mke wa sultani na mke wa waziri, akamsifia na uzuri
wa yule kijana alio nao. yule mke wa gadi akamambia yule kizee:
ntafaddali, ukaniletec kijana mgeni huyu, haja!) hamonyesha?) mambo
yote wafanyayo.“ yule kizee akamambia yule mke wa gadi: lini?)
wataka nimlete huyu kijana?“ akamambia: ,mlete siku ya jum'a saa
ya tissa za mtanaf).“
vule kizee akatoka akenda zake, akenda akampa khabari vule ki-
jana. na yule mke wa gadi akatoa watu wawili, watumwa wake,
akawambia: ,nendeni Kiungani?), ndani ya nyumba yangu mkachimbe
shimo ambalo?) ni pana, mtu husimama kwa nafasi?) na kwa kulla
kwa nafasi liwe na wasa'a?), walla msimambie mtu, walla wagati?) wa
kuchimba msionekone ni!9) mtu. na mkisha chimba hilo shimo,
shurti liwe pembeni!!!) ya nyumba kwa ndani. kisha?!?2) hilo shimo mli-
funike kwa busati”) na mazulia), mtu yo yote!) asitambue shamba
hapa pana shimo.“
bassi wale watwana wakenda, wakafanya kama walivoamurwa
ni1$) bibi yao. kisha yule mke wa gadi akamambia yule kizee: ,huyu
kijana kamtwac!?) siku ya jum'a, ukamweke nje ya mji njia va Kiun-
gani, mimi ntapita na gari, ntamchukua."“
yule mke wa gadi akamambia mumewe: ,,mume wangu, mimi
kesho napenda kwenda Kiungani kwenda kutembea, na mimi ntaon-
doka saa ya tissa; na wewe, ikisha vunjika barza 3) ya sultani, panda
baghla 9) wako, saa ya kumi uje, unifuatie Kiungani.“ akamambia >
"vema, mke wangu, wewe tangulia sa'a ya tissa, na mimi ntakuja saa
ya kumi.“
bassi ilipofika sa'a ya tiss'a, yule mke wa gadi akapanda gari,
akatoka. akapita njiani, akamkuta yule kijana amevaa kisibao chekundu,
akafungua gari, akampandisha yule mtoto, wakenda zao hatta Kiun-
gani. na yule mchunga wa gari hakumona yule kijana, alipopandish-
wa Juu ya gari.
walipofika Kiungani, akashuka juu ya gari yule mtoto, akamficha
1) nikaja. 7?) nikamonyesha. 9) besser ware wataka nimlete lini.
1) mchana. 9?) Vorort von Zanzibar. “$jalte Relativform. “Jar. Raum. $?) ar.
Freiheit. “Jar. Zeit. 9) na. '!) pembe hat auch die Bedeutung Ecke, pembe ya
njia Strassenecke, pembeni in der Ecke; hier besser pembeni mwa. ?) ikiisha.
3) ar, Matte spec. Moscheematten. '#) ar. Decke, Teppich. 5) mtu wo
wote. '$) yon und durch beim Passiv im N. (Tanga, Pangani) mecist ni
fur na. 7) ukamtwae. 3) baraza. 9?) Maulthier.
137
ndani ya shela!), akashuka naye, asionckane hatta ni?) mtu mmoja.
akamtia ndani, akamweka ukumbini”), akamambia: ,kaa kitako.“
kisha yule mwanamke wa gadi akawambia watumwa wote wa-
liopo: ,pale Kiungani wake kwa waume kulla mtu na ashike njia
ende) zake, mjapokwitwa — msije; na wewe mchunga gari kasimame
njia kuu, bassi.”
ilipopata sa'a ya kumi, amwona mumewe anakuja, amepanda
baghla wake, anakuja mbio. marra akamtwaa vule kijana, akafunua
zulia, akamtia shimoni. kisha yule gadi akapiga kelele kutaka mtu,
aje amshike yule baghla, ashuke, asipate hatta mtu mmoja. kusha yule
mwanamke akamambia mumewe: ,shuka mwenyewe, hapa hapana
mtu.” akashuka yule gadi, akamfunga mwenyewe baghla wake pana-
po kinguzo cha nyumba.
wakakaa juu ya kibaraza wanapumzika. na katika kiunga kile
mbele yao imo mitende imezaa sana. bassi, yule mwanamke akamam-
bia mumewe: ,bwana, natam'ani?) zile tende, nani ataniangulia?“
yule mume akamambia: ,shamba hapana mtu, mimi ntakuangulia."“
akaondoka vule gadi akapanda juu ya mtende. yule mwanamke
akaingia sebuleni, akafungua madirisha yote. kiisha yule mwanamke
"kamtoa yule kijana ndani ya shimo, akamambia: ,hava njoo.“ vule
“Ajana akaja, akakaa naye pamoja.
yule gadi juu ya mtende akamwona mkewe na yule kijana, aka-
RAambia mkewe: ,mke wangu, unafanya nini?“ akamambia: ,sifanyi
€no.“ akamambia: ,naona kijana kimoja ana kisibao chekundu nawe
'amoja.“ akamambia: ,hasha$) ya kumbe?) mtu huvu! na hapa ni
Ulimi na wewe.”
yule gadi akashuka juu ya mtende; yule mwanamke marra
akamtwaa yule kijana, akamtia ndani va shimo. wvule gadi akaingia
Ukumbini, akatazama — haoni mtu.
kisha vule mwanamke akamambia mumewe: ,huwachi upuzi
na waswasa?)? mimi nataka hizo tende leo kaniangulic!“ vule gadi
akapanda tenna katika mtende, akaona vivile?) yule kijana na kisibao
chekundu. akashuka tenna gadi, akamambia: ,ginsi gani mwanamke
wewe unanidanganya: mbona, nalipopanda marra ya pili, nimeona
1) grosser schwarzer Schleier. ”) na. 3) der vordere und hintere, an der
Vorder- und Hinterthiire gelegenc, nicht geschlossene Raum in den Sua-
zeli-Hausern heisst ukumbi, ukumbini. In Inder- und Araber-Hausern
verden die im inneren Hofraum befindlichen Vceranden so benannt.
) aende. ar. Verlangen haben. SJ) ar. es sei fern von, meist hasha lillah
zesagt ,,Gott behiite.“ 7) Ausruf der Verwunderung ,.das ist nicht so.“
bar. boser Gedanke. ? oder vilevile.
138
umekaa pamoja na huyu kijana kama kwanza?“ na yule mwanamke
amekwisha mficha yule kijana, akamambia: ,?we, mume wangu, hu-
wachi waswasi ulio nao? hapana mtu — ao tazama.“ akatazama yule
manamme — haoni mtu. kisha yule mwanamke akamambia mumewe:
vkaa kitako hapa ukumkini, mimi ntapanda juu ya mtende.“
bassi yule gadi akakaa kitako, hatta alipokwisha panda yule mwa-
namke juu ya mtende, akamambia mumewe: ,wajua? na mimi na-
kuona kama ulivoniona; jinsi gani?“ akamambia: ,naona huyu mtoto,
aliyevaa kisibao chekundu, anakaa nawe pamoja.“ akamambia: sasa
shuka, mke wangu, juu ya huu mtende.“
yule mwanamke akashuka, akaja ukumbini akasema: ,mbona
sioni mtu?” gadi akamambia mkewe: ,khabari hii ni kubwa sana,
labda nyumba hii ina jini!), kulla apandaye juu ya mtende huona mru-
jiza?) hu.“ akamambia mkewe: ,ngoja, marra hii nipande nitazame,
nipate sadigia”) moyo wangu.”
bassi gadi akapanda juu ya ule mtende. alipopanda, yule mwa-
namke akamtoa yule kijana ndani ya shimo, akamambia: ,haya, toka
shimoni mwako, njoo kwangu.“ yule gadi akapeleka macho, naye
yuko juu ya mtende, akaona vivile kama kwanza ameona mkewe
pamoja na yule kijana mwenyi kisibao chekundu.
bassi yule gadi akatoka shakkaf), akajua — kweli nyumba hii
ina jini. akashuka juu ya ule mtende na kikapo cha tende, akaja
akala na mkewe. kiisha yule gadi akapanda baghla wake, akenda
zake, akaagana na mkewe. gadi akatangulia, na yule mwanamke ba' ada
ya sa'a moja akaondoka, akaja zake mjini.
alipokuja hatta njiani, pale alipomtwaa yule kijana, akaja akam-
weka papale, akamgabidi?) yule kizee amana$) yake; kizee kikatukua)
amana yake. na yule kizee akamtwaa yule kijana, akampeleka kwao
kwa vule mwenyeji wake; na yule mwanamke akenda nyumbani
kwake.
yule kijana na yule kizee, walipofika nyumbani kwao, yule ki-
jana akamambia yule kizee: ,kaa kitako, nikueleze khabari ya mke wa
gadi.“ yule kizee akakaa kitako, akameleza jamre?) ya khabari tangu
mwanzo hatta mwisho.
kesha?) yule kijana akaingia ndani, akatoa denari elfu, akampi
yule kizee bakhshishi!0) yake, akamambia: ,twaa bakhshishi yako kwa
1) boser Geist. ”) ar. Wunder. 3) ar. glauben. 1 ar. Zweifel. Jar.
ubergeben. “ar. Sicherheit, Pfand. ') chukua. "Jar. all. 9) ikiisha
10) ar. Belohnung.
139
Mambo uliyonifanyia na uliyonionyesha.“ yule kijana akamwaga yule
kizee, akamambia: ,,kwa heri, kesho ntasafiri kwenda kwetu.” yule
kizee akamambia yule kijana: ,,hutaki tenna kukaa, nikakuonye mambo
kushinda haya?" akamambia: ,,nipenda!) kukaa, lakini siwezi tenna
kukaa kwa mambo naliyoyaona — yanitosha, kheri nende zangu, walla
hatuna tenna mimi nawe maneno na hivi, kwa heri, nenda zangu.
kisha yule kijana akamwaga mwenyeji wake, yule aliyefikia kwa-
ke, aliyekuwa msimamizi wa baba yake, akamambia: ,,mimi kesho
ntanauli?) merkeb, nataka kusafiri kwenda kwa babangu.“ akamambia:
vema, nisalimie wazte wako sana.“ bassi yule kijana akanauli mer-
kebu, akajipakia, marra akasafiri akenda kwao.
kisha safiri, yule kizee akaja kwa yule mwenyeji wa yule kijana,
aliyekwenda mtafuta kizee marra ya kwanza, akamambia: ,,kwangu
kimekuja kijana mzuri, amekimbia kwao, amemkimbia baba yake na
harusi yake, bassi nikakwambia, ufanye tartibu na hikma?) hatta
kijana arudi kwao, kwani kijana ni mtu wa sahibu) yangu, nime-
kula fadili?) yao; ukanambia ,.tayyari9), lakini utanipani”)?" nikasema:
stakupa?) dinari elfu.“ kizee akamambia: ,,haya, kazi yangu imekwi-
sha, kijana amekwisha safiri, nataka haggi?) yangu twalivoagana."
vule mwenyeji akaingia nyumbani, akenda akatwaa dinari elfu, akampa.
vule kizee akamambia vule mwenyeji: ,,wajua? na yule .kijana amenipa
kama hivo ulivonipa — denari clfu.“
yule kijana kufika kwao — mji ukapiga mshindo mkubwa sana wa
furaha ya vule kijana, sababu babaye, alipopotea mwanawe, naye ha-
mjui alipokwenda, akaweka matanga na msiba), bassi usuli!) wake
mtoto!?) babaye mtoto akatoa mali mangi kwa furaha, akatasaddag ?)
tugaraye) na maskini.
bassi yule babaye mtu siku moja akamambia mtoto wake: .,wa-
taka kuingia nyumbani kwako, tukutengezee "arusi yako?” yule kijana
akamjibu babaye, akamambia: ,,chamba?) wataka ningie!$) nyumbani,
shurti ukanijengee Maziwe!?), nikae pekeyangu, sitaki kukaa na watu.”
bassi yule babaye marra akapeleka watu Maziwe, wakenda wakajenga
nyumba ya bao kamba!?) na tanaki?) mudda wa mwezi mmoja.
1) napenda. 09?) griech. Fracht; im suah. Fahrgeld, hier im
Sinne von miethen. 3) ar. Weisheit. 1 ar. Freund. 9?) ar. Wohi-
that. 9) pers. bereit. ') utanipa nini. $) nitakupa. 7?) ar. Recht, recht-
liche Forderung. '?) ar. Ungliick, Trauer. Jjar. Ankunft. 7?) usuli
wake wa mtoto.. ?) ar. Almosen geben. '$ fugara yake — ar. arm,
bediirftig. ?) kama. '$) niingie. 7) eine kleine unbewohnte Insel vor
Pangani; der Erzahler ist aus Pangani. '?) Dachsparren. “) Messing-
platten.
go
kisha yule kijana anaiandika ile khabari yote, aliyoiona kwa mke
wa sultani na waziri na mke wa gadi; kulla neno, vissa!) vvote ali-
vofanyiza?) akaviandika katika gartasi3).
bassi nyumba anayomjengea babake kule kisiwani imekwisha,
ikatiwa sa'famani?) kwa vitanda vya mafadini?) na viti vya mazwafri,
kwa meza zurizuri, kwa vyoo vikubwa, kwa matandiko ya fakhsi$),
mazulia rumea?). akamfanyia na karamu kubwa sana, watu wote
mjini wakala karamu hiyo. akapelekewa mkewe, akaingia nyumbani,
akamfanyia na fungate) siku sab'a, kulla siku huenenda watu wen-
gine, gabila?) ningineningine, kenda kula vyakula.
kisha yule kijana akamambia babaye: ,,nyumbani kwangu sitaki
mtumwa, mke walla mume, nataka nikae mimi na mke wangu bassi,
hatta chakula nipikiani kuko huko kwenu, mniletce tayyari.”“ babake
akamambia: ,,tayyari.” bassi yule babaye akamambia mtwana mmoja:
wewe ndiwe amini!0) kwangu, kaa tayyari, ata!!) na shughli zako zote,
usiwe na kazi illa kupeleka chakula kwa bwana wako kisiwani.” yule
mtwana akamambia: ,tayyari, bwana.”
bassi yule babaye akafanya mashua!2), akikaa tayyari asubuhi
humpikia chayi!?) kwa namna?) ya vyakula, na sa“a ya tatu akampelekea
matunda anwai!?) zote, na athuhuri!9) wali, na afasiri!?) akampelekea
sharbati!$) namna zote. na ba'ada cssalati!?) clmaghribi20) akampelekea
sinia?!) ya maandazi ambavo?) ya vyakula usiku.
bassi yule kijana haoni mtu mwingine ila yeye na mumewe.
hatta ilipopata miezi mitatu, yule kijana mwanamke akamwaga mu-
mewe, akamambia: ,nataka rukhsa??) kwenda kutazama wazee wangu,
siku zimekuwa nyingi.“ bassi yule mwanamke kulla akimwaga mu-
mewe kutaka rukhsa, yule mumewe humjibu: ,mimi nimekwisha an-
dika zamani.“ na yule kijana manamme zile gartasi alizoandika??) vile
vissa vya mke wa sultani na mke wa waziri na mke wa gadi — gartisi
zile zote amezificha chini ya kitanda.
') von gissa Sache ar. ist plur. vissa gebildet. 7) alivyovifanyiza.
3) ar. Papicr. ') gudz. Hausgeridth, Mdbel. Sar. Mine, hier Metal.
6) Polster., ') ar. ostromisch-byzantinisch. 9) werden die 7 ersten
Tage nach der Hochzeit, wahrend welcher der Briautigam das Haus
nicht vcrlasst, genannt. In viclen Bantudialekten heisst fungate noch
sichben, z. B. kissukuma : pungiti, kihehe : mufingate etc, Jar
Stamm. '?) ar. treu, zuverissig. ') acha. 7?) hindust. Boot; mashua
ist die Bezeichnung fiir curopiisches Boot. 5) chin. Thee. ) ar. Art.
15) ar, Sorte. “Jar. Mittag. “ar. Nachmittag. "ar. Getrink. '?j ar.
Gebet. 9) ar. Sonnenuntergang. “') ar. grossc Metallschtiissel. 7?) alte Relatir-
form. Bar. Erlaubniss, “)alizoziandika.
IA4I
hatta siku moja yule manamme aingia mashuani, akenda mjini
Umtazama babaye. yule kijana mwanamke anatandika kitanda, aka-
anua tini!) ya kitanda, ukaona zile gartasi, akazisoma, akaona vale
zaneno yote, aliyoandika?) ya vissa vya yule mke wa sultani na mke
ra waziri na mke wa gadi. yule kijana manamke ndipo katambua)3)
huyu mume wangu, ndio maana — kulla humwaga nataka kwenda
wetu kutazama wazee wangu — akanikataza, ndio maana yake, lakini
ema, haiduru1), dawa yake naijua mimi.
na yule mume kulla siku henda?) mjini asubuhi. siku moja akenda
ike, yule kijana mwanamke ashughulia$) dirishani”), akaona ngalawa, ndani
ake mna mvuvi anavua. na yule mvuvi ile ngalawa yake ameiweka chini
a nyumba kabisa, anajiziba jibaridi la bahari. na huku anainua uso wake,
natazama juu ya nyumba, anatazama yule mwanamke kidogo kidogo
wa khofu. hatta kisha yule mwanamke akamuliza yule mvuvi: ,una-
zama nini huku juu ya nyumba? unataka nini?“ yule mvuvi akam-
mbia: ,analo tazamalo, lakini naogopa, sithubutu3) kusema.“ akam-
mbia: ,sema, utanipiga mzinga”).“ akamambia: ,nataka kuonana na
vewe, U tafaddali ukanipe rukhsa nikaja huko juu.“ akamambia:
huna haya? ata!) neno khanithi!!) wewe, walla hutaki kuja juu
liasi12) ya kuningilipo 'agili mimi.“ bassi yule mvuvi akamambia yule
nwanamke: ,chamba!?) wataka, ujue, chamba ni kile nifanyeje ni
uka, na nyumba yako imetiwa gufuli#) kwa nje. akamambia: ,chamba
inataka kuja huko juu kusema na mimi, bassi kanivulie udanga!?)
We mzima usiwe umekufa, uniletee, bassi hapo utanipata kusema
lami,” bassi vule mvuvi akamambia: ,,hayo!$) ni madogo, kesho
wagati kama huu udanga utakuwasilia.“ na yule kijana akamambia:
Uletapo udanga nilioutaka, nawe utapata ulitakalo!”).<“ bassi mvuvi
ikenda zake kutafuta udanga ulio mzima.
bassi yule mume wa kijana akarudi mjini, yule mkewe akamam-
Ja: ,mume wangu, kesho wendapo mjini ninunulie tikiti3) uniletee.”
ikamambia: vema."
hatta kwa siku ya pili manamme akenda zake mjini kama dasturi !?)
'ake, henda?) asubuhi hatta saa nne hurudi nyumbani kwake. bassi
'Ule mume alipokwenda zake mjini, yule mvuvi akarejea na ule uda-
') chini. 7) aliyoyaandika. 7?) akatambua. $) es schadet nichts.
)huenda. #Sjar. sich beschiftigen. ') ar. Fenster. $) ar. fest, muthig
ain, 9) ,du feuerst mir cine Kanone ab"— und ich weiss nicht warum,
li, du machst mich neugierig. “Jjacha. ') ar. verderblich, schlecht er-
wgen. ?jar. Maass. 53)kama. 1) ar. Schloss. ?) essbare Krabbenart.
$| zu erganzen mambo. '7) zu erginzen neno. 3) Wassermelone. ?) neben
lesturi. 9) huenda.
142
nga kimu, akampa yule kijana mzima, akamambia: ,fungua mlango.
nipite na hili danga.“ akamambia: ,mume wangu endapo mjini
ufunguo hutukua!), lakini takushushia?) jikapo uwatie hawa danga,
na wewe kesho wagati kama huu njoo utakuja pewa haja yako."
akarejea mume wake, amechukua na lile tikiti alilotaka mkewe.
kisha yule mwanamke akalitwaa lile tikiti, akalitoa vitu vilivyo ndani
va tikiti; kisha akalitia lile danga lote ndani ya tikiti, akaliziba kama
kwanza, mtu hatambui, akaliweka hatta alasiri).
alippamka mumewe usingizini, akalitwaa lile tikiti, akalikataw
mbele ya mumewe. alipolikata likatoka lile danga ndani ya tikiti.
yule mwanamume akata'ajjabu ya danga kutoka ndani ya tikiti, aka
mambia mkewe: ,lizoe) hilo danga, uliwache, uliweke hatta jion
akija mtu kuleta chakula — tutampa apeleke mjini likapikwe.“ yule mwaz-
namke akasema: ,vema.“ akalitwaa lile danga, akachukua hatta katias
shimo la choo, akalitia. yule mumewe akamuliza: ,umekwisha liw €
ka?” akamambia: nimekwisha.“
wakakaa hatta maghribi?), akaja yule mtwana, aletaye chakula,
yule mwanamme akamambia mkewe: ,kalitwae?) lile danga ndani ya
tikiti, tuje tumpe huyu mtwana alipeleke mjini likapikwe.“ yule mwa-
namke akamjibu mumewe: ,?we, mume wangu, una wazimu? kuna
danga kutoka ndani ya tikiti? umeona wapir“ yule mwanamme aka-
piga mkewe. na yule mtwana yote yale maneno yao na d'awa?) zao
anasikia yote.
vule mtwana akarudi mjini, akenda akawambia wazee wao, aka-
wambia: ,yule bwana umeingia wazimu.” jinsi gani?“ akawambia:
anampiga mkewe, kwa sababu anataka danga, litokalo ndani ya tikiti;
yule mwanamke kulla$) akamambia: ,,dunyani hapana danga, litokalo
ndani ya tikiti,“ bassi — kulla akamambia huzidi kumpiga."
bassi wale wazee waliposikia kama yale?), wakenda wakamwona
ni kile 10) — humpiga mkewe burre. wakamtwaa yule kijana mwanamme,
wakamfunga pingu na mti katti!!), wakamambia mkewe: , usimwache
mtu akaingia nyumbani, mwache kizani, kwani ndio dawa ya wazimu;
akisha ona vema, tuletee mtu tuje tumtazame.” bassi yule kijana mwa
Uchukua. 9“) nitakushushia. 3) ar. Nachmittag. “) zusammen-
lassen. 9) ar. Sonnenuntergang. $) ukalitwae. 7) ar. Klage, Prozess, Streit.
8) zu erganzen marra. ") zu crganzen maneno. 1) zu erginzen kitu.
11) namlich zu erginzen ya miguu, cinen Pfosten zwischen den Beinen.
Die Fiusse werden so gefesselt, dass der Gefangenc sich nur um den
Pfosten bewegen kann.
.
143
namke akafunga mlango na madirisha, na watu wote wakenda zao,
akabagi yeye na mumewe pale kisiwani.
hatta kwa siku ya pili akaja yule mvuvi na kingalawa chake
tarmbu hatta chini ya nyumba. mwanamke alipomwona yule mvuvi,
| akamambia: ,pita.”“ yule mvuvi akapita juu ya ghorfa.
alipofika, mwanamke akatandika kitanda ukumbini, ule mlango
wa chumba hichi!), mumewe alikofungwa, akaufungua, akawacha wazi.
akamambia yule mvuvi: ,haya, njoo kwangu, huyu mume wangu
aone.” akakaa kitako kwake, na mume anaona, akapiga kelele — hali
Ile siku sab'a. hatta kisha siku ya sab'a mwanamke akamambia mu-
mewe: ,haya yameandikwa katika gartasi zako.“
bassi yule mume akamambia mkewe: ,nimetubu?), na sasa cnenda
utakapo — rukhsa, na hapa kiswani?) siyataki1) tenna, na tuhame twende
zetu mjini; na tukifika mjini — rukhsa, utakalofanya ni radi?), vanitosha
haya$).“
bassi yule mwanamke akatuma mtu mjini kwita wazee wake;
wakaja. walipofika wale wazee kisiwani, yule mzee wa mume akam-
uliza yule mwanamke: ,khabari ya huku kisiwani?“ akawambia:
"jema, nimeweta?), mume wangu amepoa.“ ,alhamdu lillahi rabb il'aa-
lamina3).” wakamfungulia katika kifungo chake.
alipokwisha funguliwa, yule kijana akenda akatwaa magartasi
yake, yale aliyoandika?) kwa ujinnini10) — ya gissa cha mke wa sultani,
na mke wa waziri, na mke wa gadi, akawasha kibiriti!!), akashika na
yale magartasi yake mkononi, akasema: ,elfu leila u leila?) hawakuweza
kuandika mambo ya waanawake, mimi ntayaweza wapi? haya tokome-
ani3), sina haja nanyi!t) tenna!“
akayatia moto yote. kisha akahama pale kisiwani yeye na mkewe,
Wakenda zao mjini. akenda akakaa na mkewe raha mustarche, kama
watu wanavokaa P) na wake wao. na nyumba ya kisiwani wakaitupa.
huu ndio mwisho wa hadithi hi.
j 'Ali bin Nasr, Wali von Pangani.
!) neben hiki. 7?) ar. sich bessern. bekehren. 97) kisiwani. “$) auf
mambo beziiglich. “Jar. zufrieden. 9) mambo. ') nimewaita. 59) ar.
Lob sei Gott dem Herrn der Welten. 9) aliyoyaandika. 1) Thorheit,
Dummbeit. 1) ar. Schwefel. ?J) ar. Tausend und eine Nacht. 3) yerschwindet.
4) na ninyi. 'S5) wanavyokaa.
144
hadithi ya kijitu kiowvu.!)
Alitokea mtu tajiri, ana mali sana. naye amezaa mtoto wake
mmoja mwanamume; akamlea mtoto wake. hatta alipobaleghi?), aka—
mambia baba yake: ,nataka 12ini3) kwako, unipe rukhsa ya kwenda
kupita katika inchi, na katika safari yangu sitaki kufuatana na mtu
mwingine aliyo yote — illa mimi na frasi wangu.“ bassi baba yake
akamjibu, akimambia: ,nimekupa rukhsa.“
baada ya hayo baba yake akimpa?) fedda nyingi sana, na ma-
pambo ya frasi, yaliyo mazuri, na jambia na upanga mzuri. akasafarri
akienenda mudda wa siku nyingi, akitokea mahala pana jangwa kw:
bwa, nalo jeusi sana; lina mti mmoja katti ya jangwa, hapana nati
mwingine.
Alipouona yule mtoto, kiu ya maji imemshika sana, akafikizia
katika ule mti, gasidi afunge frasi wake apumzike. alipofika kata ka
ule mti, akashuka juu va frasi, akamfunga frasi wake, akavua na se
laha?) zake, akaweka panapo mti. akatazama upande wa matw7 €0
ya jua, akaona kisima cka maji kikubwa sana, akaona na ndoo li
kutekea maji; akikamata ndoo, akaletea kisimani, gasidi kuteka ma ji.
anywe.
akilivuta ndoo, akaliona zito sana, akilivuta kwa nguvu, akila toa
akaona nyoka ndani ya ndoo. alipopata nje — yule nyoka ikas Jlhu-
kuru sana.
khalafu akilipeleka9) marra ya pili kisimani, akilivuta, akala<ona
zito kushinda marra ya kwanza. akalitoa, akamona simba; na “yule
simba kazalika akashukuru sana.
akalirejesha marra ya tatu, akiona vivile?) zito, akalivuta akaona
mtu. yule kijana akahamaga?); na yule mtu, aliyozuia ndoo, akanena:
vUnahamaga kitu gani? auwali umemtoa nyoka — hukujambo?) lolote;
ukamtoa simba kazalika; lakini umeniona mimi — umchamagi nitowe
nje?“ akamtoa; alipokwisha toka, marra akimpiga!) yule aliyemtoa
kisimani, akaanguka marra. akatwaa kamba, akamfunga hodari, ka-
mwacha!!) papale. frasi wake na zila fedda akazichukua, na selaha
zote akazichukua, hakubagisha kitu, akenda zake.
1) Diese Erzihlung gleicht der in den Suaheli Stories der Englischen
Mission in Zanzibar gegebenen kisa cha mwana wa sultani, ist jedoc
jin besserem Suaheli und weit ausfiihrlicher gegeben. 7) ar. mannbir.
“ar, krlaubniss. “)akampa. 3) ar. Waffen. 9) akalipeleka. 7) vilevile.
r.a. verrickt sein, hier bestiirzt sein. 7) hier ist jambo als Verb 20”
yelasni du hast auch nichts davon gehabt. ") akampiga. ") ake
mwacha,
Pa
145
akaja nyoka, akanena: ,ningalikufungua, rafigi yangu, walakin
ina khofu mno yangu.” ikaondoka yule nyoka, na khalafu akaja simba
yule, aliyomtoa kisimani, akija!) akimfungua akamambia: twende
zetu kwangu.” akafuatana na simba hatta kwake.
walipomwona mtu — watoto wa simba wakafanya ukali sana.
baba yao akawarudi, akawambia: ,tuliani?), huyu baba yenu.” wale
watoto wa simba wakanyamaza. khalafu akaondoka yule simba, ake-
nenda katika njia kubwa va mji, inayopita watu wanaochukua vitu
vya mashamba mjini, akajificha njiani. akipita mtu na mzigo wa cha-
kula — hupiga mgurumo, akatupa mzigo, akakimbia. vule simba hu-
chukua mzigo wa chakula, akampelekea rafhigi yake.
khalafu simba akamambia rafigi yake: ,sasa ntakwenda katika
mji — hakamata?) mwanamke, nikuletee, sababu u katika ta“abu?) sana.“
yule simba akenda katika mji, akaingia katika kitalu cha sultani, akam-
kamata mtoto wa sultani, mwanamke; naye katika kidole cha mkono
wake ana pete ya lulu; akamchukua. ikiwa mshindo mkubwa katika
inchi, wasimpate yule simba.
akenda naye hatta kwake, akampa rafigi yake. yule akamfanya
mwanamke wake, akazaa naye watoto wawili waanaume. wakawalea
hatta wakiwa wakubwa. chakula huwalisha simba kulla siku.
ikija ikaingia njaa katika inchi, mashamba hayana vyakula; simba
mashauri yakampotea, chakula hapana cha kumpa rahgi yake.
yule mwanamke akamambia mume wake: ,twaa hii pete ya lulu,
wape”) hawa watoto, wakauze katika mji, wanunue vyakula walete.”
vyakamwita yule simba wakamshauri — akawajibu: ,rukhsa. waende.”
wyakenda katika mji kutembeza?) ile pete.“
khalafu yuko mtoto mmoja anakaa nyumbani kwa yule sultani
toka zamani hatta amekuwa mtu mzima, alipoiona ile pete — akai-
tambua, akawapeleka wale watoto nyumbani kwa sultani. walipowasili —
ikaonekana pete, watu wote wakalia katika nyumba vya sultani, sababu
ile pete walitambua.
sultani akawauliza: ninyi watoto, pete hii mwalipata wapir“
wakisema?): yametupa baba yetu kuja uza.“ akawambia: nendeni
mkamwite baba yenu aje, na pete yenu iwacheni hapa.
wale watoto wakaondoka, hatta wakafika kwa baba yao, wa-
kampa khabari, wakamambia: ,nawe unakwitwa.<“ akamwita rafigi
yake simba, akamshauri; akamambia: ,nenda.”“ akenda; hatta alipo-
ji akaja. ” und tulieni. 7) nikakamate. f) ar. Beschwerde, Sorge.
) uwape. ") feilbieten. ') wakasema.
Velten, Suaheli-Mirchen. 10
140
wasili barazani kwa sultani, akamfika yule mtu, alivomtoa kisimani,
akampiga!), khalafu akamnyanganya?) frasi wake na selaha zake. ali-
pomsaili?) sultani: , wewe ndio mwenyewe hii peter“ akanena: ,ndio."“
akamambia: ,eleza ulivyoipata!” hakudirikif) kueleza — yule kijitu
kiovu, aliyemtoa kisimani, akamambia sultani: ,acha kumsaili, sababu
huyu ndio anayogeuka simba, haifai illa na yafungwe?”), aone ta'abu,
ndipo atasema, lakini billa ta“abu kumpata hutajua fayida?) yake.“ bassi
akafungwa gerezani kwa taabu sana, hatta nafasi?) ya kulala ha-
pati usiku.
akija3) yule rafigi yake nyoka, akamambia: ,mimi leo ntakwenda
mwuma mtoto wake sultani anayompenda sana, na gadiri ya mganga
anayofanya dawa, haifai dawa zao — illa uende wewe, ndipo apone;
nawe twaa dawa hizi uwe nazo.“ akamwonyesha zote. akenda yule -
nyoka, akamuma mtoto wa sultani, ukiwa msiba?) katika mji wote—
wakesha!) waganga wote — wasifac.
khalafu yule kijana, aliyofungwa, akamambia bawabu 11): ,mim
najua dawa sana, walakini nimefungwa.“ marra wakisikia mnada was
sultani unanadiwa: ,atokeapo mganga wa kuweza kummtibbu!??) mtot—
wa sultani — akapoa, akiwa na 'afya!3) yake, atapata khattiiliyokubw -
kwa sultani, ataongezwa na mali.“ ilipokwisha mbiu, yule bawab uma
akenda akamambia sultani: ,yule mtu aliyofungwa asema, ajua daw” .
sana.” sultani akiamuru?) kwenda mfungulia. akija), akifanya daw—
zake, marra moja mtoto akipona; ikiwa furaha sana katika inchi, mmi
sultani amefurahi sana.
khalafu sultani akamwita yule kijana kwake juu ya gholofa 16),
akamsaili: , wewe unatoka wapi asili?) yako?“ akanena: ,ntakueleza
mwanzo hatta mwisho.“ akampa khabari zote za auwali hatta akheri!?),
akamambia: ,na asili ya “adwi'?) yangu ni huyu waziri, uliyo nayo;
na frasi wangu anayo na jambia na upanga wangu, min gheir ?) ya
fedda mali mengi aliyoninyanganya.“
sultani alipeleka amri ya kumwita yule waziri wake, kijitu kiovu,
akauawa. na yule kijana akaamuriwa kwenda mleta yule mwanamke,
binti wa sultani, aliyozaa naye. alipowasili nyumbani, watu waka-
mwona katika nyumba, walifurahi wote, na sultani kazalika. akapata
1) aliyempiga. “) aliyemnyanganya. #Jar. fragen. “) ar. erreichen,
5) afungwe. 9) ar. Nutzen. (Jar. Raum, Gelegenlheit. 9?) akaja. ?) ar. Un-
gliick, Trauer, 9) wakaisha. 'U)jar. Thirsteher. ?)ar. als Arzt thatig
sein. 2?) ar. Gesundheit. ) akaamuru. 6?) akaja. '$) ghorfa Stock-
werk. 7) ar. Herkunft, Ursprung. 3) ar. von Anfang bis zu Ende,
19) ar. Feind. 8) ar. ohne, ausserdem .
147
milki!) yule kijana na mkewe na watoto wake. akiwa mwallim ka-
tika ile inchi; na baba vyake akampelekea khabari, akafurahi sana.
ndio mwisho wa hadithi ya kijitu kiovu.
Mwenyi Hija bin Shomari
aus Kondutschi.
Jar. Macht, Heorrschaft.
maskini na binti wa suiltani.!)
Alikuwako maskini. kulla siku hukata kuni, vakauza pesa mbili,
Vakapata mhogo, vakala.
hatta siku hiyo akenda mwituni, yakakuta mti mkubwa, na chini
Pana shimo kubwa na nyama wawili na kiumbe moja?); mna simba moja
na nyoka moja na mtu mmoja. naye aliye ndani akasikia vishindo kama
mtu anakata kuni, akauliza: ,nani vakataye kuni“ yakamambia: ,mimi
maskini.” yakamambia: ,nmtae, unitoe katika shimo.“ akamambia:
sina nguvu za kutolea katika shimo.” akamambia: ,ntakupa mali
mengi utumie.” akatafuta kamba maskini, yakapeleka katika shimo,
yakashika kamba alive ndani ya shimo, yakamvuta hatta yakatoka nje.
alipotoka akamambia: ,nipe mali yangu.“ akamambia: ,ngojea nta-
kupa; akatafuta fimbo nene, yakaja yakampiga, akamtoa damu kichwani.
maskini akenda mbio, akamambia: ,kana ungalisimama — ningalikuua."“
yule akenda zake; yakarudi palepale maskini kukata kuni. nyoka
akamwita, akamambia: ,nifac, unitoe katika shimo.“ maskini yakasema:
nsiwezi kukutoa, ma'ana nilimtoa mtu yakanipiga, nikakimbia; yakaon-
doka, na mimi nikarudi, ili kukata kuni zangu, na weye kukutoa siwezi.”
akamambia: ,mimi ntakupa mali.“ yakapeleka kamba, ili kumtoa; yaka-
toka nyoka. yakamambia: ,nipe haggi?) yangu;“ akamambia: ,ntakupa
kesho.“ akamletea dawa ya nyoka, akamambia: ,mwenyi kumuma
mtu, ukamfanyizia — atapona.“ yakenda zake nyoka.
yakabagia shimoni simba. akamambia: ,na mimi nitoe.” akam-
') Diese Erzihlung ist ihrem Inhalt nach wesentlich dieselbe wie
die vorige. Ich gebe jedoch auch diese PDarstellung, um zu zeigen, wie
dieselbe Geschichte yon verschiedenen Leuten vycerschieden erzahlt wird.
Der Erzahler der vorigen ist bei weitem gebildeter und weiss zusammen-
hingender zu erzihlen als der Darsteller der letzteren. 7) kimoja. 7?) ar.
Recht, Forderung.
FE
IO
148
ambia: ,nyoka hakunipa kitu, na weye hutanipa kitu.” akamambia 2
#mimi ntakupa.“ yakapeleka kamba, yakamtoa mpaka nje. ,nipe hagga
yangu, kazi vako nimekwisha kutendea.“ asimjibu neno kwanza.
khalafu akamambia: ,ntakupa kesho.“ bassi simba akaondoka, akenda
zake. akaondoka na maskini na kuni zake, akenda zake mjini, vaka—
nunua muhogo, yakenda nyumbani kwake. |
na mji wa pil garibu yuko binti sultani mzuri sana, emefanza! >
“arusi?) siku hizi, ili kuolewa. bassi wakampamba sana yule binti sul—
tani, wanampeleka usiku — ili kwenda kwa mumewe; na simba huko
njiani anamngojea. alipopita — yakamkamata. wakamkosa bundugi, wa-
simpate; wakamtukuza sana — wasimpate, anakwenda kimbia mwituni.
yakamchukua yule binti sultani mpaka kwa maskini, yakenda yakampza,
yakamambia: ,fadili?) yako nakulipa, ma'ana ulinifaa sana.“ yule akam-
ambia: ,unanipa matata, vakisikia baba yake ntachinshwa.” akamam-
bia: ,sijui, ba'ada nnakulipa, nakwenda zangu.“
akakaa naye vule binti sultani, yakazaa na mtoto. bassi kulla
siku humpa mtalii kwenda kuuza katika shamba la babake, hupata
mpunga. ukesha mpunga, vyakampa mkutu, yakenda kuuza katika
shamba la babake. ukesha marra ya tatu, yakampa binagiri?) kwenda
kuuza kupata mpunga. mtwana vyakachukua mpunga, mwingine akabagia,
akamambia: ,kesho ntakuja chukua mpunga uliobagia;“ yakenda zake.
hatta siku ile yule mtwana, aliyouza mpunga, akenda kwa bana
wake sultani na vyombo vyote, mitari”) na mikufu na binagiri. ali-
poviona — vakalia sana yule sultani, yakamuliza: , umepata wapi? nilimpa
mwanangu kuvaa, naye amekamatwa na simba siku ya 'arusi vyake,
weye umevipata wapi?“ asema yule: ,alikuja kuuza maskini, humpa
mpunga kulla suku?), na hivo?) kesho atakuja maliza mpunga wake."
akampa “askari, akamambia: ,yakija8) — mtungeni kamleteni hapa, ndio
emegeuka?) simba, aliyokula mwanangu.“ wakatoka wakenda zao kukaa
kungojea.
hatta asubuhi yakaja. alipokuja wakamkamata, wakamfunga wa-
kampeleka hatta kwa sultani, wakamambia: “huyu mtu wako uliyom-
tafuta, tumemleta.” sultani akaamru, akasema: ,kamchinsheni.” wa-
kamambia: tungojee afasiri 19), twende tukamchinshe.“
na yule sultani ana mwanawe mwingine, yakenda yakaumwa
siku ile na nyoka. sultani 'agili zikampotea kwa mwanawe enevom-
penda!!) sana. yule maskini akasikia khabari hi, vakasema: ,,najua
')amefanza. ?)'arusi und Warusi. Jjar. Giite. f) Armspange. 7) mi-
tali. ")siku. 7) hivyo. “akija. ") amegeuka. ") ar. Nachmittag.
1) fur anavyompenda.
JA vya,” wakamambia: ,mwongo weve, unataka hila!) kukimbia.” va-
wambia: ,nifungeni kamba va kiuno, na mtu anishike nyuma, kana
Ntakimbia.“ sultani akampa watu saba na bundugi, akiwambia?):
rakikimbia — mpigeni risasi”).
vakenda yakachimba dawa, ma'fana yakachimba mizizi), kapele-
ka53) kwa sultani. yakenda vakaifanyiza dawa, akampa yule mtoto,
yakapona. aliposikia sultani, akasema: ,huyu haifai ya kuchinshwa,
ma'ana emenifaa?).“ tenna vakamuliza: ,vyombo vile umevipata wapi
weye?“ akamambia: ,amenipa simba, ma'ana nilimtoa shimoni; yaka-
niletea binti sultani usiku, nami nikakaa naye, nikazaa nave mtoto
moja. vyakanipa siku moja vyombo vyake kwenda kuuza; hivo ndivo?)
nnavyovijua.”“ akamambia: ,nenda mkamlete.“
yakenda, yakachukuliwa hatta kwa baba yake. yakamambia ba-
baye: ,huyu maskini yalikupataje?“ amambia: ,alinikamata simba,
baba, yakanichukua hatta kwa huyu maskini, nami nikakaa kwake
maskini.“ yakafanya 'arusi kubwa baba yake, vakamoza maskini. nao
wakakaa kitako, wakashukuru muungu.
Muhemedi bin Diwani Tambaza
“ aus Klein-Bagamoyo.
1) ar. List, Vorwand, 7) akawambia. 3) ar. Blei. $) kleine Wurzeln,
Wurzelfiserchen. 9") akapeleka. 9) amenifaa. ') hivyo ndivyo.
Sermala!) na hirizi?).
Alitokea Makame, na yule Makame selamala?), anachonga miti.
akaenda zake mwituni, akachonga mvinja sura?) kama bin Adamu?)
kwa vidole, kwa mashikio, kwa pua, kwa macho, kwa mdomo, kwa
kidevu. akimwita9) mw'allimu, akiusomea?) — ukageuka mtu. akamwita
mfuma nguo, akaufumia; akimchukua nyumbani — yakiwa manamke
mzuri mno, kama huvu hapana tenna.
yule mwenyewe Makame amcemficha msituni; wakipita watu
wengine, wakimwona, wakimchukua vule mwanamke. aliporudi Ma-
kame na mizigo yake ya mijiti, akamtazama yule mkewe pale — ha-
yupo. yakalia Makame, yakaja zake mjini, yakakaa nyumbani kwake.
na yule mwanamke, kule alikochukuliwa, hasemi kwa kinywa
1) Zimmermann. “Jjar. Amulett. 3?) sermala. 9) ar. Form. ”) Men-
schenkind. 9) akamwita. 7) alkiausomea.
chake, cemekaa!) kama bubu. wakimwambia: ,jissi gani, Weye mana-
mke huneni?“ yule manamke hasemi. watu wengi huja wakimhoji?) y
wakimnasihi?) — manamke ameshika kunyamaza, haneni walla hafurahi
walla hacheki.
na Makame anamtafuta yule mkewe, aliyomchonga mti. na mwa—
namke kule anatafuta mtu, yawezaye hojaji9), ya kumpa yule mume—
vule Makame yakencnda kule kwa yule manamke; alipomwona akim-a—
tambua — kama ,huyu ndio mke wangu,“ walakini haiduru. akawamee—
bia wale: ,mtu asiyojua ma'ana, haambiwi maana, kwa ma'ana nnaze—-
taka mimi huyu manamke — hasemi?), labda amekwibiwa; ana uchwao >
ngu wa mumewe, ndio ma'ana hasemi; mimi nnataka tuandikianz—z
khatti9), ambapo?) hakusema — kichwa changu halali$) yenu, amba .
po akisema — mke huyu wangu?) mimi.“ wakaandikiana khatti mz
mkataba 10), kulla mtu akashika wake.
yakatoka Makame, akakaa kitako juu ya kiti, na yule manam” ke
amekaa mahali mbali kule. na pale alipokaa Makame pana ndege,
mwenyewe jina lake asiraji. Makame akamwambia asiraji: ,baba amamali-
mwita selamala, akichonga mti fano!!) va bin Adamu, kwa kulla jimmmnsi
ya bin Adamu. yakija?) mw'allimu akiusomea, akiuvika hirizi, 2. ki-
geuka mtu wa kusema na kucheka. yakija?) mfuma nguo, akiufu?— mia
nguo, weye asiraji watu watatu hao — nani mwenyi mkewe?“ asizwaraji
amenyamaza; atajibu nini asiraji, naye ndege? walakini hamwambii asssi-
raji, anamambia yule mwanamke.
Makame anafanya ghadabu 3), akasema: ,, weye asiraji, ntakup Mga,
ambie kweli watu watatu hao — nani mwenyi mke wake?“ alipoond <dka
kutaka kumpiga asiraji, yule manamke akamwambia: ,mwache baana,
ya nini kumpiga huyu ndege?“ marra yule manamke amesema, ve7atu
wakasta'ajabu 14).
yakamchukua mkewe Makame hatta mjini kwao; akakaa maaye
siku nyingi. hatta siku moja akamwambia: ,mke wangu, nnakwe nda
zangu barra kwenda chuma.“ akimwambia: ,inchi hii ya sultani ha-
sherati!?) sana, anakamata wake wa watu; na wewe utulie, kaa kitako
nyumba yako !9),“
Makame akaondoka, akenenda zake barra kufanya bi'ashara; hu-
ko nyuma mkewe. siku moja akija!) kitwana cha sultani, akaingia
') amekaa, 7) Uberreden; z. B. amemboji — amemshinda er hat ibn
liberredetu 7, gut zureden,. far. Angelegenheit, Beweisgrund, gericht,
Fntscheidung. 7”) asiyesema. Par, Schriftstick, Brief. 7) falls; meist Sagi
manikiwa, "Jar, crlaubtu ) oder kwangu mimi. 'Ojar. Vertrag. ') oder
mfano, “akaja. "?) ar, Aerger, Zorn. ') ar. sich wundern. "Ja.
yerdorben, Hofe des Volkes. 'f) nyumbani kwako. “) akaja.
AI
ISI
ndani ya nyumba ya Makame: ,nnataka moto.” akaambiwa: ,pita
Juu;“ akapita juu. alipomwona yule mke wa Makame yule kitwana —
akaanguka. akenda kumwambia bana wake — kama: ,bana nimeona
immanamke mzuri katika nyumba ya Makame, mke wako wewe mbaya
sana kuliko mke wa Makame, mzuri sana.“ sultani akasema: ,kwelir“
zakamwambia: ,kweli, bana.“
akamtuma kizee kimoja sultani, yakenenda yule kizee katika
myumba ya Makame. ,alipomwona yule manamke mzuri, yakimlaghai!)
yule kizee, yakamchukua yule manamke, akamwambia: ,sultani ataku-
pa nguo za fedda?) nyingi na vyombo vya zahabu), na wewe uta-
kuwa mtu mkubwa.“ akenenda nyumbani mwa sultani, akakaa kitako,
yakiwa?) ndio mumewe, nyumba ya Makame akaitupilia mbali.
alipokuja Makame, akipiga hodi nyumbani mwake, yakaona kim-
ya, akasema: ,labda emekwenda?) kwa mama mkwewe?).< akenenda
kwa mama yake, akauliza: ,mkwe?) wenu yupo, mke wangu?“ mama
yake akimwambia: ,hayupo.“ akija zake Makame nyumbani kwake,
akaingia ndani, yakawaza: ,mke huyu kamchukua sultani!” yakasema:
vhaiduru.“
yakamwita ndege moja jina lake kurumbiza, akinena: ,nenda
nyumbani kwa sultani, nakutuma mimi Makame, ukatwae vyombo
vyangu; ukivipata sawasawa kwa sawa?) mimi nawe.“
akaondoka ndege, akenda nyumbani kwa sultani. yakikaa juu
ya nyumba, yakemba?) wimbo wake, akinena!?);
nSili mti tunda!!J),
kautwae — si wajawaja 2),
kavika pingu!3) na makoja'!f) tunda D).“
na mwanamke akanena:
twaa vyombo vyo!)
Makame, na Makame
si mume wangu,
hanitaki vyombo,
anitaka roho!”).“
1) ar. mit jd. scherzen, suah. in scherzender Wceise jd. zu iiberreden
Versuchen. ?) ar. Silber. 3?) ar. Gold. $) akawa. ?) amekwenda. 9) mkwe wake;
mama mkwewe ihreSchwiegermutter. 7) Schwiegertochter. 9) ar. gleich; worti.
gleich mit gleich du und ich, d. h. du erhaltst die Halfte davon. ") akaimba.
0) Zum Sultan und seiner Frau. '!) ich esse keine Frucht des Baumes (weil die
Frau aus einem Baume geschnitzt war;. ?) nimm du (Sultan) sie — es ist nicht
mein Begehr sie zu haben. 53) bekleide sie mit Fussspangen. '“) Hals-
kette. ?) Perlkette, die die Suahelifrauen um den blossen Unterleib tragen.
6) vya. ar. Seele.
yakampa vvombo vvake, mikufu na mitari') na pete zake
na nguo, kulla kitu cha kike, wanachovaa?) waanawake, ampe
Makame.
vule ndege akapeleka, akamambia: ,hivi, Makame, vyombo vyako .
vimekwisha kuja.“ Makame akimwambia: ,bado vyombo vyangu kuja,
kitu kimoja umesahau, nenda tenna.”
yakienenda”), hatta akafika kule, vule ndege, yakembatf;, vaki—
wambia:
vSili mti tunda,
kautwae — si wajawaja,
kavika pingu na makoja tunda.”
mwanamke akimjibu:
ntwaa vyombo vyo
Makame, na Makame
si mume wangu,
hanitaki vyombo,
anataka roho.“
vule mwanamke akimwambia: ,nimekupa vyombo vyenu, nini
unataka tenna?”“ yule mwanamke analia sana, yakiya?”) mumewe vule
sultani: ,nini unalia, mke wangu? mpe mwenyewe vyombo vvake
Makame. na kama hiyo hirizi — mpe mwenyewe, hirizi nyingi kwangu
ziko; zikiwa za uchawi, tenna bado za fedda, zimetiwa kwa zaha-
bu, twaa uvae; nini hirizi va Makame?“
akamvua kwa nguvu, akampa ndege — marra ukaota mvinja;
yule sultani akatahavyari9). na Makame akakaa kitako kwake; ndipo
ulipokwishia.
Muhemedi bin Madigani
aus Magogoni.
1; mitali Fussspangen. “) wanachokivaa. 5) akenenda. 1) akaimba.
”) akaja. 9) ar. verwirrt sein.
hila!) ya vita.
Palikuwa vita; wako sultani wawili walipigana. na mkewe wa
sultani mmoja yuko katika mji, lakini yeve sultani mwenyewe hayuko
katika mji, yuko katika vita. mkewe kulla siku huondoka kwenda
hatta mashamba kumwona labda mumewe akirudi.
'Jar. List.
siku moja akamwona mumewe, wakasema maneno vao. vule
Mumewe akamwaga tenna, akenda zake. kidogo!) vule mke akaona
vile vita vinakuja, anataka mambia mumewe, na wale watu vile vita?)
wasijue, akamwita akamambia: ,wewe! buibui?) likipanga, hupanga
Wapi?“ na yule mume akasema: hupanga juu na chini.“ j
na yule manamme akapita upesi kattikatti, akenda zake, sababu
Amejua maneno ya mkewe).
Merere bin Kawamba Mshale
aus Vikindu.
1) kurz darauf. 7) wale watu wa vita vile. 5) Spinne. f)ein Heer-
haufe kam von oben, der andere von unten, ihr Mann wich nach der
itte aus.
shauri la vita,
Palikuwa mtu, amekwenda katika inchi ningine, akakaa kule.
kwao hataki kwenda tenna. akaoa pale, akapata watoto, na kulla kitu
chake chiko!) kule. na wale wenyi nchi?) wakampenda.
wakafanyiza vita, wanataka kupeleka vita kule alipozaliwa yule.
wakaja siku moja wakafanya karamu?) ya watu wakubwa wakubwa,
magsudi!) wafanye shauri. wakenda karamuni, wakaapa yamini”):
mtu mwenyi kusema khabari ile ya kupeleka vita kule — atauawa.“
na yule mtu, aliyozaliwa inchi ile, vilevile akaja karamuni pale-
pale. alipokwisha sikia maneno ya vita, akachukua vitu vidogo vidogo
vya vyakula vilivyokuwa?) pale karamuni, akapamba?) kidogo, akatia
na$) kisu kidogo na damu kidogo; akatafuta mtu, akampa vitu vile,
apeleke kwa sultani wa inchi yake alipozaliwa.
na yule sultani na watu wake wakaweta watu wa 'agili”), wakaja
wakafungua, wakatazama vile vitu, wakajua, kama inakuja vita hapa.
tokea hapo, watu wakikaa pamoja, wakitaka kufanya shauri ya
inchi ningine ao ya vita, huulizana kwanza: ,weve umezaliwa wapi?“
ao ,umetoka wapi?“ maana asikae mtu wa inchi ningine katika shauri
lao la vita.
Abdallah bin Musa.
) kiko. inchi. SJ ar. Fest. far. Absicht. ?) ar. Eid. ") besser
vilivyoko. 7) einwickeln. 9) im Sinne von ,auch“. ?jar. Verstand.
154
mtu mwenyi kuweka mali!) na watoto wake.
Palikuwa mtu, akazaa watoto wawili waanaume. na yule baba
yao ana mali nyingi, walakini ukimwona hufikiri — huyu mtu labda
hana pesa moja, sababu havai nguo njema, walla hali chakula kizuri.
wale watu wengine humo mjini wakatukana watoto wake, kwa sababu
baba yao ana mali, lakini havai nguo njema, walla hali chakula kizuri.
na yeye baba yao anajua, kama watu wanamtukana.
hatta siku moja akafanyiza karamu, akaweta watu wengi sana
wa katika mji ule. wakaja kwake, wakala chakula. wakesha waka-
zungumza. na watoto wawili wake wako pale wanasikiliza. akawam-
bia baba yao kwa watu wale: ,tafaddalini?), mniulizie watoto wangu,
nnataka maneno mawili wanambie. moja?) — mtu yakisema?) mtu
vule hana kitu,“ ao ya pili — yakisema?) ,mtu yule bakhili?) mno,
anapenda yasile?) vyakula vizuri walla vasivac') nguo nzuri,“ — un-
gechagua lipi?“
na wale watu wakashtuka. yule mtoto mkubwa akasema: ,, miye?)
afadali?) — nikiwa na kitu nikatumie.“ na yule mdogo akasema: yafa-
dali miye, watu wakisema mimi ni bakhili, nnapenda nisile vyakula
vizuri, nisivae nguo nzuri, kwa sababu nnacho. watu wakisema ,va-
tendeni19)?“ huo!!) hana kitu — hana la??) kufanyiza.“
na babake amefurahi sana, akawambia watu: ,huyu mzuri kuliko
yule.” akasema tenna: ,bassi, mimi naona afadali, watu wakisema —
kuwa ,mimi ni bakhili,“ kwa sababu nnacho. wakisema ,mimi nifa-
nyizejer“ hapa sina kitu cha kutumia.“
ma'ana yake: afadali kuweka mali, watu wakuite bakhili, kama
kutumia yote.
“Abdallah bin Musa.
!') der Sparsame. 7) tafaddali ninyi. 3) neno. “akisema. Ja.
geizig. “") asile. 7) asivae. 9) mimi. 9?) ar. es ist besser. '9) atende nini.
1) huyu. P)auf neno oder jambo beziglich.
Abu Nuwasi na waziri wa sultani.
Abu Nuwasi siku moja alikwenda katika inchi ya sultani Hassani;
amepakia nazi kwenda kuuza. alipowasili!) bendarini?), akashuka pwani.
akenda kwa waziri, akamambia — kama: ,nimepakia nazi, nataka ku-
1) ar. angommen. 7?) ar. Hafen.
155
za hapa.“ sultani Hassani amempa rukhsa kushusha nazi zake. aka-
usha akaanza kuuza. alivouza!) nazi zake zote, akenda zake mjini,
enda akapanga nyumba.
amekaa mudda?) wa miezi mitatu, akaona hana shauri”) la ku-
nya, akanena — kama: ,nataka kufanza 'agili?) ningine, nipate pesa la
itumia.” amekwenda zake kwa waziri, akenda akafanya urafigi?) yeve
1 waziri. waziri akafurahi sana; kulla siku humwalika?9) kwenda
vake kula.
Abu Nuwasi akafikiri'), akanena: ,sasa huyu waziri nimefanya
'afigi mimi naye, ntaweza kumghilibu$) — tumwuc huyu mfalme,
pate inchi, nitume.” akamambia waziri: ,sikiliza, ntakwambia shauri
uri sana — litakufaa — linifae na?) miye.“ waziri akamjibu: ,kama
>) — shauri unataka kunena?“ akamambia: ,lakini usimambie mtu;
swambii — mpaka unipe “ahadi 9), kama humambii mtu shauri nai-
ka!!) kukwambia.“ waziri akampa shuruti, akamambia: ,simambu mtu.”
Abu Nuwasi akanena: ,huna khabari, weye mpumbafu, wewe
ia “agili kuliko sultani, una kazi kuliko sultani, hali yako na mfaume?)
moja — weye bin Adam — yeye bin Adam, na weye unasumbuka
iliko yeye, ba'ada yeye anakuhokumu. miye, Abu Nuwasi, sigubali
tu kunihokumu katika 'agili yangu, nilivoftundishwa!?), hapana mtu
kubwa dunyani 14) kama mweny'ezi muungu na mtumewe — khabari
. sultani upuuzi; usultani anaweza kutuma kulla mwenyi nguvu na
jili.? asema: ,mafana nnayokwambia neno hili — weye rafigi yangu
na, na miye nimekuona kama weye mtu mzuri sana; unasumbuka
na mtu mwingine anakula nguvu zako.“ yule waziri akasema:
'ema, nimesikia. tutamwua mfalme; nikipata “aezi!?) — utakuwa wa-
ri.” Abu Nuwasi akafurahi sana, akanena: ,“agili yangu leo zimenifaa.“
Abu Nuwasi ameondoka, akenda zake nyumbani, akenda na tu-
ha!6) kubwa mno, akenda akanena — kama: ,yule waziri mpumbatu,
iweza kumwua sultani — ntaweza miye nimwue waziri, niitume.”“
yule waziri mtu wa 'agili sana, naye akajua, kama yule Abu
uwasi kazi yake kughilibu watu. akenda akamambia sultani — kama:
bu Nuwasi yuko huko mjini, na weye fanza hila tumwondoshe; jana
aja, akanambia maneno ya ujeuri!”), anataka afanze hila!8) yatuue!?)
ote wawili, yapate kutawala?!) katika inchi.” mfalme akaamru?!)
atu, akawambia: ,nendeni mkamfunge Abu Nuwasi.“
') alipouza. “Jar. Zeitraum. J)Jar. Rath, Berathung. “ar. Verstand.
ar. Freundschaft. "?) einladen. ?) ar. iiberlegen. 7?) ar. tiberwinden.
auch. 9) ar. Versprechen. '!) fiir ninayoitaka. ?) mfalme. 7?) nili-
'ofundishwa. “) ar. Welt. 6?) ar. Macht, Herrschaft. '8) ar. Freude.
ar. List. '?) ar. List. ?) atuue. “?) ar. herrschen. "! ar. befehlen.
Abu Nuwasi akakamatwa, akapelekwa kwa sultani, akaulizwa:
,Jana umesemaje weve na waziri?” akanena: ,mive sikusema neno —
miye na waziri.“ sultani akasema: ,mwongo, jana umcefanza shauri
weye na waziri.” Abu Nuwasi akamambia sultani: ,kama jana nime-
fanza shauri na waziri — mive nimesahau!); afadali?; umwulize wa-
ziri, labda yeye anafaham?).“ akamambia: ,jana umemambia, kama.
mnataka kuniua, na nyie?) mwitume inchi.“ Abu Nuwasi akasema —
neno alilokwambia waziri — ndilo, siwezi kukwambia uwongo.“ sul—.
tani akaamru “askari wake: ,mchukueni, mumtie katika kanda, nenden m—
mkamtose baharini?”).” wakamchukua, wakamtia katika kanda, waka
shona hatta asiweze kutoa pumzi. wakamchukua, wakenda pwani.
walipofika pwani, hawakukuta mtumbwi wa kumpakia, wakae2
mweka mchangani. wakarudi kwenda kumtafuta mvuvi kuja kumpakiz 2
wende wakamtose. walipokwenda zao kumtafuta mvuvi, akaja mw >,
moja nyuma. yao. Abu Nuwasi alivosikia$) mtu anakuja, akawanza mma
kupiga makelele, akisema?): ,mimi nimetubu?j, ntamwoa mtoto Vai
sultani, jama'ani 9) nifungulieni, nimetubu — nitaoa mtoto wa sultanam j.
yule mtu akagurubia!!) lile kanda, akamwuliza: ,nani vuko katiak
kanda“ akanena: ,mive Abu Nuwasi.“ anena: ,umcfanya nini wema
ulivofungwa ?) katika kandar“ akasema: ,nimekamatwa nimwoe mta—>tc
wa sultani, na miye sitaki; lakini sasa wakinifungulia — nitamwe moa,
nisije kutoswa baharini.“ akamuliza tenna: ,kwani?) utatoswa bak—aa-
rinir” akamambia — kama: ,kwa hivo — sitaki kumwoa mtoto —— wa
sultani; nikimwoa — hawanitosi.“
yule mtu akafikiri, akasema: ,bassi, weye mpumbafu! umepos. wa
umwoe mtoto wa sultani — umekataar“ akanena: ,ndiyo, sitab—ri."
vule mtu akanena: ,nikikufungulie, niingie mimi — nitamwoa?“ aser—wna:
,ndivo, ukitaka kumwoa, njoo ingia hapa.“ yule mtu akamfungw..ulia
upesi, akatoka Abu Nuwasi katika kanda, akamambia yule mtu: ,kamma ma
umesikia watu wanakuja, hao ndio watu walionifunga; nao sasa —wra-
nataka majibu, kama nimegubali kumwoa mtoto wa sultani. b:Smssi,
kama wewe unataka kumwoa mtoto wa sultani, wale watu wanak-< uja
— na miye nakimbia; wakigurubia hapa, piga makelele, ukanesna;
,htamwoa mtoto wa sultani, nimetubu.”
wale watu walivogurubia!t), yeye akajifanza Abu Nuwasi, aka-
anza kupiga makelele; ,jama'a nimetubu, nifungulieni, nitamwoa ntoto
I) ar. vergessen. “)jar.besser. SJ) ar. verstehen, ninyi. Yar.
Mcer. "jaliposikia. ')akaanza. $) akasema. ) ar. bereuen. Tar
jamaa ninyi, ibr alle. '!) ar. sich nihern. 7) ulipofungwa. 3) kwa nini,
4) walipogurubia.
157
a sultan.“ wale watu wakasikia, wakamwuliza: Unasema nini wee”
na wazimu“ akasema: ,mive, Abu Nuwasi, nimetubu, nifungulieni,
tamwoa mtoto wa sultani.” wale watu wamezidi!) kukasirika. aketa?)
ara va tatu: ,nifungulieni, ntamwoa mtoto wa sultani.” wakasema:
huyu ana wazimu, sasa twende tukamtose baharini.“ akenda akato-
wa baharini, na Abu Nuwasi akavuka salaama, akenda zake.
Selim bin Abakari.
Tar. yermchren. ”?) akaita.
Makame.
kule kulikuwa!) na sultani na tajiri na maskini katika inchi. watu
akafanya 'arusi?) va kutahiri?) wana?) wa sultani na maskini. kulla
tu mwenyi mwanawe akatia kumbini?), hatta siku ya watu wataka
via!) waana kumbini, kulla mtu ashonea mwanawe kanzu.
pana maskini hana kitu, akamwambia mkewe: kulla nyumba
>ndayo, omba moto, ukaona?) kitambaa cha kale — kitwae, tuje tu-
konee mwana kanzu kwa umaskini.” ndio sababu mwanamke kulla
““umba aombavo moto, akaona kitambaa akatwaa. mume akashona
nzu, hatta akatimiza) kanzu ya mwanawe. na mwanawe jina lake
ukame.
hatta siku zilipofika za kutolewa?) wakatolewa, na Makame ali-
dawishwa na kanzu na vitambaa vya kale, akawambia babiye na
amiye!!): nataka mnipe rukhsa mimi, mwana wenu, nipotee na
Chi, nende mbali kama nitakalopata nije nilifaale!!) baba na mama,
nipotee nife huko nendako.“ akapawa rukhsa na babaye na ma-
aye, akenda safari. na chakula chake ukasi wa mtama na bissi la
ahindi. hatta alipofika mbele kule endako??), akaona mtu mrefu kama
Nazi; akamfuata. watu wawili hawale !3) wafuatana, walipofikiana wa-
wa sawasawa vimo'!!). Makame akatoa ,salaam 'aleikum“, mwenziwe
Atikia , aleikum salaam.”
') neben pale palikuwa. “Jim Sinne von karamu gebraucht. ar.
ein sein. f) waana. “) kumbi Beschneidung. "toka. f) ukiona. “Jar.
oOllenden. "”) cf. Jahrg. | Abthlig. HI p. 23 der Mittheilungen des Orient.
'€eminars. ') fir babaye na mamave. '!!) alte Perfect-Bildung. '?) aendako,
niakokwenda. '? hawa. 1?) von gleicher Grosse.
158
Makame akamwuza: wu ani!) jina lako?“ akamwambia: ,ni
mimi Mweza Nyayo pasi Yayo?), nawe u ani?“ akamwambia: ,ni
mimi Makame.“ yule mwenziwe akamwambia Makame: ,nikufuate
uendako?“ Makame akamwambia mwenziwe: ,haya, nifuate!” wa-
kenda. walipofika mbele, wakaona mwingine mrefu kana mnazi.
hatta walipogaribiana wakawa sawasawa. Makame akatoa ,salaamu',
akaitikiwa ,'aleikum salaam“. akamwuza: ,u ani?“ akamwambia:
Ni mimi Mfungua Moto pasi Moto3), wewe u ani nawe?“ Makame
naye akasema: ,ni mimi Makame.“ yule Mfungua Moto pasi Moto
akanena: ,nikufuate Makame?“ akamwambia: ,nifuate;“ wakafuatana.
wakenda hatta walipofika mbele tenna, mbele yao wakaona mtu
mrefu kana mnazi. walipogaribiana, wakawa sawasawa vimo. Ma-
kame akatoa ,salaam“, akapokea. Makame akimwuza: yu ani?“ aka-
mwambia: ,ni mimi Munda Chombo pasi Mbaof), nawe u ani?"
Makame akamjibu akamwambia: ,nifuate“; wakawa watu wanne. wa-
kenda, na chakula bissi. majira”) Makame akawapa bissi wale watu
watatu — hawali, illa Makame pekeyake.
wakenda hatta walipofika mbele — waona nyumba moja, ina mtu
moja mwanamke shaibu?) sana, kibibi kikongwe, akamwambia Ma-
kame: ,uendapi?)?? Makame akamwambia: ,napotea kwa ulimwengu
kwa umaskini hapatce?) nije nikae, nimfaale?) baba na mama, a0
hafe 10), “
yule mwanamke akamwuza Makame: yauwali wenzio?” aka-
mwambia: ,ote hawale!!) nimewaona njiani; mimi nimetoka mjini
pekeyangu, hawale nimewaona njiani.“ akamwambia: ,wache papa
pangu mjini, niwapandie mrehani!?); huko wendako, ukawa mzima na
“umri!3) — mrehani mzima, hautakuwa mzima mrehani — ukaba naweuta-
kufa; utakapokufa, tawambia mtu wenu kana kufa, watakufuata uliko kufa."
Makame akaweta akawambia: ,nisabirini4) hapa;“ nao wakagirri”)-
Makame akaenenda. alipofika mbele mwendo wa mwezi hatti
mwezi wa pili, akafika inchi haina watu, pana nyumba moja ya maw6,
malango sab'a. Makame akaingia mlango wa kwanza, hamna mtu,
mna mali nyingi sana,. kulla aina!9) fedda, zahabu na nguo nying!
sana. akaawa?!?7), akaingia mlango wa pili, mna mali nyingi nayo feddi
1) nani. “”) dice Bedeutung des Namens ist: Ein Mann, der den Spurel
folgen kann, wo kaum Spuren sind. “) bedeutet: Ein Mann, der zum Lebel
(Feuer) wieder auferweckt, wo kein Leben mehrist. 1) bedeutet: Ein Mani,
der ohne Holz ein Schiff bauen kann. 9) Zeit, wenig gebrauchlich, Sar, grauts
Haar, Alter. 7) unakwenda wapi. 7") nikapate. 7) nimfae. ?) nikafe. '!) hawa.
13) ar. rehan Basilienkraut (wohlriechendes Kraut). Bar. Alter. Bar,
warten. ?) ar. bestitigen, annehmen. '8) pers. Sorte, Art. ') herausgehen.
159
a zahabu na nguo nyingi sana. akaawa, akaingia mlango wa tatu,
nna mali nvingi —- fedda na zahabu na nguo nyingi. akaawa, akaingia
nlango wa nne, mna mali nvingi — fedda na zahabu na nguo. akaawa,
kaingia mlango wa tano, mna mali nvingi — fedda na zahabu nvingi
ia nguo nyingi. akaawa, akaingia mlango wa sitta, mna mali nyingi
— zahabu, fedda nyingi na nguo nyingi. akaawa, akaingia mlango wa
ab'a — mna mtu, mke mmoja pekevake.
manamke alipomwona manamme, roho ikampasuka, akapiga kifua
wa kumwona mlimwengu!) mwenziwe. Makame akamwuza?) mwa-
jamke: ,mbona u pekeyako, hamna na mtu illa wewe?” mwanamke
ikamwambia Makame: ,wewe nakuonea huruma?).“ Makame aka-
mwuza mwanamke: ,sababu nini:“ mwanamke akamwambia Makame:
mmji huu ualikuwa na watu wengi, wake na waume na waana wao
pia, wakaliwa na nyoka pia; akanisaza mimi, sababu kumpikia. naye
kula kwake kaango “asherini, nawe utamwona alasirif) hapa kana
kwenda chuma)”).“
hatta alasiri akawasili9), Makame akageuka paka. akaja nyoka
nkubwa auwali ya saa tiss'a kuingia nyumbani, hatta saa va then-
ishara ndipo alipokwisha m'aeshi?). akala chakula kaango 'asherini
a wali, na mchuzi vikaango 'asherini, na tonde?) za maji. akalala
iatta saa ya hed'ashara ya usiku, akatoka nyumbani, akenda nje kwe-
ida chuma.
Makame akageuka mtu. mwanamke akampikia Makame, aka-
afuta tembo na mafuta, akaweka tavvari. hatta Makame alipokula,
nwanamke akamsinga Makame; ni wao wawili mjini hamna mtu
Nwingine, ni wao wawili bassi. hatta safa ya nane mwanamke akam-
Pikia yule nyoka kaango 'asherini na vikaango “asherini vya mchuzi,
hatta sa'a ya tisa ya mchana nyoka akawasili nyumbani.
alipofika garibu ya nyumba, akanena: ,kunuka kimutumutu?,.”
mwanamke akanena, akamwambia nyoka: ,ndivo walivo watu pia ku-
nawala !9), kunanisaza!!) mimi kwa kupikia, sasa lamda?) nami wataka
nila, njoo unile, rohoyo 3) upate furaha.“ asiweze kumla. yule Ma-
kame kanasoma'f) gorani, ajua ya kujificha, kanajificha!?). khatima
Sa'a ya hed'ashara ya usiku nyoka akatoka nyumbani, akenda chuma
nje, naye njia ashikavo — miti aivunja kwa ukubwa wake.
1) Mitmensch, von ulimwengu Welt gebildet. 7) uza neben uliza.
3 ar. Barmherzigkeit, Mitleid; durch Metathesis von rahma gebildet. '; ar.
Nachmittag. 5) Lebensunterhalt verdienen, hier Essen suchen. 9) ar.
ankommen. ?)ar. Mittel zum Leben., $) Wassergefass zum Trinken. "; mtu.
1) umewakula. '!) umenisaza. '?) besonders von Fraucn gesagt fir labda,
labuda. 3?) roho yako. '$ akasoma. ?); akajificha.
ra
hawa sa usa
akanena" k KIN um
mke: ” umba na Jaha!
mwu yu aa v anamk kam
pusu bwa, a ZM aza kama
ungu? aha ka akaone akaond upan
La ake (rasha aka wam
ndio utakayo vua NI umwana
darb S moja pipa ilia kamp!
akaja akala vyaku! kaang sheri"
akalali- atu alipopao” angizi
darba moj: wana akamsh
a pil. nyoka akase niong”
akam”? send ennd, mwao
akata nyoka, mla wak ufung
AN akakad V- Dan!- khal
mali; cha kule k ib
walo atatu moj:
Mfung .c3 MOTO a
ima > mwa ke,
kame: ” ana kuta my
mwe nayo: akaja hp
akenda kwake na kule kwake
alip Ak akeni wa
sand, guu na V kw
caskal! m eni nan
namke vi a sukan
g ze” ukuleteo, je uzi
nam Ka ahye
Ka al ) safari hizo,
marra > ali poku)
mwan ay wan
ange" Pa kaja mai
kha na akAP
mw ago:
alipo ka kwao,
v
A
ar wafieh
ar. ub
Form:
'
werden.
KWTA Kua Peri.
muchene
IOI
akasema: wkweli, mwanamke mzuri kweli.” sultani akafanya vita
kumfuata mwanamke, aliye na Makame. na huyu akatazama, akaona
vita, akamwambia Makame: ,vule mwanamke, aliyokuja, sikuambii
mwage? ukamwacha wee, leo kaja kwa vita. Makame akanena:
na vije vita.“ vikaja vita. vilipokuja — Makame akapigana nao, aka-
wesha!), akasaza mmoja, akamkata mkono, akamwambia: ,mwambie
sultani, na waje tenna.“ akienda sema, sultani akifanya vita tenna.
wakenda; Makame akapigana nao, akawesha, akasaza mmoja. akam-
kata shikio, akamwambia: ,kamwambie sultani, na alete tenna.”
akenda sema.
sultani alipoambiwa akamwita mwanamke: ,mbona watu wesha?),
sasa mashauri nini?” mwanamke akamwambia sultani: ,mashauri —
watu na wende”), hapo wapiganapo wachimbe mashimo makubwa,
majira!) ya kupigana ataanguka shimoni.“ wakenda na usiku, waka-
chimba mashimo thalathini.
mwanamke akamwambia Makamc: ,leo frasi mlegeze, usimfunge
sana.“ Makame maneno ya mwanamke asivafuata, frasi akazidi kum-
kaza kamba. walipopigana akagabili?) pana shimo. frasi akataka ruka,
asiweze, kwa sababu ya kumkaza. akaingia shimoni yaliyochimbwa,
kazidi na farasi pia, wakaingia shimoni, wakafukiwa. khatima tenna
wakenda nyumbani kufuata mwanamke pamoja na mali. wakenda
mtwaa mwanamke na mali, wakachukua kumpelekea sultani, alive-
toa vita.
akakaa mwanamke asiwe na maneno na sultani. khatima mwa-
namke ajua kusoma, akatazama chuo ule mrechani kule kwa bibi ki-
kongwe. bibi akaweta wale watu watatu. walipofika, kibibi kikongwe
akawambia: ,mrehani unakuta, mashauri nini?“ wale watu watatu
wakauzana. Mweza Nyayo pasi Yayo akawambia wenziwe: ,nifua-
teni.”“ wakamfuata mwenzi wao. wakenda mwendo wa siku kumi
na tano hatta gaburini9) pa Makame. Mweza Nyayo pasi Yayo aka-
wambia wenziwe: ,Makame kazikwa?) hapa.“ aliyebagia Mfufua Moto
pasi Moto na Munda Chombo pasi Mbao.“ Mtfufua Moto pasi Moto
akawambia wenziwe: ,,kayaleni$) hatta asubuhi; wakenda yaa?) hatta
asubuhi — Makame na farasi wanakuwa wazima. akabagi Munda chombo
pasi Mbao. akawambia wenziwe: ,kayaleni hatta asubuhi.“ walipo-
kuja — chombo tayyari; wakapakia mali nyingi sana, wasicshe!0), waka-
sheheneza!!) chombo. wakafuata kuliko mwanamke kwenda mtwaa.
1) akawaisha, 7) wamekwisha. 39) waende. $) Zeit. ?) ar. sich
nahern. $) ar. Grab. Jakazikwa. 7?) kalaleni. 9) lala, '?) wasiishe. 'D ar.
befrachten.
Velten, Suaheli-Miarchen. 11
kule mwanamke alipo kwa sultani aliko akatazama chuo, akaona
katika chuo, kaona!) Makame kafufuka?), iwaja?). mwanamke aka-
mwita sultani, vu miskitini, akamtolea mtu kumwita. naye mwana-
mke, tokea siku aliyokwenda, hakujua kunena na sultani. alipokuja
sultani, mwanamke akamwambia: ,sultani, ma“ana ya kukuita, ni sababu
ya kukwambia, leo kutakuja ndugu vyangu; na wewe jua, ndio sababu
hakuita.” sultani akasema: ,,vema.”
hatta saa ya tiss'a chombo kikawasili. hatta kilipota nangaben- —
darini, wakawa wageni wa sultani. lakini mwanamke ajua — leo mume 3
wangu kanawasili?); sultani hakujua, ya chamba?) huyu ndio aliye-— -
pigana.
hatta asubuhi vule mwanamke ataka rukhsa ya kwenda wadibo? >
mgeni, ndugu yake, aliye mumewe. apewa rukhsa. alipofika pwani. 20
akapakiwa mashuani na wajakazi wengi. hatta walipofika chomboni 2 #—
chombo kikatweka. sultani kule mjini alikoona chombo chatweka?)C YP"
kawambia3) watu: ,,mbona chombo chatwekar kifuateni!o kuli 20
chombo kilicho bendarini kifuate!" lakini Makame akenda kwa upe > >
sana na chombo chake.
alipofika kwao bendarini — wale wenziwe ni malaika?), wakend> ad
zao, wakamwacha Makame na muiW) na malize!!) na kiomboke 1 ai:
alipofika mjini babaye mzima na mamaye mzima, akawafaa sana, aka > ka
wa ndio tajiri katika inchi.
na hadithi ikesha hivo. na sababu umaskini ndio mwanaye.
Diwani Mamgola bin Diwani Ms “Mpola
aus$ Gubiro.
Uakaona. ") akafufuka. ?) akaja. $) anawasili. 9) kama. 9) We oh
verstummelt aus wajihi begriussen. 7) kinatweka. 9) akawambia. 7) ar.
Engel; im suah. werden auch die Brusthaare, sowie die Harchen auf
Handen und Armen malaika genannt. 9) mwanamke. 1) mali zesaake,
13) chombo chake.
asili!) ya pepo.
Alikuwako mwanamme mmoja akaoa mkewe, akamweka ndani,
naye mwanamme akenda kuchuma hatta akapata tedda?).
hatta siku moja akaona mwanamke katika bucta”) ya mumewe
iko fedda nyingi, na fedda zenyewe uwingi wake ni rupia thalatha
UJar, Ursprung. ") ar. Silber, Geld. 7) portug. Kistchen.
163
mia. alipoona fedda hii, akajitia ugonywa ugonywa mwanamke, aka-
kaa kitandani; usiku hali kitu na mchana hali kitu, huponea maji mudda
wa siku sab'a.
akaondoka mumewe, akenda kwa mw'allim moja akamambia:
mtafaddali mw'allim, tazamie mke wangu hawezi.“ na mw'aallim aka-
kamata ubao, akapiga lamli!), akabasiri”) khabari katika falaki?). ikanena
falaki — vya kuwa: ,mkeo hawezi, na sababu ya mardif), ana shetani ma-
wili, wa kwanza kinyamkera”), wa pili kilima”). bassi — mtafute mganga
wa kinyamkera, ampe dawa ya kunywa, na mafusho9), na jimbo apa-
ka, na mvuke?) kidogo wa kufunulia katika kijungu?) mudda wa
siku mbili, na inshallah taala atapata usingizi. ba'ada ya hayo umtake
na mganga wa kilima, akupe dawa za kunywa, na matusho yampike
na mvuke katika nyungu mudda wa siku sab'a — atapanda huyu shetani.“
akenda zake mumewe, akenda kuonana na mganga, akamambia:
mtafaddali mganga, mke wangu mwenyi pepo, ndiye shetani anayemu-
guza, bassi sasa nataka nimwone mke wangu hajambo, aweze kupika
na kula na kuzungumza kama kwanza.“ mganga akanena: ,vema,
hio ndio kazi yangu.“ akamambia: ,na sasa tupatane, unifanyizie
ngoma yangu, nataka kupunga?) mke wako.“
wakapatana mudda!?) wa siku sab'a, na kulla siku reale u nuss,
na chakula cha mganga kulla siku pishi nne za mchele na rupia moja
Kitoweo. na watu wanaomngojea mgonywa imelazimu kwake, mwe-
Ni vi ngoma, kuwapa chakula hatta ngoma imekwisha.
wakapiga ngoma siku sab'a, na mwenyi ngoma akawapa watu
<< hakula, akatumia fedda nyingi. hatta siku ya mwisho ya ngoma
Nwakachinsha mbuzi, yule mgonvwa akanywa damu ya mbuzi. aka-
Pigwa na kilemba cha namna tatu, cheupe na chekundu na cheusi,
<“akavikwa na jumla ya vyombo vya fedda yule mwenyi pepo. mganga
akatuzwa!!) na watu jumla ya mapesa, na mumewe akatuza mchele.
ma inapopigwa ngoma hufukizwa na mafusho, ikaimbiwa na nyimbo;
wnganga akaambia na maneno — hayajulikani mwanzo walla mwisho
ya maneno hayo.
marra yule mgonywa akatikisika!?), akesha akanguruma. khatima
akaulizwa na mganga wake: ,wewe ndio mrimagaro 3)?“ akamjibu:
vMimi ndio mrimagaro, natoka jangwa kuru!f), kapita?) juu kwa juu,
1) ramli. "J) ar. schen. 9?) ar. Aether, Astronomie. 1) ar. Krankheit.
>) Bezeichnungen fiir die bosen Geister. 9) Raucherwerk, gebrauchlicher
ist manukizo oder mafukizo. 7) Oualm, Rauch (von der gekochten
Arznei). $) kleiner Topf. 7?) einen bosen Geist aus einem Kranken durch
Zauberei vertreiben. 9) ar. Frist, Zeitraum. '!) tuza beschenken.
12) Schiittelfrost bekommen. 5) wohl mit Kilimanjaro zusammenhingend.
4) kuu. ?) nikapita. .
Aa
vu maengaengani kama wingu la mvua.” mganga akamambia: ,toka,
uende zako, wacha manamke huvu.“ akatoka akenda zake na mwa —
namke akapona.
mganga akakamata fedda zake reale “asherini na moja, akakamata ms >
mareale manane, alizotuzwa akakamata, na mikeka iliyofanyiziwa ngoma, 2
na sahani zilizofanyizwa ngoma, na mkate aliofanviziwa pepo, na chano> g
kilichofanyiziwa pepo, na nguo alizovaa mgonywa, na yule mbuzi |
mzima alivokwisha chinshwa, aliyokunyvwa damu vule mgonyvwa, la
nyama huchukua mganga; jamfei ya vitu hivi huchukua mganga. n222
wapiga ngoma wakapata rupia tano katika siku sab'a, na mpiga zomarz
akapata rupia tano pekevake.
hio ndio asili ya pepo kama imeandikwa katika hadithi hi, nza
gharama! za waganga kama hizo tulizoziandika.
na namna za pepo nvingi, kama pungwa, dungumaro, umundi£> Ya
mshakini, kitimili, lewa, kasia. kimbagwi. cha ngombe tali, kigwars —m yr
kumbura. kigala, kisomali, kipita, kokolai, kaputa, kitanga.
Mwenvi Gogo bin Mwenyi Mbes Yo
aus Kichwele bei Daressalaam mr am
par, Unkosten, Gebiihren.
asili ya uchawi.
huwa mtu moja mwenyi mali, akapata chakula kizuri, akap———Data
nguo nzuri, akapata na mabali pa kulala pazuri, ana watumwa wo miva-
zuri, ana na fedda nvingi nyumbani, ana na mkewe mzuri, na jir ani
wakajua khabari ile, ya kama mtu huvu ana vitu hivi. wakafanye—<iza
shauri -— ya kuwa: mtu huvu anajivuna sana, bassi afadali tumwoe 3!
apate kuugua, apate twabu?, na mkewe atoc fedda vawape watu ku——24m-
tanyvizia dawa mumewe, na watu wapate kutumia zile fedda.”
wakenda wakamwoga vule mtu hatta akaugua. marra mke We
akenda kuwaita hawa watu hasidi? watanve dawa vao ya uchawi. na
dawa ya uchawi ni hivo: akisha kufa mtu huzikwa; kwa siku ya —WERtU
wale wachawi huenda wakamchimbua katika yaburif vule mtu alim yo-
zikwa. wakamchukua wakenda wakamkata mwituni, kulla mtu akat Sia
sehemu? vyake ile nyama ya mtu. wakatwaa na miti waijuavo, Ki ula
Waoga duroh Zaubergiit hezaubern, 7 ar. Miihe, Beschwerde, Sorge, F
. “ . . (
YU an Naidiseh, War Grab, ar, Antheil YI
105
Mtu akachoma nyama yake, na miti wakachoma; nyama ya mtu
ikaungua na miti ikaungua, wakachanganya wakaweka.
na wanapotaka kumwoga mtu — humvizia hatta anapotema mate,
Wakatwaa yale mate, wakatia ndani ya vyungu vyao pamoja na ile
dawa, wakachanganya yote garibu na lile gaburi ao panapo miti mi-
zubwa, wakachimba ile dawa papale.
akaenda yule manamke kumwita mchawi akamambia: ,tataddali
mipungie mume wangu, ntakupa ijara!) yako.“ wakapatana ijara, wa-
< afanya kwanza ngoma. mganga akamambia mwenyi pepo: ,nenda
mbio mpaka mwituni ukaanguke chini vya mbuyu.“ akafanya vivi
mivi, wakamkomoa, akarudi nyumbani.
aliporudi nyumbani, mganga akalala chini ya mlango; yule
mngonywa akamkanyaga, akaingia nyumbani mwake, akenda kulala.
hatta kwa siku ya pili asubuhi akaja mganga, akamchanja mgo-
nywa chale thelathin na wembe, akamtia dawa ndani. wakafanya
ngoma siku kaza wa kaza, hatta siku ya mwisho pepo alipojaa tele
kichwani akaulizwa na mganga: ,nani wewe mlimagaor“ akaitikia:
heka", na maneno yake yote ya kimassai?). akanywa damu ya mbuzi
yule mgonywa, akaondoka khalafu yule pepo. na watu wakacheza,
wakazunguka waanawake na waume kwa ngoma na zomari. waka-
cheza kwa furaha na kelele, wakapakaa na rangi moja, jina lake ngeu,
nyekundu sana kama damu, huchanganya na samli, wakapaka toka
kichwani hatta miguuni. na yule mgonywa pahali po pote anapo-
kwenda siku ile wakamambia ,mkuu wa pepo.“
kiisha toka yule pepo mganga akawambia watu: ,lazima ba'ad
va mwaka mmoja kufanya ngoma siku sab'a tenna na kunywa damu
ya ngombe; baad ya miaka miwili mitatu lazima ngoma ya siku sab'a
na kunywa damu vya njiwa; baad va hivo si lazima tenna kufanyiza
ngoma.
akaondoka yule mchawi, akachukua ijara yake na vitu vyote
alivyovitaka kwa yule mgonywa. na mali hivo alivochukua yeye na
wenziwe pamoja na gharama ya ngoma na vyakula vya watu yalipata
zavidi ya rupia miten.
hio ndio asili ya uchawi, na watu hufanya leo vivi hivi. aki-
ugua mtu husema ,ameugua sababu ya uchawi, haponi — ila kwa
kugeuzwa na mtu mchawi kama yule aliomwoga.“
Mwenyi Gogo bin Mwenyi Mbegu
aus Kichwele.
ar. Lobn, suah. ijara und ujira, 7) die Zauberer reden bei der-
gleichen Proceduren ein Kauderwelsch, das weder die Anderen noch sie
selbst verstehen.
166
Mabanyani!) na pepo.
Yalikuwa zama moja gabla ya miaka thelathin na mitano Banyano
moja Djiwa, alikuwako katika Kaole?).
wakinena Banyani — ya kama: ,watu wa mrima waongo, wana Aa.
taka kula mali ya watu tu, hakuna pepo.“
baada ya siku kumi na mbili alichukuliwa usiku, akatolewa ka- mza.
tika nyumba min gher”) ya mtu — huyu Banyani Djiwa, akend: £- Jd.
mwenyewe mwituni usiku, akapanda juu ya mti min gheir ya kujua; ya
na ule mti jina lake mbuyu. akakaa siku tiss'a ndani ya Ule Mm mti
wakataka kumkamata wenziwe Mabanyani — asipatikane.
wakesha hila zao, wakagubali na Banyani, kama kweli hagiga mw 4)
kwa suaheli?) wako pepo. Mabanyani wakatoa reale khamsin, waka.
wapa madiwani; wakaweta waganga wakapewa waganga reale kuna—,j
wakakusanya ngoma katika mji wakapiga, wakapiga siku kucha ha tra
asubuhi sa“a mbili — wakamwona Banyani anakuja, akacheza, kava —maii)
nguo za mlangamia), kapiga?) kilemba va mlangamia.
alipofika uanjani, wakamgaribisha kwa maneno ya pepo, wakanz——1p,
mchuzi wa kuku — akanywa, akapewa na nyama ya kuku — ak aAjy
waketwa?) Mabanyani katika mji, wakaambiwa: ,mambieni ndt 29;
yenu maneno ya kibanyani.“ walipomambia maneno ya kibany anj
asifaham 10) hatta moja, akawacheka; na yeye akanena kwa maneno ya
kishenzi, na ndugu zake Mabanyani wakacheka.
khatima waganga wakamuliza wakamambia: ,tukukomoe!!), uta-
lala hapa ao utakwenda mbuyuni“ vule pepo akasema: ,ntakwenda
mbuyuni.“ wakapiga ngoma, akakimbia yule Banyani na pepo yake
kichwani, akenda mwituni katika mbuvu wake.
wakagubali Mabanyani wote kama hagiga pepo yupo katika
Afrika. wakatoa gharama ningine reale saba'in, wakafanyiza ngoma
siku tatu. siku ya tatu wakamtega yule mgonywa na ndizi. alipokuja
akaona zile ndizi, akenda akatwaa ndizi, akala; na mtu amejificha na
maji garibu vyake. maira aliposhika tenna ndizi, wakamwaya maji
yule Banyani — pepo akakimbia, akatoka. akaanguka Banyani, aka-
pewa dawa, akanywa, ikarejea “agili yake kama kwanza. ndipo wali-
posadigi Mabanvani, kama pepo va Kinvamkera mkali sana ?).
Mwenyi Gogo bin Mwenyi Mbegu
aus Kichwele.
') heidnische Inder. 7?) Dorf siidi. Bagamoyo. $jar. ohne. ar
Wahrheit. ?) besser waswaheli. S)akavaa. 7) nach Banyanen Art. #Jaka-
piga. “) wakaitwa. 9) ar. verstehen. ') bosen Geist austreiben. 7) der
Erzihler musste am Ende secincr Erzihlung selbst lachen, dass es deh
schlauen Suaheli gelungen war die Banyanen um so viele Realen zu be-
trugen und auf Kosten ihrer Dummheit sich zu amisiren.
167
Masiala'!).
I.
Aliondoka mtu asafiri?). alipofika njiani, pana .mti na ndege
igi. akatoa ,salaam 'aleikum, ndege mia;“ na wale ndege wakapo-
, wakasema: ,sisi hatukutimia”) mia, twataka kama sisi, na nussu
sisi, na robb'o ya sisi na wewe uingie, ndipo tutimie mia,“
ma'ana: hao waliokuwa hapo mtini walikuwa ndege sitta Uu the-
ini; na sitta uU thelathini na themintashara na tisa na mwenyi
pa salaam — wakatimu mia.
II.
Masiala ya pili — ni mtu hawezi mgongo. watu wakenda tazamia
ongo kwa wa'fallimu; wakaona sadaga ndimu moja. na mdimu
, lakini u kattikatti ya kisima, tenna una mtu juu amlinda, nazo
iuzwa, nazo haziombwa, na ukaomba hupewi. wafanvaje hatta
zaipata?
aitakaye afuata kwa kuondoa kuchukua jiwe, ukampiga mlezi
'o juu ya mdimu. jiwe atalipisha kuona oga kupigwa, naye atatunda
mu, atampiga yule aliyotupa jiwe; ataokota ndimu, aende akaagulic?)
ongoye?).
HI.
Watu wawili, mmoja mtu wa Mugeta Mapasa na mtu wa pili
a Pangani, wakaonana barrani pia. walipoonana wakafanya shirka?)
bida“a?), wakanunua samli mannif) manne. baada ya mali hiyo
yana zaidi pia.
wawili wakashuka kuja pwani, na katika samli katika kibuyu
a manni nane kitele, pana kibuyu cha manni tano kitupu, na ki-
ru cha manni tatu kitupu. hatta walipofika mbele pana njia mbili,
ja ilienda?) Mugeta na moja ienda Pangani. wataka wagawe samli,
a mtu ende kwao, napo nyikani, hapana mji garibu.
wagawaje, killa mtu akapata zake manni nne, na kibuyu cha
nni tano kitupu na cha manni tatu kitupu, kugawa kwao?
kugawa kwao: auwali wapima kibuyu cha manni tatu tele, aka-
kibuyu cha manni tano, na katika iliyosalia buyuni manni tano.
D ar, Fragc, Problem, 2) anasafiri. 3) ar. vollenden. f) irztlich be-
deln. ?) mgongo yake statt mgongo wake. $) ar. Gemcinschaft. "ar.
are, ?) ungefahr 3 Pfund. 7) inakwenda.
168
akapima tenna na kile kibuyu cha manni tatu, akatia mle buyu la
manni tano, mkiingia manni mbili; ile ya tatu ikabagia moja, katika
buvu jingine mbayi manni mbili. khatima tenna ile iliyomo katika
kibuvu cha manni tano, 'ikatiwa kibuyu cha manni nane, mlimo manni
mbili. tenna ile manni iliyosalia kibuyu cha manni tatu, kaitia kibuvu
cha manni tano. tenna akapima manni tatu, na kile kibuvu cha
manni tatu ikatiwa kibuyu cha manni tano, na manni moja zikawa
nne; kibuyu kwa manni tatu kikavunjwa. kulla mtu akenda kwao.
Diwani Mamgola bin Diwani Mgola
aus Gubiro.
IV.
Nataka kuuliza katika watoto watatu, wana rangi tatu; mtoto
mmoja mtumwa, tenna mwana wa haramu!); na mtoto wa pili mung-
wana, walakini mwana haramu; na wa tatu mungwana, tenna mwa-
na halali?) na baba moja mama moja watoto hao. nawauliza
ma'ana yake”
ametokea mtu mmoja ana watumwa wake mjakazi na mtwana,
huja wakizini yule mjakazi na mtwana, huzaa mtoto, cmekuwa mwa-
na wa haramu, tenna mtumwa.
huandikiwa yule mjakazi na mtwana wakiwa huru3) — waung-
wana; wakizini wakizaa mtoto mwana haram, walakini mungwana.
bana wao akiwaoza, akiwafanyiza nikaha?), mwanamke aka-
chukua mimba, tenna akizaa mtoto — mungwana, naye mwana halali.
ndio ma'ana yake; uwongo ao kweli? ni kweli kabisa.
Merere bin Kawamba Mshale
aus Vikindu.
ar. unerlaubt. ?) ar. crlaubt. Ji ar. frei, f) ar. Ehe.
Druck von Albert Damcke, Berlin SW. 12.